JESHI LA POLISI WAZUNGUMZIA MATUKIO MATATU YA UTEKAJI NCHINI/WATUHUMIWA WANASWA WENGINE WASAKWA

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 12. 09. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Komentáƙe • 14

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Pƙed 20 dny +3

    Mungu ndiye anayejua Yoote, kila mwenye masikio asikie na wenye ufahamu afahamu haya asemayo BWANA katika Neno lake Yeremia9:7-9

  • @meshackthomas1341
    @meshackthomas1341 Pƙed 20 dny +2

    Hofu ya Mungu. Haipo kwa vijana wengi sana pia. Wazaz tubadilike kimalezi. Sio kulalamikia serikali na polisi turuhusu mtoto alindwe na jamii na afundishwe. na watu wanao mzunguka akifanya kosa. Popote kwan hata vijana wema watashawishika. Kuishi kihuni na kuvuta Bangi na pombe chafu. Mungu atatusaidia. tu wazaz hekima za malezi🙏🙏

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Pƙed 20 dny +2

    ktk mkutano wa CCM mkiti wa uvccm Bukoba kasema wazi kuwa watu wakitekwa polisi musiwatafute!! kwanini mhusika huyu hajaojiwa mpk leo kutokana na kauli ile?media mnatuangusha

    • @paskaziasholla7471
      @paskaziasholla7471 Pƙed 19 dny

      Hata mie nimeuliza sana wanatafuta nini wakati mtekaji alijitangaza ?

    • @evelina9621
      @evelina9621 Pƙed 16 dny

      😅polisi.maJibike..mpakawatu.waseme.ss.basi.ndio.mtoa.ufafanuzi.

  • @gabrielmachotta5193
    @gabrielmachotta5193 Pƙed 19 dny

    Mama Samia Suluhu Hassan vituko hivi vinachafua kabisa sura ya taifa letu Tanzania. Hakikisha matukio haya yanakomeshwa mara moja 😱😱😱

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 Pƙed 20 dny +1

    ni ajabu sana kusikia polisi wanazungumzia matukio ya kutekwa sativa katekwa na kupigwa risasi polisi mpk leo wapo kimya!! Deo Soka kachukuliwa na polisi nyumbani kwake polisi wapo kimya!! Ben Saanane kimya!! Media kwanini hamuwaulizi polisi kuhusu wao kuhusika kuteka watu hasa ukizingatia Sativa alitolewa kituo cha polisi akapigwa risasi porini!!!

  • @TumainMwanyalu
    @TumainMwanyalu Pƙed 17 dny

    Nawapongeza sana Kwa jitihada mnazozifanya

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Pƙed 19 dny

    Duuu umaskini utamaliza watu , imani za kishirikina kwanini waganga wasikamatwe ili haya mambo yaishe?

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Pƙed 19 dny

    Ninyi hamwezi kutudanganya kama watoto hao vionhozi wa Chadema wanaotekwa mbona hamtolei maelezo? Maana yake ninyi mnahusika moja Kwa moja

  • @adamwoiso2180
    @adamwoiso2180 Pƙed 19 dny

    Nyie tuambieni Soka na wenzake wako wapi acheni kutuletea Kona Kona hapa Soka alikamatwa na nyie

  • @kadokato8394
    @kadokato8394 Pƙed 19 dny

    Huo n unafiki mtachomwa Kama kuni azory gwanda yup wap

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Pƙed 20 dny

    Tumelifuga jini la watu wasijulikana sasa linatusumbua, "tumechelewa wenzetu wamepotea kama sio kufariki kabisa".

  • @MashakaMatuku
    @MashakaMatuku Pƙed 20 dny

    Uongo tu mnajikosha kwa wananchi wahs labda ni kweli mnachokisema,nyie mtumalize tu ila ck hazigandi