#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • #LIVE CHADEMA WANAUNGULUMA KUHUSU MUUNGANO NA MPINA KUFUKUZWA BUNGENI

Komentáře • 20

  • @user-bq6jv2mh1e
    @user-bq6jv2mh1e Před 4 hodinami

    Ubarikiwe sana kwa maneno mazuri ya kujenga watu na kusema ya kulithisha sana.Wewe ni mchungaji mwema na maneno matamu.Ubarikiwe sana Wewe ni mchungaji mwema.

  • @YoelMagese
    @YoelMagese Před 5 dny +5

    Chadema mko vizuri, mnatoa wachezaji wa ukweli, MNA 'CHAMA' WENGI SANA.
    Mnajua Sana kuandaa watu, ndiyo maana kila anayetoka kwenu kwenda CCM anapata cheo kikubwa huko.
    Ila na wao CCM inakuwaje kmpa cheo mgeni badala ya watu wako mamilioni wanaokuunga mkono siku zote.
    Ama kweli CHADEMA wako vizuri katika kuandaa viongozi.

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh Před 5 dny +3

    Kila siku tunamwomba mungu atutenge na tutu namtakia safari njema msigwa kwenda akaungane na vibaraka wake ila akumbuke kuwa chadema ni taasisi kubwa lakini ajue kuwa ukitoka chadema utatoka peke yako na kama kaona katukomoa kajikomoa mwenyewe tunamuona kama unyasi wa nyumba uliochomoka akizani nyumba itavuja kamwe haitavuja wanachama tupo kibao hatuteteleki wala hatujatingishika

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Před 4 dny +1

    Ili asikoroge kama mlivyo koroga kumchukua lowasa mkampa agombee uraisi

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Před 5 dny

    Mzee wangu unasumbuka bure wa tz hawezi kudai haki zao upo sawa kini hakuna kitakacho fanyika mambo hayo ungewahamasisha wakenya

  • @filexkivuyo8383
    @filexkivuyo8383 Před 4 dny

    Iyo inatwa tamaa ya madaraka kwaiyo afai kupewa kazi na mama awe mwancha wakawaida

  • @celestinekimaro8996
    @celestinekimaro8996 Před 6 dny

    Harakati za kuikomboa nchi kunahitani watu wanaoyaweka maslahi ya nchi mbele na SIO wanaoyatanguliza maslahi binafsi Hivyo Msigwa hakuwa meanaharakati aliyeyaweka maslahi ya nchi m bele Bali mkate wake binafsi au kigeugeu

    • @thomasmallya670
      @thomasmallya670 Před 5 dny

      Nafikiri sasa chadema mmekwisha. Yani mmekosa agenda kabisa sasa mnapiga porojo tu. Kama mnafikiri watanzania watasikiliza utumbo wenu, mtashangaa sana. Hayo mnayoyataka siyo hoja ya watanzania. Watanzania wanataka kuona ugali juu ya meza siyo kufukua makaburi ambayo hayawezi kuwaletea nafuu ya maisha. Tafuteni wataalamu wa siasa wawape uwashauri wa jinsi ya kufanya siasa za upinzani.

  • @athanassimbila2603
    @athanassimbila2603 Před 4 dny

    KAMA TANGANYIKA HAIPO ,NA ZANZIBA ISIWEPO ILI ZOTE ZIITWE TANZANIA SOTE TUITWE WATANZANIAQ...NA NDIYO ILIKUWA DHAMIRA HATA YA BABQ WQ TAIFA.

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před dnem

      MUUNGANO NI UKOLONI
      WA
      TANGANYIKA✝️
      Kabla Tanganyika kupata Uhuru, Nyerere alisema lengo lake ni kuiburuza Zanzibar kutoka Bahari ya Hindi (Indian Ocean). Sasa Zanzibar iko Dodoma😂
      Nyerere alivamia Zanzibar kwa jina la Mapinduzi. Na baada Siku 100 aliimeza Zanzibar kuwa Koloni lake kwa UTATU MTAKATIFU:
      Tanganyika (Baba)
      Zanzibar (Mwana=Yesu)
      Tanzania (Roho Mtakatifu)
      Karume alilalamika kuwa Muungano ni kama Koti linalowabana Wazanzibari. Alitaka kuvunja Muungano asiyejulikana alimuwahi.
      Karume na Nyerere wote hawakuzaliwa Zanzibar. Hussein Ali, Mzaliwa wa Mkuranga alichaguliwa na Pombe, Mzaliwa wa Chato.
      William Lukuvi alisema kweli Kanisani kwao ya kuwa watapeleka Jeshi Uislam ukirejea Zanzibar.
      KUMBE TULIDANGANYWA
      Kumbe Uarabu, Usultani na Utumwa sio sababu za Mapinduzi. Vita Baridi na Pan-Africanism sio sababu za Muungano😂😂

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Před dnem

    Nunua wewe Dawa upeleka hospital

  • @user-wu2du6jy5c
    @user-wu2du6jy5c Před 6 dny

    Amegundua na chedema kinamapungufu makubwa

  • @thomasmallya670
    @thomasmallya670 Před 5 dny

    Wachungaji wanatia aibu, sasa kazi ya ukuhani wameshindwa, sasa chadema wameamua kuwaajiri watumishi wenye njaa ambao kanisani mwao hakuna waumini wa kutoa sadaka sasa wameamua kuganga njaa. Aibu kweli.

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 6 dny

    Uzuri wa TZ mpaka watu wazima wamedata