Elimu,elimu,elimu....ndo mwanzo wakujitambua,.jua katiba yako inafaidi nn na inakulinda kiasi gani kama mwananchi,..inakuinua ama inakukandamiza...unasauti ama umekabwa koo...ikiwa hivyo basi ww huna tofauti na msukule,..upo upo tu..na haki za kinadamu dhidi ya polisi kunyanyasa wananchi...
Hawa wanadhani kwamba mambo ni madogo kwa sasa tumetulia yeye Bora aibe hela zetu za masomo Hadi hapa tupo nyumbani hatuendi shule kwa sababu ya karo wezi wameiteka nchi yetu lakini we shall stand up for our country
Ngurumo wewe kweli ni Mwalimu nguli wa uchmbuzi tunakuombea uwe na maisha marefu Ili uwaambie hawa hata wasipofanya kututendea haki roho zao baada ya kukusikiliza hazitakuwa salama."Zitawasuta na kuwasmanga".
Umejieleza vizuri sana ndugu. Mwanzo wa mabadiliko na mwelekeo mpya ni katiba mpya ambayo inaeleza kinaga ubaga majukumu ya viongozi na haki za raia wanaowaongoza. Haya mambo hachukua muda lakini yanawezekana. Mchakato wa kutupatia hii katiba tunayo Kenya ulichukua miaka kukamilika. Kama wakenya tunawatakia mema mkiwa jirani zetu. Kuanzia sasa na kwendelea mbele viongozi wetu watawajibika kwa hali ya juu hata zaidi.
Umejifunza nini kuhusu katiba "nzuri na mpya" ya Kenya? Kuhusu bunge la Kenya? Kuhusu "Reject the Bill" na baada ya (Ruto) kureject ikaja "Ruto must Go"? Kuhusu kuingiza KDF mitaani?
Bw Ngurumo hongera kwa ukweli,ipo siku Watanzania watanyanyuka hatakuwepo wa kuwazuia,Viongozi mliopo madarakani,wapeni HAKI Watanzania,msipo wapatia wataitafuta kwa nguvu,tusifikie huko,mara nyingi nguvu ina madhara yake,Mungu tuhurumie na tuepushe tusitumbukie kwenye janga.
Kwa Tanganyika bado sana na ni ngumu kutokea kama hilo la Kenya. Tulikuwa na maoni kupata Katiba mpya na hadi leo hakuna lolote ! Tulikuwa na kibano kwenye chaguzi 2020 na hakukuwa na uthubutu. Tumelalamika juu ya bandari hadi mahakamani na hakuna kilichofanyika ! Bila Katiba mpya na mahakama yenye nguvu hatutaweza kwa uchawa uliopo.
Tanzania viongozi tieni maji. East African summer yaja. Walijifanya wajanja wengi. Mnasema Tanzania ni kisiwa cha amani lakini subirini watibuke muone kama watashikika.
Nimekumbuka namna bunge la Tanzania lilivyo pitisha kwa nguvu ule mkataba wa DP would bila kujali kelele za wananchi.WANANCHI HAWAJASAHAU KIBURI CHAO.uchagu ujao watapata majibu.
Ukiisoma viziri katiba ya kenya utaelewa kwa nini mwananchi anayo nguvu kuandamana. Katiba ya Kenya inaruhusu mkenya kupasa sauti yake kwa kuandamana pale anapoona anaonewa na aliowapa zamana ya uongozi. Here is Article 37 of the Kenyan Constitution in Swahili: **Kifungu cha 37:** *Kila mtu ana haki, kwa amani na bila silaha, ya kukusanyika, kuandamana, kuandamana kwa amani na kuwasilisha maombi kwa mamlaka za umma.*
Watumishi wa serkari Tz,,kikokotoo kinatusu nni ikiwa mtumishi ana maamuzi na pesayake huu ni msiba kwam kwa wTumshi serkalini tunalia kweli Bunge bunge.,wanancho wakaliwe tupomitaani tunaona nani anakula siagi namkate mungu anajua, , , ,,,.
Watanzania Bado sana kwasababu hata ukiangalia jinsi tunavyofanya chaguzi zetu,au tunavyo pokea miradi ya maendeleo hatuwezi kuhoji chochote maana tunaona ni hisani ya Mama au ya mbunge nk tumeaminishwa hivyo na tumerizika,tuko tayali kufanyiwa chochote na selikari hata kama tunapelekwa munadani. Lejea swara LA Bandari, Ngorongoro sukari na mgomo wa wafanya bihashara utaniambia hakuna lililo gusa hisia za wananchi? Utaniambia Watanzania hawataki vurugu ni sawa lkn utawajua vema wakati wa uchaguzi.Bado sana lbd kizazi hiki kipite!
Shida ya vijana wengi tz akili zao zinawaza mpira na kubeti ndo maana viongozi wanatumia fulsa hiyo kununua magoli ili kuendelea kuwapumbaza vijana na lingine Sheria au katiba mashuleni haifundishwi labda kwa anayetaka kuwa Hakim, mtendaji au mwanasheria ndo anasoma. Mi nadhani somo la Sheria lingeingizwa kwenye mtaala wa shule watu wangeamka.
@@jeremiahblazio4781kenya watoto huanza kufundishwa kuhusu katiba from class 4...ndio maan ruto aliposema yale yeke tumerudi mbio kwa katiba kuhakikisha anachosema kiko ama anatupumbaza akili....
Watanzania hatuna mbaya ila CCM ,hasa mama waangalie sana hao akina Mwigulu,Bashe,na January yaliyofanyika Kenya hayako mbali tumeshachoka sana nchi inaibiwaa sana viongozi mpo kimya
Kuna. Msemo. Unasema ukiota. Moto wa mjinga. Kuni zikiisha. Utaenda kuleta zingine zarau ni lakini ninge lijua. Ni umechelewa. Jamani sisi ninani atatupokea hapa pasipokalika. Nisawa watahama. Lakini watakuwa na uhuru kama kwao jiulizene mtafakari Mungu swaongoze. Ameen
Ameķuwa akijipiga kifua kupitia wabunge wa upande wake. Pili amekuwa akishinikizwa na mataifa ya madola kututoza ushuru wa juu licha ya malalamiko ya wananchi. Tatu ahadi zake zimekuwa za uongo hìvyo kùzua ghadhabu....
Umesahau DP world mkataba tuliukataa wakalazimisha! Mambo yote tunayakataa yanazidi kurundikana. DP world, Makodi ya ovyo, Shida ya internet, ufisadi, Uagizaji sukari unaoua viwanda na ajira zetu, mikopomikopo isiyoshirikisha risha ua wananchi. Na mengine yanazidisha hasira. Mwigulu ni sehemu ya tatizo
Inasikitisha sana kuona samia anasema wananchi wanapotoa maoni yao yeye anajigeuza kuwa chura na kupuuzia maoni ya wananchi Kauli kama hiyo inaonyesha kabisa ni jinsi gani hajui uongozi ni nini Hopefully atakuwa amejifunza kitu toka Kenya
Binafsi ambaye naweza kumsifu ni IGP na Jeshi la Polisi Kwa ujumla maana hata rais mwenyewe amesikika anamlaumu IG na kusema kuwa kulikuwa na tatizo la Komandi toka Kwa IG
Baada ya mahojiano yake jana ikulu na wandishi wa habari,wakenya wamekasirikaa Jumanne raiya barabarani tena sasa sio reject finance bill, its ruto must gooo.Ruto hana bahatiii wakati huu..Naona akijiuzuluu
Mm mzanzibar naishi willaya yakati mkuu wa willaya sadifa vitendo vyako tumevichoka kiongoz Hana busara unatutesa tume choka tujifunze Kenya watu wakichoka watu wataandamana
Mmewekewa tuzo kwa simu sawa Bima ya afya wameondoa dawa ata calshiam upati ni panadol tuu kimya huku maji ayatoki mpaka kila baada ya wiki mbili Tunanua maji unit moja 15000 kwa gari . Tunamachungu mengi sana
Viongoz wa Kenya hata kama wamekosea wanajielewa pale wananchi wanapokuja juu, ila Tanzania viongoz wetu hata kama wanakosea wanapenda wasifiwe, na hua wanalazimisha wanachotaka wao hata kama ni kibaya
Ww nenda Kenya au Burundi au Congo kwani mnapenda kusema kuliko kutenda ww mwenyewe umefanya nn kila kukicha unajiona ww ndio mtu safi wacha swaga zako maisha yanatakiwa nikujituma kwa kufanya kazi.
@@hassanmadodi5396train yourself to learn,don't be ignorant. Do your research and be informed what's going on in Kenya.. Not everytime tunaandamana chanzo chake ni njaa. Furthermore kuandamana ni haki yetu kikatiba. Learn to get your facts right.
tanganyika woga wanamuachia lisu mana inekuwa risasi na mabomu yote kapigwa lisu.mm nimepima uchaguzi wa magu na alipopigwa lisu risasi km watanganyika mmeregea sisi wala urojo hatutaki masihara ktk kudai hak sasa nyie sijuw mnakula nn
Hata arap moyoi alikuwa anaooteza watu ukiwa mkweli watu walimuogopa sana arap moyoi kupoteza watu lakini wakenya aliamka siku moja na kumbeambia arap moyoi Sasa basi ndio haya tunawakumbusha ccm na serekali yake ndio mnapolisi jeshi usalama wa taifa magereza vyote hivi mnavitumia kuwanyamazisha watanzania lakini Kuna siku itashindikanda
Kaka wataele tena vibaya hasa tuliya COVID 19 mama atakuja kutueleza halima na wenzake waliokua na kazi Gani ipite hata miaka sisi si wajinga hatuna elimu wabunge wa darasa la saba watatoka mungu huyu charamira Bado wewe ni mdogo
Hakika haujui jinsi institutions za kenya hufanya kazi. Ruto hana mamlaka ya kupindukia kama Rais wa Tanzania, Uganda au inchi zingine Afrika. Ustarabu uliyo Kenya ni ya juu kiasi kwamba hatuchukui maagizo zisizolingana na sheria za inchi. Ruto angependa kutumia nguvu zaidi katika hali hii, lakini alishindwa tu
Ccm ya mafisadi endeleeni kutia pamba masikioni ila mjue wananchi wanahasira na nyie na wakati hauko mbali wananchi wataamua na mtakosa pakutokea,munatuona wajinga munajinufaisha wenyewe na resources za watanzania.Siku ipo inakuja
@@AnsbertNgurumo huyu rais Huwa mrongo sana akiongea unafkiri ni malaika lakini ni mrongo sana. You can fool some people sometimes but not ol the times. Sisi vijana tumechoka naye na sasa tunataka aondoke. Unajuwa kuna level ya uongo lakini huyu rais amepitisha hio level.
Kwa upande mmoja hiyo ni point, lakini upande wa pili nyuma ya Gen Z kuna nani? Na ndani yake kuna nia njema? Hata hivyo Bunge la Tanzania lina mizaha sana.
wakenya wako na katiba nzuri kwa sababu hiyo serikali ya ugatuzi imesaindia sana kila sehemu ya nchi tatisho ni wa mbunge ambao wakidhania upole wa wananchi ni unyonge😂 hawakujua yakuwa wakenya tunayua ndawa ya wazimu na madharau ni wazimu na madharau zaidi. ( kinyago tuliocho kichonga hakiwezi kutusumbua)
Viogozi wa Kenya wanawapenda raia wao wabunge wa Kenya pia wanaandamana lakin tz mjadala wa bandar wabunge wajinga wanaunga mkono mkataba wa kijinga $ fk
Hongera sana kweli siku inakuja maana watu wamechoka. Kuna siku viongozi watakimbia nyumba zao kwa kuwa uvumilivu watu wanakuwa wamechoka sana usiwadharau watu wa chini kwa kuwa unaweza ubabe hata askari watakimbia muwe makini na vijana wasomi wanaelewa Kila jambo usione anachoma mishikaki au bidaboda viongozi vema kutafakari Kila jambo.
Safi sana bro umesema ukweli wasidhani wanaweza sana ni siku tu ndio bado na iko njiani inakuja 😊
Chama CCM mupoooo?? Mauwa Kwa Ruto kwakujiheshimisha na kuiheshimisha kenya🎉🎉🎉❤❤❤
MWALIMU WA WACHAMBUZI...SAFI SANA BROTHER ❤...I SALUTE YOU.
🎉🎉🎉 unastaili ongera mzee wangu kwa unayo fanya kuhusu uchambuzi wako
Big up and I salute you Kwa uchambuzi fasaha with the highest integrity.
Mda humekalibia Kenya hoyeeeeee
Someni katiba yenu vizuri muelewe rights ambazo inawapa. Alafu mtajua what to do next! 🇰🇪🇹🇿✊🏾🤝🏾
Kwa Watanzania hiyo bado sana, mbona uwekezaji wa bandari watu walipiga kelele lakini mwisho wa siku bunge likapitisha tena kwa mabango.
Amesema iko siku
Binge lote nila CCM
Siku yaja Dp wataodoka, kwa kheri au kwa shari!!
They are taking Tanzanians not only for granted , but also for a ride!
One would be ill advised to make the fatal mistake of taking any human being for granted.
Elimu,elimu,elimu....ndo mwanzo wakujitambua,.jua katiba yako inafaidi nn na inakulinda kiasi gani kama mwananchi,..inakuinua ama inakukandamiza...unasauti ama umekabwa koo...ikiwa hivyo basi ww huna tofauti na msukule,..upo upo tu..na haki za kinadamu dhidi ya polisi kunyanyasa wananchi...
Mjomba watanzania hawauwezi mziki wa wakenya....
Binadamu ni binadamu tu. Usiwe kama Ruto ukaja kushangazwa.
Zanzibar walifanya miaka zaidi ya 20 Viongozi wenye mlengo wa Kikatoliki dhidi ya Waislamu waliwaswaga hasa Kisiwa cha Pemba.
Mnapenda kuingiza udini hata kwenye mambo ambayo hayatakiwi kuweka dini,na ndiyo maana kila mnapokwenda lazima damu imwagike@@hadjihadji197
Nimewavulia kofia wakenya wanajitambua
Nakusakama ule ubwabwa wa wabunge
😂😅 mkenya hapa
Hawa wanadhani kwamba mambo ni madogo kwa sasa tumetulia yeye Bora aibe hela zetu za masomo Hadi hapa tupo nyumbani hatuendi shule kwa sababu ya karo wezi wameiteka nchi yetu lakini we shall stand up for our country
Ngurumo wewe kweli ni Mwalimu nguli wa uchmbuzi tunakuombea uwe na maisha marefu Ili uwaambie hawa hata wasipofanya kututendea haki roho zao baada ya kukusikiliza hazitakuwa salama."Zitawasuta na kuwasmanga".
Ni uamuzi mzuri aliofanya Raisi ruto.
Kweli kabisa.
Wananchi wanahitaji kusikilizwa ..
Kweli Ruto ametambua kwamba aliye juu mngojee chini.
Daima unaongea mambo ya maana matupu,tunakuaminiii..🎉🎉🎉
Wakenya wanajutambua....
🎉
Hata Watanzania wanajitambua ila ni wavumilivu.
Wangejitambua wangeandamana kwa ajili ya mkate na unga?
Si tushatoka huko tangu nyerere
Hongera Ngurumo
Umejieleza vizuri sana ndugu. Mwanzo wa mabadiliko na mwelekeo mpya ni katiba mpya ambayo inaeleza kinaga ubaga majukumu ya viongozi na haki za raia wanaowaongoza. Haya mambo hachukua muda lakini yanawezekana. Mchakato wa kutupatia hii katiba tunayo Kenya ulichukua miaka kukamilika. Kama wakenya tunawatakia mema mkiwa jirani zetu. Kuanzia sasa na kwendelea mbele viongozi wetu watawajibika kwa hali ya juu hata zaidi.
Umejifunza nini kuhusu katiba "nzuri na mpya" ya Kenya? Kuhusu bunge
la Kenya? Kuhusu "Reject the Bill" na baada ya (Ruto) kureject ikaja "Ruto must Go"? Kuhusu kuingiza KDF mitaani?
Naisubiria hiyo analysis kwa hamu, kuna somo kubwa ktka yote ulio yapanga hapo juu, kongole.
nikweli mzee wangu wame ona ipo siku nasi tuta yafanya kama kenya
Nyie watz
Bw Ngurumo hongera kwa ukweli,ipo siku Watanzania watanyanyuka hatakuwepo wa kuwazuia,Viongozi mliopo madarakani,wapeni HAKI Watanzania,msipo wapatia wataitafuta kwa nguvu,tusifikie huko,mara nyingi nguvu ina madhara yake,Mungu tuhurumie na tuepushe tusitumbukie kwenye janga.
Unamaneno makali wewe
Kwa Tanganyika bado sana na ni ngumu kutokea kama hilo la Kenya. Tulikuwa na maoni kupata Katiba mpya na hadi leo hakuna lolote ! Tulikuwa na kibano kwenye chaguzi 2020 na hakukuwa na uthubutu. Tumelalamika juu ya bandari hadi mahakamani na hakuna kilichofanyika ! Bila Katiba mpya na mahakama yenye nguvu hatutaweza kwa uchawa uliopo.
Ukweli mchungu, big up sana Nganya Richard
Tanzania viongozi tieni maji. East African summer yaja. Walijifanya wajanja wengi. Mnasema Tanzania ni kisiwa cha amani lakini subirini watibuke muone kama watashikika.
Amanimeamini kumbe Raia wakiamua wanaweza bilakutumia Silaha kweli umoja ninguvu
Nakukubali sana mzee wangu
Well said🎉❤
Asante sana Mr Ngurumo kwa uchambuzi makini. Tz sikio la kufa halisikii dawa. Ruto si sikio la kufa.
Safi sana mkuu wangu umetisha sana ❤❤
Asante kwa uchanganuzi huu.
Sawa ❤❤❤❤
Kweli kabisa barikiwa
Nimekumbuka namna bunge la Tanzania lilivyo pitisha kwa nguvu ule mkataba wa DP would bila kujali kelele za wananchi.WANANCHI HAWAJASAHAU KIBURI CHAO.uchagu ujao watapata majibu.
Ukiisoma viziri katiba ya kenya utaelewa kwa nini mwananchi anayo nguvu kuandamana.
Katiba ya Kenya inaruhusu mkenya kupasa sauti yake kwa kuandamana pale anapoona anaonewa na aliowapa zamana ya uongozi.
Here is Article 37 of the Kenyan Constitution in Swahili:
**Kifungu cha 37:**
*Kila mtu ana haki, kwa amani na bila silaha, ya kukusanyika, kuandamana, kuandamana kwa amani na kuwasilisha maombi kwa mamlaka za umma.*
Hesitate kuu hiyo,mwenye sikio asikie .
Watumishi wa serkari Tz,,kikokotoo kinatusu nni ikiwa mtumishi ana maamuzi na pesayake huu ni msiba kwam kwa wTumshi serkalini tunalia kweli Bunge bunge.,wanancho wakaliwe tupomitaani tunaona nani anakula siagi namkate mungu anajua, , , ,,,.
🇹🇿➕️🇰🇪 BWANA UMESEMA UKWELI KABISA. 👏👋👏👋👏👋👏
Watanzania Bado sana kwasababu hata ukiangalia jinsi tunavyofanya chaguzi zetu,au tunavyo pokea miradi ya maendeleo hatuwezi kuhoji chochote maana tunaona ni hisani ya Mama au ya mbunge nk tumeaminishwa hivyo na tumerizika,tuko tayali kufanyiwa chochote na selikari hata kama tunapelekwa munadani. Lejea swara LA Bandari, Ngorongoro sukari na mgomo wa wafanya bihashara utaniambia hakuna lililo gusa hisia za wananchi? Utaniambia Watanzania hawataki vurugu ni sawa lkn utawajua vema wakati wa uchaguzi.Bado sana lbd kizazi hiki kipite!
Shida ya vijana wengi tz akili zao zinawaza mpira na kubeti ndo maana viongozi wanatumia fulsa hiyo kununua magoli ili kuendelea kuwapumbaza vijana na lingine Sheria au katiba mashuleni haifundishwi labda kwa anayetaka kuwa Hakim, mtendaji au mwanasheria ndo anasoma. Mi nadhani somo la Sheria lingeingizwa kwenye mtaala wa shule watu wangeamka.
@@jeremiahblazio4781kenya watoto huanza kufundishwa kuhusu katiba from class 4...ndio maan ruto aliposema yale yeke tumerudi mbio kwa katiba kuhakikisha anachosema kiko ama anatupumbaza akili....
👍✌️👊.
Spectators are the best players. You have no idea how Kenyans are suffering. Thank God for your country
Watanzania hatuna mbaya ila CCM ,hasa mama waangalie sana hao akina Mwigulu,Bashe,na January yaliyofanyika Kenya hayako mbali tumeshachoka sana nchi inaibiwaa sana viongozi mpo kimya
aisee
Hujawahi kusema uongo mwaandishi wangu
Hii new Age of Aquarius imekuja na kasi yake. Tunakoelekea ni pazuri.
Ngurumo kwa Watanzania hawawezi kufanya maandamano kama hayo watakufa kama kuku huku Mpina tu Moto unamuwakia kwa kusema ukweli
Kuna. Msemo. Unasema ukiota. Moto wa mjinga. Kuni zikiisha. Utaenda kuleta zingine zarau ni lakini ninge lijua. Ni umechelewa. Jamani sisi ninani atatupokea hapa pasipokalika. Nisawa watahama. Lakini watakuwa na uhuru kama kwao jiulizene mtafakari Mungu swaongoze. Ameen
Ameķuwa akijipiga kifua kupitia wabunge wa upande wake. Pili amekuwa akishinikizwa na mataifa ya madola kututoza ushuru wa juu licha ya malalamiko ya wananchi. Tatu ahadi zake zimekuwa za uongo hìvyo kùzua ghadhabu....
Huko tutafika tu na muda sio mrefu , roho wa Mungu akiondoka TUTAONA YATAKAYOTOKEA
Umesahau DP world mkataba tuliukataa wakalazimisha! Mambo yote tunayakataa yanazidi kurundikana. DP world, Makodi ya ovyo, Shida ya internet, ufisadi, Uagizaji sukari unaoua viwanda na ajira zetu, mikopomikopo isiyoshirikisha risha ua wananchi. Na mengine yanazidisha hasira. Mwigulu ni sehemu ya tatizo
Vanessa secondary
Ukweli man from tz mumeona ata mkiwa mbali
Hakika una akili za kiungu Mr ngurumo
Hapa umekosea usimfananishe binadam na Mungu, msifu tu kwa maoni na mawazo yake
@@seifserenge3340 tunapokua na hofu ya Mungu maana ake tunaongozwa na Mungu mwenyewe Kwahiyo ni Hekima itokayo juu .
Inasikitisha sana kuona samia anasema wananchi wanapotoa maoni yao yeye anajigeuza kuwa chura na kupuuzia maoni ya wananchi
Kauli kama hiyo inaonyesha kabisa ni jinsi gani hajui uongozi ni nini
Hopefully atakuwa amejifunza kitu toka Kenya
Thank you for following…stay tuned and watch the puppet go home
Atakayebaki atasimulia watakaokuweko😢😢
Binafsi ambaye naweza kumsifu ni IGP na Jeshi la Polisi Kwa ujumla maana hata rais mwenyewe amesikika anamlaumu IG na kusema kuwa kulikuwa na tatizo la Komandi toka Kwa IG
Baada ya mahojiano yake jana ikulu na wandishi wa habari,wakenya wamekasirikaa
Jumanne raiya barabarani tena sasa sio reject finance bill, its ruto must gooo.Ruto hana bahatiii wakati huu..Naona akijiuzuluu
Mm mzanzibar naishi willaya yakati mkuu wa willaya sadifa vitendo vyako tumevichoka kiongoz Hana busara unatutesa tume choka tujifunze Kenya watu wakichoka watu wataandamana
Anafany matendo gn
Viongozi wetu hawataki ushauri.
Umeelewavibaya hana namna ilibidi lazima ashuke hai
Huu ndio mfumo wa uongozi wa watu.kwa maslahi ya watu na taifa.
Wapashe Wape Darasa.Wacuba Wana Msemo Usemao.Partia ,O muerte Para Vencermos. Uwe Vita Au kifo Tutashinda Tutafakari Maneno Yenye Hekhima.
Wanasiasa machawa ndio wamekua na sauti kuliko wataalam hata Kwa yasioyajua Wala hawakuyasomea lakini sio mbali Kwa watanganyika
Mmewekewa tuzo kwa simu sawa
Bima ya afya wameondoa dawa ata calshiam upati ni panadol tuu kimya huku maji ayatoki mpaka kila baada ya wiki mbili
Tunanua maji unit moja 15000 kwa gari . Tunamachungu mengi sana
Ruto ni kiongozi but saa hii amtayonabut after u will came to know
Viongoz wa Kenya hata kama wamekosea wanajielewa pale wananchi wanapokuja juu, ila Tanzania viongoz wetu hata kama wanakosea wanapenda wasifiwe, na hua wanalazimisha wanachotaka wao hata kama ni kibaya
Tz tunasubiri siku,itakuja.
hata ukitaka kujenga bafu unahitaji kipimo ili usikosee tanzania kipimo kenya
7
Ww nenda Kenya au Burundi au Congo kwani mnapenda kusema kuliko kutenda ww mwenyewe umefanya nn kila kukicha unajiona ww ndio mtu safi wacha swaga zako maisha yanatakiwa nikujituma kwa kufanya kazi.
Hana lolote, mambo yote hayo walioyafanya wakenya kwenye mabadiliko ya siasa, mbona mpaka kei wanaandamia kwa ajili ya mkate na unga.
@@hassanmadodi5396train yourself to learn,don't be ignorant. Do your research and be informed what's going on in Kenya.. Not everytime tunaandamana chanzo chake ni njaa. Furthermore kuandamana ni haki yetu kikatiba. Learn to get your facts right.
tanganyika woga wanamuachia lisu mana inekuwa risasi na mabomu yote kapigwa lisu.mm nimepima uchaguzi wa magu na alipopigwa lisu risasi km watanganyika mmeregea sisi wala urojo hatutaki masihara ktk kudai hak sasa nyie sijuw mnakula nn
Hata arap moyoi alikuwa anaooteza watu ukiwa mkweli watu walimuogopa sana arap moyoi kupoteza watu lakini wakenya aliamka siku moja na kumbeambia arap moyoi Sasa basi ndio haya tunawakumbusha ccm na serekali yake ndio mnapolisi jeshi usalama wa taifa magereza vyote hivi mnavitumia kuwanyamazisha watanzania lakini Kuna siku itashindikanda
Unafanya kama unazungumza kihekima lakini gakuna ukweli wowote ktk usemavyo. Sio kushindwa alinyenyekea ili amani yawepo.
Huo ndio msisitizo wangu. Nawaeleza Watanzania, Waganda, na jirani zetu wengine.
Tanzania hakuna ma sponsor wa kutoa hela hao wakenya walipata wafadhili wakawapa usafiri maji chakula ambulance na kadhalika
Hakuna sponsors, vijana walijitolea tu. Sisi ndio tunajua shida zetu, hamuwezi kuelewa unless uko kwa ground!
Weshatuumiza.
Taarifa za Msigwa wa chadema umezipata ?
Kaka wataele tena vibaya hasa tuliya COVID 19 mama atakuja kutueleza halima na wenzake waliokua na kazi Gani ipite hata miaka sisi si wajinga hatuna elimu wabunge wa darasa la saba watatoka mungu huyu charamira Bado wewe ni mdogo
Hakika haujui jinsi institutions za kenya hufanya kazi. Ruto hana mamlaka ya kupindukia kama Rais wa Tanzania, Uganda au inchi zingine Afrika. Ustarabu uliyo Kenya ni ya juu kiasi kwamba hatuchukui maagizo zisizolingana na sheria za inchi. Ruto angependa kutumia nguvu zaidi katika hali hii, lakini alishindwa tu
RUTO ANATOA SADAKA KANISANI MILION2 KILA WIKI KWA MAASKOFU HALELUYA 😢😢😢😢😢
Ccm ya mafisadi endeleeni kutia pamba masikioni ila mjue wananchi wanahasira na nyie na wakati hauko mbali wananchi wataamua na mtakosa pakutokea,munatuona wajinga munajinufaisha wenyewe na resources za watanzania.Siku ipo inakuja
Kila kukicha kuomba matatizo yatokee TZ 😲
Africa viongozi wote Wana ugonjwa unaofanana
Huyu NimRongo Mkubwa!Ruto Anasema na mdomo na huku yuasuta kwa nyuma simutu ule
Umeongea vizuri sana lakini hapa Kenya tunataka rais ajiuzulu Sasa.
Endeleeni kumbana. Nawaheshimu Wakenya kwa ujasiri wenu mnapotambua kuwa haki zenu zimeminywa. Mpo juu!
@@AnsbertNgurumo huyu rais Huwa mrongo sana akiongea unafkiri ni malaika lakini ni mrongo sana. You can fool some people sometimes but not ol the times. Sisi vijana tumechoka naye na sasa tunataka aondoke. Unajuwa kuna level ya uongo lakini huyu rais amepitisha hio level.
Sasa ndugu yangu heri ipo wapi vijana wamekufa hivyo?
Kwa upande mmoja hiyo ni point, lakini upande wa pili nyuma ya Gen Z kuna nani? Na ndani yake kuna nia njema? Hata hivyo Bunge la Tanzania lina mizaha sana.
ACHA KULINGANISHA KENYA NA NCHI YETU PENDWA TANZANIA VITU VIWILI TOFAUTI,IKUMBUKWE KUA KENYA KABLA MBILI TANZANIA HATUKO HIVYO.
wakenya wako na katiba nzuri kwa sababu hiyo serikali ya ugatuzi imesaindia sana kila sehemu ya nchi tatisho ni wa mbunge ambao wakidhania upole wa wananchi ni unyonge😂 hawakujua yakuwa wakenya tunayua ndawa ya wazimu na madharau ni wazimu na madharau zaidi. ( kinyago tuliocho kichonga hakiwezi kutusumbua)
Viogozi wa Kenya wanawapenda raia wao wabunge wa Kenya pia wanaandamana lakin tz mjadala wa bandar wabunge wajinga wanaunga mkono mkataba wa kijinga $ fk
Mahakama police imekua maduka ya kutuimbiya tunawajua Kwa majina wa napoishi jaji mkuu
Mfanyabiashara na mlaji ni mme na mke ipo siku
Kwani unamtetea sisi wakenya tuko Kwa Barabara Tuesday 😅😅😅😅
Simtetei. Namlinganisha na jirani zake. Chungulia dirishani uwaone. Ruto ana udhaifu wake lakini kwa hatua hii ameonyesha upevu. Ana nafuu kubwa.
Tangayika 2025 tusiisahai kenya
Kwachambuzi zako br.Ngurumo nashindwa nikupe zawadi Gani?
Bure kabisa
Je wapo viongozi wanajifunza hapa kwetu? Pengine kesho
Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
Hongera sana kweli siku inakuja maana watu wamechoka. Kuna siku viongozi watakimbia nyumba zao kwa kuwa uvumilivu watu wanakuwa wamechoka sana usiwadharau watu wa chini kwa kuwa unaweza ubabe hata askari watakimbia muwe makini na vijana wasomi wanaelewa Kila jambo usione anachoma mishikaki au bidaboda viongozi vema kutafakari Kila jambo.
Kenya walichoka ndiyo wakaamua hayo