🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Komentáře • 21

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 10 dny +8

    Pambaneni Makamanda na Mungu wa mbinguni awatangulie mapambano yenu yakazae matunda kwa jina la Yesu

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni Před 10 dny +4

    Hogereni sana kiogozi tupo pamoja

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 Před 10 dny +5

    Ccm lazima waondoke .

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 Před 9 dny +3

    Hii nchi wengi wetu tumeridhika na shida zetu, ila tunatakiwa tuiondoe ccm madarakani maana hela ya kodi inayokusanywa, wanaigawana haohao wenye dhamana na mamlaka, na ndo maana wako radhi kumpoteza yeyote wanayeona anataka kuwaharibia ulaji wao ili waendelee kujinufaisha wenyewe na kuzidi kumfanya maskini awe maskini kabisa.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 10 dny +2

    Sio Chakula,wala bidhaa yoyote,Madawa,Huduma,hakuna kilichosalia Waziri wa fedha Mh.Mwigulu hajaweka kodi juu ya kodi ndio ubunifu wa kisomi wa vyanzo vipya vya kodi kwa maendeleo ya nchi! Wao wanajitosheleza,sisi wananchi tunabangaiza siku kwa siku sio bure wana jambo lao...

  • @user-xh8kd9ze7o
    @user-xh8kd9ze7o Před 10 dny +1

    Lema uko vzr

  • @user-nn5oz4cn2g
    @user-nn5oz4cn2g Před 10 dny +1

    Jamani hawajamaa wanaongea yaan mungu atusaidie

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 Před 10 dny +1

    LEma Si muhuni wewe ndiyo muhuni na mjinga ambayo haujui lolote

  • @kamalabuberwa2001
    @kamalabuberwa2001 Před 8 dny +1

    CCM ni kikundi cha majambazi, tutakipiga mapema tuu!

  • @user-hj3ky9zy6y
    @user-hj3ky9zy6y Před 7 dny

    Pamoja sana

  • @halimachadai863
    @halimachadai863 Před 8 dny +1

    Mapambano yaendelee

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před 8 dny

    Apo nimekuerewa ndio mana maendereo uku mitaani akuna kilasiku tunaliatu izo pesa viasilimia ndio wanajenga mwendokasi basi imetoka

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 9 dny

    Hata sisi wakulima tukilima Kahawa hawohawo Ccm ndiyo madalali wakubwa hivyo tunajikuta tumelipwa fedha kidogo sana

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před 10 dny

    Hapo hapo

  • @CostansiaKimaro
    @CostansiaKimaro Před 6 dny

    Muhuni ni wewe lema ni Kamanda mtetezi wa wanyonge

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 10 dny

    Lema niungovi au unasema sera Huna lolote mhuni tu wewe

    • @pueblo148
      @pueblo148 Před 10 dny

      Kilaza

    • @elibarikimollel7149
      @elibarikimollel7149 Před 10 dny +2

      Mkondya wewe ni chawa wa kwanza kutoka mwisho nani hakujui?! Ndio mana wanyatu mnaongoza kwa umasikini nchi nzima

    • @shabanadam4476
      @shabanadam4476 Před 10 dny

      Stop your nonsense or go to hell lema his right why tanzanian were suffering katika nchi yenye rasilimali more than all countries in africa