MAKALA AMVUA NGUO FREEMAN MBOWE, "WANAFUKUZANA"

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 25. 08. 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Komentáƙe • 17

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv Pƙed měsĂ­cem

    Mwenezi umechoka sana Kwa nn hoja nyepesi sana upati mtu huna data

  • @samuelmakara
    @samuelmakara Pƙed měsĂ­cem +1

    Namwona mbowe yupo fiti au Maana yako ni nini.

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Pƙed měsĂ­cem

    Ww mzee kipara mbona chadema hua Kuna uchaguzi watu wanamkubali mbowe ....Hadi Kuna kingine kiligombea na mbowe kikashindwa kikahamia ccm

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Pƙed měsĂ­cem

    Yani chadema ndio inawasumbulia kichwa hivo

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 Pƙed měsĂ­cem

    Yaani hata kuongea ni uongo tu. hata kicheko chenyewe cha unafiki tu.

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
    @AlphaxardMRusweka-jr1wi Pƙed měsĂ­cem

    Utadanganya wasiojielewa,mbona wanaokula nchi hii miaka nenda rudi ni familia ya walewale miaka yote,uwaziri,ubunge wanapewa wa familia zile zile miaka yote.Danganya tu wasioweza kutafakari

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 Pƙed měsĂ­cem

    Ccm.huyu.ndio.msemaji.wenu.mpeni.manara.huyu.mnaua.chama.chenu.makala.anafaa.kuwa.m.c.kwenye.misiba

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Pƙed měsĂ­cem

    Hivi ruzuku ni mali yamafisiemu mbona kila siku mnatusimanga toeni katiba mpya ili tuwapumzishe mkalee wajukuu

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 Pƙed měsĂ­cem

    Mchinga tu huyo

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Pƙed měsĂ­cem

    😅😅😅

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Pƙed měsĂ­cem

    Ongea point sikuisemĂ  Chadema.Nyie ndiyo mnademakrasia? Mbona hamtaki kutoka madarakani ?Chadema oyee! Msiogope someni Isaya 41.

  • @user-uq5vm2ge4q
    @user-uq5vm2ge4q Pƙed měsĂ­cem

    watanzania sio wajinga acha ujinga ongea points

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 Pƙed měsĂ­cem

    Danganya hao Wajinga Wenzako, Watanzania Wanaelewa

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 Pƙed měsĂ­cem

    Wajinga nyie, mnategemea uwizi tu, haya msikilize Nape mnavyo iba, na Mpina je kama nyie hamna mnyukano kwenu.

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie Pƙed měsĂ­cem

    Huyu naye heti katibu mwenezi tena Taifa ovyoo CCM mmejichanganya bora makonda Sema alianza kuibua madudu yenu mkamuweka kando mkaona bora huyu zuzu

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 Pƙed měsĂ­cem

    Wajinga nyie, mnategemea uwizi tu, haya msikilize Nape mnavyo iba, na Mpina je kama nyie hamna mnyukano kwenu.