AYESAFIRI NA BEGI LENYE MILIONI 89 AINGIA KWENYE 18 ZA WAZIRI MKUU - WEKA NDANI HUYU
Vložit
- čas přidán 27. 02. 2024
- Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
MEDIA COVERAGE
1.Goverment Events
2.Social Events
3.Documentary
4.Live Streaming
5.Zoom Meting
6.Photo & Videograph
BUSINESS ADVERTISEMENT
#Hotel
#Appartiment
#Restaurant
#Supermakert
#Hall
#Sallon
#New Business
PTINTING
1.Banner
2.Sticker & Flyers
3.Brochures
4.Business Card
5.Graphics Design
6.Logo Design
7.Tshirt Printing
Call Us
0716909567
0766909567
DODOMA
Hii selikari itakamata wezi wangapi wakati wote ni wezi.
Naishauri Serikali ifanye ukaguzi maalum kwenye mashirika na taasisi zake zote watabaini ubadhirifu mkubwa sana
Mbaya zaidi ukiwakuta mitaani wanaongea, wanaiongelea vibaya sana serikali na chama tawala.
Nimekua nikisema kila siku hela za Mama zinapigwa kuliko utawala wowote ulopits sijui ni hujuma au dharau😳😳🙌
Waziri Mkuu tume yako strong sana kufwatilizia bravo respect waziri Mkuu 👍🙏✊🇹🇿
Recpect Mh. Waziri Mkuu hao wasiishie mahakamani tu, warudishe fedha za wananchi kisha wafilisiwe
Ni jambo la kusikitika sanaa fedha nyingi kama hiyoo wanafawana kama Maembe
Watumbue wanakula pesa zetu wahoo na family zao musiwamishe mikoa wakalibu kwengine peleka jela wezi wa pesa za wananchi wa tanzania🇹🇿🇹🇿
Mh.PM kwa sasa WIZI WA FEDHA ZA SERIKALI kwa sasa ni mradi mkubwa sanaaa Wanaojinufaisha aaah HAWAJAMBO
NCHI NGUMU HII WATU WANA JIPIGIA TU MAMILION YA PESA KIPINDI HICHO WATU WANAKUFA NJAA MADAWA HAKUNA MADAWATI HAKUNA 😭😭
Watuwaivo wanaoiba fedha za umma wawe wanapelekwa magereza kulima kama wanao iba kuku
Tukikataaa kulipa kodi itakuwa vizuli huu ujinga sana
Matangazo ya uwizi tunapata na waizi hutanazwa lakini hatua walichofanyiwa hatupati
Hii serikali imechoka kabisa.
Hii ni ndogo mbona au hukusikia ya CAG au hiyo tusubiri kwanza...
Uozo ni mwingi sana kwenye. matumizi ya pesa ,yaani ni laana fulani kila anayepewa kitengo kuiba ni kama haki, Mungu badilisha mioyo ya watu wako
Kila m2 anatamani kupata nafasi kwaajile yake na familia yake hilo halitoisha mana dharau imeanzia chini huwez kuwatendea sawa watu unaowadharau
Labda abadilishe serikali
Pesa za serikali zinatakiwa ziogopwe na watendaji pia na wafanyabiashara au wazabuni au wakadarasi....hvo basi hyo aliekubali pesa ziingie kwenye akaunti yake naye asiachwe ......!!!????
Tatizo sana hili uaminifu umekua adimu..Nani tumpatie dhamana awe Sauti ya wanyongee?
Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri Kila aliepata Ajira na akapewa dhamana basi ataanza madudu yake ya hovyo hovyo
Nadhani Binafsi Sheria ya Kuwapiga risasi Adharani ingepitishwa haraka au kuwanyonga Hadharani wezi wa Fedha za Umma iwe kama china tu itasaidia kupunguza tatizo
WATANZANIA TUNAKATA TAMAA KAMA PESA ZINAIBIWA KIRAHISI HIVI, MBONA INGEKUWA CHINA WANGENYONGWA.
Jamani wezi wamerudi upya akamatwe na kurusha pesa zote na ahakikishe amefilisiwa
Kuweni wakali mtandao ni mkubwa ,watu wamesoma kuiba,sio kujenga nchi ilikuwa zamani sio Leo ,kijana anaaajiriwa Leo baada ya mwezi mmoja tu ni tajiri,haikuwa hivyo zamani
Sio ml89 ww ni muongo ni ml 150 sikiliza kabla ya kuandika
Hata Kama Ni 150 Bado hizi Ni fedha nyingi kuibiwa na mtumishi mmoja wa serikali
RIP Magufuri
Hiyo ni cha mtoto.
Sasa una mfanya nini au ndio basi tena
Sweka jela jambazi tu Kama wezi wengine
Hata kuandika kichwa Cha habari ni zero
Kwaaa be mbona wote wezi hadi wewe mwenyewe ni mwizi tu
Tanzania kua kama ulaya ni ndoto
Tena ndoto ya mchana