MBOWE AAPA KUACHA SIASA ENDAPO CCM WATASHINDA HATA KITI KIMOJA CHA UBUNGE ALIAMSHA LUSHOTO NA SAME
Vložit
- čas přidán 5. 07. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
CZcams : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Safi sana kamanda
Hakuna kuacha Uenyekiti Mbona china wamemuamini raisi wao na kumpa uraisi wa kudumu hata sisi pia tunakuamini MKUU wew ñdio mwenyekiti wetu wa kudumu
Kaka hongera kwa kufanya utalii wa ndani ya nchi
Ebu wape nafasi wenzako kwenye uenyekiti wa chama Taifa
Mbona inakuuma unataka upewe wewe hio nafasi huyo ñdio mwenykiti wetu Wa kudumu Kama raisi wa China anavyo aminiwa na wananchi wake na sisi pia Mbowe tunamuani
Hivi mnatarajia Ubunge mtachukua kweli , mtaongea sana kwa lipi hasa mlilofanya zaidi ya kutafuta matukio na kuyaongelea. na kuanza kutukana watu.
Huwezi kuacha siasa. Utawakatisha tamaa wenzako. Unaweza achia ngazi ya uenyekiti ndii. Ukawa baba mlezi wa chama
Mbona wapo wachache Nawaonea huruma.