ZANZIBAR SI SHWARI - 02

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 02. 2024
  • Kesi ya Zanzibar, sasa anayeshikiwa ni Tanzania. Kisa? Ubabe na ufisadi wa Rais Hussein Mwinyi. Sikiliza.
  • Hudba

Komentáře • 64

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 Před 4 měsíci +4

    asante sana ngurumo uko vizuri Mungu akuinue kuwasemea wanyonge kama umejitoa kutusemea Wazanzibari tunakushukuru sana baba etu

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 Před 4 měsíci +7

    Hizi ndo 🥵 news, mchanbuzi mkongwe🙏🏾

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 4 měsíci +9

    Shida za nchi zetu za kiafrika ni kuongozwa na viongozi wenye uwezo mdogo yaani wanakurupuka kimaamuzi na matokeo nchi na wananchi wao wanaangamia.Halafu yanapenda uongozi sana na wakati uwezo wa kuongoza hayana.Takataka kabisa.

  • @stanslausmchonde7892
    @stanslausmchonde7892 Před 4 měsíci +4

    Episode 02 done nasubiri Episode 03 ahsantee Kwa uchambuzi Maswali Magumu

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 Před 4 měsíci +4

    Yes tunaendelea kuinjoi uchambuzi wa kisiasa

  • @EuphraseMganga-py3hy
    @EuphraseMganga-py3hy Před 4 měsíci +2

    Asee umeiweka vizuri sana hii sasa nimekonekti dots na ile hotuba yake wakati anamuapisha waziri mpya baada ya wa awali kujiuzulu ilijaa mafumbo na vijembe now ndo nimeelewa..aisee

  • @hajimnubi4581
    @hajimnubi4581 Před 4 měsíci +2

    Umenyoa nywele na ndevu umependeza asylee

  • @maisarirajab4846
    @maisarirajab4846 Před 3 měsíci +1

    Nimekuelewa sana kaka

  • @AhmadNassor
    @AhmadNassor Před 4 měsíci

    Hongera kwa uchambuzi mzuri sana na umakini wa hali ya juu sana

  • @MbomaLungwa-fy3oc
    @MbomaLungwa-fy3oc Před 4 měsíci

    MUNGU akubariki sana mchambuzi mwema.

  • @johnambrose7223
    @johnambrose7223 Před 4 měsíci +3

    Tunajua Mambo
    Mambo ambayo hayatangazwi na chombo chochote Cha habari tz na znz

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 4 měsíci +4

    Kumbe Rais Mwinyi Sio kabiasa

    • @rogersiddy
      @rogersiddy Před 4 měsíci +3

      Alafu kwenye uso wa nje unaweza ukasema mtu mzuri mwenye upendo na huruma sanaaa kumbe Mafia huku anatabasam wee check watu waliokufa chaguzi za 2020 subiri uone sasa

    • @mohammedhamad9392
      @mohammedhamad9392 Před 4 měsíci +1

      Yajayo yanahuzunisha TAKBIIIIR ALLAHU AQBAR.KUMBE HAFAI

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 Před 4 měsíci +1

    Wacheni Uhongo na Uzishi sie Ndio tunaishi Zanzibar kupo Salama na Amani imetawala na Allah azidi kutuepusha na hasad zenu

  • @saitotimollel8495
    @saitotimollel8495 Před 4 měsíci

    Good job mchambuzi makini . Tunapaswa kweli kuhoji tena indeep

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před 4 měsíci +3

    Tumeelemewa bara na visiwani na viongozi wote wa juu je ni ndugu kweli. Na waarabu kotekote.

  • @khamissharif8691
    @khamissharif8691 Před 4 měsíci

    ❤ good job bro

  • @johnambrose7223
    @johnambrose7223 Před 4 měsíci +4

    Kama upo online hapa gonga like

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Před 3 měsíci +1

    Huo mwenendo haukuanza kwa Mwinyi tu bali viongozi wengi wa huko nyuma wametekeleza kama hayo.Cheo chalevya kama hukuwa makini

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 4 měsíci +4

    YAANI DR,MWINYI ANAPITA MISIKITINI KUOMBEWA DUA ILI MAADILI YAKE YAENDELEE. KULE MKURANGA AKIUZA GONGO ?

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r Před 4 měsíci +1

    We Hangaikia kanisa lako Lakini mtakwama tu

  • @user-ys4wd1jc2b
    @user-ys4wd1jc2b Před 4 měsíci

    Kweli

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 4 měsíci

    ✊✌️👊

  • @azizakassim9684
    @azizakassim9684 Před 4 měsíci

    Tuachie wenyewe hatukusikizi ngo

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r Před 4 měsíci +1

    We bwege mkosa nchi nani anakuuliza

    • @kaguripenina63
      @kaguripenina63 Před 4 měsíci

      Ngoja kibibi chenu kitoke uone tutakavyo wanjosha nyambavu wew hahahahah

    • @user-nr3uw7bq1r
      @user-nr3uw7bq1r Před 4 měsíci

      @@kaguripenina63mimi singoji wewe ndio unaongoja enda mtoe Sasa hivi, nyambav hahahaaaa

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r Před 4 měsíci +1

    Mchambuzi mropokwaji hujambo

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před 4 měsíci

      Ungetaka asiropokwe; ungemnyima Elimu. Maadam umempeleka shule na akajenga uwezo wa uelewa mkubwa, ataongea tuu! Ukitaka watu wakae Kimya, wanyime elimu. Wakiwa hawana Elimu, watakaa Kimya, hawana la kusema, hawana uwezo wa kuchambua mambo!

  • @maclaudismail6606
    @maclaudismail6606 Před 4 měsíci

    Kwa hiyo.udikteta amejifunza kwa magu ?

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 4 měsíci

    Kama baba,kama mwana

  • @azizakassim9684
    @azizakassim9684 Před 4 měsíci

    Mnatafuta kila mbinu lakini mtashindwa tutawasomea kafara hata mkija na mafuta yenu ya upako mtajipaka wenyewe

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před 4 měsíci +1

      Itamchukua Mswahili muda mrefu sana kuendelea. Kwasababu hata hawaelewi dhima ya waandishi wa habari. Waandishi wa habari Moja ya kazi zao ni kuisaidia jamii Ili isiibiwe, isidharauliwe, isinyimwe haki yake ya kuendelea na kustaarabika kama jamii nyinginezo Duniani. Lakini utakuta raia Wana uelewa mdogo kiasi kwamba hata hawaelewi kwamba wanasaidiwa kuona, kuelewa, kulinda haki zao!

  • @IsackNgwandu
    @IsackNgwandu Před 4 měsíci

    Hiyo background music inaitwaje?

  • @AliAbdalla-lb8su
    @AliAbdalla-lb8su Před měsícem +1

    Hee wewe mbna unajua siri nyingi za zanzibar km vile upo huku wakati hayo mambo yanaongelewa chini chini vyombo vya habari havitoi habari hizi

  • @KijukuuMtemi
    @KijukuuMtemi Před 4 měsíci +4

    Maneno yako yanaukwel ndani yake inatakiwa utumie akili kwel unfaham huyu jamaa uchambuz mzuri sana

  • @SamsonEzekiel-or9xc
    @SamsonEzekiel-or9xc Před 4 měsíci

    Mh

  • @pilipilimanga2619
    @pilipilimanga2619 Před 4 měsíci

    Uchambuzi wako unahitaji utulivu wa akili kuuelewa.

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před 4 měsíci +3

    Umetumwa kwa kupewa chchte ila mie wizi wake unanifurahisha mana naona yanayofanywa, mbona hukusema wakati familia ya karume? Mbona hujasema yamawaaziri wa awamu ilopita kuficha nje? Acheni upuuzi

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před 4 měsíci

    Mmeyataka wenyewe kwa sababu ya kuing'ang'ania Zanzibar kwa mabavu yenu.

    • @kaguripenina63
      @kaguripenina63 Před 4 měsíci

      Ngoja kibibi chenu kitoke uone tutakavyo wanyosha hahahah

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 4 měsíci +1

      @@kaguripenina63 Hatoki ng'o ....Kwanza ana miaka 10 huko ya kutawala, akimaliza urithi wake wa magu.

    • @mohammedhamad9392
      @mohammedhamad9392 Před 4 měsíci

      Sio kimya kweli, wananchi twaangalia kwa mapana Sana taqbiiir Allahu aqbar

  • @emmanuelmisalaba3169
    @emmanuelmisalaba3169 Před 4 měsíci

    Huyu Mwinyi ndiye naye tajwa kuwa mrithi wa Samia 2025.
    Kwa makando kando yake haya itakuwaje akija kukalia kiti bara?
    Atampita Jk na Saa100 kwa kuwa na serikali iliyojaa rushwa na ufisadi

    • @aminakassim831
      @aminakassim831 Před 4 měsíci

      Haiwez kuwa!rais anaekuja anatakiwa awe mkristo ndo mfumo wao tangu rais wa kwanza

  • @hamadsaid4993
    @hamadsaid4993 Před 4 měsíci +1

    Watanganyika ya wazanzibar hayawahusu acheni ujinga nyie kazi yenu ni kuja kuuza uchi tu na lengo lenu kusambaza ukiristo lkn sahauni cc wazanzibar ni waislam na mpaka tutakufa tutakuwa waislam

  • @user-nr3uw7bq1r
    @user-nr3uw7bq1r Před 4 měsíci +1

    We unatumwa na kanisa katoliki, tushajua

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 4 měsíci

    Achana na Zanzibar, mambo ya Zanzibar huyajuwi. Hatutaki maendeleo kwa ULEVI. Ina maana kumbe hata huo mkataba ulisainiwa na Tanzania chini ya Kanisa.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 Před 4 měsíci

    Wabara Roho zenu ni chafu sana nyinyi yote haya yasingetokea kama si nynyi wabara roho mabaya na chuki ndio munazozijuwa mimi nashangaaa sana Bara ni nchi yenye maeneo makubwa mpka hichi visiwa munavitakaa ?? Mudhulumu watu mupige watu muuwwe watu muna Roho mbaya sana

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 4 měsíci

      Yawezekana nawe ni mbara tu bali umekaa sana Zanzibar. Chunguza historia ya familia.
      Tunajadili haki na usitawi wako. Hatujadili kabila lako.

    • @omarmohammed5157
      @omarmohammed5157 Před 4 měsíci

      Badiliken roho zenu chaafu chuki,dhulma

    • @AnsbertNgurumo
      @AnsbertNgurumo  Před 4 měsíci

      @@omarmohammed5157 Usizunguke. Mwambie Mwinyi. Mlimuweka kwa damu za watu. Roho chafu hoyeee!! 😄 🤣

  • @user-cf6kq7bf2t
    @user-cf6kq7bf2t Před 3 měsíci

    Muungano udumu daima hauvunjiki ccm itawalee milele hizo ni kelele za chura tu

  • @johnambrose7223
    @johnambrose7223 Před 4 měsíci +2

    Tunajua Mambo
    Mambo ambayo hayatangazwi na chombo chochote Cha habari tz na znz

  • @johnambrose7223
    @johnambrose7223 Před 4 měsíci +2

    Kama upo online hapa gonga like