MCHUNGAJI Aliyetuhumiwa KUUNGA MKONO USHOGA aomba RADHI/Adai HUJUMA amefanyiwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 04. 2023
  • ASKOFU SIZA MASISI ajitokeza mbele ya vyombo vya habari kuomba radhi kutokana na video zilizosambaa mtandaoni zikimuonesha akitoa kauli za kuunga mkono Mapenzi ya Jinsia moja (Ushoga)
    ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram rickmediatz...
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Askofu
  • Zábava

Komentáře • 238

  • @user-kn8pw7vk4e
    @user-kn8pw7vk4e Před měsícem +6

    Acheni usenge wa kujiita Mtume/ Nabii ..huo ni utapeli na uongo...

  • @yustondelwa5986
    @yustondelwa5986 Před rokem +9

    Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu, huyu hafai kabisa kuwa mtumishi wa Mungu, Asiruhusiwe tena

  • @evalinemagige495
    @evalinemagige495 Před 3 měsíci +6

    Mnashugulikiwa mpaka mnaanza kuwa wadhaifu na Bado mnamchezea Mungu hata siku Moja Nuru na Giza haviwezi kaa pamoja mtubu kwa Mungu na muache huouchafu wenu Mungu atawasamehe na kuwa Fanya wapya

  • @zawadielisikay
    @zawadielisikay Před rokem +11

    Acheni kutupoteza hawa siyo watumishi wa mungu

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 3 měsíci +4

    Hongerani Sana Wakiristo kwa kukataa kuburuzwa na Watumishi hawa Wafuasi wa shetani
    Kwa kweli Ushoga Hapana

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 Před 3 měsíci +7

    Nawewe Mama Mungu akupige huo mdomo wako wa kishetani mkafie mbali enyi maibilisi pumbavu zenu

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 Před 3 měsíci +4

    Mungu ameshachukua hatua zake kidogo hapo Bado serikali inakuwa kuchua hatua Kali zaidi la sivyo na serikali nayo Mungu atachukua hatua Kali zaidi

  • @robertkatole3910
    @robertkatole3910 Před rokem +9

    Pesa za wazungu mlizo tafuna mziludishe,kidanguro chenu hakito funguliwa tena mashetani wakubwa ninyi.

  • @josephatmargwe-kn4mu
    @josephatmargwe-kn4mu Před měsícem +2

    Mungu shusha Moto wa Mbinguni uondoshe uchafu huu

  • @theresiachacha3068
    @theresiachacha3068 Před rokem +9

    Ile siku walikua na nguvu kweli. Leo wote wamekua wapole. Hata kuongea hawawezi. Wamwombe radhi Mungu sio sisi

  • @drdd774
    @drdd774 Před rokem +4

    Tena hawa hawafai kuitwa watumishi wa Mungu, mnatia aibu ukristo.

  • @muznatshaban5089
    @muznatshaban5089 Před rokem +5

    Nyiiiii Hawa wanauzagaaaa vipodoziiiu jamn wezi hawaaaaaaa mungu tandika Hawa watuuuu wageuko kuwa maweeeee

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 3 měsíci +3

    Sabuni zake situmiiii teeeeeena

    • @user-ef7pn5wt7g
      @user-ef7pn5wt7g Před měsícem

      Mungu wangu tusaidie mbona tumetuma sana Mungu tutoe kwenye hili jaribu

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Před 3 měsíci +3

    Mmechosha kuwasikiliza poteeni mbali nyinyi mawakala wasodoma na gomola

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Před rokem +2

    Kwendraaaaaaaaaa mwenyenz mungu atawaadhib nyiny saiv hata aina Aja yakwenda kanisani wakat makanisa yanafagilia ushoga aiwezekan nidhambi tnaenda ktafta t nchkizo kwa mungu

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Před rokem +6

    Unajiita Dr Dr sio jina ujinga ujinga hapa ,,mnatuudhi Sana Sana Sana mpaka mnatupasua mtima wetu ,,mama yetu samia shughulika na huu upepo...

    • @drelizakilili
      @drelizakilili Před měsícem

      Subirini sasa wazungu wawaletee mazingaonbwe si mnatukataa sisi watanzania wenzenu?

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Před rokem +2

    Mungu Mkali bwana na Ana watu waaminifu sana wakupigania ukweli na Imani nyie watu sis tumesamehe endapo baba yetu amewasemehe pia

  • @juanajuan3198
    @juanajuan3198 Před rokem +1

    Kamwe msimdhihaki Mungu...Mungu huyu sio wa kumuingiza kwenye dhambi zenu...muogopeni Mungu , achen udanganyifu..Mungu alie hai hadhihakiwi..msipotubu na kuacha dhambi hyo..hakika atakuonyesheni km yy ni Mungu alie hai Mungu wa Israel. Tubuni.

  • @user-bw5wj8dw5q
    @user-bw5wj8dw5q Před měsícem

    Nyie ni watumishi sio sawaaa mungu ndio ajuaye yote

  • @betuelmgullu4631
    @betuelmgullu4631 Před rokem +3

    Hastahili kujiita mchungaji hiyo akapumzike kwanza

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson Před 22 dny

    Nyie mnaojiita nitumie na askofu kuna kitu mnakutafuta kwa Mungu na wewe mke utajipata.Siku chache.
    Ushoga mbele za Mungu nazani mnajua kuwa ni uchagu

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson Před 22 dny

    Yaani wewe ndo grace product?Mungu atakupa unachotaka sooooni.

  • @upendogospelreaching6380
    @upendogospelreaching6380 Před měsícem

    Ashe male ngai ,,nahavache mfumwa,,Mungu Yuko enzini mwake,, mmezidi kuutukanisha mwili wa Kirstin yaani hao wotee hamna watu hapo NI vivuli tuuu,,,wamekua wakitukana sana

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 3 měsíci +1

    Grace products ni bidhaa za kuzimu kaeni nazo mbali

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Před rokem +1

    Hakuna Cha mtume Wala Dr Wala chumvi na sukari... Acheni utapeli acheni uongofu acheni upotoshaji na acheni ujinga.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před rokem +3

    Tena huyo mwenye masikio kama popo ndio hupotosha zaidi Bible anasema watu wanywe tusker, wine, madhabahuni

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 Před rokem +3

    Waongo wakubwa hawa walimkufuru Mungu hawaon haya kutuongopea

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 Před rokem

      Yesu aliwahubiri Waovu waache kutenda Dhambi hakuwa/hana Uwezo (Mamlaka) Kusamehe Dhambi.
      Kama Ushoga na Usagaji (LGBTQ 🌈) ni Mzuri basi Mungu Mola Muumba asinge waadhibi Kaumu Luti/Watu wa Luti (Sodoma na Gomora) mnamnyongesha huyo Yesu huko alipo atamtazamaje Mungu?! Ataweka Wapi Sura yake Yesu siku ya Hukmu/Kiama?!
      Mnamtengenezea Maswali mengi Yesu ataulizwa na Mungu; hivi ndivyo alivyotumwa na Mungu Kuja kuwafundisha hayo?!
      Fanyeni touba ya kweli, inshaallah Mungu Mola Muumba wa kweli na Haki anasamehe Dambi (Mungu ni Mwingi wa Kusamehe) Kwa Mwenye kuhitaji Msamaha wa Mungu.
      WaAllahu Aalamu/Mola Muumba ndo Mjuzi.

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 Před 3 měsíci +1

    MITHALI 24:1-2
    Usiwahusudu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,
    Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, na midomo yao huongea madhara.

  • @Nazareth8119
    @Nazareth8119 Před 3 měsíci +2

    Hakuna imani hapo, mtumishi anakejeri biblia na maandiko na watumishi wa Mungu kama Paulo unamuita "mpuuzi mmoja" nyoosheni maneno msamehewe.Mnafanya ukiristo uonekane dini ya hovyo, Bwana na awakemee.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 3 měsíci

      Dawa ni hao waumini waache kwenda kwenye hayo makanisa yao.

    • @drelizakilili
      @drelizakilili Před měsícem

      Wewe wasema

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 3 měsíci +2

    Bado hamjasema😂 Islam is my religion

  • @PcgtMsalato
    @PcgtMsalato Před 3 měsíci +1

    Waongo wakubwa. Mungu awashighulikie. Iko siku sisi Manabii wa Kweli tutaomba moto ushuke.

  • @josephmazengo1113
    @josephmazengo1113 Před rokem +2

    Huyu sio wa kristo ni mpinga kristo

  • @paulokuze9307
    @paulokuze9307 Před rokem +2

    Hawa ni washetani wanajiita wazee wa neema,haaa Sasa Tito 2:2 inasemaje neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa yatukataza kukataa ubaya wa kila namna.

  • @hassanchuji8965
    @hassanchuji8965 Před rokem +3

    Mnaonekana nyinyi wote mashoga tu

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před rokem +1

    Mhuuuuuuuu na ule wimbo alioimba mke wake na zingine za kuhusu kusema ovyo kuhusu Bibilia . Ombeni radhi nyoosheni maneno msipindishe ili msamehewe.

    • @brysonuronu5862
      @brysonuronu5862 Před rokem +1

      Aliwahi kusema kitakuja kitabu kizuri kuliko Biblia akasema Biblia imeandikwa na wajinga flani hivi..
      Aliwahi kuita torati ni mavi
      Aliwahi kusema Yesu kaenda Kwa mchepuko wake ...ndio maana harudi...
      Yaani Hata kama ndio Kwa mifano ila anakashifu sana Imani ya kikristo...nimekua nikimuandikia mara nyingi..
      Huyu ni ajenti wa Shetani kabisa ..

  • @deborambutu9547
    @deborambutu9547 Před rokem +3

    Yn sura kma zmenyeshewa na mvua jmn..Huyo wa mwisho ssa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 3 měsíci

      Huyo mwenye masikio popo 😂 Mungu anisamehe! Kakaa kama gay 😂.

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama4229 Před 3 měsíci +1

    Hakuna kitu hapo mnatumika na wazungu makanisa haya serikali iyaangalie

  • @Edwin-tw3yj
    @Edwin-tw3yj Před 3 měsíci

    Jifunzeni kuandaa somo pia kwenda na neno,pia Mila,za watu zizito Linda dhambi..pia ila lenye kweli ya Mungu bila kutetea uovu! Kueshim Neno la Mungu na Shelia kua na kiasi ktk mambo yote Ili kweli yenu isilaumiwe

  • @DeborahLemboto-yf8jw
    @DeborahLemboto-yf8jw Před měsícem

    Sema Mungu fundi kakupiga na kitu kizit ad kuongea huez😅

  • @kelvinmwalunenge6224
    @kelvinmwalunenge6224 Před 3 měsíci +1

    Nema ya wasenge wote imefunuliwa

  • @ericamwkyokile4681
    @ericamwkyokile4681 Před 3 měsíci

    Mna nia ovu ninyi.Mungu anawaona.mnatuchafua sana ninyi.Nilipenda mafuta Yenu sasa nayaogopa mno.

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Před měsícem

    Mnacheza na mungu yupo hai

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 3 měsíci

    Nasikia nabii wao wa uongo anaepromote ushoga keshapi😮gwa Kofi na Mungu

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Před rokem +1

    Masisi ya mkaa endelea kusema biblia ni kabuli ona Leo huwezi kuongea MUNGU ANAPIGA SIO MCHEZO

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 Před měsícem

    Hapo hakuna mwema vibaka watupu na huyo mama ndo hatari kabisaaa

  • @pendogwisu
    @pendogwisu Před 3 měsíci +1

    Amepigwa Kofi zito na Mungu

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 3 měsíci

    😔🥰tamaa mbaya sana kisa pesa na bado shetani hana fadhila

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga Před měsícem

    Hapo sijaona kama ni kuomba radhi bali ni technical-know-how to manipulate the slow learners.

  • @paulokuze9307
    @paulokuze9307 Před rokem +1

    Mungu tandika Hawa maana wamezidi

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 3 měsíci +1

    HUYO MAMA ALIIMBA WIMBO AKISEMA NEEMA KWA WASENGE WOTE NEEMA IMEFUNULIWA. MSHENZI KABISA

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 3 měsíci

      Ndo huyo kumbe! Lol
      Mungu ampige eti askof!

    • @drelizakilili
      @drelizakilili Před měsícem

      Y hawa tuu huu wimbo sio wa leo wala jana mbona kwa majambaji hamsemi? Na leo ndio kukatwa watu wapanga kumeibuka kwa upya siku moja mtanikumbuka sana

  • @HabilyTech
    @HabilyTech Před rokem +2

    Hakuna kufunguliwa huyo askofu ni mwehu

  • @rameckmarembo
    @rameckmarembo Před měsícem

    Eti watumishi wa Mungu!!!?? Mungu yupi huyooo!!!?
    Mungu wa kuzimu au wa mbunguni Maana kuna miungu wengi

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 3 měsíci

    Huyu mama alikuwa na kazi nzuri ya kutengeneza vipodozi sasa tena leo umeongia huko makubws!!!!!!

    • @MwanjiNzala-mo5ni
      @MwanjiNzala-mo5ni Před 3 měsíci

      Ukute hata vipodozi vyake vina vina viambatana ushoga na usagaj

    • @drelizakilili
      @drelizakilili Před měsícem

      Kwanini usiendelee kuamini? Upinzani ni mbaya sana

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Před 3 měsíci

    Mapepo nyinyi mungu awahukum

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před rokem +2

    hebu tuimbieni ule wimbo wa"Neema kwa wasenge wote neema imefunuliwaa

    • @brysonuronu5862
      @brysonuronu5862 Před rokem

      Mpumbafu saana huyu mama yaaani wajinga kabisa Hawa watu

    • @gabrielzakaria2810
      @gabrielzakaria2810 Před 3 měsíci

      Michizi hii

    • @drelizakilili
      @drelizakilili Před měsícem

      Ndio maana Kristo alikufa kwa ajili ya wenye dhambi sio watakatifu na kama ni watakatifu bali alikufa bure

  • @costantinekikinda7574
    @costantinekikinda7574 Před 3 měsíci

    Wamesha mpiga dawa mchungaji ili aumwe kisha wamchafue jamani jichunguzeni mara kazaa kabra ya kukashifu jambo kama ushoga nchi inajua chanzo ni wapi wakamatwe wachukuliwe Sheria sio kukashifu WATUMISHI WA zuri kama Hawa kamateni wamafuta ya upako lakini huyu uhubiri uhalisia WA maisha mnaboa sana hukumu yenu ipo

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 Před rokem +1

    Huyo aliyepembeni alikuwa anatamba kwa upotoshaji wa Biblia. Vilevile alisema Ushoga si shida. Msijitetee timesikiliza yote. Wala haisidii kujikosha.

  • @kdazzy9967
    @kdazzy9967 Před rokem +1

    Awa watu ikowezeka wafungwe kifungo cha maisha

  • @mkuubonyo1713
    @mkuubonyo1713 Před 3 měsíci +1

    Mama chizi mzee chizi ushoga ?

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před rokem

    Watumishi hawo siyo watumishi wa Mungu hawo .. mahanithi hawo

  • @joyceregani9778
    @joyceregani9778 Před 3 měsíci

    Acheni kumchafua yesu ,Mungu hazihakiwi

  • @bettynovertyfrances9620
    @bettynovertyfrances9620 Před rokem +1

    Asifananishe mtoza ushuru na shoga bwana

  • @abdulrahmankafuku3449
    @abdulrahmankafuku3449 Před rokem +1

    Huyu jamaa si ushoga tuu Hadi vitabu vya mungu analeta KUFURU

    • @brysonuronu5862
      @brysonuronu5862 Před rokem

      Aliita Biblia ni kaburu la ajabu..kwani kuna mjinga mmoja alisema kitu..tukaamini..
      Aiseeee

  • @manumunemanumune-uj6jq

    Hao wote wanao jiita manabi wote ni mashetani makubwa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před rokem +1

    Hawa wakapimwe kwanza kama wabunge......... Watakuwa hawako salama sana

  • @mussawambwe5853
    @mussawambwe5853 Před rokem +2

    Mchungaji shoga huyo

  • @alhadajjmohammedsmith9042

    Hiyo Kampuni yake ya Bidhaa za GRACE PRODUCTS zichunguzwe sana huenda Kuna Vichocheo (Hormones) vinavyofanya Wanaume wapende Ushoga na Wanawake Wapende Usagaji na Kulawitiwa.

  • @olivajohn9301
    @olivajohn9301 Před 3 měsíci

    Unavyosoma kwa hisia utafikiri kweli jinga kabisa

  • @upendogospelreaching6380
    @upendogospelreaching6380 Před měsícem

    Yaani hata unavyosoma TU hapo we kimama unakera ondokaaa

  • @paulinbyonge8478
    @paulinbyonge8478 Před rokem +1

    😂😂😂😂 Mungu hadhiakiwi

  • @emmanuelmanka
    @emmanuelmanka Před 3 měsíci

    Siku zote shetani huwatumia wanawake ata huyu mama apa katumiwa na shetani kutetea ushetani Mungu atakutananae

  • @esthermwaibasa4778
    @esthermwaibasa4778 Před rokem

    Masisi sijui umekengeukaje,rudi kwenye njia za Mungu nakuomba,kwa kweli nimekusikiliza nikaishia kusikitika unasema kuna kitabu kinakuja zaidi ya ya hii biblia?ulianza vizuri na unakoishia omba rehema za Mungu shetani anakuwinda,

  • @user-vl5tz6xt2m
    @user-vl5tz6xt2m Před 3 měsíci

    Hawa watu wamefilisika wako tayari kumtukana Mungu kwa ajili ya pesa

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před 3 měsíci

    Nabado naomuombea aendelee kuwa hoi mpaka afe kwani huyu ni wakala wa shetani,

  • @amanbeyanga8055
    @amanbeyanga8055 Před 3 měsíci

    Nyinyi ni mashoga na wasagaji,bado hamjapigwa hadi mfe tu

  • @aziza9093
    @aziza9093 Před 3 měsíci

    Mshadw nachama chanu wanafiki wakumw na mungu atawa laani kaumuluti mnaya funya

  • @olivajohn9301
    @olivajohn9301 Před 3 měsíci

    Mungu atashulika na nyie😢

  • @theodosiampogole2672
    @theodosiampogole2672 Před 3 měsíci

    Mnaimba NEEMA Kwa mashoga,biblia kitabu Cha ajabu mmmh

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Před rokem +1

    Wewe mzeee makengeza mahubiri yako yanaukakasi Sana hapa mlipofikia tutaanza kuvamia huduma zenu fake ,,wakristu tumechoka Imani yetu kukashifiwa,,

  • @patrickmsekwa4947
    @patrickmsekwa4947 Před měsícem

    Aki au haki???...
    Unachafua Kiswahili

  • @chulelubella2819
    @chulelubella2819 Před rokem

    Aisee Mungu huwezi kumchezea chezea wewe wewe wewe si umeona upanga wa Mungu usitubu nenda katubu Kwa Mungu uliyemtukana na biblia yake nabado atakunyoosha lione lilivyokonda kamuulize Lusekelo na wewe mama na laana iwapige wote upanga wa Mungu ushughulike nanyi mpaka mkome

  • @julianamwamgogwa
    @julianamwamgogwa Před 3 měsíci

    Mapepo wakubwa nyinyinyi

  • @baybeshayo18
    @baybeshayo18 Před 3 měsíci

    Myshindwe ktk jina la yesu kristo aliye hai.

  • @ConfusedCalicoCat-vz3iu
    @ConfusedCalicoCat-vz3iu Před 3 měsíci

    Uyoo si alisema yye ni shoga

  • @zaqusdaudi3296
    @zaqusdaudi3296 Před 3 měsíci +1

    Njaa ni chanzo cha dhambi

    • @drelizakilili
      @drelizakilili Před měsícem

      Sina njaa kabisa natafuta pesa kwa jasho langu mwenyewe. Bila kulala usiku na mchana tuonyeshe cha kwako

  • @MathayoLoboi-uw2uj
    @MathayoLoboi-uw2uj Před 3 měsíci

    Upingwe kanza ufe life chakora ufe kifo Cha jeshi lafarao

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 Před 3 měsíci

    U Dr haukufanyi kumjua Mungu.

  • @paulntalima6998
    @paulntalima6998 Před rokem +1

    Hawa n mashoga hmn kitu hapo

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 3 měsíci

    How can we believe she is his wife ilhali kasema yeye Ni chakula ....?

  • @KhadijaNgozi-ln4ww
    @KhadijaNgozi-ln4ww Před měsícem

    Huyton.mwenye.masokio.marefu.naye.shoqaa

  • @hono1232
    @hono1232 Před 3 měsíci

    Sema shoga Martin bashwanda siyo mtume

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 Před rokem

    Msitumie defence ya vipande kukiri kosa wazi wazi ni bora kuliko kuzunguka zunguka, hawa watu wahakikiwe elimu zao naona hawako sawa

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 Před 3 měsíci

    Ina maana hapo ndo tayari mmejitetea? Mbona nguvu ya ki mbingu haionekani ila dhaifu tu? NAWASHAURI MTUBIE MWENENDO WA HUDUMA YENU NA MRUDI MWE WAUMINI WA KAWAIDA ILI MFUNDISHWE JINSI ILIYO NJEMA MBELE ZA MUNGU.

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d Před 3 měsíci

    Huyo bishop gani pumbavu

  • @patmercysecuritycompanylim5689

    Upuuuzi tu

  • @reenesa
    @reenesa Před 3 měsíci

    Asiweze kuongea kwa Sasa mbona mwanzo alikua anaikashfu Biblia?

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 Před 3 měsíci

    Weww ni shog

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Před rokem

    2 Wakorinth 11:13-15 "Shetani kujigeuza

  • @patmercysecuritycompanylim5689

    Msihalibu thehebu la Kristo

  • @evalinemagige495
    @evalinemagige495 Před 3 měsíci

    Msimchezee Mungu mtapigwa naMungu mwenyewe mnasapotiwa na Hawa wakuu wa ushoga mnajifanya kuota mapembe na kuipotosha kweli ya Mungu msijisuuze ndivyo mlivyo mahubiri yenu Yako kinyume na Biblia mapambio yenu ya autukuza ushoga na hata hizo bidhaa zenu nimezitumia ninamiaka kumi Sasa na nimefanya maamuzi kuziacha achenu kujifanya Sasa mnatumia mistari ya Biblia kujifanya ninyi niwatumishi wa Mungu ninyi ni wa ubilisi baba wa uongo