MCHUNGAJI Aliyetuhumiwa KUUNGA MKONO USHOGA aomba RADHI/Adai HUJUMA amefanyiwa
Vložit
- čas přidán 13. 04. 2023
- ASKOFU SIZA MASISI ajitokeza mbele ya vyombo vya habari kuomba radhi kutokana na video zilizosambaa mtandaoni zikimuonesha akitoa kauli za kuunga mkono Mapenzi ya Jinsia moja (Ushoga)
...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram rickmediatz...
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Askofu - Zábava
Acheni usenge wa kujiita Mtume/ Nabii ..huo ni utapeli na uongo...
Asante Mungu kwa kujibu maombi yangu, huyu hafai kabisa kuwa mtumishi wa Mungu, Asiruhusiwe tena
Mnashugulikiwa mpaka mnaanza kuwa wadhaifu na Bado mnamchezea Mungu hata siku Moja Nuru na Giza haviwezi kaa pamoja mtubu kwa Mungu na muache huouchafu wenu Mungu atawasamehe na kuwa Fanya wapya
😂😂😂😂😂😂😂
Acheni kutupoteza hawa siyo watumishi wa mungu
Kabisa
Hongerani Sana Wakiristo kwa kukataa kuburuzwa na Watumishi hawa Wafuasi wa shetani
Kwa kweli Ushoga Hapana
Nawewe Mama Mungu akupige huo mdomo wako wa kishetani mkafie mbali enyi maibilisi pumbavu zenu
Tinaanza na wewe
Mungu ameshachukua hatua zake kidogo hapo Bado serikali inakuwa kuchua hatua Kali zaidi la sivyo na serikali nayo Mungu atachukua hatua Kali zaidi
Pesa za wazungu mlizo tafuna mziludishe,kidanguro chenu hakito funguliwa tena mashetani wakubwa ninyi.
Mungu shusha Moto wa Mbinguni uondoshe uchafu huu
Ile siku walikua na nguvu kweli. Leo wote wamekua wapole. Hata kuongea hawawezi. Wamwombe radhi Mungu sio sisi
Wanaona haya na Wanaogopa hata kutembea Mitaani .
Mungu hadhiakiwi
Tena hawa hawafai kuitwa watumishi wa Mungu, mnatia aibu ukristo.
Nyiiiii Hawa wanauzagaaaa vipodoziiiu jamn wezi hawaaaaaaa mungu tandika Hawa watuuuu wageuko kuwa maweeeee
Sabuni zake situmiiii teeeeeena
Mungu wangu tusaidie mbona tumetuma sana Mungu tutoe kwenye hili jaribu
Mmechosha kuwasikiliza poteeni mbali nyinyi mawakala wasodoma na gomola
Kwendraaaaaaaaaa mwenyenz mungu atawaadhib nyiny saiv hata aina Aja yakwenda kanisani wakat makanisa yanafagilia ushoga aiwezekan nidhambi tnaenda ktafta t nchkizo kwa mungu
Unajiita Dr Dr sio jina ujinga ujinga hapa ,,mnatuudhi Sana Sana Sana mpaka mnatupasua mtima wetu ,,mama yetu samia shughulika na huu upepo...
Subirini sasa wazungu wawaletee mazingaonbwe si mnatukataa sisi watanzania wenzenu?
Mungu Mkali bwana na Ana watu waaminifu sana wakupigania ukweli na Imani nyie watu sis tumesamehe endapo baba yetu amewasemehe pia
Kamwe msimdhihaki Mungu...Mungu huyu sio wa kumuingiza kwenye dhambi zenu...muogopeni Mungu , achen udanganyifu..Mungu alie hai hadhihakiwi..msipotubu na kuacha dhambi hyo..hakika atakuonyesheni km yy ni Mungu alie hai Mungu wa Israel. Tubuni.
Nyie ni watumishi sio sawaaa mungu ndio ajuaye yote
Hastahili kujiita mchungaji hiyo akapumzike kwanza
Nyie mnaojiita nitumie na askofu kuna kitu mnakutafuta kwa Mungu na wewe mke utajipata.Siku chache.
Ushoga mbele za Mungu nazani mnajua kuwa ni uchagu
Yaani wewe ndo grace product?Mungu atakupa unachotaka sooooni.
Ashe male ngai ,,nahavache mfumwa,,Mungu Yuko enzini mwake,, mmezidi kuutukanisha mwili wa Kirstin yaani hao wotee hamna watu hapo NI vivuli tuuu,,,wamekua wakitukana sana
Grace products ni bidhaa za kuzimu kaeni nazo mbali
Hakuna Cha mtume Wala Dr Wala chumvi na sukari... Acheni utapeli acheni uongofu acheni upotoshaji na acheni ujinga.
Tena huyo mwenye masikio kama popo ndio hupotosha zaidi Bible anasema watu wanywe tusker, wine, madhabahuni
😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃🤓🤓🤓🤓😃😃😃
😂😂😂😂😂 eti maskio kma popo
Waongo wakubwa hawa walimkufuru Mungu hawaon haya kutuongopea
Yesu aliwahubiri Waovu waache kutenda Dhambi hakuwa/hana Uwezo (Mamlaka) Kusamehe Dhambi.
Kama Ushoga na Usagaji (LGBTQ 🌈) ni Mzuri basi Mungu Mola Muumba asinge waadhibi Kaumu Luti/Watu wa Luti (Sodoma na Gomora) mnamnyongesha huyo Yesu huko alipo atamtazamaje Mungu?! Ataweka Wapi Sura yake Yesu siku ya Hukmu/Kiama?!
Mnamtengenezea Maswali mengi Yesu ataulizwa na Mungu; hivi ndivyo alivyotumwa na Mungu Kuja kuwafundisha hayo?!
Fanyeni touba ya kweli, inshaallah Mungu Mola Muumba wa kweli na Haki anasamehe Dambi (Mungu ni Mwingi wa Kusamehe) Kwa Mwenye kuhitaji Msamaha wa Mungu.
WaAllahu Aalamu/Mola Muumba ndo Mjuzi.
MITHALI 24:1-2
Usiwahusudu watu waovu, wala usitamani kuwa pamoja nao,
Kwa maana moyo wao hufikiri dhuluma, na midomo yao huongea madhara.
Hakuna imani hapo, mtumishi anakejeri biblia na maandiko na watumishi wa Mungu kama Paulo unamuita "mpuuzi mmoja" nyoosheni maneno msamehewe.Mnafanya ukiristo uonekane dini ya hovyo, Bwana na awakemee.
Dawa ni hao waumini waache kwenda kwenye hayo makanisa yao.
Wewe wasema
Bado hamjasema😂 Islam is my religion
Waongo wakubwa. Mungu awashighulikie. Iko siku sisi Manabii wa Kweli tutaomba moto ushuke.
Huyu sio wa kristo ni mpinga kristo
Hawa ni washetani wanajiita wazee wa neema,haaa Sasa Tito 2:2 inasemaje neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa yatukataza kukataa ubaya wa kila namna.
Mnaonekana nyinyi wote mashoga tu
Mhuuuuuuuu na ule wimbo alioimba mke wake na zingine za kuhusu kusema ovyo kuhusu Bibilia . Ombeni radhi nyoosheni maneno msipindishe ili msamehewe.
Aliwahi kusema kitakuja kitabu kizuri kuliko Biblia akasema Biblia imeandikwa na wajinga flani hivi..
Aliwahi kuita torati ni mavi
Aliwahi kusema Yesu kaenda Kwa mchepuko wake ...ndio maana harudi...
Yaani Hata kama ndio Kwa mifano ila anakashifu sana Imani ya kikristo...nimekua nikimuandikia mara nyingi..
Huyu ni ajenti wa Shetani kabisa ..
Yn sura kma zmenyeshewa na mvua jmn..Huyo wa mwisho ssa
Huyo mwenye masikio popo 😂 Mungu anisamehe! Kakaa kama gay 😂.
Hakuna kitu hapo mnatumika na wazungu makanisa haya serikali iyaangalie
Jifunzeni kuandaa somo pia kwenda na neno,pia Mila,za watu zizito Linda dhambi..pia ila lenye kweli ya Mungu bila kutetea uovu! Kueshim Neno la Mungu na Shelia kua na kiasi ktk mambo yote Ili kweli yenu isilaumiwe
Sema Mungu fundi kakupiga na kitu kizit ad kuongea huez😅
Nema ya wasenge wote imefunuliwa
Mna nia ovu ninyi.Mungu anawaona.mnatuchafua sana ninyi.Nilipenda mafuta Yenu sasa nayaogopa mno.
Mnacheza na mungu yupo hai
Nasikia nabii wao wa uongo anaepromote ushoga keshapi😮gwa Kofi na Mungu
Masisi ya mkaa endelea kusema biblia ni kabuli ona Leo huwezi kuongea MUNGU ANAPIGA SIO MCHEZO
Hapo hakuna mwema vibaka watupu na huyo mama ndo hatari kabisaaa
Amepigwa Kofi zito na Mungu
😔🥰tamaa mbaya sana kisa pesa na bado shetani hana fadhila
Hapo sijaona kama ni kuomba radhi bali ni technical-know-how to manipulate the slow learners.
Mungu tandika Hawa maana wamezidi
HUYO MAMA ALIIMBA WIMBO AKISEMA NEEMA KWA WASENGE WOTE NEEMA IMEFUNULIWA. MSHENZI KABISA
Ndo huyo kumbe! Lol
Mungu ampige eti askof!
Y hawa tuu huu wimbo sio wa leo wala jana mbona kwa majambaji hamsemi? Na leo ndio kukatwa watu wapanga kumeibuka kwa upya siku moja mtanikumbuka sana
Hakuna kufunguliwa huyo askofu ni mwehu
Eti watumishi wa Mungu!!!?? Mungu yupi huyooo!!!?
Mungu wa kuzimu au wa mbunguni Maana kuna miungu wengi
Huyu mama alikuwa na kazi nzuri ya kutengeneza vipodozi sasa tena leo umeongia huko makubws!!!!!!
Ukute hata vipodozi vyake vina vina viambatana ushoga na usagaj
Kwanini usiendelee kuamini? Upinzani ni mbaya sana
Mapepo nyinyi mungu awahukum
hebu tuimbieni ule wimbo wa"Neema kwa wasenge wote neema imefunuliwaa
Mpumbafu saana huyu mama yaaani wajinga kabisa Hawa watu
Michizi hii
Ndio maana Kristo alikufa kwa ajili ya wenye dhambi sio watakatifu na kama ni watakatifu bali alikufa bure
Wamesha mpiga dawa mchungaji ili aumwe kisha wamchafue jamani jichunguzeni mara kazaa kabra ya kukashifu jambo kama ushoga nchi inajua chanzo ni wapi wakamatwe wachukuliwe Sheria sio kukashifu WATUMISHI WA zuri kama Hawa kamateni wamafuta ya upako lakini huyu uhubiri uhalisia WA maisha mnaboa sana hukumu yenu ipo
Huyo aliyepembeni alikuwa anatamba kwa upotoshaji wa Biblia. Vilevile alisema Ushoga si shida. Msijitetee timesikiliza yote. Wala haisidii kujikosha.
Awa watu ikowezeka wafungwe kifungo cha maisha
Mama chizi mzee chizi ushoga ?
Watumishi hawo siyo watumishi wa Mungu hawo .. mahanithi hawo
Acheni kumchafua yesu ,Mungu hazihakiwi
Asifananishe mtoza ushuru na shoga bwana
Huyu jamaa si ushoga tuu Hadi vitabu vya mungu analeta KUFURU
Aliita Biblia ni kaburu la ajabu..kwani kuna mjinga mmoja alisema kitu..tukaamini..
Aiseeee
Hao wote wanao jiita manabi wote ni mashetani makubwa
Hawa wakapimwe kwanza kama wabunge......... Watakuwa hawako salama sana
Mchungaji shoga huyo
Hiyo Kampuni yake ya Bidhaa za GRACE PRODUCTS zichunguzwe sana huenda Kuna Vichocheo (Hormones) vinavyofanya Wanaume wapende Ushoga na Wanawake Wapende Usagaji na Kulawitiwa.
Aah sana kabisa kabisa
Kweli
Unavyosoma kwa hisia utafikiri kweli jinga kabisa
Yaani hata unavyosoma TU hapo we kimama unakera ondokaaa
😂😂😂😂 Mungu hadhiakiwi
Siku zote shetani huwatumia wanawake ata huyu mama apa katumiwa na shetani kutetea ushetani Mungu atakutananae
Masisi sijui umekengeukaje,rudi kwenye njia za Mungu nakuomba,kwa kweli nimekusikiliza nikaishia kusikitika unasema kuna kitabu kinakuja zaidi ya ya hii biblia?ulianza vizuri na unakoishia omba rehema za Mungu shetani anakuwinda,
Hawa watu wamefilisika wako tayari kumtukana Mungu kwa ajili ya pesa
Nabado naomuombea aendelee kuwa hoi mpaka afe kwani huyu ni wakala wa shetani,
Nyinyi ni mashoga na wasagaji,bado hamjapigwa hadi mfe tu
Mshadw nachama chanu wanafiki wakumw na mungu atawa laani kaumuluti mnaya funya
Mungu atashulika na nyie😢
Mnaimba NEEMA Kwa mashoga,biblia kitabu Cha ajabu mmmh
Wewe mzeee makengeza mahubiri yako yanaukakasi Sana hapa mlipofikia tutaanza kuvamia huduma zenu fake ,,wakristu tumechoka Imani yetu kukashifiwa,,
Aki au haki???...
Unachafua Kiswahili
Aisee Mungu huwezi kumchezea chezea wewe wewe wewe si umeona upanga wa Mungu usitubu nenda katubu Kwa Mungu uliyemtukana na biblia yake nabado atakunyoosha lione lilivyokonda kamuulize Lusekelo na wewe mama na laana iwapige wote upanga wa Mungu ushughulike nanyi mpaka mkome
Mapepo wakubwa nyinyinyi
Myshindwe ktk jina la yesu kristo aliye hai.
Uyoo si alisema yye ni shoga
Njaa ni chanzo cha dhambi
Sina njaa kabisa natafuta pesa kwa jasho langu mwenyewe. Bila kulala usiku na mchana tuonyeshe cha kwako
Upingwe kanza ufe life chakora ufe kifo Cha jeshi lafarao
U Dr haukufanyi kumjua Mungu.
Ana U Dr gani mavi tu hawa
Hawa n mashoga hmn kitu hapo
How can we believe she is his wife ilhali kasema yeye Ni chakula ....?
Huyton.mwenye.masokio.marefu.naye.shoqaa
Sema shoga Martin bashwanda siyo mtume
Msitumie defence ya vipande kukiri kosa wazi wazi ni bora kuliko kuzunguka zunguka, hawa watu wahakikiwe elimu zao naona hawako sawa
Ina maana hapo ndo tayari mmejitetea? Mbona nguvu ya ki mbingu haionekani ila dhaifu tu? NAWASHAURI MTUBIE MWENENDO WA HUDUMA YENU NA MRUDI MWE WAUMINI WA KAWAIDA ILI MFUNDISHWE JINSI ILIYO NJEMA MBELE ZA MUNGU.
Huyo bishop gani pumbavu
Upuuuzi tu
Asiweze kuongea kwa Sasa mbona mwanzo alikua anaikashfu Biblia?
Weww ni shog
2 Wakorinth 11:13-15 "Shetani kujigeuza
Msihalibu thehebu la Kristo
Msimchezee Mungu mtapigwa naMungu mwenyewe mnasapotiwa na Hawa wakuu wa ushoga mnajifanya kuota mapembe na kuipotosha kweli ya Mungu msijisuuze ndivyo mlivyo mahubiri yenu Yako kinyume na Biblia mapambio yenu ya autukuza ushoga na hata hizo bidhaa zenu nimezitumia ninamiaka kumi Sasa na nimefanya maamuzi kuziacha achenu kujifanya Sasa mnatumia mistari ya Biblia kujifanya ninyi niwatumishi wa Mungu ninyi ni wa ubilisi baba wa uongo