Mnamjua raisi wenu ni mtu wa aina gani? Huku Zanzibar ni kawaida kunyanganya mali za wananchi wao, bara mnliona geni hakuna uongozi ni utawala wa kimabavu ndio uliopo juu R.I.P magu
Hongera alagwanani wa wamasai mungu akubariki. Yule mwarusha si laigwanani na wala hakuwa mkazi wa ngorongoro inashangaza serikali ni kwa jinsi gani wanaweza kuwalipa matapeli hela ili wajifanye ndo wahusika wakati ni wa masai wa monduli.
Kama wamasai wanaoifadhi wanyama kuliko wabantu wanadharauliwa Kwa kupea lisensi waarabu kuwinda wanyama ambao hao wamechunga ni Bora wawaue hao wanyama na ardhi iwe Yao
Waelewe kwamba mungu aliumba wanadamu na makazi yao wamasai ni wafugaji tangu asili tunawategemea sana kupata kitoweo msiwafanye wakimbizi dnani ya nchi yao
Mtazamo wangu ni kwamba kama taifa busara itumike na haki ipatikane kwa jamii husika. Mimi nashauri serikali kwakuwa kuna mapori mengi tengefu na mengine yamepoteza hadhi, wagawe kwa ajili ya wanangorongoro. Na wawajengee nyumba na miundombinu mingine.
Asimamie umoja na mtengamano alio uomba kwa Hangaya ni Mfalme wa Masai, Kuliko kuwaua ni bora haruhusu wasiwe watanzania na wabaki na eneo lao wajitegemee apo kwenye poli lao bila kuingiliwa, waishi kama walivyo zoea, Ili muweze kuwaweka katika kundi la wanyama na sio kuwafanyia unyama.
Mnamjua raisi wenu ni mtu wa aina gani? Huku Zanzibar ni kawaida kunyanganya mali za wananchi wao, bara mnliona geni hakuna uongozi ni utawala wa kimabavu ndio uliopo juu R.I.P magu
Asante sana watetezi tv kwakua pamoja na sisi wamasai wangorongoro 🤙🤙🤙
Hongera alagwanani wa wamasai mungu akubariki. Yule mwarusha si laigwanani na wala hakuwa mkazi wa ngorongoro inashangaza serikali ni kwa jinsi gani wanaweza kuwalipa matapeli hela ili wajifanye ndo wahusika wakati ni wa masai wa monduli.
Wanafikiri Wamasai hawajielewi. Mnamsimamo mzuri san.chukuen maua yenu.Mnajitambua kuwa ni haki yunu ya msingi.
mungu atusaidie sisi wamasai maana tunaonekana kama wanyama
Kama wamasai wanaoifadhi wanyama kuliko wabantu wanadharauliwa Kwa kupea lisensi waarabu kuwinda wanyama ambao hao wamechunga ni Bora wawaue hao wanyama na ardhi iwe Yao
Kiukwelii hilii Mh Waziri Mkuu wetu awe nalo makini litamvunjia heshima. Inaonesha hii Nchi nguvu ya wafanya biashara imerejea kwa kishindo...
Simamen imara wakikianzaisha la nahuku tunaliamsha la hamza tumeshachoka na uongoz wakijinga
Waelewe kwamba mungu aliumba wanadamu na makazi yao wamasai ni wafugaji tangu asili tunawategemea sana kupata kitoweo msiwafanye wakimbizi dnani ya nchi yao
Polenj Sana tabu imerudi
Chief Mkuu si ni Hangaya. Sasa hapa inabidi machifu wazungumze
22
Mtazamo wangu ni kwamba kama taifa busara itumike na haki ipatikane kwa jamii husika. Mimi nashauri serikali kwakuwa kuna mapori mengi tengefu na mengine yamepoteza hadhi, wagawe kwa ajili ya wanangorongoro. Na wawajengee nyumba na miundombinu mingine.
Huyumpambavu anaeshindwa,kutoamchango,wake,lakini,mpaka,amseme,nampendwa,wetu,jpm,mjingasana,kamawewe,,nimmojawamafisadi,pambana,nahaliyako
Matonyoko ekaje maha kanyoro olaigwanan
Hivi kweli leo kuna kiongozi anayeweza kuwa na huruma na mjakazi wake kweli? Kila nafsi itaonja mauti tuuuuuu.
Tanzania na rasilimali zako ni kwa ajili ya watanzania
Umoja ni nguvu,💪
Asimamie umoja na mtengamano alio uomba kwa Hangaya ni Mfalme wa Masai,
Kuliko kuwaua ni bora haruhusu wasiwe watanzania na wabaki na eneo lao wajitegemee apo kwenye poli lao bila kuingiliwa, waishi kama walivyo zoea,
Ili muweze kuwaweka katika kundi la wanyama na sio kuwafanyia unyama.
Semeni rais achaupotoshwaji
Nyie komaeeni Tu wamasai hamjawai kuniangusha
Acheni kunyanyasa wamasai