Tofauti zaibuka kati ya vyama vya walimu nchini kuhusu mgomo
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Tofauti zimeibuka kati ya vyama vikuu vya walimu nchini kuhusiana na mgomo wa walimu uliokuwa umetangazwa kuanza hapo kesho. Chama cha waalimu KNUT kimetangaza kusitisha mgomo, huku kile cha KUPPET kikisema mgomo huo ungalipo na walimu wake hawatarejea darasani. Na kama Brenda Wanga anavyoarifu, wizara ya elimu imesisitiza kuwa, masomo ya muhula wa tatu yataanza hapo kesho
Why don't these people think about parents who pay school fees even when they are on strike . They demand full school fees and yet children return back to school half way of the term . What about parents striking and refuse to send children back to school ,? What will they do ?? Considers others .
Yule Bwana Anasemaje Kuhusu Ile Style Ya Kutembea, Tubadilishe Au😅😅😅😅
Walimu wa primary school wanakaa hao watoto😅
Mgomo umeibua utata. Waalimu jueni kwamba ni watoto watakaoumia kukosa kuelimishwa.
Watu wako Biashara hapa 😁😂😂Hii Kenya kweli mnyonge ajinyonge............🤤
Professionals in Kenya are the most under paid but the politicians are eating with spoons squandering Kenyan taxes how they want...so for pay rise to happen teachers, doctors,nurses etc must call for strikes,a country with no priorities 😢
Knut has called off the strike before they see money in accounts?
Nonesence
These people should go for benchmarking from Genz's...hakuna kazi apa
Walikula mlingula wa pesa
Mimi niko biz hii nayo ni ganiii
😂😂😂😂😂😂
Broadbased😢
Useless
Knut ni wajinga