WANANCHI WA NGORONGORO WAONESHA NYUMBA ZAO, WAONGEA KUHUSU KUKUBALI KUHAMISHWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 40

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 Před 3 dny +1

    Ninyi Ni Waongo Sana Serekali

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Před 2 lety +3

    Sijamuona mmasai ndindindi hapo hao ni michongo mitupu

  • @noahlarapho3411
    @noahlarapho3411 Před 2 lety +3

    Namkubali huu father sana mama upo sahihi 🙏🙏🙏💪

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 Před 2 lety +2

    Sirikali yenu hii😃, tunasubiri kuandika news zingine in a short while 😆🚶‍♂️🚶‍♂️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 Před 2 lety +2

    Wewe ni mwandishi gani unaandika habari za mazuri tu mabaya uandiki watu wamepigwa wameumizwa ngorongoro uko uandiki uosio uzalendo ni ushabiki maandazi

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Před 2 lety +2

    Shida wanasiasa wameingia huko kupotosha wamasai

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 2 lety

    HONGERA MAMA SAMIA SULUHU HASAN
    HAKIKA HUNA MPINZANI!
    UNATISHA MNO,
    UNAUPIGA MWINGI
    WAPINZANI WATASUBIRI SAAANA!!

  • @bahatiasheli9032
    @bahatiasheli9032 Před 2 lety

    Mzee uko vizuri kwanza unajieleza vizuri inapaswa kua kiongozi ktk eneo lako

  • @manfrednguyu7993
    @manfrednguyu7993 Před 2 lety +1

    HUYU MAMA SIO MMSAI NI MCHAGA KAVAA TU KIMASAI

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +1

    Mtihani kwakweli

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety +1

    Bass haya bakieni na umasai wenu

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 Před 3 dny

    Wewe Ni Mmbwa Kabisa Hauna Maana

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 Před 7 dny +1

    Haya maneno si ya leo, ni ya zaidi ya miaka miwili iliyopita. Sasa matokeo ya walioenda kule yakoje? Wewe Millard Ayo ni mmeru wa Arusha kafanye utafiti wa wale waliokwenda kule maisha yao yakoje. Watu hawa wanaoongea inasemekana ni mapandikizi. Hati miliki vipi wakati hayo maeneo ni ya wamasai ya asili. Fanyeni mipango ya matumizi bora ya ardhi muainishe maeneo ya hifadhi na yale ya wananchi bila kuwaonea!!!

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 Před 2 lety

    Ok

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 Před 2 lety +1

    Sasa ni familia ngapi wanatakiwa kuondoka hao wanaojua kiswahili vizuri na wangapi kubaki

  • @mawazoselemani614
    @mawazoselemani614 Před 2 lety +1

    huyu father anafaa kuwa m/kiti wa kijiji

  • @TZ69
    @TZ69 Před 2 lety

    The masci has rights too

  • @jumannesijal2747
    @jumannesijal2747 Před 2 lety +2

    Kama watapewa kibali sehem nyngne itakuwa vizur Ila migogoro haishi nchi hii

  • @joshtv27
    @joshtv27 Před 2 lety

    Serikali inawajengea majumba Kwa sehemu watakayo pelekwa na serikali?

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 Před 2 lety +2

    Serikali ijifunze kuwa na plani ya miaka 1000 ili kuepuka matatizo kama haya idadi ya watu inaongezeka na mabadiliko ya tabia nchi

  • @theosaimon6933
    @theosaimon6933 Před 2 lety +1

    The last guy is not a masai tusidanganyane ? Mbona wote wanaohama maana hawajaanza leo? Wala jana ? Since March tunaambiwa watu wamasai kadhaaa ?sijui mia ? Mara wamasai 80 swali ni mbona hatuoni ngombe wala mbuzi zikiamishwa? Nasemaje ? Mnaowaona mitandaoni kusema wanahama? Wapo teyari?? Hawatoki ndani ya hifadhi? Not real masai ? Watu wanatumia fursa tu my friend

  • @barakatumai64
    @barakatumai64 Před 2 lety

    Wache ushonga mingi nyiye

  • @user-zt6eb7re4u
    @user-zt6eb7re4u Před 4 měsíci +1

    Nyie kwani munakuwa wajinga jamani wamasai wenzangu

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 2 lety +1

    Wewe wa kofia sio Mpare wewe 😂🤣😆

  • @peterlemurwa3834
    @peterlemurwa3834 Před 2 lety +1

    Kwann wewe ni wanaume

  • @jhecfoundationtanzania2891

    Huyu jamaaa huwa namshituka sana,Hana dalili hata za kimasai

  • @noahlarapho3411
    @noahlarapho3411 Před 2 lety +2

    Hameni tu wenzangu serikali na mkono yao refu moto wa kuotea mbali wamasai wenzangu!

  • @manfrednguyu7993
    @manfrednguyu7993 Před 2 lety

    HUYU dog wa miaka 32 sio mmasai kabisa

  • @emmanuelsaiko5716
    @emmanuelsaiko5716 Před 2 lety +1

    Mnawahoji watu walewale kila siku

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 2 lety

    .

  • @emmanuelsaiko5716
    @emmanuelsaiko5716 Před 2 lety +1

    Vyombo vya habari wako biased sana
    Enendeni mkawahoji watu wengine maana hawa tumeshawajua mwelekeo wao
    Muwatafute malaigwanani na wengine tofauti na hawa.
    Hawa mmewahoji sana karibu miezi mingi sana

  • @gwantwamwalyaje8515
    @gwantwamwalyaje8515 Před 3 dny +1

    Ninyi Ni Waongo Sana Serekali