Nape amvaa Tundu Lissu Bungeni kuhusu kumwita Rais Samia Mzanzibari

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 04. 2024
  • Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amemvaa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kwa kukosoa baadhi ya mambo akkisema kkwamba mambo hayo yamefanywa na Rais Samia kwasababu ni Mzanzibari.
    Waziri Nape ameyasema hayo leo Jumatatu, Aprili 29, 2024 wakati akichangia mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2024/2025, ambapo ameeleza kuwa alitegemea chama chake kimkemee.
    Akizungumza Mkoani Manyara siku chache zilizopita Tundu Lissu alisema kama kusingekuwa na muungano Rais Samia Suluhu Hassan asingekuwa Rais wa Tanzania.
    "Bila miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar Samia Suluhu Hassan asingekuwa anafukuza Wamasai, anafukuza sababu ya kuwa na muungano" ameongeza

Komentáře • 498

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 Před 2 měsíci +33

    Jamani watanzania wanauelewa,tukubari katiba ya Zanzibar inamapungufu,lisu amefafanua katiba ya Zanzibar,Mheshimiwa Nape Msikilize lisu vizuri,Ukishindwa kumuelewa basi

    • @joezeno8
      @joezeno8 Před 2 měsíci +4

      Nape ni Chawa wa Samia

    • @user-zj4ii6uf7t
      @user-zj4ii6uf7t Před 2 měsíci +1

      Ameni na ndivyo ilivyo ukweri ni mchungu

    • @oscarmsigala6548
      @oscarmsigala6548 Před 2 měsíci

      Huyu Jamaa huwa anakurupukaga na KUPAYAUKA PAYUKA tu,CCM imemkemea yule aliyesema TUKIWAPOTEZA Police msiwatafute ? Yule aliyewaripoti Mawaziri kuwa wanalipa Watu kumtukana Rais Chama chake kimekemea ? Atuambbie kwanza hatua ambazo Chama chake kimechukua.Kuandamana na kufanya Mikutano ni Haki ya Vyama vya Siasa iliyposainiwa na vyama vyote siyo CCM peke yake.Kama anadhani Lisu amekosea AENDE MHAKAMANI KUMSHTAKI AONE atakavyopigwa KUMBO ya mita milion 10.Hana Hoja ya Msingi.

    • @kisasichona7065
      @kisasichona7065 Před 2 měsíci

      😅😅😅😅​@@joezeno8

    • @richimuniko3578
      @richimuniko3578 Před 2 měsíci +3

      Nape Wewe ni shida ktk taifa letu unaweza kusikilizwa na wapuuzi wasiokua na akili. Goli la mkono.

  • @laupetpet7779
    @laupetpet7779 Před 2 měsíci +16

    Tundu lisu tunampenda chadema tunaipenda wewe piga kelele CCM tumeichoka bandari yetu iko wapi😊

    • @hafidhsaid2011
      @hafidhsaid2011 Před měsícem

      Ipo magogoni...inaonesha wewe hata Dar huijui. Hebu panda basi ufike DAR kidogo ndio uulize masuali ya kama mlevi

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 2 měsíci +13

    Huyu nape tatizo ni elimu ndogo maana ndiyo shida ya kuteuliwa kwa kazi usiyoijua, anasema mtu kaitwa mzanzibari kwani siyo mzanzibari, nchi hii tuombeane sana maana karibu yote wanayosema chadema ni kweli na upande wa pili wantetea uovu hii ni mbaya sana, haki huinua taifa.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 2 měsíci +26

    Wazanzibari hawautaki Muungano, huu sio Muungano ni Tanganyika kuitawala Zanzibar kwa mabavu.

    • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
      @CharafimalisalimoAli-qw3hk Před 2 měsíci +1

      insha ALLAH utafika mwisho. tatizo waislamu ni wengi wengekua wachache kama sudani saizi umekwisha na usingekuwepo.

    • @Frankgamanuel
      @Frankgamanuel Před 2 měsíci +1

      We mbona unataka kuweka hudini wakati wenzio wanataka maliziano ya kueshimuana
      Hacha huo hupumbavu wa hudini

  • @user-xt3pq4hb2r
    @user-xt3pq4hb2r Před 2 měsíci +25

    Mwizi akiibiwa anakuwa mkali kwelikweli

  • @WinfridaCreitus-bf3zn
    @WinfridaCreitus-bf3zn Před 2 měsíci +16

    Nape bana, naona unapiga kelele tu, Mbona Lissu ameongea point sana. Tunakulaani wewe natutakutenga wewe si Lissu. Eti kwa uungwana!

    • @richimuniko3578
      @richimuniko3578 Před 2 měsíci +1

      Nape Mungu akuzime Wewe nakizazi chako chote mchonganishi wa kwanza ktk taifa letu ni Wewe . Sasa msikie msomi alivyo kujibu unahisi hukwenda shule umejibiwa kisayansi Domo limekushuka mchonganishi mkubwa goli la mkono tumekuchoka nape

  • @vicentdaud2632
    @vicentdaud2632 Před 2 měsíci +5

    Nape naona anabwabwaja tu badala ya kwenda kwenye hoja ya msingi....acha uchawa mzee...infact mzee lisu yupo sawa

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 2 měsíci +16

    Nape msijifanye mnawapenda wazanzibari mbona kwenye uchaguzi karume anasema mnaiba kura na ccm haijawahi kushinda.Tendeni haki acheni unafiki.Samia ni mtanzania na ni rais wetu.

  • @laurencematitah7046
    @laurencematitah7046 Před 2 měsíci +36

    Ni mzanzibari ndio kwani uongo? Watanganyika, tunanufaika vipi na huo muungano? Mbona ukinunua bidhaa Zanzibar kuleta Tanganyika unatozwa kodi? 2. mbona mtanganyika hawezi kununua ardhi Zanzibar? 3. mbona hakuna Mtanganyika aliyewahi kuwa rais wa Zanzibar? TUNATAKA KATIBA MPYA msituchanganye

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před 2 měsíci +1

      Nape Nnauye anatetea Tumbo lake Kubwa hakuna lingine Tundu Lissu anatetea nchi na Tanganyika yetu inayouzwa huku tukiangalia kwa mcho kwa kisngizio cha jinamizi la muungano.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před 2 měsíci +2

      Homa za kipumbavu kabisa.
      Nyerere hajasema kama alivyosema Lissu ambae ni kilema mkimbizi.
      Wazanzibar hawakutaka kuiondoa nchi yao ndani ya muungano huu tofauti na Nyerere aliyekubali kuiua Tanganyika.
      Sasa unamuungaje mkono Nyerere ambae ndie chanzo cha kuididimiza Tanganyika??

    • @user-zj4ii6uf7t
      @user-zj4ii6uf7t Před 2 měsíci

      Jamani watanganyika tudai katiba yetu km sisi watanganyika,na katiba ya muungano wetu wa kati wa hizi nchi mbili Tanganyika na Zanzibar hapo haki itakuwa imetendeka

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo Před 2 měsíci

      Ni kweli yeye ni Mzanzibari,lkn pia ana nafasi ya Utanzania pia, sasa je tuambie huo Utanganyika uko wapi?

    • @user-qo7uv2zc3g
      @user-qo7uv2zc3g Před 2 měsíci +1

      Aiseee tumbo linaangamiza taifa hili hii takataka hata hijawahi kuchaguliwa kuwa mbunge ilpoka kwa nguvu inaongea utumbo huu unaouma hivi jamani ndo kilichompeleka bungeni? Bora ile bastola ingefetuka afe kuliko kuwa lichawa kiasi hiki

  • @SimbaNaali-fw3zz
    @SimbaNaali-fw3zz Před 2 měsíci +26

    Yupo sahihi tundu lissu hata baba wa taifa aliyasema

    • @polloz77
      @polloz77 Před 2 měsíci

      Hayupo sahihi kabisa kosa lake ni kutaja huyu mzanzibar ni ubaguzi kabisa.Mana Samia ni president wa Tanzania kiwa na heshima

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma Před měsícem

      ​@@polloz77Nataka nikutumie Video Mama akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar

  • @joshuaswai8203
    @joshuaswai8203 Před 2 měsíci +5

    Tujiulize watz raisi wa kutoka bara ana uwezo wa kutoa hata kiwanja cha 20 kwa 20 pale zanzibar sasa huo muungano ni upi yaani bara ni cha wote znz ni changu ni changu

  • @Darian2550
    @Darian2550 Před 2 měsíci +30

    Alietaka twende Zanzibar kwa passport siyo mbaguzi?

    • @TwoBrother-tc2cu
      @TwoBrother-tc2cu Před 2 měsíci +2

      Zanzibar ina passpot yake muungano tu ndio umeiondosha sio jambo geni

    • @Darian2550
      @Darian2550 Před 2 měsíci +2

      @@TwoBrother-tc2cu tumeshaungana, sasa passport ya nini ndg? Kurudisha passport ni kuvunja muungano.(japo muungano wenyewe siupendi kbx)

    • @TwoBrother-tc2cu
      @TwoBrother-tc2cu Před 2 měsíci +1

      @@Darian2550 kuungana sio sababu yakutokuwepo passport ,ikiwa ni nchi mbili basi kila moja ibaki na utambulisho wake na utaifa wake ikiwepo na hiyo serikali shirikishi kama zilivyo nchi nyengine zilivyoungana

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 Před 2 měsíci +1

      @@Darian2550kaka Acha tu
      Mimi
      Siupendi Kabisa Muungano hawa wazanzibar kuna namna niwabaguzi sana bana

    • @ustawiwetu
      @ustawiwetu Před 2 měsíci

      ​@@TwoBrother-tc2cuMuungano una faida kwenu Wazanzibari

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 2 měsíci +16

    Ukweli unauma
    Hamtaki kukosolewa
    Unachotetea ni tumbo lako tuu
    Acha kutudanganya chawa wewe

  • @kirariwilanya1850
    @kirariwilanya1850 Před 2 měsíci +6

    Hatimae Ccm wameanza kulia,hapo kwa nape sijaona hoja Bali kelele tu.alafu ningependa wote wanao mshambulia Lisu waseme Lisu ni muongo na watupe ukweli wao

  • @user-uq5vm2ge4q
    @user-uq5vm2ge4q Před 2 měsíci +20

    Sasa tundu lisu kakosea wapi mbona wazir ana paniki 🤪🤪🤪

    • @oscarmsigala6548
      @oscarmsigala6548 Před 2 měsíci +1

      Anabweka kwelikweli anajua hana uwezo wa kumchallenge Lisu,na hilo ndilo linamuuma kwelikweli,sasa amebaki kupiga MAYOWE tu hata wenzie wanamuna huyu jamaa vipi ?

    • @polloz77
      @polloz77 Před 2 měsíci

      Kitaja huyu ni mzanzibar at least angesema Raisi Samia suluhu au Raisi wa Tanzania not mzanzibar next time hataleta ukabila

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma Před měsícem

      ​@@polloz77mama anajitambulisha hivyo mwenyewe... Kaangalie CZcams channel ya SK Media umsikie mama akijitambulisha kuwa yeye ni Mzanzibar

  • @alexmahenge9408
    @alexmahenge9408 Před 2 měsíci +1

    Chadema wanawekeza sana kwenye elimu. Yaani utagundua tofauti kubwa sana katika hoja za pande tofauti😊

  • @shukurukwake7447
    @shukurukwake7447 Před měsícem +1

    Huyu Nape Anamatatizo ya Akili kati yako na Lissu Nani Mpuuzi wa Kupuuzwa 😅😅😅

  • @teddysanga1840
    @teddysanga1840 Před 2 měsíci +16

    mnafiki mkubwa wewe huna lolote alikunyosha mjomba magu

  • @AmusedForestBridge-zo6ox
    @AmusedForestBridge-zo6ox Před 2 měsíci +11

    Nyinyi mnagongantu meza utekelezaji hakuna ukweli unauma lisu anasema ukweli99%

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před 2 měsíci +3

    Kwanza cc tunaitaka Tanganyika yetuuuuu, mbona unakuwa mkaliii . 😂

  • @munongomeshili7612
    @munongomeshili7612 Před 2 měsíci +7

    Je kuwafukusa wamaasai ngorongoro ndiyo Rais wa Tanganyika!!!

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 2 měsíci +10

    Lisu oyee
    Wape vidonge vyao, hawapendi kukosolewa, ukiwakosoa umewatukana😅

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Před 2 měsíci +15

    Nape usifikiri unaongea na wajinga!!!

  • @masoudsalum
    @masoudsalum Před 2 měsíci +17

    Lissu amenukuu katiba ww unapiga domo tu hilo ndio tatizo la ccm hata mstaafu Devid msuya amewamaliza chadema ni wazuri kwa hoja

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Před 2 měsíci +2

    Hivi viongozi wetu hamwezi kujibu hoja kwa uelewa mnapiga porojo tu Nilitegemea level ya Waziri angeweza kujibu vitu kwa uelewa Hivi Nape ulimsikiliza Lissu vizuri kweli Katoa na ushahidi wa Katiba ww unajibu porojo Kwani hakuna mzanzibari kweli nchi hii Bora niiache tu CCCM toka 1977 kunapoelekea sioni mwanga Ni ubabw tu

  • @ramamjema8391
    @ramamjema8391 Před 2 měsíci +1

    Sio kwamba wanaompinga lisu sio wote ambao hawajui ukweli,Lisu amesema ukweli bali kuna watu wamezoea uongo na wanaufanya ukweli.

  • @felixmluge3211
    @felixmluge3211 Před 2 měsíci +9

    Nape suti ya bure tu.....chujio lako la kusikiliza na kuelewa bado ni tatizo....Nina wasi wasi na na ww kwenye eneo la kusikiliza na kumuelewa mtu kama Lissu...😇

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 Před 2 měsíci +4

    Kwan Tundu lissu aliruhusiwa na nani kuongea? Kwani siyo haki kuongea? Sisi mnatuambia tukitenge chama! C mtuulize kwanza nini Maoni yetu? Lissu tumemuelewa sana

  • @polloz77
    @polloz77 Před 2 měsíci

    Humekosea Bro hapo hahupo sawa kabisa we need Africa united siyo utengano
    Tanzania ni mfano kwa Africa
    Next time utasema mbona viongozi wengi ni Wachagga?
    Neno la kusema ni mzanzibari ni wrong at least useme Raisi wa Tanzania kafanya hivi na hivi siyo kisema ni mzanziba wewe ni kiongozi
    We love mama yetu Samia suluhu
    Love my country Tanzania

  • @SuleimanGhaduwe
    @SuleimanGhaduwe Před 2 měsíci

    Nakubaliana na alicjokizungumza nape kuhusu lisu sio sawa kabisaa lisu kuzungumza hayo wakati yeye amerudi na kulipwa kwa uongoz wa mama

  • @joezeno8
    @joezeno8 Před 2 měsíci +13

    Nape ni Chawa wa Samia

  • @kaswahilijrtz4680
    @kaswahilijrtz4680 Před 2 měsíci +3

    Jaman nape ivi umemwelewa lisu? Lisu kanukuu katiba katiba ndo inasema na siyo lisu.mtanganyika hawezi kumiliki mali za zanzibar

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 2 měsíci +1

    Zanzibar wala hatutaki Muungano ila hawa CCM jamani kwann munatulazimisha duh 😢
    Wazanzibari tunataka nchi yetu ❤

  • @salimualmasi7944
    @salimualmasi7944 Před 2 měsíci +9

    We Nape Kwani Kwani CC Kuna Mzanzbari na Mtanzani Mpemba Mmakonde Tunamakabila Kibao Kumuita Raisi Wetu Ni Mzanzibari liko Wapi kosa?

    • @user-ij9te1ck9p
      @user-ij9te1ck9p Před 2 měsíci

      Hapana tafakari kwa mapana mm ni mzaram,ila kwa mfano raisi mchaga halafu mm nisimame kwa sababu raisi ni mchaga sio WA pwani ndio maana amefanya hili,hapa Kuna tafakuri Pana msichukulie kishabiki kwa mwenye akili Pana Hana maana sehem aliyotoka tuu Kuna mpaka udini na ukanda lkn amelidhihirisha kwa kificho

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza5884 Před 2 měsíci +28

    Lissu you are right!!!!!!!

  • @bakarikombo6279
    @bakarikombo6279 Před měsícem

    Safi waziri Nape

  • @thomassenguo3851
    @thomassenguo3851 Před 2 měsíci +2

    Tunaiyona Zanzibar inavyo endelea kainch kadogo lakini tunagawana pesa za misaada sawa na pesa zinazoka t bala ni akili hiyo mali zetu zinauzwa zao haziuzwi niakili hiyo mtu akisema mbaguzi pumbavu hawa tumesha wachoka mwisho wao ndio huu

  • @williamkeko9244
    @williamkeko9244 Před 2 měsíci +2

    Mh.Nape Mama ni Mzanzibari huwezi pinga Kwa lolote Kwa sababu wazanzibari hawataki muumgano na ili ujidhihirishe mbona yule mbunge aliyetaka passport za kuingia Zanzibar hakuonesha mgawanyo ,acha ulevi wew Kwa sababu ni kwamba anayoyafanya huyo Rais hayajakukuta Kwa sababu mnafanya wote

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Před 2 měsíci +2

    Hawa dawa yao ni kwenye box 📦 la kupigia kula watanganyika wote safari hii ndio chansi yetu pekee futa CCM kula zote kwa CHADEMA au vyama vyote vya siasa Tanganyika viungane na watashinda mchana kweupee 😂😂😂

  • @olelaizer2012
    @olelaizer2012 Před 2 měsíci +7

    Sioni hoja ila kelele,mjibuni Lissu kwa hoja sio kwa votiso na dharau.uwezo wake wa kuelezea jambo ni wa juu sana na ameongelea swala hilo kwa mifano hai

  • @evancengoi5429
    @evancengoi5429 Před 2 měsíci +3

    MH Nape chama chake mbona nichama kama chama chako ambacho wanachama wenu wanasema wawapoteze wanachi wanao unga mkono upinzani mbona hujaliongelea hili mkuu? jambo jingine sio kuzika cha chaupinzani issue hapa ni je? Muungano unamanufaa pande zote mbili? jingine kwani Mama Samia sio mzanzibari? Mbona nimesikia Spika akitaja au wasidizi wakisema mbunge kutoka zanziba uliza swali la nyongeza?

  • @innocentkamuntu8041
    @innocentkamuntu8041 Před 2 měsíci +1

    kwani alisema uongo ameuza Bandar zetu,naona nape ujieliwi kabisa

  • @ramamjema8391
    @ramamjema8391 Před 2 měsíci +1

    Police kulinda wananchi sio hisani ni wajibu wao kwa mujibu wa katiba.

  • @user-ut2fo1hi9i
    @user-ut2fo1hi9i Před 2 měsíci +7

    Wew huna hoja kwanin Samia siyo mzanzibar, unasiasa za kizamani, huwezi kuwa na mapya

  • @michaelmaziku991
    @michaelmaziku991 Před 2 měsíci +1

    Kwahy Nape anataka kusema unapofadhiriwa na mkuu wa nchi cheo huwez kumkosoa ht kama kuna makosa huo sio utaratibu km kuna makosa lazima yazungumzwe ninyi ndio wale tunawaita wachumia tumbo

  • @user-sy2mp7mm8u
    @user-sy2mp7mm8u Před 2 měsíci +1

    Elimu ni bora kuliko hoja ya bila Elimu!

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q Před 2 měsíci +1

    Kwakua amelipwa pesa zake ndio akiona mambo hayaendi sawa anyamaze kimya!!
    Hivi kama sisi wanajimbo la mtama tuesabu tuna mbunge!! Hi nchi ngumu sana

  • @alanmwijarubi
    @alanmwijarubi Před 2 měsíci +2

    Zanzibar inaishi, Tanganyika ilikufaje?

  • @williamdonald9185
    @williamdonald9185 Před 2 měsíci +1

    Yaani nape huwezi kujibu hoja zaidi ya kupiga kelele

  • @user-be6yx1ck8c
    @user-be6yx1ck8c Před 2 měsíci +1

    Jamani ukweri ni kwamba watanika wananyanyaswa zambari

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 Před 2 měsíci +1

    Kufanya mikutano ni matakwa ya katiba sio samia,kemea ufisadi wa ccm sio lisu

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale Před 2 měsíci +1

    mbona Lissu anaongea kwa hoja kwann nape nae asijibu kwa hoja?!bongo bna!

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu Před 2 měsíci

    Hamna kugawa taifa hapo, zanzibar mna identity yenu kama Wazanzibari na alichosema tundu ni sawasawa tu. Kama hautaki uzanzibari waondoe katiba ya zanzibar na wasijiudentify kama Wazanzibari. Lissu yupo sawa.
    NAPE ACHA UNAFIKO

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Před 2 měsíci +1

    Lissu yupo sahih kwan rais ni Mzanzibar au Mtanganyika? Katiba ibadilishwe raia wa kawaida wafaidi muungano na syo watawala pekee

  • @user-fg6xi3xu6t
    @user-fg6xi3xu6t Před 2 měsíci

    Toka wew nape hatukutak kabisa fisad

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale Před 2 měsíci +1

    Huyu nape vip?!kwan rais mtanganyika?!dah!siasa zetu bana!

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před 2 měsíci +1

    Nape bwege kweli nani ana kwelewa na kelele zako

  • @NathanChuma-cz2vb
    @NathanChuma-cz2vb Před 2 měsíci +1

    😂😂😂😂😂Me nachekaga tu hii nchi bana dah😀😀

  • @jovinusrwegoshora3206
    @jovinusrwegoshora3206 Před 2 měsíci +1

    Nape tambua tunaakili kwa hiyo mh siyo mzanzibar

  • @genesmnganya5744
    @genesmnganya5744 Před 2 měsíci +1

    Comments zinaongea mambo mengi. Timizeni wajibu wenu!

  • @mvuvikinda
    @mvuvikinda Před 2 měsíci +1

    Amesema ukweli katiba mpya

  • @jimmymushi2357
    @jimmymushi2357 Před 2 měsíci +2

    Usilinde kiti kaka kizazi chako hakitakuwa bungeni sema ukweli mzee

  • @LucasMarau
    @LucasMarau Před 2 měsíci +1

    Ww amuna kitu unacho sema Bora ata uondolewe bungeni uache kelele sawa

  • @user-ku3cx6yj7m
    @user-ku3cx6yj7m Před 2 měsíci +8

    Tulia wakufundishe teteya tumbo baba Ila tundulisu atakufundisha katiba

  • @user-ie3lw9eb6p
    @user-ie3lw9eb6p Před 2 měsíci +1

    Jinga la mwanaume lenye halina shukran

  • @kingj9606
    @kingj9606 Před 2 měsíci +8

    Lissu kasema ukweli lakini. Na kuandamana sio uungwana wa rais, ni haki ya kila Mtanzania.

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki3226 Před 2 měsíci +1

    Kwani haki ya mtu kikatiba ni msaada? Nape tunajua kama upo sio lazima useme yasiyofaa

  • @hawakazimoto2949
    @hawakazimoto2949 Před 2 měsíci +1

    Rais Samia mstaarabu sana kiukweli kumtukana ni dhambi. Kukosoa ni sawa sio kutukana tuu kutwa nzima jamani

  • @abbymwessamachumu8626
    @abbymwessamachumu8626 Před 2 měsíci

    Mmeshiwa kabisa CCM, mwisho wetu wa kuvimba hayo matumbo

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 Před 2 měsíci +7

    Uzuli tundulisu atakujibu nawewe we endelea kubwatuka unafikili sisi mazezeta hoja ya tundulisu itajibiwa na sisiemu yote mmezoea kula bule bule tundulisu nakupenda sana mungu akubaliki kiongozi wangu tundulisu

    • @Aida-qh3jq
      @Aida-qh3jq Před 2 měsíci

      Tundu lisu igekuwa madaraka yapo na uwepesi ugekuwa rais lakini tambua maneno yako ndo sumu kwa taifa mwenyez mungu anasema hapendi mtu asipenda kushukuru ndo lisu kama hutaki mzanzibari mbona wewe umeshindwa kuiogoza nchi tok nipate akili naambiwa Kuna chadema mpka leo hii hakijafanikiwa kupata uongozi na hautaumpata abadani

    • @Aida-qh3jq
      @Aida-qh3jq Před 2 měsíci

      Fanya duniani ukapate maisha bora akhera kaka angu duniani Kuna maisha mafupi sana kaka

  • @GodfreyTarimo-je4xo
    @GodfreyTarimo-je4xo Před 2 měsíci +1

    Katiba mpya ndo Jambo la kwanz tunatak katiba mpya nape una jipy

  • @albanTz001
    @albanTz001 Před 2 měsíci +1

    Basi amsamehe alikosea sio mzenji ni mkenya

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před 2 měsíci +1

    Hunaaa akiliiiii weweee😅

  • @petermkumbo5094
    @petermkumbo5094 Před 2 měsíci +1

    Kelele nyingi kuliko hoja.

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 Před 2 měsíci

    Sera ya uwekezaji na kuvutia wawekezaji zinatengeneza nyufa au kifo cha muungano na kifo cha ccm. Tumieni wtz kuleta maendeleo sio wawekezaji Nyerere aliyaona hayo kuwa ni mabaya .Dalili ninazo ziona hapa hazina afya kwa taifa letu kama tusipobadili sera hizo

  • @Erickkweka05
    @Erickkweka05 Před 8 dny

    Namuona halima mdee katulia.. ofcourse this is how the politics are...but what i know that with mandate will always be there since all we see are due to its presence📌

  • @user-lw3tg3yg5b
    @user-lw3tg3yg5b Před 2 měsíci +2

    Nyinyi kama mnaheshimu katiba mngeuza bandari kwa lazima?

  • @ramajuma5620
    @ramajuma5620 Před 2 měsíci +6

    Nape sisi watanzania tunaakili ww huwez kutuongopea ukweli unauma eeee 😂😂

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 2 měsíci +12

    Muungano ni wa Nyerere na Karume, Wazanzibari hawajashikishwa katika kuunda Muungano.

    • @user-zj4ii6uf7t
      @user-zj4ii6uf7t Před 2 měsíci

      Ktk hizi nchi mbili muungano wetu utaendelea hauwezi kufa, maana uliasisiwa na viongozi wetu waliotangulia mbele za HAKI Mungu wa mbinguni ibriki Tanganyika yetu,Mungu ibariki Zanzibar yao,Mungu ubariki muungano wetu ambayo ni Tanzania yetu sote, viongozi Tendeni haki msiwe kupe au chawa.

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Před 2 měsíci

      Nenda Kaombe kumiliki Ardh Zanzibar tuone

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu Před 2 měsíci +1

    Muungano una faida kubwa kwa Wazanzibari na sio watanganyika

    • @user-cq4lp5rv1l
      @user-cq4lp5rv1l Před 2 měsíci

      Sasa asilimia kubwa ya wazanzibr hawataki muungano

  • @christianmwabukusi8132
    @christianmwabukusi8132 Před 2 měsíci

    Katiba ya Tanzania na Katiba ya Zanzibar

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu Před 2 měsíci

    Nape naona huna muda mrefu ktk siasa kama alivyokuwa mwenzako mwakyembe alivyofumbja macho uovu wakati wa jpm

  • @user-bl1tx8fc9v
    @user-bl1tx8fc9v Před 2 měsíci +6

    Mi ntatumia nguvu zangu kumpongeza bwana lissu,,, lissue ongeza sauti wakusikie vzr

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před 2 měsíci +1

    Some time lisu kwa hili yupo sw jibun hoja sio porojo

  • @novathmsanyamsanya7702
    @novathmsanyamsanya7702 Před 2 měsíci +1

    Kweli nape ni ropo ropo😅

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Před 2 měsíci

    Huyu hata hoja hana daaah..!!😂😂😂

  • @user-ht4ud5ro4v
    @user-ht4ud5ro4v Před 2 měsíci

    Mungano huo ni Mungano wa viongozi wa CCM ndy wananufaika wananchi twaumia tubadilike hata miaka kadhaa tu✌️✌️✌️✌️✌️👊

  • @AmosSniper
    @AmosSniper Před 2 měsíci +1

    Kwan Samiya siyo Mzanzibar

  • @festofute58
    @festofute58 Před 2 měsíci +1

    Hivi Kuna katiba ngapi nchini Tanzania? Siyo mbili kwenye nchi Moja !

  • @deboniapeterkipake7391
    @deboniapeterkipake7391 Před 2 měsíci

    Pekeji yake Iko Zanzibar tu + nauli , bara ni ahadi tu.

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 2 měsíci

    Lisu yuko sahii,maana wazanzibari wanapata fursa ya kununua arthi Tanganyika ila sisi watanganyika wao hawana haki ya kumiliki arthi zanzibari

  • @user-zq4gj1jm5t
    @user-zq4gj1jm5t Před měsícem

    Ila Muh Lisu Kusema Hivyo Ni Kuwaonyesha Watanzania Kua Lisu Ni Mbaguzi Na Kua Na Kauli Za Kibaguzi Inamaana Hata Ukipewa Kuongoza Nchi Utaleta Mmomonyoko Nadhani Kwa Watanzania Hawatopenda, Samahani Kiongozi Chunga Kauli Zako,

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před 2 měsíci

    NAPE NI SHOGA LISILIJIELEWA. WATANGANYIKA HIVI ANAZO AKILI AU MATOPE KAMA HUYU MPUMBAVU WA NAPE. WAZANZIBARI NA WATANGANYIKA HAWANA UTAMADUNI WA PAMOJA, WAZANZIBARI WANAIPENDA NCHI YAO ILA WATANGANYIKA HAWAJIELEWI

  • @emmanuelmzungu7232
    @emmanuelmzungu7232 Před 2 měsíci

    That was a reckless statement from Tundu Lissu. Ask as Kenyans...tribalism is the worst thing in a country.

  • @HafidhiHaji-ip7vw
    @HafidhiHaji-ip7vw Před 2 měsíci

    Uko sawa Sana Mh nape

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 2 měsíci +11

    Huna mvuto

  • @geraldbabu-oy9rj
    @geraldbabu-oy9rj Před 2 měsíci

    Hongera sana waziri nape haya maneno wenye masikio tusikie

  • @JonasiAlmasi
    @JonasiAlmasi Před 2 měsíci

    Nape huna nguvu ya hoja,unatumia nguvu kubwa kuongea Kwa sauti,leta nguvu ya hoja

  • @MihamboFrancis
    @MihamboFrancis Před 2 měsíci

    Mh. Nape usitufunge na kitambaa usoni, katiba inamapungufu sawa, nakubaliana na hilo,kwamba lisu mbaguzi wakati aliyoyaongea yote katiba imezungumza tena katiba ile ile anakotoka mama Inamaana alivotuambia wananchi ni kosa ila nyinyi na kikundi chenu mnajiona mkosahihi si ndiyo,kama ndoivo basi msiilekebishe hiyo katiba nyinyi mmetuona sisi ni manyumbu, nyinyi makukundi chenu mmojawapo akifukuzwa kwenye kikundi ndohuwa mnaanza kusema ukweli, haya endeleeni na uongo wenu.

  • @denniselly7867
    @denniselly7867 Před 2 měsíci

    Naomba mnisaidie jamani, Nape amesema nchi zingine barani Africa zilijaribu kuugana lakini walishindwa… swali langu… ni nchi gani barani Africa zilizo ungana lakini walishindwa? Kwa wanao fahamu Naomba mnielimishe