AYESAFIRI NA BEGI LENYE MILIONI 89 AINGIA KWENYE 18 ZA WAZIRI MKUU - WEKA NDANI HUYU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 02. 2024
  • Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
    MEDIA COVERAGE
    1.Goverment Events
    2.Social Events
    3.Documentary
    4.Live Streaming
    5.Zoom Meting
    6.Photo & Videograph
    BUSINESS ADVERTISEMENT
    #Hotel
    #Appartiment
    #Restaurant
    #Supermakert
    #Hall
    #Sallon
    #New Business
    PTINTING
    1.Banner
    2.Sticker & Flyers
    3.Brochures
    4.Business Card
    5.Graphics Design
    6.Logo Design
    7.Tshirt Printing
    Call Us
    0716909567
    0766909567
    DODOMA

Komentáře • 35

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 Před 4 měsíci +5

    Hii selikari itakamata wezi wangapi wakati wote ni wezi.

  • @paritsaruni5019
    @paritsaruni5019 Před 4 měsíci +1

    Naishauri Serikali ifanye ukaguzi maalum kwenye mashirika na taasisi zake zote watabaini ubadhirifu mkubwa sana

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Před 4 měsíci +3

    Mbaya zaidi ukiwakuta mitaani wanaongea, wanaiongelea vibaya sana serikali na chama tawala.

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Před 4 měsíci +1

    Nimekua nikisema kila siku hela za Mama zinapigwa kuliko utawala wowote ulopits sijui ni hujuma au dharau😳😳🙌

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Waziri Mkuu tume yako strong sana kufwatilizia bravo respect waziri Mkuu 👍🙏✊🇹🇿

  • @nkenemalulu1330
    @nkenemalulu1330 Před 4 měsíci

    Recpect Mh. Waziri Mkuu hao wasiishie mahakamani tu, warudishe fedha za wananchi kisha wafilisiwe

  • @nicksonpontion7105
    @nicksonpontion7105 Před 4 měsíci

    Ni jambo la kusikitika sanaa fedha nyingi kama hiyoo wanafawana kama Maembe

  • @user-os6sc7is5h
    @user-os6sc7is5h Před 4 měsíci

    Watumbue wanakula pesa zetu wahoo na family zao musiwamishe mikoa wakalibu kwengine peleka jela wezi wa pesa za wananchi wa tanzania🇹🇿🇹🇿

  • @maxlesijila6598
    @maxlesijila6598 Před 4 měsíci

    Mh.PM kwa sasa WIZI WA FEDHA ZA SERIKALI kwa sasa ni mradi mkubwa sanaaa Wanaojinufaisha aaah HAWAJAMBO

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 Před 4 měsíci +1

    NCHI NGUMU HII WATU WANA JIPIGIA TU MAMILION YA PESA KIPINDI HICHO WATU WANAKUFA NJAA MADAWA HAKUNA MADAWATI HAKUNA 😭😭

  • @lukehaprimary2574
    @lukehaprimary2574 Před 4 měsíci +1

    Watuwaivo wanaoiba fedha za umma wawe wanapelekwa magereza kulima kama wanao iba kuku

  • @razackpaulo6375
    @razackpaulo6375 Před 4 měsíci +1

    Tukikataaa kulipa kodi itakuwa vizuli huu ujinga sana

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 4 měsíci

    Matangazo ya uwizi tunapata na waizi hutanazwa lakini hatua walichofanyiwa hatupati

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 Před 4 měsíci

    Hii serikali imechoka kabisa.

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před 4 měsíci

    Hii ni ndogo mbona au hukusikia ya CAG au hiyo tusubiri kwanza...

  • @bukurugibson-zi5br
    @bukurugibson-zi5br Před 4 měsíci +1

    Uozo ni mwingi sana kwenye. matumizi ya pesa ,yaani ni laana fulani kila anayepewa kitengo kuiba ni kama haki, Mungu badilisha mioyo ya watu wako

    • @ziggertv3185
      @ziggertv3185 Před 4 měsíci

      Kila m2 anatamani kupata nafasi kwaajile yake na familia yake hilo halitoisha mana dharau imeanzia chini huwez kuwatendea sawa watu unaowadharau

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před 4 měsíci

      Labda abadilishe serikali

  • @RamadhaniKaholi-os3tn
    @RamadhaniKaholi-os3tn Před 4 měsíci

    Pesa za serikali zinatakiwa ziogopwe na watendaji pia na wafanyabiashara au wazabuni au wakadarasi....hvo basi hyo aliekubali pesa ziingie kwenye akaunti yake naye asiachwe ......!!!????

  • @machenjamaduhu7636
    @machenjamaduhu7636 Před 4 měsíci

    Tatizo sana hili uaminifu umekua adimu..Nani tumpatie dhamana awe Sauti ya wanyongee?

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 4 měsíci

    Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri Kila aliepata Ajira na akapewa dhamana basi ataanza madudu yake ya hovyo hovyo
    Nadhani Binafsi Sheria ya Kuwapiga risasi Adharani ingepitishwa haraka au kuwanyonga Hadharani wezi wa Fedha za Umma iwe kama china tu itasaidia kupunguza tatizo

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před 4 měsíci

    WATANZANIA TUNAKATA TAMAA KAMA PESA ZINAIBIWA KIRAHISI HIVI, MBONA INGEKUWA CHINA WANGENYONGWA.

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 4 měsíci

    Jamani wezi wamerudi upya akamatwe na kurusha pesa zote na ahakikishe amefilisiwa

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 4 měsíci

    Kuweni wakali mtandao ni mkubwa ,watu wamesoma kuiba,sio kujenga nchi ilikuwa zamani sio Leo ,kijana anaaajiriwa Leo baada ya mwezi mmoja tu ni tajiri,haikuwa hivyo zamani

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 Před 4 měsíci +1

    Sio ml89 ww ni muongo ni ml 150 sikiliza kabla ya kuandika

    • @charlesmazigo8106
      @charlesmazigo8106 Před 4 měsíci

      Hata Kama Ni 150 Bado hizi Ni fedha nyingi kuibiwa na mtumishi mmoja wa serikali

  • @jumaally4263
    @jumaally4263 Před 4 měsíci

    RIP Magufuri

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 Před 4 měsíci

    Hiyo ni cha mtoto.

  • @hassnsalim5156
    @hassnsalim5156 Před 4 měsíci

    Sasa una mfanya nini au ndio basi tena

  • @mwanaidisimoni79
    @mwanaidisimoni79 Před 4 měsíci

    Sweka jela jambazi tu Kama wezi wengine

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s Před 4 měsíci

    Hata kuandika kichwa Cha habari ni zero

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 Před 4 měsíci

    Kwaaa be mbona wote wezi hadi wewe mwenyewe ni mwizi tu

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před 4 měsíci

    Tanzania kua kama ulaya ni ndoto