Asante Rungwe naona mmeitwa mkaitika,Mungu wabariki viongozi wa Chadema wote wanaotetea na kupigania haki Katika Taifa letu, asante mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mh. Sugu, Wananchi amkeni hakikisha uchaguzi huu 2024/2025 ccm ifutike kuanzia wenyeviti wa vitongoji,mitaa, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais.
Be strong but we need lmotion politician into opposition is about pulling people from different angle to grow part ok sugu be strong opposition is lmotion
Kama unaikubali Chadema gonga like hapo tujuane..
Chadema wa maandamano wapo lkn wapiga kura ndi ttzo, wengi hawaendi kupiga kura wanakwambia hata ukienda kupiga ni kazi bule
@@akidajulius1581 Tatizo Sio Kuupiga Kura,Tatizo CCM Wanaiba Sana Kura..
Hongera sana chadema tupo pamoja inshaallah mr sugu kamanda mpo vizuri
Chama mpenda haki tena msema kweli🎉
Weldone Sugu! Live your talk; against Msigwa the failure (too much talk no action!)
Pamoja Sana Kutoka Johannesburg Westdene South Africa..
Hakunaga mwaisa mjinga asante Rungwe
Hapa CHADEMA mmtisha🎉🎉🎉
Kiukweli sugu anastahili hii nafasi ya mwenyekiti wa kanda
Asante Rungwe naona mmeitwa mkaitika,Mungu wabariki viongozi wa Chadema wote wanaotetea na kupigania haki Katika Taifa letu, asante mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mh. Sugu, Wananchi amkeni hakikisha uchaguzi huu 2024/2025 ccm ifutike kuanzia wenyeviti wa vitongoji,mitaa, vijiji, madiwani, Wabunge na Rais.
Aya Mambo yameiva
MUNGU atunzee
Be strong but we need lmotion politician into opposition is about pulling people from different angle to grow part ok sugu be strong opposition is lmotion
Rungwe imeitika
Kabisa hawataki mzaha
kwenye upande wa music bado hamjaa jipanga tumieni wasanii wanaopendwa
Nan mweny shida ya msann wat watak sera
Waache wasanii waendelee kula hela za hao ccm, huku hawana kazi labda ney pekee