🔴LIVE: MBOWE, LEMA WANAUWASHA MOTO ARUSHA MJINI MUDA HUU/WAFUNGUKA MAZITO MKUTANONI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Komentáře • 12

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 Před měsícem +1

    Arusha mmetisha Sana hamnaga mbambamba

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před 18 dny

    Kabisa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem +1

    Vijana wakifanya kibarua cha elfu5 anakimbilia kucheza kamari za mchina,kiroba cha elfu,anabaki na elfu1 ya kula chips dume na miguu 2 ya kuku,anakwenda kulala, asubuhi mchina anapita kwenye mabaa asubuhi na sanduku kukusanya faida ya kubet anaondoka anaondoka zake,kijana anazunguka kutafuta kibarua! Serikali inachukua kodi yake kwa mchina mchezo wa kuwafilisi vijana unaendelea...

    • @MichaelMwasese
      @MichaelMwasese Před měsícem

      Si ndio wanchana nywele ha wa upande wa chawa tutabet mpaka m,,,,

  • @MichaelMwasese
    @MichaelMwasese Před měsícem

    Huwa nsikiaga cham cha kaskazini mbona ccm mnaongoza kaskazn sibwageni tuone penye mshono

  • @LubasiKashamba-ek9fz
    @LubasiKashamba-ek9fz Před měsícem

    Lema hoyeeee

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf Před 18 dny

    Hizi pesa wangikuja kutuwekea ata barabara ya kata yetu inamashimo makubwa wao wanaangalia barabara kuutu wamesitisha barabara za mitaa na vitongoji vyote nchi nzima zile pesa wanatengeza barabara za mwendokasi ili watu waone serikali imefanya

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před měsícem

    Hizi nyumbo kikora

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před měsícem

    Hizo fedha za kuagiza hayo magari,na fedha za hayo mafuta ya magari mia150 yanayotumika kwenye misafara yao mirefu kl.mt5 zikiishatumika,baada ya uchaguzi tunakutana na tozo, ongezeko la kodi ktk bidhaa zote,mazao,nafaka,ujenzi nk. mpaka tuzirudishe zote tuendelee na kulipa mikopo ya nje,wao wako na viyoyozi ofisini,na kwenye mashangingi yao!

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem

    Hii too much kweli gari 150 za msafara kwa umaskini wetu huu!!!! Hii ni kufuru umasrufu kwa ajili ya Nini?

  • @AllyMandunda-tj9jc
    @AllyMandunda-tj9jc Před měsícem

    Joakim umarufi unamaanisha nini? Maana wewe una kiherrhere na ccm

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem

    Umaarufu