Majina watakaorejea soko kuu la Kariakoo kuanikwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Majina ya wafanyabiashara waliokidhi vigezo vya kurejea katika soko kuu la Kariakoo baada ya kukamilika kwa ukarabati wa ujenzi wa soko hilo yanatarajiwa kuwekwa wazi Julai 10 mwaka huu.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

Komentáře •