Jamii yaaswa imuogope Mungu na kuacha ulawiti na ubakaji

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • Jamii imetakiwa kuwa na hofu ya Mungu ili kuachana na uhalifu ikiwemo ubakaji na ulawiti vitendo vinavyoripotiwa kukithiri kwenye maeneo mbali mbali nchini.
    Hayo yamebainishwa na Askofu Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt Msafiri Mbilu wakati wa ibada maalum ya kustaafu kwa heshima kwa mchungaji Lewis Shemkala wa Usharika wa Makorora Tanga.
    Imeandaliwa na Mariam Shedafa

Komentáře •