FUNZO KUTOKA KENYA: MABADILIKO YATAKUJA, KWA HERI AU KWA SHARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 06. 2024
  • Ruto amekiri kushindwa na nguvu ya wananchi. Lakini kiuongozi, ameshinda. Tafakari pamoja nami.
  • Hudba

Komentáře • 193

  • @lekishonmolele1859
    @lekishonmolele1859 Před 11 dny +21

    Safi sana bro umesema ukweli wasidhani wanaweza sana ni siku tu ndio bado na iko njiani inakuja 😊

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam Před 11 dny +15

    Chama CCM mupoooo?? Mauwa Kwa Ruto kwakujiheshimisha na kuiheshimisha kenya🎉🎉🎉❤❤❤

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 Před 11 dny +28

    MWALIMU WA WACHAMBUZI...SAFI SANA BROTHER ❤...I SALUTE YOU.

  • @AvenusiMponji
    @AvenusiMponji Před 11 dny +12

    🎉🎉🎉 unastaili ongera mzee wangu kwa unayo fanya kuhusu uchambuzi wako

  • @saviomlelwa
    @saviomlelwa Před 11 dny +5

    Big up and I salute you Kwa uchambuzi fasaha with the highest integrity.

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Před 11 dny +8

    Mda humekalibia Kenya hoyeeeeee

  • @bellaolum9768
    @bellaolum9768 Před 9 dny +3

    Someni katiba yenu vizuri muelewe rights ambazo inawapa. Alafu mtajua what to do next! 🇰🇪🇹🇿✊🏾🤝🏾

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 11 dny +12

    Kwa Watanzania hiyo bado sana, mbona uwekezaji wa bandari watu walipiga kelele lakini mwisho wa siku bunge likapitisha tena kwa mabango.

  • @kelvinsanula-in2km
    @kelvinsanula-in2km Před 11 dny +6

    They are taking Tanzanians not only for granted , but also for a ride!

    • @sketchbabu
      @sketchbabu Před 11 dny +2

      One would be ill advised to make the fatal mistake of taking any human being for granted.

  • @popod177
    @popod177 Před 11 dny +6

    Elimu,elimu,elimu....ndo mwanzo wakujitambua,.jua katiba yako inafaidi nn na inakulinda kiasi gani kama mwananchi,..inakuinua ama inakukandamiza...unasauti ama umekabwa koo...ikiwa hivyo basi ww huna tofauti na msukule,..upo upo tu..na haki za kinadamu dhidi ya polisi kunyanyasa wananchi...

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y Před 11 dny +10

    Mjomba watanzania hawauwezi mziki wa wakenya....

    • @sketchbabu
      @sketchbabu Před 11 dny +2

      Binadamu ni binadamu tu. Usiwe kama Ruto ukaja kushangazwa.

    • @hadjihadji197
      @hadjihadji197 Před 11 dny

      Zanzibar walifanya miaka zaidi ya 20 Viongozi wenye mlengo wa Kikatoliki dhidi ya Waislamu waliwaswaga hasa Kisiwa cha Pemba.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa Před 6 dny

      Mnapenda kuingiza udini hata kwenye mambo ambayo hayatakiwi kuweka dini,na ndiyo maana kila mnapokwenda lazima damu imwagike​@@hadjihadji197

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Před 11 dny +12

    Nimewavulia kofia wakenya wanajitambua

  • @user-pj5vi4qg4v
    @user-pj5vi4qg4v Před 11 dny +5

    Hawa wanadhani kwamba mambo ni madogo kwa sasa tumetulia yeye Bora aibe hela zetu za masomo Hadi hapa tupo nyumbani hatuendi shule kwa sababu ya karo wezi wameiteka nchi yetu lakini we shall stand up for our country

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 Před 11 dny +5

    Ngurumo wewe kweli ni Mwalimu nguli wa uchmbuzi tunakuombea uwe na maisha marefu Ili uwaambie hawa hata wasipofanya kututendea haki roho zao baada ya kukusikiliza hazitakuwa salama."Zitawasuta na kuwasmanga".

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před 11 dny +6

    Ni uamuzi mzuri aliofanya Raisi ruto.

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 Před 11 dny +6

    Wananchi wanahitaji kusikilizwa ..

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 Před 10 dny +3

    Kweli Ruto ametambua kwamba aliye juu mngojee chini.

  • @mgm412
    @mgm412 Před 11 dny +2

    Daima unaongea mambo ya maana matupu,tunakuaminiii..🎉🎉🎉

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 Před 11 dny +5

    Wakenya wanajutambua....
    🎉

    • @sketchbabu
      @sketchbabu Před 11 dny +2

      Hata Watanzania wanajitambua ila ni wavumilivu.

    • @hassanmadodi5396
      @hassanmadodi5396 Před 7 dny

      Wangejitambua wangeandamana kwa ajili ya mkate na unga?
      Si tushatoka huko tangu nyerere

  • @williamnyakasi2323
    @williamnyakasi2323 Před 11 dny +1

    Hongera Ngurumo

  • @Eldernicholas
    @Eldernicholas Před 10 dny

    Umejieleza vizuri sana ndugu. Mwanzo wa mabadiliko na mwelekeo mpya ni katiba mpya ambayo inaeleza kinaga ubaga majukumu ya viongozi na haki za raia wanaowaongoza. Haya mambo hachukua muda lakini yanawezekana. Mchakato wa kutupatia hii katiba tunayo Kenya ulichukua miaka kukamilika. Kama wakenya tunawatakia mema mkiwa jirani zetu. Kuanzia sasa na kwendelea mbele viongozi wetu watawajibika kwa hali ya juu hata zaidi.

  • @kombidin..2583
    @kombidin..2583 Před 11 dny +7

    Umejifunza nini kuhusu katiba "nzuri na mpya" ya Kenya? Kuhusu bunge
    la Kenya? Kuhusu "Reject the Bill" na baada ya (Ruto) kureject ikaja "Ruto must Go"? Kuhusu kuingiza KDF mitaani?

    • @gisthevictorperiod.9763
      @gisthevictorperiod.9763 Před 5 dny

      Naisubiria hiyo analysis kwa hamu, kuna somo kubwa ktka yote ulio yapanga hapo juu, kongole.

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Před 11 dny +2

    nikweli mzee wangu wame ona ipo siku nasi tuta yafanya kama kenya

  • @eliudkimari-wt5cl
    @eliudkimari-wt5cl Před 2 dny

    Nyie watz

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 Před 11 dny +6

    Bw Ngurumo hongera kwa ukweli,ipo siku Watanzania watanyanyuka hatakuwepo wa kuwazuia,Viongozi mliopo madarakani,wapeni HAKI Watanzania,msipo wapatia wataitafuta kwa nguvu,tusifikie huko,mara nyingi nguvu ina madhara yake,Mungu tuhurumie na tuepushe tusitumbukie kwenye janga.

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 11 dny +1

    Kwa Tanganyika bado sana na ni ngumu kutokea kama hilo la Kenya. Tulikuwa na maoni kupata Katiba mpya na hadi leo hakuna lolote ! Tulikuwa na kibano kwenye chaguzi 2020 na hakukuwa na uthubutu. Tumelalamika juu ya bandari hadi mahakamani na hakuna kilichofanyika ! Bila Katiba mpya na mahakama yenye nguvu hatutaweza kwa uchawa uliopo.

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq Před 11 dny +7

    Tanzania viongozi tieni maji. East African summer yaja. Walijifanya wajanja wengi. Mnasema Tanzania ni kisiwa cha amani lakini subirini watibuke muone kama watashikika.

  • @MohdHamad-zr8ll
    @MohdHamad-zr8ll Před 11 dny +2

    Amanimeamini kumbe Raia wakiamua wanaweza bilakutumia Silaha kweli umoja ninguvu

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda Před 9 dny

    Nakukubali sana mzee wangu

  • @Chipanjilo1518
    @Chipanjilo1518 Před 11 dny

    Well said🎉❤

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up Před 11 dny

    Asante sana Mr Ngurumo kwa uchambuzi makini. Tz sikio la kufa halisikii dawa. Ruto si sikio la kufa.

  • @nassibdoma5408
    @nassibdoma5408 Před 11 dny

    Safi sana mkuu wangu umetisha sana ❤❤

  • @dylankanyubi3700
    @dylankanyubi3700 Před 10 dny

    Asante kwa uchanganuzi huu.

  • @user-uq7kk4dw2o
    @user-uq7kk4dw2o Před 11 dny

    Sawa ❤❤❤❤

  • @melejijohnson3257
    @melejijohnson3257 Před 10 dny

    Kweli kabisa barikiwa

  • @nicolausminja689
    @nicolausminja689 Před 10 dny +2

    Nimekumbuka namna bunge la Tanzania lilivyo pitisha kwa nguvu ule mkataba wa DP would bila kujali kelele za wananchi.WANANCHI HAWAJASAHAU KIBURI CHAO.uchagu ujao watapata majibu.

  • @edgar3998
    @edgar3998 Před 8 dny +1

    Ukiisoma viziri katiba ya kenya utaelewa kwa nini mwananchi anayo nguvu kuandamana.
    Katiba ya Kenya inaruhusu mkenya kupasa sauti yake kwa kuandamana pale anapoona anaonewa na aliowapa zamana ya uongozi.
    Here is Article 37 of the Kenyan Constitution in Swahili:
    **Kifungu cha 37:**
    *Kila mtu ana haki, kwa amani na bila silaha, ya kukusanyika, kuandamana, kuandamana kwa amani na kuwasilisha maombi kwa mamlaka za umma.*

  • @elizabethgitau8825
    @elizabethgitau8825 Před dnem

    Hesitate kuu hiyo,mwenye sikio asikie .

  • @saidkijazi4228
    @saidkijazi4228 Před 5 dny

    Watumishi wa serkari Tz,,kikokotoo kinatusu nni ikiwa mtumishi ana maamuzi na pesayake huu ni msiba kwam kwa wTumshi serkalini tunalia kweli Bunge bunge.,wanancho wakaliwe tupomitaani tunaona nani anakula siagi namkate mungu anajua, , , ,,,.

  • @gideon546
    @gideon546 Před 10 dny

    🇹🇿➕️🇰🇪 BWANA UMESEMA UKWELI KABISA. 👏👋👏👋👏👋👏

  • @bahatikamihanda3689
    @bahatikamihanda3689 Před 11 dny +2

    Watanzania Bado sana kwasababu hata ukiangalia jinsi tunavyofanya chaguzi zetu,au tunavyo pokea miradi ya maendeleo hatuwezi kuhoji chochote maana tunaona ni hisani ya Mama au ya mbunge nk tumeaminishwa hivyo na tumerizika,tuko tayali kufanyiwa chochote na selikari hata kama tunapelekwa munadani. Lejea swara LA Bandari, Ngorongoro sukari na mgomo wa wafanya bihashara utaniambia hakuna lililo gusa hisia za wananchi? Utaniambia Watanzania hawataki vurugu ni sawa lkn utawajua vema wakati wa uchaguzi.Bado sana lbd kizazi hiki kipite!

    • @jeremiahblazio4781
      @jeremiahblazio4781 Před 11 dny

      Shida ya vijana wengi tz akili zao zinawaza mpira na kubeti ndo maana viongozi wanatumia fulsa hiyo kununua magoli ili kuendelea kuwapumbaza vijana na lingine Sheria au katiba mashuleni haifundishwi labda kwa anayetaka kuwa Hakim, mtendaji au mwanasheria ndo anasoma. Mi nadhani somo la Sheria lingeingizwa kwenye mtaala wa shule watu wangeamka.

    • @florencezawadi3784
      @florencezawadi3784 Před 11 dny

      ​@@jeremiahblazio4781kenya watoto huanza kufundishwa kuhusu katiba from class 4...ndio maan ruto aliposema yale yeke tumerudi mbio kwa katiba kuhakikisha anachosema kiko ama anatupumbaza akili....

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 11 dny +1

    👍✌️👊.

  • @marthaochieng1340
    @marthaochieng1340 Před 11 dny +2

    Spectators are the best players. You have no idea how Kenyans are suffering. Thank God for your country

  • @severamtungi7036
    @severamtungi7036 Před 11 dny

    Watanzania hatuna mbaya ila CCM ,hasa mama waangalie sana hao akina Mwigulu,Bashe,na January yaliyofanyika Kenya hayako mbali tumeshachoka sana nchi inaibiwaa sana viongozi mpo kimya

  • @januarysila1569
    @januarysila1569 Před 9 dny

    aisee

  • @peterlemusseemollel2434

    Hujawahi kusema uongo mwaandishi wangu

  • @sketchbabu
    @sketchbabu Před 11 dny +2

    Hii new Age of Aquarius imekuja na kasi yake. Tunakoelekea ni pazuri.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 11 dny +1

    Ngurumo kwa Watanzania hawawezi kufanya maandamano kama hayo watakufa kama kuku huku Mpina tu Moto unamuwakia kwa kusema ukweli

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552 Před 11 dny

    Kuna. Msemo. Unasema ukiota. Moto wa mjinga. Kuni zikiisha. Utaenda kuleta zingine zarau ni lakini ninge lijua. Ni umechelewa. Jamani sisi ninani atatupokea hapa pasipokalika. Nisawa watahama. Lakini watakuwa na uhuru kama kwao jiulizene mtafakari Mungu swaongoze. Ameen

  • @raymondodhiambo1552

    Ameķuwa akijipiga kifua kupitia wabunge wa upande wake. Pili amekuwa akishinikizwa na mataifa ya madola kututoza ushuru wa juu licha ya malalamiko ya wananchi. Tatu ahadi zake zimekuwa za uongo hìvyo kùzua ghadhabu....

  • @mutalemwajohanes-kx9dj

    Huko tutafika tu na muda sio mrefu , roho wa Mungu akiondoka TUTAONA YATAKAYOTOKEA

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Před 10 dny +2

    Umesahau DP world mkataba tuliukataa wakalazimisha! Mambo yote tunayakataa yanazidi kurundikana. DP world, Makodi ya ovyo, Shida ya internet, ufisadi, Uagizaji sukari unaoua viwanda na ajira zetu, mikopomikopo isiyoshirikisha risha ua wananchi. Na mengine yanazidisha hasira. Mwigulu ni sehemu ya tatizo

  • @tullymwamjengwa2557
    @tullymwamjengwa2557 Před 7 dny

    Vanessa secondary

  • @hellenbirithia4114
    @hellenbirithia4114 Před 9 dny

    Ukweli man from tz mumeona ata mkiwa mbali

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Před 11 dny +1

    Hakika una akili za kiungu Mr ngurumo

    • @seifserenge3340
      @seifserenge3340 Před 11 dny +2

      Hapa umekosea usimfananishe binadam na Mungu, msifu tu kwa maoni na mawazo yake

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 Před 11 dny

      @@seifserenge3340 tunapokua na hofu ya Mungu maana ake tunaongozwa na Mungu mwenyewe Kwahiyo ni Hekima itokayo juu .

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Před 8 dny

    Inasikitisha sana kuona samia anasema wananchi wanapotoa maoni yao yeye anajigeuza kuwa chura na kupuuzia maoni ya wananchi
    Kauli kama hiyo inaonyesha kabisa ni jinsi gani hajui uongozi ni nini
    Hopefully atakuwa amejifunza kitu toka Kenya

  • @valerieobanya5172
    @valerieobanya5172 Před 9 dny

    Thank you for following…stay tuned and watch the puppet go home

  • @rahabufilangali-cp6br

    Atakayebaki atasimulia watakaokuweko😢😢

  • @gilbertrutayuga4676
    @gilbertrutayuga4676 Před 11 dny +1

    Binafsi ambaye naweza kumsifu ni IGP na Jeshi la Polisi Kwa ujumla maana hata rais mwenyewe amesikika anamlaumu IG na kusema kuwa kulikuwa na tatizo la Komandi toka Kwa IG

  • @rockyrocki-fo4sl
    @rockyrocki-fo4sl Před 8 dny

    Baada ya mahojiano yake jana ikulu na wandishi wa habari,wakenya wamekasirikaa
    Jumanne raiya barabarani tena sasa sio reject finance bill, its ruto must gooo.Ruto hana bahatiii wakati huu..Naona akijiuzuluu

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Před 11 dny

    Mm mzanzibar naishi willaya yakati mkuu wa willaya sadifa vitendo vyako tumevichoka kiongoz Hana busara unatutesa tume choka tujifunze Kenya watu wakichoka watu wataandamana

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před 11 dny +1

    Viongozi wetu hawataki ushauri.

  • @rajabtunu6336
    @rajabtunu6336 Před 11 dny

    Umeelewavibaya hana namna ilibidi lazima ashuke hai

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj Před 10 dny

    Huu ndio mfumo wa uongozi wa watu.kwa maslahi ya watu na taifa.

  • @johakhimu.mgembe.3297
    @johakhimu.mgembe.3297 Před 11 dny

    Wapashe Wape Darasa.Wacuba Wana Msemo Usemao.Partia ,O muerte Para Vencermos. Uwe Vita Au kifo Tutashinda Tutafakari Maneno Yenye Hekhima.

  • @salimukimwaga-fu8cc
    @salimukimwaga-fu8cc Před 10 dny

    Wanasiasa machawa ndio wamekua na sauti kuliko wataalam hata Kwa yasioyajua Wala hawakuyasomea lakini sio mbali Kwa watanganyika

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j Před 10 dny

    Mmewekewa tuzo kwa simu sawa
    Bima ya afya wameondoa dawa ata calshiam upati ni panadol tuu kimya huku maji ayatoki mpaka kila baada ya wiki mbili
    Tunanua maji unit moja 15000 kwa gari . Tunamachungu mengi sana

  • @hellenbirithia4114
    @hellenbirithia4114 Před 9 dny

    Ruto ni kiongozi but saa hii amtayonabut after u will came to know

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Před 9 dny

    Viongoz wa Kenya hata kama wamekosea wanajielewa pale wananchi wanapokuja juu, ila Tanzania viongoz wetu hata kama wanakosea wanapenda wasifiwe, na hua wanalazimisha wanachotaka wao hata kama ni kibaya

  • @user-tx7vf1me4l
    @user-tx7vf1me4l Před 11 dny

    Tz tunasubiri siku,itakuja.

  • @rashidkihunga2938
    @rashidkihunga2938 Před 11 dny

    hata ukitaka kujenga bafu unahitaji kipimo ili usikosee tanzania kipimo kenya

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw Před 7 dny

    Ww nenda Kenya au Burundi au Congo kwani mnapenda kusema kuliko kutenda ww mwenyewe umefanya nn kila kukicha unajiona ww ndio mtu safi wacha swaga zako maisha yanatakiwa nikujituma kwa kufanya kazi.

    • @hassanmadodi5396
      @hassanmadodi5396 Před 7 dny

      Hana lolote, mambo yote hayo walioyafanya wakenya kwenye mabadiliko ya siasa, mbona mpaka kei wanaandamia kwa ajili ya mkate na unga.

    • @gjoe_official
      @gjoe_official Před dnem

      ​@@hassanmadodi5396train yourself to learn,don't be ignorant. Do your research and be informed what's going on in Kenya.. Not everytime tunaandamana chanzo chake ni njaa. Furthermore kuandamana ni haki yetu kikatiba. Learn to get your facts right.

  • @user-lm3lt7xx6l
    @user-lm3lt7xx6l Před 11 dny

    tanganyika woga wanamuachia lisu mana inekuwa risasi na mabomu yote kapigwa lisu.mm nimepima uchaguzi wa magu na alipopigwa lisu risasi km watanganyika mmeregea sisi wala urojo hatutaki masihara ktk kudai hak sasa nyie sijuw mnakula nn

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před 8 dny

    Hata arap moyoi alikuwa anaooteza watu ukiwa mkweli watu walimuogopa sana arap moyoi kupoteza watu lakini wakenya aliamka siku moja na kumbeambia arap moyoi Sasa basi ndio haya tunawakumbusha ccm na serekali yake ndio mnapolisi jeshi usalama wa taifa magereza vyote hivi mnavitumia kuwanyamazisha watanzania lakini Kuna siku itashindikanda

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506 Před 9 dny

    Unafanya kama unazungumza kihekima lakini gakuna ukweli wowote ktk usemavyo. Sio kushindwa alinyenyekea ili amani yawepo.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 9 dny

      Huo ndio msisitizo wangu. Nawaeleza Watanzania, Waganda, na jirani zetu wengine.

  • @johnwoshi3459
    @johnwoshi3459 Před 10 dny

    Tanzania hakuna ma sponsor wa kutoa hela hao wakenya walipata wafadhili wakawapa usafiri maji chakula ambulance na kadhalika

    • @bellaolum9768
      @bellaolum9768 Před 9 dny

      Hakuna sponsors, vijana walijitolea tu. Sisi ndio tunajua shida zetu, hamuwezi kuelewa unless uko kwa ground!

  • @wakwetu2444
    @wakwetu2444 Před 11 dny

    Weshatuumiza.

  • @samsonmwijage1869
    @samsonmwijage1869 Před 9 dny

    Taarifa za Msigwa wa chadema umezipata ?

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 10 dny +1

    Kaka wataele tena vibaya hasa tuliya COVID 19 mama atakuja kutueleza halima na wenzake waliokua na kazi Gani ipite hata miaka sisi si wajinga hatuna elimu wabunge wa darasa la saba watatoka mungu huyu charamira Bado wewe ni mdogo

  • @ogwellpeter7636
    @ogwellpeter7636 Před 9 dny

    Hakika haujui jinsi institutions za kenya hufanya kazi. Ruto hana mamlaka ya kupindukia kama Rais wa Tanzania, Uganda au inchi zingine Afrika. Ustarabu uliyo Kenya ni ya juu kiasi kwamba hatuchukui maagizo zisizolingana na sheria za inchi. Ruto angependa kutumia nguvu zaidi katika hali hii, lakini alishindwa tu

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před 9 dny

    RUTO ANATOA SADAKA KANISANI MILION2 KILA WIKI KWA MAASKOFU HALELUYA 😢😢😢😢😢

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 10 dny

    Ccm ya mafisadi endeleeni kutia pamba masikioni ila mjue wananchi wanahasira na nyie na wakati hauko mbali wananchi wataamua na mtakosa pakutokea,munatuona wajinga munajinufaisha wenyewe na resources za watanzania.Siku ipo inakuja

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 Před 10 dny

    Kila kukicha kuomba matatizo yatokee TZ 😲

  • @bahatihamissi1161
    @bahatihamissi1161 Před 8 dny

    Africa viongozi wote Wana ugonjwa unaofanana

  • @Ismail-db5oj
    @Ismail-db5oj Před 10 dny

    Huyu NimRongo Mkubwa!Ruto Anasema na mdomo na huku yuasuta kwa nyuma simutu ule

  • @OscarGare-wm7cz
    @OscarGare-wm7cz Před 7 dny

    Umeongea vizuri sana lakini hapa Kenya tunataka rais ajiuzulu Sasa.

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 7 dny

      Endeleeni kumbana. Nawaheshimu Wakenya kwa ujasiri wenu mnapotambua kuwa haki zenu zimeminywa. Mpo juu!

    • @OscarGare-wm7cz
      @OscarGare-wm7cz Před 7 dny

      @@AnsbertNgurumo huyu rais Huwa mrongo sana akiongea unafkiri ni malaika lakini ni mrongo sana. You can fool some people sometimes but not ol the times. Sisi vijana tumechoka naye na sasa tunataka aondoke. Unajuwa kuna level ya uongo lakini huyu rais amepitisha hio level.

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 Před 10 dny

    Sasa ndugu yangu heri ipo wapi vijana wamekufa hivyo?

  • @mkakatimaluhwago74
    @mkakatimaluhwago74 Před 10 dny

    Kwa upande mmoja hiyo ni point, lakini upande wa pili nyuma ya Gen Z kuna nani? Na ndani yake kuna nia njema? Hata hivyo Bunge la Tanzania lina mizaha sana.

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 8 dny

    ACHA KULINGANISHA KENYA NA NCHI YETU PENDWA TANZANIA VITU VIWILI TOFAUTI,IKUMBUKWE KUA KENYA KABLA MBILI TANZANIA HATUKO HIVYO.

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 Před 10 dny

    wakenya wako na katiba nzuri kwa sababu hiyo serikali ya ugatuzi imesaindia sana kila sehemu ya nchi tatisho ni wa mbunge ambao wakidhania upole wa wananchi ni unyonge😂 hawakujua yakuwa wakenya tunayua ndawa ya wazimu na madharau ni wazimu na madharau zaidi. ( kinyago tuliocho kichonga hakiwezi kutusumbua)

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 Před 7 dny +1

    Viogozi wa Kenya wanawapenda raia wao wabunge wa Kenya pia wanaandamana lakin tz mjadala wa bandar wabunge wajinga wanaunga mkono mkataba wa kijinga $ fk

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 10 dny

    Mahakama police imekua maduka ya kutuimbiya tunawajua Kwa majina wa napoishi jaji mkuu

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před 11 dny

    Mfanyabiashara na mlaji ni mme na mke ipo siku

  • @danielwetende5118
    @danielwetende5118 Před 9 dny

    Kwani unamtetea sisi wakenya tuko Kwa Barabara Tuesday 😅😅😅😅

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 9 dny +1

      Simtetei. Namlinganisha na jirani zake. Chungulia dirishani uwaone. Ruto ana udhaifu wake lakini kwa hatua hii ameonyesha upevu. Ana nafuu kubwa.

  • @user-my7fj6wn7y
    @user-my7fj6wn7y Před 11 dny

    Tangayika 2025 tusiisahai kenya

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Před 11 dny

    Kwachambuzi zako br.Ngurumo nashindwa nikupe zawadi Gani?

  • @wuodalego1
    @wuodalego1 Před 9 dny

    Bure kabisa

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Před 11 dny

    Je wapo viongozi wanajifunza hapa kwetu? Pengine kesho

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 Před 11 dny

    Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)

    • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
      @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to Před 9 dny

      Hongera sana kweli siku inakuja maana watu wamechoka. Kuna siku viongozi watakimbia nyumba zao kwa kuwa uvumilivu watu wanakuwa wamechoka sana usiwadharau watu wa chini kwa kuwa unaweza ubabe hata askari watakimbia muwe makini na vijana wasomi wanaelewa Kila jambo usione anachoma mishikaki au bidaboda viongozi vema kutafakari Kila jambo.

    • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
      @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to Před 9 dny

      Kenya walichoka ndiyo wakaamua hayo