Nape amvaa Tundu Lissu Bungeni kuhusu kumwita Rais Samia Mzanzibari
Vložit
- čas přidán 28. 04. 2024
- Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amemvaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kwa kukosoa baadhi ya mambo akkisema kkwamba mambo hayo yamefanywa na Rais Samia kwasababu ni Mzanzibari.
Waziri Nape ameyasema hayo leo Jumatatu, Aprili 29, 2024 wakati akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ambapo ameeleza kuwa alitegemea chama chake kimkemee.
Akizungumza Mkoani Manyara siku chache zilizopita Tundu Lissu alisema kama kusingekuwa na muungano Rais Samia Suluhu Hassan asingekuwa Rais wa Tanzania.
"Bila miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Samia Suluhu Hassan asingekuwa anafukuza Wamasai, anafukuza sababu ya kuwa na muungano" ameongeza
Jamani watanzania wanauelewa,tukubari katiba ya Zanzibar inamapungufu,lisu amefafanua katiba ya Zanzibar,Mheshimiwa Nape Msikilize lisu vizuri,Ukishindwa kumuelewa basi
Nape ni Chawa wa Samia
Ameni na ndivyo ilivyo ukweri ni mchungu
Huyu Jamaa huwa anakurupukaga na KUPAYAUKA PAYUKA tu,CCM imemkemea yule aliyesema TUKIWAPOTEZA Police msiwatafute ? Yule aliyewaripoti Mawaziri kuwa wanalipa Watu kumtukana Rais Chama chake kimekemea ? Atuambbie kwanza hatua ambazo Chama chake kimechukua.Kuandamana na kufanya Mikutano ni Haki ya Vyama vya Siasa iliyposainiwa na vyama vyote siyo CCM peke yake.Kama anadhani Lisu amekosea AENDE MHAKAMANI KUMSHTAKI AONE atakavyopigwa KUMBO ya mita milion 10.Hana Hoja ya Msingi.
😅😅😅😅@@joezeno8
Nape Wewe ni shida ktk taifa letu unaweza kusikilizwa na wapuuzi wasiokua na akili. Goli la mkono.
Tundu lisu tunampenda chadema tunaipenda wewe piga kelele CCM tumeichoka bandari yetu iko wapi😊
Ipo magogoni...inaonesha wewe hata Dar huijui. Hebu panda basi ufike DAR kidogo ndio uulize masuali ya kama mlevi
Huyu nape tatizo ni elimu ndogo maana ndiyo shida ya kuteuliwa kwa kazi usiyoijua, anasema mtu kaitwa mzanzibari kwani siyo mzanzibari, nchi hii tuombeane sana maana karibu yote wanayosema chadema ni kweli na upande wa pili wantetea uovu hii ni mbaya sana, haki huinua taifa.
Wazanzibari hawautaki Muungano, huu sio Muungano ni Tanganyika kuitawala Zanzibar kwa mabavu.
insha ALLAH utafika mwisho. tatizo waislamu ni wengi wengekua wachache kama sudani saizi umekwisha na usingekuwepo.
We mbona unataka kuweka hudini wakati wenzio wanataka maliziano ya kueshimuana
Hacha huo hupumbavu wa hudini
Mwizi akiibiwa anakuwa mkali kwelikweli
Nape bana, naona unapiga kelele tu, Mbona Lissu ameongea point sana. Tunakulaani wewe natutakutenga wewe si Lissu. Eti kwa uungwana!
Nape Mungu akuzime Wewe nakizazi chako chote mchonganishi wa kwanza ktk taifa letu ni Wewe . Sasa msikie msomi alivyo kujibu unahisi hukwenda shule umejibiwa kisayansi Domo limekushuka mchonganishi mkubwa goli la mkono tumekuchoka nape
Nape naona anabwabwaja tu badala ya kwenda kwenye hoja ya msingi....acha uchawa mzee...infact mzee lisu yupo sawa
Nape msijifanye mnawapenda wazanzibari mbona kwenye uchaguzi karume anasema mnaiba kura na ccm haijawahi kushinda.Tendeni haki acheni unafiki.Samia ni mtanzania na ni rais wetu.
Ni mzanzibari ndio kwani uongo? Watanganyika, tunanufaika vipi na huo muungano? Mbona ukinunua bidhaa Zanzibar kuleta Tanganyika unatozwa kodi? 2. mbona mtanganyika hawezi kununua ardhi Zanzibar? 3. mbona hakuna Mtanganyika aliyewahi kuwa rais wa Zanzibar? TUNATAKA KATIBA MPYA msituchanganye
Nape Nnauye anatetea Tumbo lake Kubwa hakuna lingine Tundu Lissu anatetea nchi na Tanganyika yetu inayouzwa huku tukiangalia kwa mcho kwa kisngizio cha jinamizi la muungano.
Homa za kipumbavu kabisa.
Nyerere hajasema kama alivyosema Lissu ambae ni kilema mkimbizi.
Wazanzibar hawakutaka kuiondoa nchi yao ndani ya muungano huu tofauti na Nyerere aliyekubali kuiua Tanganyika.
Sasa unamuungaje mkono Nyerere ambae ndie chanzo cha kuididimiza Tanganyika??
Jamani watanganyika tudai katiba yetu km sisi watanganyika,na katiba ya muungano wetu wa kati wa hizi nchi mbili Tanganyika na Zanzibar hapo haki itakuwa imetendeka
Ni kweli yeye ni Mzanzibari,lkn pia ana nafasi ya Utanzania pia, sasa je tuambie huo Utanganyika uko wapi?
Aiseee tumbo linaangamiza taifa hili hii takataka hata hijawahi kuchaguliwa kuwa mbunge ilpoka kwa nguvu inaongea utumbo huu unaouma hivi jamani ndo kilichompeleka bungeni? Bora ile bastola ingefetuka afe kuliko kuwa lichawa kiasi hiki
Yupo sahihi tundu lissu hata baba wa taifa aliyasema
Hayupo sahihi kabisa kosa lake ni kutaja huyu mzanzibar ni ubaguzi kabisa.Mana Samia ni president wa Tanzania kiwa na heshima
@@polloz77Nataka nikutumie Video Mama akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar
Tujiulize watz raisi wa kutoka bara ana uwezo wa kutoa hata kiwanja cha 20 kwa 20 pale zanzibar sasa huo muungano ni upi yaani bara ni cha wote znz ni changu ni changu
Alietaka twende Zanzibar kwa passport siyo mbaguzi?
Zanzibar ina passpot yake muungano tu ndio umeiondosha sio jambo geni
@@TwoBrother-tc2cu tumeshaungana, sasa passport ya nini ndg? Kurudisha passport ni kuvunja muungano.(japo muungano wenyewe siupendi kbx)
@@Darian2550 kuungana sio sababu yakutokuwepo passport ,ikiwa ni nchi mbili basi kila moja ibaki na utambulisho wake na utaifa wake ikiwepo na hiyo serikali shirikishi kama zilivyo nchi nyengine zilivyoungana
@@Darian2550kaka Acha tu
Mimi
Siupendi Kabisa Muungano hawa wazanzibar kuna namna niwabaguzi sana bana
@@TwoBrother-tc2cuMuungano una faida kwenu Wazanzibari
Ukweli unauma
Hamtaki kukosolewa
Unachotetea ni tumbo lako tuu
Acha kutudanganya chawa wewe
Hatimae Ccm wameanza kulia,hapo kwa nape sijaona hoja Bali kelele tu.alafu ningependa wote wanao mshambulia Lisu waseme Lisu ni muongo na watupe ukweli wao
Sasa tundu lisu kakosea wapi mbona wazir ana paniki 🤪🤪🤪
Anabweka kwelikweli anajua hana uwezo wa kumchallenge Lisu,na hilo ndilo linamuuma kwelikweli,sasa amebaki kupiga MAYOWE tu hata wenzie wanamuna huyu jamaa vipi ?
Kitaja huyu ni mzanzibar at least angesema Raisi Samia suluhu au Raisi wa Tanzania not mzanzibar next time hataleta ukabila
@@polloz77mama anajitambulisha hivyo mwenyewe... Kaangalie CZcams channel ya SK Media umsikie mama akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar
Chadema wanawekeza sana kwenye elimu. Yaani utagundua tofauti kubwa sana katika hoja za pande tofauti😊
Huyu Nape Anamatatizo ya Akili kati yako na Lissu Nani Mpuuzi wa Kupuuzwa 😅😅😅
mnafiki mkubwa wewe huna lolote alikunyosha mjomba magu
Nyinyi mnagongantu meza utekelezaji hakuna ukweli unauma lisu anasema ukweli99%
Kwanza cc tunaitaka Tanganyika yetuuuuu, mbona unakuwa mkaliii . 😂
Je kuwafukusa wamaasai ngorongoro ndiyo Rais wa Tanganyika!!!
Lisu oyee
Wape vidonge vyao, hawapendi kukosolewa, ukiwakosoa umewatukana😅
Nape usifikiri unaongea na wajinga!!!
Lissu amenukuu katiba ww unapiga domo tu hilo ndio tatizo la ccm hata mstaafu Devid msuya amewamaliza chadema ni wazuri kwa hoja
Hivi viongozi wetu hamwezi kujibu hoja kwa uelewa mnapiga porojo tu Nilitegemea level ya Waziri angeweza kujibu vitu kwa uelewa Hivi Nape ulimsikiliza Lissu vizuri kweli Katoa na ushahidi wa Katiba ww unajibu porojo Kwani hakuna mzanzibari kweli nchi hii Bora niiache tu CCCM toka 1977 kunapoelekea sioni mwanga Ni ubabw tu
Sio kwamba wanaompinga lisu sio wote ambao hawajui ukweli,Lisu amesema ukweli bali kuna watu wamezoea uongo na wanaufanya ukweli.
Nape suti ya bure tu.....chujio lako la kusikiliza na kuelewa bado ni tatizo....Nina wasi wasi na na ww kwenye eneo la kusikiliza na kumuelewa mtu kama Lissu...😇
Kwan Tundu lissu aliruhusiwa na nani kuongea? Kwani siyo haki kuongea? Sisi mnatuambia tukitenge chama! C mtuulize kwanza nini Maoni yetu? Lissu tumemuelewa sana
Humekosea Bro hapo hahupo sawa kabisa we need Africa united siyo utengano
Tanzania ni mfano kwa Africa
Next time utasema mbona viongozi wengi ni Wachagga?
Neno la kusema ni mzanzibari ni wrong at least useme Raisi wa Tanzania kafanya hivi na hivi siyo kisema ni mzanziba wewe ni kiongozi
We love mama yetu Samia suluhu
Love my country Tanzania
Nakubaliana na alicjokizungumza nape kuhusu lisu sio sawa kabisaa lisu kuzungumza hayo wakati yeye amerudi na kulipwa kwa uongoz wa mama
Nape ni Chawa wa Samia
Yawezekana nappe ni chawa 😂
Jaman nape ivi umemwelewa lisu? Lisu kanukuu katiba katiba ndo inasema na siyo lisu.mtanganyika hawezi kumiliki mali za zanzibar
Zanzibar wala hatutaki Muungano ila hawa CCM jamani kwann munatulazimisha duh 😢
Wazanzibari tunataka nchi yetu ❤
We Nape Kwani Kwani CC Kuna Mzanzbari na Mtanzani Mpemba Mmakonde Tunamakabila Kibao Kumuita Raisi Wetu Ni Mzanzibari liko Wapi kosa?
Hapana tafakari kwa mapana mm ni mzaram,ila kwa mfano raisi mchaga halafu mm nisimame kwa sababu raisi ni mchaga sio WA pwani ndio maana amefanya hili,hapa Kuna tafakuri Pana msichukulie kishabiki kwa mwenye akili Pana Hana maana sehem aliyotoka tuu Kuna mpaka udini na ukanda lkn amelidhihirisha kwa kificho
Lissu you are right!!!!!!!
Safi waziri Nape
Tunaiyona Zanzibar inavyo endelea kainch kadogo lakini tunagawana pesa za misaada sawa na pesa zinazoka t bala ni akili hiyo mali zetu zinauzwa zao haziuzwi niakili hiyo mtu akisema mbaguzi pumbavu hawa tumesha wachoka mwisho wao ndio huu
Mh.Nape Mama ni Mzanzibari huwezi pinga Kwa lolote Kwa sababu wazanzibari hawataki muumgano na ili ujidhihirishe mbona yule mbunge aliyetaka passport za kuingia Zanzibar hakuonesha mgawanyo ,acha ulevi wew Kwa sababu ni kwamba anayoyafanya huyo Rais hayajakukuta Kwa sababu mnafanya wote
Hawa dawa yao ni kwenye box 📦 la kupigia kula watanganyika wote safari hii ndio chansi yetu pekee futa CCM kula zote kwa CHADEMA au vyama vyote vya siasa Tanganyika viungane na watashinda mchana kweupee 😂😂😂
Sioni hoja ila kelele,mjibuni Lissu kwa hoja sio kwa votiso na dharau.uwezo wake wa kuelezea jambo ni wa juu sana na ameongelea swala hilo kwa mifano hai
MH Nape chama chake mbona nichama kama chama chako ambacho wanachama wenu wanasema wawapoteze wanachi wanao unga mkono upinzani mbona hujaliongelea hili mkuu? jambo jingine sio kuzika cha chaupinzani issue hapa ni je? Muungano unamanufaa pande zote mbili? jingine kwani Mama Samia sio mzanzibari? Mbona nimesikia Spika akitaja au wasidizi wakisema mbunge kutoka zanziba uliza swali la nyongeza?
kwani alisema uongo ameuza Bandar zetu,naona nape ujieliwi kabisa
Police kulinda wananchi sio hisani ni wajibu wao kwa mujibu wa katiba.
Wew huna hoja kwanin Samia siyo mzanzibar, unasiasa za kizamani, huwezi kuwa na mapya
Kwahy Nape anataka kusema unapofadhiriwa na mkuu wa nchi cheo huwez kumkosoa ht kama kuna makosa huo sio utaratibu km kuna makosa lazima yazungumzwe ninyi ndio wale tunawaita wachumia tumbo
Elimu ni bora kuliko hoja ya bila Elimu!
Kwakua amelipwa pesa zake ndio akiona mambo hayaendi sawa anyamaze kimya!!
Hivi kama sisi wanajimbo la mtama tuesabu tuna mbunge!! Hi nchi ngumu sana
Zanzibar inaishi, Tanganyika ilikufaje?
Yaani nape huwezi kujibu hoja zaidi ya kupiga kelele
Jamani ukweri ni kwamba watanika wananyanyaswa zambari
Kufanya mikutano ni matakwa ya katiba sio samia,kemea ufisadi wa ccm sio lisu
mbona Lissu anaongea kwa hoja kwann nape nae asijibu kwa hoja?!bongo bna!
Hamna kugawa taifa hapo, zanzibar mna identity yenu kama Wazanzibari na alichosema tundu ni sawasawa tu. Kama hautaki uzanzibari waondoe katiba ya zanzibar na wasijiudentify kama Wazanzibari. Lissu yupo sawa.
NAPE ACHA UNAFIKO
Lissu yupo sahih kwan rais ni Mzanzibar au Mtanganyika? Katiba ibadilishwe raia wa kawaida wafaidi muungano na syo watawala pekee
Toka wew nape hatukutak kabisa fisad
Huyu nape vip?!kwan rais mtanganyika?!dah!siasa zetu bana!
Nape bwege kweli nani ana kwelewa na kelele zako
😂😂😂😂😂Me nachekaga tu hii nchi bana dah😀😀
Nape tambua tunaakili kwa hiyo mh siyo mzanzibar
Comments zinaongea mambo mengi. Timizeni wajibu wenu!
Amesema ukweli katiba mpya
Usilinde kiti kaka kizazi chako hakitakuwa bungeni sema ukweli mzee
Ww amuna kitu unacho sema Bora ata uondolewe bungeni uache kelele sawa
Tulia wakufundishe teteya tumbo baba Ila tundulisu atakufundisha katiba
Jinga la mwanaume lenye halina shukran
Lissu kasema ukweli lakini. Na kuandamana sio uungwana wa rais, ni haki ya kila Mtanzania.
Kwani haki ya mtu kikatiba ni msaada? Nape tunajua kama upo sio lazima useme yasiyofaa
Rais Samia mstaarabu sana kiukweli kumtukana ni dhambi. Kukosoa ni sawa sio kutukana tuu kutwa nzima jamani
Mmeshiwa kabisa CCM, mwisho wetu wa kuvimba hayo matumbo
Uzuli tundulisu atakujibu nawewe we endelea kubwatuka unafikili sisi mazezeta hoja ya tundulisu itajibiwa na sisiemu yote mmezoea kula bule bule tundulisu nakupenda sana mungu akubaliki kiongozi wangu tundulisu
Tundu lisu igekuwa madaraka yapo na uwepesi ugekuwa rais lakini tambua maneno yako ndo sumu kwa taifa mwenyez mungu anasema hapendi mtu asipenda kushukuru ndo lisu kama hutaki mzanzibari mbona wewe umeshindwa kuiogoza nchi tok nipate akili naambiwa Kuna chadema mpka leo hii hakijafanikiwa kupata uongozi na hautaumpata abadani
Fanya duniani ukapate maisha bora akhera kaka angu duniani Kuna maisha mafupi sana kaka
Katiba mpya ndo Jambo la kwanz tunatak katiba mpya nape una jipy
Basi amsamehe alikosea sio mzenji ni mkenya
Hunaaa akiliiiii weweee😅
Kelele nyingi kuliko hoja.
Sera ya uwekezaji na kuvutia wawekezaji zinatengeneza nyufa au kifo cha muungano na kifo cha ccm. Tumieni wtz kuleta maendeleo sio wawekezaji Nyerere aliyaona hayo kuwa ni mabaya .Dalili ninazo ziona hapa hazina afya kwa taifa letu kama tusipobadili sera hizo
Namuona halima mdee katulia.. ofcourse this is how the politics are...but what i know that with mandate will always be there since all we see are due to its presence📌
Nyinyi kama mnaheshimu katiba mngeuza bandari kwa lazima?
Nape sisi watanzania tunaakili ww huwez kutuongopea ukweli unauma eeee 😂😂
Muungano ni wa Nyerere na Karume, Wazanzibari hawajashikishwa katika kuunda Muungano.
Ktk hizi nchi mbili muungano wetu utaendelea hauwezi kufa, maana uliasisiwa na viongozi wetu waliotangulia mbele za HAKI Mungu wa mbinguni ibriki Tanganyika yetu,Mungu ibariki Zanzibar yao,Mungu ubariki muungano wetu ambayo ni Tanzania yetu sote, viongozi Tendeni haki msiwe kupe au chawa.
Nenda Kaombe kumiliki Ardh Zanzibar tuone
Muungano una faida kubwa kwa Wazanzibari na sio watanganyika
Sasa asilimia kubwa ya wazanzibr hawataki muungano
Katiba ya Tanzania na Katiba ya Zanzibar
Nape naona huna muda mrefu ktk siasa kama alivyokuwa mwenzako mwakyembe alivyofumbja macho uovu wakati wa jpm
Mi ntatumia nguvu zangu kumpongeza bwana lissu,,, lissue ongeza sauti wakusikie vzr
Some time lisu kwa hili yupo sw jibun hoja sio porojo
Kweli nape ni ropo ropo😅
Huyu hata hoja hana daaah..!!😂😂😂
Mungano huo ni Mungano wa viongozi wa CCM ndy wananufaika wananchi twaumia tubadilike hata miaka kadhaa tu✌️✌️✌️✌️✌️👊
Kwan Samiya siyo Mzanzibar
Hivi Kuna katiba ngapi nchini Tanzania? Siyo mbili kwenye nchi Moja !
Pekeji yake Iko Zanzibar tu + nauli , bara ni ahadi tu.
Lisu yuko sahii,maana wazanzibari wanapata fursa ya kununua arthi Tanganyika ila sisi watanganyika wao hawana haki ya kumiliki arthi zanzibari
Ila Muh Lisu Kusema Hivyo Ni Kuwaonyesha Watanzania Kua Lisu Ni Mbaguzi Na Kua Na Kauli Za Kibaguzi Inamaana Hata Ukipewa Kuongoza Nchi Utaleta Mmomonyoko Nadhani Kwa Watanzania Hawatopenda, Samahani Kiongozi Chunga Kauli Zako,
NAPE NI SHOGA LISILIJIELEWA. WATANGANYIKA HIVI ANAZO AKILI AU MATOPE KAMA HUYU MPUMBAVU WA NAPE. WAZANZIBARI NA WATANGANYIKA HAWANA UTAMADUNI WA PAMOJA, WAZANZIBARI WANAIPENDA NCHI YAO ILA WATANGANYIKA HAWAJIELEWI
That was a reckless statement from Tundu Lissu. Ask as Kenyans...tribalism is the worst thing in a country.
Uko sawa Sana Mh nape
Huna mvuto
Hongera sana waziri nape haya maneno wenye masikio tusikie
Kumbe na wewe ni chawa tu
Nape huna nguvu ya hoja,unatumia nguvu kubwa kuongea Kwa sauti,leta nguvu ya hoja
Mh. Nape usitufunge na kitambaa usoni, katiba inamapungufu sawa, nakubaliana na hilo,kwamba lisu mbaguzi wakati aliyoyaongea yote katiba imezungumza tena katiba ile ile anakotoka mama Inamaana alivotuambia wananchi ni kosa ila nyinyi na kikundi chenu mnajiona mkosahihi si ndiyo,kama ndoivo basi msiilekebishe hiyo katiba nyinyi mmetuona sisi ni manyumbu, nyinyi makukundi chenu mmojawapo akifukuzwa kwenye kikundi ndohuwa mnaanza kusema ukweli, haya endeleeni na uongo wenu.
Naomba mnisaidie jamani, Nape amesema nchi zingine barani Africa zilijaribu kuugana lakini walishindwa… swali langu… ni nchi gani barani Africa zilizo ungana lakini walishindwa? Kwa wanao fahamu Naomba mnielimishe