JESHI LA POLISI WAZUNGUMZIA MATUKIO MATATU YA UTEKAJI NCHINI/WATUHUMIWA WANASWA WENGINE WASAKWA
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 12. 09. 2024
- đJE, NA WEWE UNA HABARI?
đWASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
đWhatsApp (+255 692 318213)
đEmail: mwanahalisitvnews@gmail.com
đKWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Mungu ndiye anayejua Yoote, kila mwenye masikio asikie na wenye ufahamu afahamu haya asemayo BWANA katika Neno lake Yeremia9:7-9
Hofu ya Mungu. Haipo kwa vijana wengi sana pia. Wazaz tubadilike kimalezi. Sio kulalamikia serikali na polisi turuhusu mtoto alindwe na jamii na afundishwe. na watu wanao mzunguka akifanya kosa. Popote kwan hata vijana wema watashawishika. Kuishi kihuni na kuvuta Bangi na pombe chafu. Mungu atatusaidia. tu wazaz hekima za maleziđđ
ktk mkutano wa CCM mkiti wa uvccm Bukoba kasema wazi kuwa watu wakitekwa polisi musiwatafute!! kwanini mhusika huyu hajaojiwa mpk leo kutokana na kauli ile?media mnatuangusha
Hata mie nimeuliza sana wanatafuta nini wakati mtekaji alijitangaza ?
đ polisi.maJibike..mpakawatu.waseme.ss.basi.ndio.mtoa.ufafanuzi.
Mama Samia Suluhu Hassan vituko hivi vinachafua kabisa sura ya taifa letu Tanzania. Hakikisha matukio haya yanakomeshwa mara moja đąđąđą
ni ajabu sana kusikia polisi wanazungumzia matukio ya kutekwa sativa katekwa na kupigwa risasi polisi mpk leo wapo kimya!! Deo Soka kachukuliwa na polisi nyumbani kwake polisi wapo kimya!! Ben Saanane kimya!! Media kwanini hamuwaulizi polisi kuhusu wao kuhusika kuteka watu hasa ukizingatia Sativa alitolewa kituo cha polisi akapigwa risasi porini!!!
Nawapongeza sana Kwa jitihada mnazozifanya
Duuu umaskini utamaliza watu , imani za kishirikina kwanini waganga wasikamatwe ili haya mambo yaishe?
Ninyi hamwezi kutudanganya kama watoto hao vionhozi wa Chadema wanaotekwa mbona hamtolei maelezo? Maana yake ninyi mnahusika moja Kwa moja
Nyie tuambieni Soka na wenzake wako wapi acheni kutuletea Kona Kona hapa Soka alikamatwa na nyie
Huo n unafiki mtachomwa Kama kuni azory gwanda yup wap
Tumelifuga jini la watu wasijulikana sasa linatusumbua, "tumechelewa wenzetu wamepotea kama sio kufariki kabisa".
Uongo tu mnajikosha kwa wananchi wahs labda ni kweli mnachokisema,nyie mtumalize tu ila ck hazigandi