MASAI AMAVAA RC MAKONDA SAKATA LA NGORONGORO ATOA PONGEZI KWA RASI SAMIA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- MASAI AMAVAA RC MAKONDA SAKATA LA NGORONGORO ATOA PONGEZI KWA RASI SAMIA
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Kama sio TLS kupambana sijui kama mngesikilizwa hongera sana mwabukusi sasa ndio naanza kujua maana ya TLS wanangu nitawasomesha sheria japo nimechelewa kidogo
Kabisa selikali wamebaki wanajisafisha2 ila ukweli ukopale pale selekali yetu haijaliii wao wanawaza maokoto2
Mshukulu mungu kile alichowakomboa ndugu zauko Masai kuna watu wamepambana mpaka ngorongoro imerudi kwenu
Mungu aendeleee kusimama na wananchi wa ngorongiro ili haki ipatikane
Umekazania tunakupenda tunakupenda acha ujinga kamaunampenda sena nakupenda sio tunakupenda usituchanganye kwenye kujipendekeza, raisi nikumuamuru sio tunakuomba uje ngorongoro ni lazima uje usipo kuja kinanuka.
Kwanza polen sana wanangorongoro ila kuhusu Makonda kwenye mkutano alisema kwamba alishindwa kuja maana hakuwa na majibu yakuwapa ko msamehen mkuu wa mkoa ndo maana uliona mawazir walikuja niwaombe kuweni na uvumilivu serikali iko pmj na nyinyi
Makonda alikua likizo mpendwa! Hata hivyo mulisema mnamtaka Raisi tu wala hamumtaki mtu mwingine yeyote! Tunawapenda wamasi Mungu awalinde mukae kwa amani na furaha. ❤❤❤
Makonda hausiki kabisa ndugu yangu.
We nawe chawa tu😂
Sasa makonda anahusika nini hapo jameni;
Maelekezo ya kuondolewa ngorongoro kwa ndugu zetu wamasai hayakuletwa na Mr. Paul makonda, yaliletwa na mamlaka za nchi, na katka uongozi huwezi kuingilia mamlaka za juu yako lazima utafute hekima ya ku adress jambo hilo kwa jamii vinginenvyo upate uelewa au muelekeo mzuri wa mamlaka yako ya juu;
MB zangu rudisha
Poleni sana wana ngorongoro ninaimani mama YETU atasikia kilio chenu na atawasidia 🎉 Kwasababu ana huruma
Huwezi kumuamisha mzaramo ukampeleka singida, ni mipango ya mungu kuyapanga makabila.
Una hakika Raisi wa Tanzania anawapenda wamasai Kama unavyojinasibu Kama nyie mnampenda sana. Aina hakika kwa kweli!!
Chawa wewe.
Huyo amepandikizwa !
Hivi nani alie wataka wamasai kuondoka ngorongoro?dah!!!!!
Usikurupuke kama hujui makonda asingeweza kutatua Hilo tatizo ndyo maana mlisema mnamtaka rais so acha kumlaumu makonda
Uteuliwa mtu kulingana na seem anakotakiwa tumuombe mungu atufungulie Nuru vichwani mwetu kwani ni Giza Nene vichwani mwa watz siku itafika mtamujua mbaya wetu kwani kwa Sasa ni mwendo wa kupongeza kushukuru kutetea kukingia vifua tusiowajua nasema ni mungu TU kukipambazuka tutaona yalio silini ndipo tutageuka tomasi
Wewe ndugu zako walikuwa wanamtaka Rais ,.unamlaum Makonda anahusikaje? Wewe mwenyewe unasema unamtaka Rais muacha makonda huyu anajielewa
🎉Poleni sana
12:39 karibu
Na ni mama
Serkali lazima wawajenge nyumba za kisasa na maskuli na hospital
Huyu naye ni chawa hana jipya.
Makonda hahusiki Kwa lolote hapo coz liko juu ya uwezo wako.
Exactly