BREAKING:MAHAKAMA YAZUIA WAMASAI KUONDOLEWA NGORONGORO YAPIGA STOP TANGAZO LA SERIKALI KUFUTA VIJIJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 364

  • @richofficial9860
    @richofficial9860 Před 21 dnem +81

    Mungu amlinde huyo Jaji kwa kusimamia haki.

    • @faustinedeogratias4337
      @faustinedeogratias4337 Před 21 dnem +9

      Mwambukusi ndo kawasanua

    • @theflyingpot-ur1bf
      @theflyingpot-ur1bf Před 20 dny +3

      Ndio sababu ya kutaka upinzani uwepo katka nchi lkn kuendelea na ssem n kuiangamiza hii nchi

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před 20 dny

      Haki gani.
      We unataka wanyama wakaishi wapi?.

    • @Shalom803
      @Shalom803 Před 20 dny +3

      Jaji Uhai wako ufichwe pamoja na Kristo katika Mungu Jehovah. Ulilofanya siyo maamuzi ya nchi hii. Barikiwa sana❤❤

    • @bili-films
      @bili-films Před 20 dny +2

      Safi sana na Hongera kwa Mwabukusi TLS president

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd Před 21 dnem +34

    Asante Mungu kumbe bado una watu wenye hofu yako

  • @HeriKilatu
    @HeriKilatu Před 21 dnem +35

    Mungu aendelee kukupa maisha marefu mh.jaji Kwa kutenda haki dhidi ya watu wake

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 Před 20 dny +6

    Asante TLS tumeanza kuona matunda yake bado tunasubiri wafiraji nao

  • @OfficialElishamaMulokozi
    @OfficialElishamaMulokozi Před 21 dnem +41

    Habari njema.Mahakama kuu ya tanzania

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 20 dny

      😂,,usiseme habari njema...maana Isaya Ole posi amekanusha kumtuma huyo wakili Njau na kumuita tapeli na tayari ana mpango wa kumfungulia mashtaka 😂😂😂😂

  • @salashtuyaiimollel1016
    @salashtuyaiimollel1016 Před 21 dnem +31

    Hongera sana mumgu amejibu maombi ya wana Ngorongoro

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 Před 21 dnem +1

      Mahakama imesitisha Ili kuangalia kama Sheria zimefiatwa. Na Mungu msimuingize kwenye ushenzi wenu

    • @rkcomercialenterprises3209
      @rkcomercialenterprises3209 Před 21 dnem +1

      Mshenzi ni wewe, Mungu hakukosea uumbaji wake juu ya wamasai na akawaweka pale

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 Před 21 dnem +1

      Huyo NAE mrundi akae mbali na mambo Yetu wa TZ msheni ni yeye aliyetoka kwao akaja kuomba hifadhi kwetuakome kututukana kwenye ardhi Yetu Koma😮

    • @dannypeter4951
      @dannypeter4951 Před 21 dnem +2

      Asante mungu Kwa hatuna hii nzuri

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf Před 21 dnem +1

      Jaji mwenda ibariki we sanaaa

  • @User255tv
    @User255tv Před 21 dnem +8

    Fear of God! Big up Hon. Judge.

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Před 21 dnem +42

    Anayeitesa Tanzania Namtuma Malaika wa kifo aingie kazini usiku huu kama alivyopingwa farao apingwe na Mungu Mapingo makubwa

    • @verdianabanabi2205
      @verdianabanabi2205 Před 21 dnem +3

      Eamina mungu amtoe roho.

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr Před 21 dnem +2

      Unamtuma 😂😂😂 hakuna hiyo kitu achaporojo.

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 Před 21 dnem

      @@AlhajiIssa-jb9hr farao alikuwa na moyo Mgumu na kupingwa mapingo kumi na moja Pingo la Mwisho Damu ya kafara ya kondoo zilipakwa milango kwa nje kwenye madishi kwa nje usiku Kuna Malaika wa kifo toka binguni akukuta nyumba yeye Alamance damu haingii anapita Mpaka ndirisha la nyumba ya farao cha cha mtotowe Malaika wa kifo Fiaaaah kaua kesho Farao akasema ondokeni kwangu Ee Musaa Mwanangu Amekufaa Usichezee na Madhabahu ya Mungu Malaika wa kifo ashughulike watesaji

    • @lemeiyapapai1526
      @lemeiyapapai1526 Před 21 dnem +4

      ​@@AlhajiIssa-jb9hrmwache awatume bhana huwezi kujua😅😂😂

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr Před 21 dnem +1

      @@lemeiyapapai1526 Hahaha 🤣🤣🤣

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf Před 21 dnem +18

    Njau I love you sana for masai Ngorongoro❤

  • @Mjeda-q1m
    @Mjeda-q1m Před 21 dnem +21

    Jamani kama mmekula hela ya mtu huko ngorongoro kuhusu mbuga zetu ludisheni helazao ili wamasai wabaki salama

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka Před 20 dny +3

    Tunapenda mawakili mnaojitambua haki zawatanzania hongeren mawakili wote mlio lisimamia ishu yangorongoro

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 Před 21 dnem +44

    Huu ni Mwanzo mpya wa Tanzania Mpya

    • @danielthomasmsigwa31
      @danielthomasmsigwa31 Před 21 dnem +2

      Hali hii ipo nje ya maamuzi ya mtu, chunguza kinachojiri duniani mwombe Mungu tu kwa sasa

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 Před 20 dny +2

    Jajiiiiiiii❤❤❤❤ Mungu Baba Mkuu akufunike kwa damu ya Yesu wetu

  • @ZainabLol-wx7xf
    @ZainabLol-wx7xf Před 21 dnem +19

    MAHAKAMA OYEEE❤TUUMEANZA KUAMKA TANZANIA

  • @Ezeqsweya1116
    @Ezeqsweya1116 Před 21 dnem +13

    Hahhaha,hii mbona ni akili ndogo tuu
    Wameogopa😂 TLS TLS ...WE TRUST YOU

  • @ibrahimnzolowela3196
    @ibrahimnzolowela3196 Před 21 dnem +21

    Habari njema ndani ya mioyo ya wapendao wema!

  • @PasakaNicholas-wm5mn
    @PasakaNicholas-wm5mn Před 21 dnem +12

    Hongera Oleposi hongera Mh Njau! Mungu awalinde

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 20 dny

      😂😂😂,..Isaya Ole Posi amekanusha kumtuma huyo wakili Njau...au hujasikia???

  • @nicodemusjohn6474
    @nicodemusjohn6474 Před 21 dnem +5

    Viva Mwambukusi

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 20 dny +4

    Asante mwabukusi, nchi hii kuna wanaojifanya yao pekee na kuwaona waarabu ni muhimu kuliko wazawa

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 Před 20 dny

      😂,,Tulia wacha ushabiki si umesikia kuwa zuio lililowekwa ni kwa muda...maana hakuna raia wa Tanzania anaemiliki arddhi katiba inasema ardhi ni mali ya serikali chini ya rais...wote tunamiliki ardhi kama wapangaji tu... serikali inapotaka kubadili matumizi ya ardhi ina haki wakati wowote ule tofauti na kama ilivyo nchini kenya

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 20 dny +3

    Asante Mungu wetu amesikia vilio vyetu na maombi yetu.
    Asante Wakili
    Asante jaji
    Asante TLS
    Anante Mwabukusi
    Asante mawakili wetu watetezi wa Tanzania yetu na watu wake na maliasili zetu

  • @SabatoMusa
    @SabatoMusa Před 21 dnem +9

    Nakupa. Maua Yako kwakusimamia haki🎉

  • @IsmaelRamole
    @IsmaelRamole Před 20 dny +1

    Huyu wakili ashindwagi kesi...KAZI nzuri wakili.

  • @neemamatey
    @neemamatey Před 21 dnem +8

    Ongera peter umefanya kaz nzuri

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd Před 20 dny +1

    mungu ibariki tz mungu ibariki Africa, Ata Giza riwe kubwa kiasi Gani, abuhi itafika, tusiogope tuamini tu.

  • @user-fl3oh7eq8v
    @user-fl3oh7eq8v Před 21 dnem +2

    Halleluya halleluya halleluya Asante Yesu kwa kusikiliza wamasai.

  • @fxmeddy9567
    @fxmeddy9567 Před 21 dnem +11

    Hii ndio TLS tuliyokuwa tunataka

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před 21 dnem +1

      We are starting to see the relevance of TLS

    • @silasmarandu1485
      @silasmarandu1485 Před 21 dnem +1

      Section (4)
      Kama vile namuona mh. Kajujumele Mwabukusi 😂😂

    • @MawazoMofu
      @MawazoMofu Před 20 dny

      ​@@silasmarandu1485🙏🙏🙏

  • @jamesloshilunye414
    @jamesloshilunye414 Před 20 dny +2

    Mungu mkubwa sana,, naamin hawa waarabu watarudi kwao ,,kama wanapendwa sana wakakatiwe ardhi Zanzibar

  • @AdamNdojeti
    @AdamNdojeti Před 21 dnem +6

    Mungu akulinde sana mwabukusi na mie binafsi nakuombea kwa Mungu akulinde na wenye hila mbaya nawe

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 Před 20 dny +1

    Daaih kweli mungu amtupi moja wake Asante Sana jaji

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 20 dny +2

    Kwani tamisemi inaongozwa na nani? Iko chini ya wizara au wazirii gani?

  • @jacksonbarnaba9088
    @jacksonbarnaba9088 Před 21 dnem +2

    Hatimaye leo nimefarijika kuona mahakama imefanya kazi yake bila kuingiliwa, bila kuhofia aliyetoa tangazo la kufuta baadhi ya vijiji . Mmesimama km mhimili usioingiliwa. Pongezi kwenu🙏🙏🙏

  • @LekuleKipuyo-gk4rq
    @LekuleKipuyo-gk4rq Před 20 dny +1

    Safi kabisa mahakama tendeni haki hiyo kwa jamiii hakuwa haki watanzani tumwuogope mungu sana

  • @AliphonceMartina
    @AliphonceMartina Před 21 dnem +5

    Furaha yangu sasa ni kuona habari hii

  • @user-oy9bq5pf7n
    @user-oy9bq5pf7n Před 21 dnem +8

    Muungano ukivunjwa ndio salama ya ARIDHI ya watakanyika viongozi KUTOKA zanzibar wanauza kubinavisisha ARIDHI ya watakanyika,katiba ibidilishwe ilinde masilahi wa watanganyika au muungano uvunjwe

  • @sositenesssabuni2480
    @sositenesssabuni2480 Před 21 dnem +3

    Tunashukuru mwabukusi kuwa raisi wa wanasheria tunaona haki inaanza kutendeka.

  • @Gavi_255
    @Gavi_255 Před 20 dny +1

    Mungu ibariki Tanzania

  • @navioma4882
    @navioma4882 Před 20 dny +1

    Kwani mbona tunateseka na nchi yetu🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭

  • @nashonjoel20
    @nashonjoel20 Před 21 dnem +2

    Mungu Awabariki kwa kusimamia HAKI dhidi ya Wakazi wa Ngorongoro. Haki Huinua Taifa

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před 21 dnem +2

    Jaji mungu akulinde

  • @ThobiasMapunda-s9g
    @ThobiasMapunda-s9g Před 21 dnem +1

    hongela kwa kazi nzuri jaji njau mungu akulinde

  • @silasmarandu1485
    @silasmarandu1485 Před 21 dnem +2

    Mzee wa section (4) 😂😂
    Haki itainua Taifa lazima Mwabukusi chini ya uongozi wako lazima hata majaji wanyooshe mambo 😮😮no corner corner

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy Před 21 dnem +4

    Mungu saidia hawaviumbe wenzetu waendelee kuishi maeneoyao wanataka kuchukua mabepali kwanjaa zao kamahao hawafi we are passing in the world

  • @justinelukumay5308
    @justinelukumay5308 Před 21 dnem +2

    Mungu naomba uwalinde wamasai waendeleze uhifadhi wa Ngorongoro

  • @user-fc3og1eo3x
    @user-fc3og1eo3x Před 21 dnem +1

    Ahsante Sana Rais wa TLS mwabukusi kwa hoja nzito za kupinga kuondolewa wamasai ngorongoro

  • @user-ec7us6vf6w
    @user-ec7us6vf6w Před 21 dnem +9

    Kwa Wamasai LAZMA SERIKALI itulie ww hao jamaa Waacheni mh

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats Před 21 dnem +5

    MWAMBIE CHURA DAWA YAKE INAKUJA. MUNGU HSDHIHAKIWI.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 21 dnem +12

    Haki huinua taifa. Mungu akulinde Judge

  • @AmenMushi-j2j
    @AmenMushi-j2j Před 21 dnem +12

    Mabukusi Mungu akutunze hongera sana miaka 3

  • @DanielOlodupo
    @DanielOlodupo Před 21 dnem +1

    Mungu awabariki wote waliofanikisha hili pongezi kubwa Kwa TLS hakika sisi wanangorongoro tutazidi kuwashukuru na kuwaombea Watetezi wote wa taifa letu 🙏🙏🙏

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 Před 21 dnem +3

    Mungu simamia Tz yetu.

  • @madaiincubationcenter4947
    @madaiincubationcenter4947 Před 21 dnem +4

    Hawa viongozi hawaangalii maslahi ya wananchi wanaowaongoza wanajali vitu vingine mbali na wananchi

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před 20 dny +1

    Ila serikali muwe na mawazo chanya hao watu zaid ya 300 wataenda wapi du na nchi ni watu sasa kama hamuwaongozi watu waliowachuguwa muwaongoze ndio mnawafanyia hivi sasa mtaongoza kitu gani?

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 Před 21 dnem +2

    Kwakupitia hii kunamkoni wakiongozi,mbona mnatesa watanzania kwaajili yawawekezaji,mnajichumia laana Bure tu,.

  • @JosephMollel-t6e
    @JosephMollel-t6e Před 21 dnem +3

    Mungu awalinde sana mawakili kama Hawa wanaojua ubinadamu Ni Nini

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před 21 dnem +1

    Wasitolewe kabisa kwsbb wazungu,watalii hua wanapenda kukaa kwenye maboma ya wa masai picha nk ni utalii pia Allah atusaidie KWANZA

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před 20 dny +1

    Mungu atusaidie taifa letu tuwe salama na mikono ya wanyonyaji na wakoloni mamboleo kwaajili ya vizazi VYETU.

  • @JuhudiJotham
    @JuhudiJotham Před 21 dnem

    Asante wakili Njau pamoja na jaji ulotengua Amri ya kufuta vijiji na kuwaondoa,

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 Před 20 dny

    Wazo la leo,,
    Zanzibar ni mji wa kitalii
    Wanainchi wote wapishe ili kuboresha sekta ya utalii.

  • @wegesawaryoba3316
    @wegesawaryoba3316 Před 21 dnem +1

    Mama yangu Tanzania😢😢, Asante kwa ajili ya watoto wako.

  • @JosephOlenjoro
    @JosephOlenjoro Před 20 dny

    Kweli tunapenda kukufatilia mambo zako ila hili ya ngorongoro unatudanganya sana kwa hili sio poa kwa kweli hatujui hili

  • @MwanahamisiHashim
    @MwanahamisiHashim Před 18 dny +1

    Tumuombee jaji maana kasimamia haki

  • @ga2revocatus91
    @ga2revocatus91 Před 21 dnem +1

    Mwabukusi oyeeeee😂😂❤❤❤

  • @ImmasaiguranKivuyo
    @ImmasaiguranKivuyo Před 20 dny

    Mungu akupe maisha marefu sana

  • @user-hf7ld6nn1r
    @user-hf7ld6nn1r Před 21 dnem +2

    Asante mungu,barikiwa wakili.

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 Před 20 dny

    Mungu aibue wengi kama Njau idara zote za serikali.Maaana nchi hi inaendeshwa bila kufuata Sheria sasa.Wanatamani Sheria au katiba ya nchi zisiwepo ila wafanye wanavyotaka.Hawa watakuja kusababisha vurugu nchi hii sababu ya maamuzi ya kipuuzi kama hayo.

  • @castorymhonjwaj2469
    @castorymhonjwaj2469 Před 20 dny

    Wanaowafutie wenzao vijiji mungu awepe adhabu Yao wanaroho mbaya

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 21 dnem

    Asante mungu kwa uonekano wako. Pili asante jaji kwa utu wako. ? Wanataka watu wa mungu waende wapi? Yaani huzi kazi mtu unakuwa kama mnyama.

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Před 21 dnem +3

    MUNGU ibarki Tanzania PAMOJA wamasai . Mdharau kwao ni mtumwa.

  • @akimAkimuWA-m3t
    @akimAkimuWA-m3t Před 20 dny

    wooote wanaowatesa watanzania mungu nyookanao wachukue

  • @EmmanuelErnest-xd1rc
    @EmmanuelErnest-xd1rc Před 20 dny

    Mungu akupe sawabu sako

  • @unjuusalvatory5331
    @unjuusalvatory5331 Před 20 dny

    That's great approach ila shida ni kwamba je serikali itatii hilo zuio la mahakama? Cuz huku kwetu serikali kuu huwanga haisikilizi mtu ni kila kitu nguvu tu

  • @imanimahundi8293
    @imanimahundi8293 Před 20 dny

    Kama mpira WA miguu,ni timu Moja inaongoza Dakika 90 bado.

  • @justusndyamukama4808
    @justusndyamukama4808 Před 19 dny

    Mwenendo mzima wa kesi hii unapaswa kuchunguzwa kwa kina.

  • @GerrardLaizzer
    @GerrardLaizzer Před 19 dny

    Jaman tuwasomeshe watoto maana daa usipo kuwa na elimu utaonewa sana

  • @franksiame8441
    @franksiame8441 Před 21 dnem

    WaLudishieni walabu hela zao tamaa mbaya munauza hadi ndugu zenu vibaraka watiifu wa mabeberu aibu kubwa hamuliziki jamii ya Wamasai ndio nembo ya taifa letu leo munaisambalatisha shem on you

  • @emmanueliman7408
    @emmanueliman7408 Před 20 dny

    Bwana atukuzwe sana,haki imetendeka waziri alietoa agizo hilo achukuliwe hatua,kwani yeye anaishi angani?

  • @YangaNews
    @YangaNews Před 20 dny

    Yaani sahz mbona mambo ya watawala yanagoma yote 😂😂😂

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před 21 dnem +3

    Asante Mungu.

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel3380 Před 20 dny

    Tunataka mahakama itende haki isiingiliwe na mtu yeyote , huyo jaji Mungu ambariki sana .

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 21 dnem +2

    Jaji hatopewa cheo tena,mwisho wake ni ujaji, hiyo ndiyo aibu ya serkali

  • @Innocentnyika-ml5tr
    @Innocentnyika-ml5tr Před 21 dnem +3

    Nchi yangu Leo sisi ni wa kuanza kudanganyana

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před 21 dnem

    Mungu azidi kuwatunza na kuwajalia afya njema...kazi iendelee.

  • @ramadhanishabani1738
    @ramadhanishabani1738 Před 21 dnem +2

    Wamasai walitaka kuandamana kesho..wameona kuwa kesho kungewaka huko mbugani

  • @marieconnect6389
    @marieconnect6389 Před 20 dny

    Asante ee Mungu baba yangu wa mbinguni. Umeenda na tunajua utaebdelea kutenda

  • @hellenshayo3454
    @hellenshayo3454 Před 20 dny

    Hongera sana mdogo wangu Njau uko vizuri nakuaminia

  • @EliasMoyo-g3p
    @EliasMoyo-g3p Před 16 dny

    Jaji sema ukweli na mungu atakulinda watetee wamasai maan watu wengi wanapenda juwaonea wamasaai wakidhani awana akili ya kutosha basi wamasaai wako vizuri kiakili ni kwamba awapendi shari ni watu walioumbwa wakipenda amani

  • @petercley6230
    @petercley6230 Před 20 dny

    Kazi nzuri Wakili, …ila sio amri hile, ni amri ile😂

  • @ColethaaTsere
    @ColethaaTsere Před 21 dnem +3

    munguu ni mwemaaaa

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 Před 20 dny

    Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeni , hii ni salamu tu. Serikali isipojirekebisha kwenye mambo ambayo wananchi wamekuwa wakiyalalamikia na yanawaumiza ndani kwa ndani. Ujumbe utakaotumwa ni mkubwa . Serikali sio ya wachache , hata sisi watu wa chini tufaidi nchi yetu jamani , wenye navyo wanazidi kujilimbikia ili hali tunaishi maisha mabaya mno. Wamasai hoyeeee nimewapenda sana ,mmeandamana kwa amani na utulivu mkubwa , hiyo nimewasifu sana , kiongozi wa maandamano anapaswa apewe medali na kutunukiwa cheti cha Amani. Pia ni mfano wa kuigwa tunatuma ujumbe bila kuharibu chochote . Asanteni wajomba zangu

  • @EzekiaKwimba-l1h
    @EzekiaKwimba-l1h Před 20 dny

    😂😂😂😂jamani wamasai nao ni watu mbona kama wananyanyasika kana kwamba sio watanzania jaman

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 20 dny

    Mungu awalinde mnaosimamia haki

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 Před 19 dny

    Haya ,huyo ni wakili.
    Amechongwa na anaongea ksms kweli alifuatwa na mteja ole Posi ,ambae amekana kufungua shauri au kumjua!
    Kazi kwako rais (tls ) BAK mwmbks,inasomekaje kwa wakili kuchongwa na sirikali kwa lengo ovu kuonfoa uovu!

  • @DavidSemu-gu6wp
    @DavidSemu-gu6wp Před 17 dny

    How comes Kizimkazi wacheke Ngorongoro walie kwa kisingizio cha utalii ule ule ndani ya 'Muungano'.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 20 dny

    Dah pole Sana masai kwa hatua mnayopitia komaen hvo hvo had kieleweke

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4b Před 20 dny

    asante sana wamasai ngorongoro kwa kukataa kuon doka kwenu makao yetu ya milele kama jamii ya watanganyika poleni sana jamii yangu waambie hao walowezi wakome kuwaangaisha watanganyika na jamii ya maaa. Popote walio Tanganyika wenu ni simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu

  • @castorymhonjwaj2469
    @castorymhonjwaj2469 Před 20 dny

    Mahakama ibarikiwe sana

  • @khamisjohn7639
    @khamisjohn7639 Před 16 dny

    Acheni viini macho, mnasubiri Serikali imetoa msimamo wa kuwaacha wamasai na kuwapa huduma stahiki kwa agizo la Mh.Raisi then mnajifanya eti mahakama nanyi mnatoa amri ya kusimamisha amri hiyo........kwa nn mnatuona sisi wote kama watoto?

  • @user-yi8pe8zz1t
    @user-yi8pe8zz1t Před 14 dny

    Haa!kumbe bado Kuna watu Wema ambao MUNGU amejisazia,Mii nilikuwa nakuuliza sasa itakuwaje tutaenda wapi tukasikilizwe😢

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 20 dny

    Mungu ni mwema Kuna baadhi ya wanasheria wanatoa hukumu Kwa haki Tanzania ijayo itakuwa salama na safi. Tumechoka na Ccm hii

  • @RutaJuvent
    @RutaJuvent Před 20 dny

    Huyo mwanamke hamja mgundua,ametumwa kivunja mungano,Kuna mtaafu ndiye anae ratibu yote,madili yote,bandar,ardhi ngorongoro,misitu......