Tundu lisu hakika ww unapendwa na watu kwakua ni mkweli na sio muoga kusema ukwel wangekua wengne ambao ni machawa wasingesema ukwel bali hua wanajali feza kuliko haki
Ana jaribu sana kushawishi wananchi kazi bure angalia watu wanamtazama kama kinyago hangaika baba tunampenda mama yetu ata useme nini wewe mbaguzi hatukutaki
Mishahara Ya Wabunge 80 kutoka zanzibar askari police na wanajeshi wote kutoka zanzbar wanalipwa mishahara kwa jasho la Watanganyika 😂😂😂
Tundu lisu hakika ww unapendwa na watu kwakua ni mkweli na sio muoga kusema ukwel wangekua wengne ambao ni machawa wasingesema ukwel bali hua wanajali feza kuliko haki
Ana jaribu sana kushawishi wananchi kazi bure angalia watu wanamtazama kama kinyago hangaika baba tunampenda mama yetu ata useme nini wewe mbaguzi hatukutaki
Mahakama ipi ?
Kwenda zako. Rudi ughaibuni ulikokuwa huna sera
Tundulisu akiri ndogo
Ujeuri wako huo nfiyo unaokupoza
Huna Serra wewe wala shukrani na unastahili matibabu ya kichwa