Machinga wa Kariakoo wafungieni barabara

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Rais Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo kukaa pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwapanga wamachinga wanaopanga biashara zao mbele ya maduka Kariakoo… akiwataka wafunge baadhi ya barabara ili wafanyabiashara hao waweze kupata fursa ya kufanya biashara.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri |Onike Masayanyika, John Mbalamwezi

Komentáře •