MASAI AMAVAA RC MAKONDA SAKATA LA NGORONGORO ATOA PONGEZI KWA RASI SAMIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • MASAI AMAVAA RC MAKONDA SAKATA LA NGORONGORO ATOA PONGEZI KWA RASI SAMIA
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Komentáře • 27

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před 19 dny +5

    Kama sio TLS kupambana sijui kama mngesikilizwa hongera sana mwabukusi sasa ndio naanza kujua maana ya TLS wanangu nitawasomesha sheria japo nimechelewa kidogo

    • @ga2revocatus91
      @ga2revocatus91 Před 18 dny

      Kabisa selikali wamebaki wanajisafisha2 ila ukweli ukopale pale selekali yetu haijaliii wao wanawaza maokoto2

  • @DaurdCharles
    @DaurdCharles Před 19 dny +1

    Mshukulu mungu kile alichowakomboa ndugu zauko Masai kuna watu wamepambana mpaka ngorongoro imerudi kwenu

  • @ChamaMapinduzi
    @ChamaMapinduzi Před 18 dny

    Mungu aendeleee kusimama na wananchi wa ngorongiro ili haki ipatikane

  • @Kwarasi
    @Kwarasi Před 18 dny

    Umekazania tunakupenda tunakupenda acha ujinga kamaunampenda sena nakupenda sio tunakupenda usituchanganye kwenye kujipendekeza, raisi nikumuamuru sio tunakuomba uje ngorongoro ni lazima uje usipo kuja kinanuka.

  • @anastazialushika
    @anastazialushika Před 19 dny

    Kwanza polen sana wanangorongoro ila kuhusu Makonda kwenye mkutano alisema kwamba alishindwa kuja maana hakuwa na majibu yakuwapa ko msamehen mkuu wa mkoa ndo maana uliona mawazir walikuja niwaombe kuweni na uvumilivu serikali iko pmj na nyinyi

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 Před 19 dny +1

    Makonda alikua likizo mpendwa! Hata hivyo mulisema mnamtaka Raisi tu wala hamumtaki mtu mwingine yeyote! Tunawapenda wamasi Mungu awalinde mukae kwa amani na furaha. ❤❤❤

  • @MichaelPaulo-k1c
    @MichaelPaulo-k1c Před 18 dny

    Makonda hausiki kabisa ndugu yangu.

  • @YohanaKuyato
    @YohanaKuyato Před 18 dny

    We nawe chawa tu😂

  • @samwelombeni6850
    @samwelombeni6850 Před 18 dny

    Sasa makonda anahusika nini hapo jameni;
    Maelekezo ya kuondolewa ngorongoro kwa ndugu zetu wamasai hayakuletwa na Mr. Paul makonda, yaliletwa na mamlaka za nchi, na katka uongozi huwezi kuingilia mamlaka za juu yako lazima utafute hekima ya ku adress jambo hilo kwa jamii vinginenvyo upate uelewa au muelekeo mzuri wa mamlaka yako ya juu;

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 18 dny

    MB zangu rudisha

  • @naipendanchiyangu9631
    @naipendanchiyangu9631 Před 19 dny

    Poleni sana wana ngorongoro ninaimani mama YETU atasikia kilio chenu na atawasidia 🎉 Kwasababu ana huruma

    • @lawimanumbu5103
      @lawimanumbu5103 Před 19 dny +1

      Huwezi kumuamisha mzaramo ukampeleka singida, ni mipango ya mungu kuyapanga makabila.

    • @elioimer8423
      @elioimer8423 Před 18 dny

      Una hakika Raisi wa Tanzania anawapenda wamasai Kama unavyojinasibu Kama nyie mnampenda sana. Aina hakika kwa kweli!!

    • @ErnestiSulle-w9k
      @ErnestiSulle-w9k Před 18 dny

      Chawa wewe.

    • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
      @AlphaxardMRusweka-jr1wi Před 18 dny

      Huyo amepandikizwa !

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn Před 18 dny

    Hivi nani alie wataka wamasai kuondoka ngorongoro?dah!!!!!

  • @charlesSomeke
    @charlesSomeke Před 18 dny

    Usikurupuke kama hujui makonda asingeweza kutatua Hilo tatizo ndyo maana mlisema mnamtaka rais so acha kumlaumu makonda

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian Před 19 dny

    Uteuliwa mtu kulingana na seem anakotakiwa tumuombe mungu atufungulie Nuru vichwani mwetu kwani ni Giza Nene vichwani mwa watz siku itafika mtamujua mbaya wetu kwani kwa Sasa ni mwendo wa kupongeza kushukuru kutetea kukingia vifua tusiowajua nasema ni mungu TU kukipambazuka tutaona yalio silini ndipo tutageuka tomasi

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 Před 19 dny

    Wewe ndugu zako walikuwa wanamtaka Rais ,.unamlaum Makonda anahusikaje? Wewe mwenyewe unasema unamtaka Rais muacha makonda huyu anajielewa

  • @naipendanchiyangu9631
    @naipendanchiyangu9631 Před 19 dny

    🎉Poleni sana

  • @naipendanchiyangu9631
    @naipendanchiyangu9631 Před 19 dny

    Na ni mama

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Před 19 dny

    Serkali lazima wawajenge nyumba za kisasa na maskuli na hospital

  • @christophermkwejinyamwanji5809

    Huyu naye ni chawa hana jipya.

  • @georgekimasaofficial1629

    Makonda hahusiki Kwa lolote hapo coz liko juu ya uwezo wako.