Majina watakaorejea soko kuu la Kariakoo kuanikwa
Vložit
- čas přidán 4. 07. 2024
- Majina ya wafanyabiashara waliokidhi vigezo vya kurejea katika soko kuu la Kariakoo baada ya kukamilika kwa ukarabati wa ujenzi wa soko hilo yanatarajiwa kuwekwa wazi Julai 10 mwaka huu.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi