Wewe ni mwandishi gani unaandika habari za mazuri tu mabaya uandiki watu wamepigwa wameumizwa ngorongoro uko uandiki uosio uzalendo ni ushabiki maandazi
Haya maneno si ya leo, ni ya zaidi ya miaka miwili iliyopita. Sasa matokeo ya walioenda kule yakoje? Wewe Millard Ayo ni mmeru wa Arusha kafanye utafiti wa wale waliokwenda kule maisha yao yakoje. Watu hawa wanaoongea inasemekana ni mapandikizi. Hati miliki vipi wakati hayo maeneo ni ya wamasai ya asili. Fanyeni mipango ya matumizi bora ya ardhi muainishe maeneo ya hifadhi na yale ya wananchi bila kuwaonea!!!
The last guy is not a masai tusidanganyane ? Mbona wote wanaohama maana hawajaanza leo? Wala jana ? Since March tunaambiwa watu wamasai kadhaaa ?sijui mia ? Mara wamasai 80 swali ni mbona hatuoni ngombe wala mbuzi zikiamishwa? Nasemaje ? Mnaowaona mitandaoni kusema wanahama? Wapo teyari?? Hawatoki ndani ya hifadhi? Not real masai ? Watu wanatumia fursa tu my friend
Vyombo vya habari wako biased sana Enendeni mkawahoji watu wengine maana hawa tumeshawajua mwelekeo wao Muwatafute malaigwanani na wengine tofauti na hawa. Hawa mmewahoji sana karibu miezi mingi sana
Ninyi Ni Waongo Sana Serekali
Sijamuona mmasai ndindindi hapo hao ni michongo mitupu
Namkubali huu father sana mama upo sahihi 🙏🙏🙏💪
Sirikali yenu hii😃, tunasubiri kuandika news zingine in a short while 😆🚶♂️🚶♂️🚶♀️🚶♀️
Wewe ni mwandishi gani unaandika habari za mazuri tu mabaya uandiki watu wamepigwa wameumizwa ngorongoro uko uandiki uosio uzalendo ni ushabiki maandazi
Shida wanasiasa wameingia huko kupotosha wamasai
Wamasai jieleweni
HONGERA MAMA SAMIA SULUHU HASAN
HAKIKA HUNA MPINZANI!
UNATISHA MNO,
UNAUPIGA MWINGI
WAPINZANI WATASUBIRI SAAANA!!
Mzee uko vizuri kwanza unajieleza vizuri inapaswa kua kiongozi ktk eneo lako
HUYU MAMA SIO MMSAI NI MCHAGA KAVAA TU KIMASAI
Mtihani kwakweli
Bass haya bakieni na umasai wenu
Wewe Ni Mmbwa Kabisa Hauna Maana
Haya maneno si ya leo, ni ya zaidi ya miaka miwili iliyopita. Sasa matokeo ya walioenda kule yakoje? Wewe Millard Ayo ni mmeru wa Arusha kafanye utafiti wa wale waliokwenda kule maisha yao yakoje. Watu hawa wanaoongea inasemekana ni mapandikizi. Hati miliki vipi wakati hayo maeneo ni ya wamasai ya asili. Fanyeni mipango ya matumizi bora ya ardhi muainishe maeneo ya hifadhi na yale ya wananchi bila kuwaonea!!!
YES
Ok
Sasa ni familia ngapi wanatakiwa kuondoka hao wanaojua kiswahili vizuri na wangapi kubaki
huyu father anafaa kuwa m/kiti wa kijiji
The masci has rights too
Kama watapewa kibali sehem nyngne itakuwa vizur Ila migogoro haishi nchi hii
Hata hapo watakapo pelekwa watajutia maisha yao yote.
Serikali inawajengea majumba Kwa sehemu watakayo pelekwa na serikali?
Serikali ijifunze kuwa na plani ya miaka 1000 ili kuepuka matatizo kama haya idadi ya watu inaongezeka na mabadiliko ya tabia nchi
umeongea kweli kaka
Kila mahali watu wanaongezeka
The last guy is not a masai tusidanganyane ? Mbona wote wanaohama maana hawajaanza leo? Wala jana ? Since March tunaambiwa watu wamasai kadhaaa ?sijui mia ? Mara wamasai 80 swali ni mbona hatuoni ngombe wala mbuzi zikiamishwa? Nasemaje ? Mnaowaona mitandaoni kusema wanahama? Wapo teyari?? Hawatoki ndani ya hifadhi? Not real masai ? Watu wanatumia fursa tu my friend
Wache ushonga mingi nyiye
Nyie kwani munakuwa wajinga jamani wamasai wenzangu
Wewe wa kofia sio Mpare wewe 😂🤣😆
@gsg international 😆😂🤣
Nahisi
Awahamishi kabila wanahamisha laia jaman muelewe hilo
Kwann wewe ni wanaume
Huyu jamaaa huwa namshituka sana,Hana dalili hata za kimasai
Hameni tu wenzangu serikali na mkono yao refu moto wa kuotea mbali wamasai wenzangu!
HUYU dog wa miaka 32 sio mmasai kabisa
Mnawahoji watu walewale kila siku
.
Vyombo vya habari wako biased sana
Enendeni mkawahoji watu wengine maana hawa tumeshawajua mwelekeo wao
Muwatafute malaigwanani na wengine tofauti na hawa.
Hawa mmewahoji sana karibu miezi mingi sana
Ninyi Ni Waongo Sana Serekali