MSIGWA AMUITA MBOWE 'NKURUNZIZA'/AMUANIKA HADHARANI/VITA BADO MBICHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa akizungumza kwenye mkutano wa hadhara Kinondoni jijini Dar es Salaam, ikiwa ni wiki mbili zimepita toka alipojiunga na Chama hiko akitokea Chadema.

Komentáře • 82

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Před měsícem +2

    Kuuza bandari na Ngorongoro na rasilimali za nchi ndo kifungua nchi?

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem +3

    Ungeenda chama kingine kama zitto kabwe tungekueshimu,,,lakini uko ulikoenda akili imekuwa ndogo😂😂😂

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před měsícem

      Matako zenu chadema Msigwa amenda kwa wenye kujielewa siyo huko kwenu miungu watu mwenyekiti anakaa maisha kama mfalme Msigwa kachagua palipo na nema Msigwa anajielewa nye mazuzu endeleni kumuabudu Nkurzinza wenu 🤣🤣🤣🤣

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před měsícem +3

    Huyu mtu ni takataka kabisa namfananisga na mbwa kichaa anakula matapishi yake

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem

      Angetoka ccm kwenda chadema mngemuita hero shujaa wa kweli sio?

  • @habibumdetele6530
    @habibumdetele6530 Před měsícem +2

    Ungeshinda ungebaki na hayo mabaya ila umeshindwa unatoa siri,hufai kuwa kiongozi unaweza kuuza siri hata za jeshi.

    • @jdanny497
      @jdanny497 Před měsícem

      Kweli njaa mbaya...Huna mpya...tulia uumie...

  • @jumaitanga9731
    @jumaitanga9731 Před měsícem +1

    Msigwa ulishindwa nini kuyatamka hayo kabla hujashindwa uchaguz?kumbuka maneno ya mwl,nyerere alisema

  • @philemonsnyanda9450
    @philemonsnyanda9450 Před měsícem +1

    Kwanini uligombea na uliposhindwa ndo ukakimbia

  • @josephatkajange8714
    @josephatkajange8714 Před měsícem

    Ukimaliza kuongea usisahau kusoma comment za watu hapa chini.

  • @samoskiyalo6095
    @samoskiyalo6095 Před měsícem

    Nkuluzinza apotee kabisaaa komeshaa nyoka mwenye sumu kabisaaa❤❤❤❤❤😂😊

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Před měsícem

    Huyu eti mchungaji ndimi mbili mtoto wa shetani njaa kali

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 Před měsícem +1

    Wewe ni mchungaji mpumbavu

  • @Watotochannel
    @Watotochannel Před měsícem

    Burundi na sisi tunaheshimiana sana na Nkurunziza alifariki sio heshima kumtaja hivyo. Si sawa

  • @ObadiahMutambo
    @ObadiahMutambo Před měsícem +2

    𝐽𝑖𝑛𝑔𝑎 ℎ𝑖𝑙𝑖 𝑘𝑤𝑒𝑟𝑖

  • @willykomba8376
    @willykomba8376 Před měsícem

    Hakuna hoja hapo no HUNGRY tu😂

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q Před měsícem

    Msigwa ulikuwa mtu Marufu umepoteza huna ushawishawishi.

  • @anicethy6978
    @anicethy6978 Před měsícem +1

    Bro mbona anajichoresha namna hii?Itazameni hiyo hadhira iliyomzunguka inavyomchora, enhe 🤔 🤭‼️

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 Před měsícem +1

    KURUNZINZA UNAMFANANISHA NA MBOWE . UNA MAANA GANI . Usizungumze ya wengine wala kufananisha na wengine tena sio wa nchi yako.Wewe ni wa ajabu sana. Kila mwenye akili anakushangaa kwa sababu umekuwa ukila na hao Chadema zaidi ya miaka 20 leo ubaya wao umetoka wapi?

    • @asacconlinemedia5343
      @asacconlinemedia5343 Před měsícem

      Sasa napata picha halisi kuwa huyu jamaa siyo mchungaji, kwa mtu aliyezama katika mafundisho ya dini hawezi kushindwa kuji control kiasi hiki.

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Před měsícem +1

    Wewe si ndio Nkurunziza ambaye unataka uongoze peke yako umeshindwa ukakimbia kisa njaa na cheo na chama kisipo kupa uongozi utaondoka na huku. Waheshimu viongozi wa CHADEMA huku ccm hatutaki fujo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před měsícem

      CCM nayo si sawa na hiyo ya Rwanda tu

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s Před měsícem

    Daaa ccm wamekupokea niwaaajabu kweri uliwatukana kuwa hawana akili Leo wanakusikiliza tatizo lako msigwa unataka cheo

  • @MarryMassawe-wr2zi
    @MarryMassawe-wr2zi Před měsícem

    Msigwa acha njaa tumbo mbaya

  • @sondajohn1371
    @sondajohn1371 Před měsícem

    Hii yote nikwasabab watz niwajinga nazaid wamenyimwa elim

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Před měsícem

    Msigwa maji taka taka

  • @ZakayoSanga-ge4jr
    @ZakayoSanga-ge4jr Před měsícem

    Msingwa iyo njaa tu,

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem

    Wewe hapo wote wanakushangaa namna unavyiropoka utahira wako

  • @solomonjackson3827
    @solomonjackson3827 Před měsícem +1

    Ni ushamba pia nikosa kututumia jina la mtu mwingine kutumia kumkashifu mtu mwingine kwa hasila zako za kukosa uongozi wa chama mpaka ukahamama

  • @johnmwanyika
    @johnmwanyika Před měsícem

    KAMANDA MBOWE, WALA USIHANGAIKE KUMJIBU HUYO MTU, HABARI YAKE ISHAISHA

  • @asacconlinemedia5343
    @asacconlinemedia5343 Před měsícem

    Huyu mzima kweli? Au Stress?

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Před měsícem

    Hivi huyu ni wa kanisa gani??😅😅😅😅😅

  • @user-ie2sr4fi4k
    @user-ie2sr4fi4k Před měsícem

    Komaa nae tu msingwa akuna nama mbowe amekwisha

  • @jdanny497
    @jdanny497 Před měsícem

    Hakuna mtu anakuelewa hata mmoja...ongea sera,Bei ya sukari,Mafuta na mfumoko wa bei...ongelea katiba pumbavu

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Před měsícem

    Njaa Kali sana

  • @victorphilipo
    @victorphilipo Před měsícem +1

    Weninjaaa tu wakupe u're kwa majizi huko

  • @joachimkalungwana8654
    @joachimkalungwana8654 Před měsícem

    Njaa hiyo itakuja kukuumbua

  • @user-bq4tk6yq2q
    @user-bq4tk6yq2q Před měsícem

    Msigwa wewe nimwongo huna akili kushinwa uchaguzi kwako na kuhamia chama kingine sio uukashifu uliko toka wewe ni mchungaji uwe na maneno yenye yanayokujengea heshima.

  • @ObadiahMutambo
    @ObadiahMutambo Před měsícem +1

    𝐾𝑖𝑐ℎ𝑒𝑓𝑢𝑐ℎ𝑒

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq Před měsícem

    Kukosa cheo mapovu yanakutoka

  • @GiftyJackson-k3v
    @GiftyJackson-k3v Před měsícem

    Dah msigwa unakwama sana Aiseh kumbuka ww ni mchungaji

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem

      Wa mbuzi au kondoo aliwachunga nyinyi mazwazwa sasa ameenda kula ugali we muite mchangaji mwenzio anashiba😂

  • @silaslubisu6921
    @silaslubisu6921 Před měsícem

    Tutakujibu vizuri

  • @Larahamasai
    @Larahamasai Před měsícem

    Hunu lolote mzenge kama wazenge unayoongea nae

  • @kakawataifa6752
    @kakawataifa6752 Před měsícem

    Uzima na mauti uko ktk kinywa cha mwanadamu

  • @jabiraxmed7898
    @jabiraxmed7898 Před měsícem

    Huyu amekwishsaa kisiasa baada ya miezi sita itakua hasikikii tena atumie hivo vipesa alivopewa vikimaliza ashukuru mungu hao ccm hawatamuamiamini hata siku moja

  • @wisdomfolks
    @wisdomfolks Před měsícem

    Acha njaa mdogo wangu

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před měsícem

    Njaa ni mbaya Jamani

  • @MarryMassawe-wr2zi
    @MarryMassawe-wr2zi Před měsícem

    Acha kuongea ovyo

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 Před měsícem

    Daaa msigwa umekwisha kabisa ,umeishiwa hoja kaka.

  • @jdanny497
    @jdanny497 Před měsícem

    Mbwa koko tulia wewe

  • @bennyrushunju4488
    @bennyrushunju4488 Před měsícem

    Kumbe ata mateja nao wanang'atwa na mbu, JAMANI!

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před měsícem

    Yaani Msingwa namfananisha na "Kinonto" ambacho hakijaguswa muda mrefu, sasa kimeanza kutema majimaji ili kipokee mti wa uzima.

  • @Missionary_work
    @Missionary_work Před měsícem

    Mchumba

  • @barakabusima
    @barakabusima Před měsícem

    😂....wacha wee intagireti..

  • @fidelludemwa7223
    @fidelludemwa7223 Před měsícem

    Chadema mtamtukana sana Wala haisaidii kwani matusi ndiyo kwao chadema midomo yenye mkishakunywa konyagi nakuvuta mibangi midomo inatematu

  • @silverytesha6788
    @silverytesha6788 Před měsícem

    Njaa iko na nguvu na hofu sana kwa mjinga

  • @KilonzoJohn-mg7cw
    @KilonzoJohn-mg7cw Před měsícem

    Hukumu ya yunda askarioti pita hukumu Yako inakuja makani utaona Cha mtemakuni ktk sanduku la kura labda usipitishe na ccm aibu itakupata mungu hacheleweshi

  • @georgemakashi-wh6mg
    @georgemakashi-wh6mg Před měsícem

    Msigwa jaa inasubua

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 Před měsícem

    acha njaa kaka

  • @jumakhamisi-o2u
    @jumakhamisi-o2u Před měsícem

    msigwa kwanza natamani kujuwa uwezo wako wa kufikiri je kumuita mtu kurunzinza huijuwi siasa huyo unaye muita kurunzinza arikibia taifa huyo sio mzarendo wa taifa rakini baada ya ❤mama kushika taifa baada ya baba kufa waereze kuwa huyo rissu😮 ariwahi kusema kuwa hajawahi kuona toka taifa rinapata uhuru hajawahi kupatikana raisi kama mama samia nakumbuka kipindi unatowa kauri hiyo rissu wewe urikuwa uberigiji na mbowe arikuwa mateka 😅😂 huyo rissu ndiye mtu wa kwanza kumuomba raisi mariziano ikiwemo kuomba kufutiwa kesi mbowe nasauti hiyo irisapotiwa na watanzania wa dawasipora warioko inje na mama arisikia ❤akaruhusu mbowe afutiwe kesi turiona mbowe baada tu ya Kuachiwa tu arikwenda ikuru arivyo toka ikuru mbowe akiwa kwenye mkutano wa kinamama chadema arisemaje juu ya kumsifia mama samia❤❤leo mnajifanya hamjuwi mema ya mama samia jamani mnyonge mnyongeni ira haki yake mpeni ❤❤❤❤mama unaweza nachamwisho namuomba mama ❤❤awaache wafanye kapeni nawewe mama bajeti yako ya kapeni juu ya uraisi fetha hizo mama❤ erekezea kwenye maendereo nakisha siku ya mwisho kwao tufunge wote ccm jangwani nawao wawe uwanja wa taifa mama nikutowe wasiwasi unawashinda mbari haijawahi tokea hata kesho wasi wasi wangu nindani ya ccm tu mama ira huku mtaani mama una maua yako❤❤❤❤❤❤❤❤mama tunakuomba ukipata mda karibu msm dc mengi umeyqfanya ❤kwa vitendo

  • @bennyrushunju4488
    @bennyrushunju4488 Před měsícem

    JAMANI eeh, paster kajaziwa mafuta na sadaka kwa miaka kumi eti anatoa Siri za waumini walioenda kutubu, kamwene, mnogage!!

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Před měsícem

    Marayawewe njaa umetia aibu hizotabia zakimalaya nyanda zajuu hatunazo umetoawapi uchizi

  • @bennyrushunju4488
    @bennyrushunju4488 Před měsícem

    JAMANI Mimi napokea hata sadaka za Malaya sasa ntafanyaje na njaa kali

  • @domisianlaurian2687
    @domisianlaurian2687 Před měsícem

    Ni kosa kubwa na unastahili kukamatwa na kuwekwa kizuizii kwani unahatarisha mahusiano mazuri ya kidiolomasia.. nkurunziza Ni Rais WA nchi. Tena Kwa sasa Ni marehemu. Shika adabu yako. Na mh Rais Samia. Plz plz.plz. mchikulie hatua za kinidhamu msigwa ili tabia hizo zikomee hapo hapo.

  • @georgemakashi-wh6mg
    @georgemakashi-wh6mg Před měsícem

    NJaa hiyo

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před měsícem +1

      Hata wewe una njaa ukipewa hulii muache achukue xhake mapema hii ndiyo Ccm kuitoa madarakani uache kazi ufanye kazi

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před měsícem

      Eti njaa hivi nye lini mtakubali kwamba CCM ndo chama imara ndani ya Tanzania mtatukana sana lakini ukweli utabaki palepale Tanzania bila CCM haywezekani 🤣🤣🤣🤣Sisi na Msigwa 🥂🥂🥂🥂🥂🥂

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem

    Wewe nikama karai la fundu,,utabwekabweka weee badae watakupa ukuu wa wilaya

  • @yomseyyomsey5114
    @yomseyyomsey5114 Před měsícem +1

    Wewe Ni Njaa na HAKUNA Hoja Ya Msingi Hapo Na Mbowe Sio Nkurunzinza Bali wew NDIYE!!! Huwezi Huwez Jenga Hoja Tena za Msingi Zaidi Utasifia2 Na SHIDA Yako kubwa UNAPENDA Sana MADARAKA na UONGOZI!!!!! KUKOSA Uenyekiti Kanda Unakimbia Kambi kwa njaaa wew Sio Kiongozi HATA Kidogo.

  • @JemeslaizerJemeslaizer
    @JemeslaizerJemeslaizer Před měsícem +1

    Hayo kama inge kuwa kweli ungenda Chama kingine... Lakini umeenda CCM ulinunuliwa... Huna jipya but ni njaa.

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před měsícem +1

    Yani hata mwenye CCM anayeelewa hawezi kupiga makofi Kwa ujinga wanjaa hizii

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před měsícem +1

    Msigwa bule kabisa

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 Před měsícem

    Nipo lringa hapa tunakuona chiz njoo dukan kwangu nikielimishe mbwaa wee 😎😎

    • @MichaleMwakyambiki-pq4co
      @MichaleMwakyambiki-pq4co Před měsícem

      Mh mbowe huyu Msigwa usiumize kichwa kumjibu, huyu asubili majibu yake kutoka no 1 Sugu no 2 Mzee wa upoko, Mwambigija