Si ndo anasema Mange Kimambi kuwa huyo mwanaye Abdul ndiye anayetembeza pesa kuwahonga watu ili wamkubali mama yake ambaye ndo Samia. Kumbe Mange Kimambi ni mkweli aiseee
Only leader we need in Tanzania is tundundulisu has capacity of of stand still believe in what tundundulisu standing for since yang boy from school to mp to hot in Tanzania Palament tundundulisu show his capacity of tanzanian leadership win coruption tamitesion from ccm rulling part is is the vision of leader show at the beginning why we trust tundundulisu more than any leader is about him what call fear tundundulisu has got that masosoze if fear any one has capacity telling you that your a Rong leader into peaple eyes although has not on any high position that is the tundundulisu capacity you like or not but that is the way to know tundundulisu action into Tanzania politics wanaonaokataa ni wenye chuki binafsi kwa tundundulisu lakini ndio kiongozi anaetufaa ktk taifa letu uwezo wake wa elimu ya sheria uwezo wake wa kukuelimisha mpaka kumuelewa kirahisi mm sio wasiwai makamo wake freeman mbowe na yeye aje kuwa raisi baada ya kwisha muhula wa tundundulisu ili nchi lnyooke tundundulisu popte akienda atoke chama isipokuwa ccm anamvuto mkali sana yupo moyoni mwetu sisi watanzania wengi
Hivo Bajamenii muna pata somo gani hadhira inavyozidi kupungua katika mikutano yenu siku hizi... Yani hata hadhira ya RC tuu imewaachaa mbaalii saana...Shubaamiit!!!.
Kupungua kwa Mikutano ya CHADEMA kunakushughulisha na nini? Assume watu wangekuwa hawaendi kabisa hata mmoja. Suala hapa je wananchi wa Tanzania wananufaika kwa kiasi gani na rasilimali za nchi yao. Lissu anatoa elimu ya uraia tena bure kabisa. Kina Lissu wakichoka wakaacha na wote tukakaa kimya watawala wa CCM wanaweza wakafanya mambo sana. Mimi na wewe tutakufa watoto wetu watabaki na vizazi vyetu vitakavyokuja wataishi kwenye nchi hii sisi tukiwa tumeshakufa. Acha kubeza watu wanaojitolea kuzungumza masuala ya nchi yetu ni haki yao na wanafanya vizuri sana kazi yao huenda wewe ukawa na masilahi yako binafsi lakini miaka 50 baadae wajukuu zako wakaja kuwa wahanga wa mifumo mibovu inayopigiwa kelele na Lissu leo. Think
Si ndo anasema Mange Kimambi kuwa huyo mwanaye Abdul ndiye anayetembeza pesa kuwahonga watu ili wamkubali mama yake ambaye ndo Samia. Kumbe Mange Kimambi ni mkweli aiseee
😋😋😋Abdul kula chuma icho😮
Huyu jamaa anahitaji matibabu... Story nyingi..
Viva Lisu viva Lisu viva Lisu viva Lisu viva Lisu viva 😂😂😂
Only leader we need in Tanzania is tundundulisu has capacity of of stand still believe in what tundundulisu standing for since yang boy from school to mp to hot in Tanzania Palament tundundulisu show his capacity of tanzanian leadership win coruption tamitesion from ccm rulling part is is the vision of leader show at the beginning why we trust tundundulisu more than any leader is about him what call fear tundundulisu has got that masosoze if fear any one has capacity telling you that your a Rong leader into peaple eyes although has not on any high position that is the tundundulisu capacity you like or not but that is the way to know tundundulisu action into Tanzania politics wanaonaokataa ni wenye chuki binafsi kwa tundundulisu lakini ndio kiongozi anaetufaa ktk taifa letu uwezo wake wa elimu ya sheria uwezo wake wa kukuelimisha mpaka kumuelewa kirahisi mm sio wasiwai makamo wake freeman mbowe na yeye aje kuwa raisi baada ya kwisha muhula wa tundundulisu ili nchi lnyooke tundundulisu popte akienda atoke chama isipokuwa ccm anamvuto mkali sana yupo moyoni mwetu sisi watanzania wengi
VIVA KOMREDI LISSU....VIVA CHADEMA....WATANZANIA BILA KUJALI TOFAUTI ZETU TUKO NYUMA YENU!
Asante MUNGU BABA kwakutupa TUNDU LISU atutete
Pore sana Risu, ajari ikikupata lazima iwache athari za kisaikorojia za kiakili.
Waislamu hatamumutete huyu mama Alisha feli msilazimishe maji kupanda mlima!!!!!
@@JohnJoseph-qq7ow Wewe ndiye unayelazimisha, huyo tayari ni Rais, shida ipo kwa wale wanaoutafuta.
Hii ni mvua ya rasharasha
Umeamua kuwa comedian mzee siasa imeshakushinda umebakiwa na majungu uchonganishi uwongo na fitna daah pole sana chadema pole sana lisu.
Hauna akili kwahiyo huwezi muelew
Tena mtumwa bila kujijua uko utumwani
Huna d 2 utapata tabu mzee
Tundu kawa😂 msanii siku hizi,, tena wale wachekeshaji maarufu
Ni mama yetu uongoo tu umekujaa
Acheni siasa za ubaguz Chadema inapotea
Wewe ni mpuuzi tu hauna chako tena
Watasingizia Kila kitu ila Hawa toboi 2025 ndipo tutaangalia uelewa wa watanganyika maana mukombozi yuko mbele yetu nae ni TUNDURISU
As
😅😅😅😅😅
Lenga,mafanikio.yajao.chadema.watakata.maendeleo.mikakati.kuifuta.ccm.:vijana.barabara.uonevu.kuvuna.wasichopanda.kupora.kufaa.kijani..
Tundu lissu moto mkali kwa kweli.Hii nimeipenda ya kila mtu ana mama yake.
Hivo Bajamenii muna pata somo gani hadhira inavyozidi kupungua katika mikutano yenu siku hizi...
Yani hata hadhira ya RC tuu imewaachaa mbaalii saana...Shubaamiit!!!.
Kupungua kwa Mikutano ya CHADEMA kunakushughulisha na nini? Assume watu wangekuwa hawaendi kabisa hata mmoja.
Suala hapa je wananchi wa Tanzania wananufaika kwa kiasi gani na rasilimali za nchi yao. Lissu anatoa elimu ya uraia tena bure kabisa. Kina Lissu wakichoka wakaacha na wote tukakaa kimya watawala wa CCM wanaweza wakafanya mambo sana. Mimi na wewe tutakufa watoto wetu watabaki na vizazi vyetu vitakavyokuja wataishi kwenye nchi hii sisi tukiwa tumeshakufa. Acha kubeza watu wanaojitolea kuzungumza masuala ya nchi yetu ni haki yao na wanafanya vizuri sana kazi yao huenda wewe ukawa na masilahi yako binafsi lakini miaka 50 baadae wajukuu zako wakaja kuwa wahanga wa mifumo mibovu inayopigiwa kelele na Lissu leo.
Think
Lisu badirisha mwenendo wa siasa zako la sivyo utakosa wanachama wote maana Sasa hivi ndio hueleweki kabisa