This country forgot about democracy...now wanatumia udikteta kuongoza raia...tunataka haki zetu, na TRA mjiangalie , bidhaa haziokotwi uje kujizolea... Dill na hao wavamizi nchini kwetu .. acheni kuwaonea watanzania halisi
Ukiweka pesa unakatwa, ukitoa unakatwa, ukitumiwa wanakata, ukinunua kitu wanakata, ukifungua kiduka washenzi wanajaa kama mlitafuta wote CAG kila mwaka anatangaza upotevu wa Matilion na wanao ziiba wanahamishwa tu mikoa na sio kufungwa au kutaifisha mali zao ila mTanzania anae jihangaikia amekua wakunyonywa kila siku
Wanakera Sana Kodi zimekuwa nyingi mno kwenye cm ukatwe Kodi mara taka mara service Lev mara reseni KERO mama unaipeleka wap hii nchii jamani angalia masikini Tanzania aina matajili kiasi icho
Samia hataki kwenda kuwasikiliza anamtuma watu anakosea sana Hilo ni tatizo naagiza Raisi Samia kawasikilize acha kujiweka mbali na Wana nchi wako nchi hujengwa kwa kazi kama hizo TRA ni kitu gani ? Lekebisha eneo hilo
TRA au serikali ikusanye kodi na iwe na watu waaminifu na hiyo kodi isidsi hela nyingi ambazo zinaleta hii hali iwe ya wastani pia mlipaji ajiridhishe na ajisikie kilipa.mfano mabango yaliyokuwepo ya electonic yamemebaki mafremu tu serikali inafaidi nini.rushwa pia inawaumiza wengi.Naipenda nchi yangu nzuri sana nilichoona kwenye Media kuwa Tz Kenya Uganda hali ni hiyo nimeumia.aliyekwazika anisamehe
jamani mbona tunanua biashara dubai na hakuna risiti. hii lazima ya kukaguana na kulazimishana risiti tunaiga kwa nani. afrika ngumu sana kufanya biashara
Swala kama hili ni aibu kwa viongoz , inawezekanaje mtu analipichwa athabu kubwa vile , ina maama Mizgo haithibitiwi kutoka bandarin mpka mzigo unapigwa fail kubwa vle
Mtaani nako kuna hawa wa leseni,tusiojuwa nao tunawaita TRA,wanakamata bila utaratibu ukiwapa 20 wanakuachia,wakikupeleka ofisini nako unalipia wakidai ni fine,hata rising hupewi,ni wizi mtupu,kuna maduka mengine ukiyatizama hayastahili kulipa hata 20 kwa mwaka,kuna haja ya kuwatizama watu hawa
Tra ni tatizo kubwa sana kwa wafanyabishara . Kuna gesti nyingi awalipi kodi na hata risiti awatoi.. unandikiwa kikaratasi. Tra warekebishe na kuangalia hayo malalamiko.
it's fact kwamba Wafanya biashara waeleweshwe wanacholipia kwanza ni MIZIGO yao ama eneo la kufanyia BIAshara, sasa kama mizigo imeshalipiwa bandarini Madukani wanalipia nini?
Hii mambo ya risiti Kwa nchi hii yatasumbua kila kukicha ni Bora serikali wakaangalia ni mfumo gani mzuri wa kukusanya Kodi Kwa wafanyabiashara bila hivo itakua ni kero
sisi tunampenda sana raisi wetu mama samia suluhu hasan,awe makini na akina MWIGULU wana agenda zao za 2025!!naomba ajifunze kwa mstaafu KIKWETE,alifuta kodi zenye kero kwa wafanyabiashara
Kwanini hamtaki kutoa risiti nyie wapumbavu, wafanyakazi wote wa serikali wanakatwa kodi Pay As You Earn(P.A.Y.E) afu mnaleta upuuzi na aliyenyuma yenu ni lile kundi lililomtoa Daniel Chongolo ukatibu mkuu ccm,lipeni kodi serikalini acheni kukwepa kodi na kutokutoa risiti
@@smallscaleminingsupplies9670 tuliza kinyeo shoga mkubwa unafirwa nini wewe unauliza swali linalonuka mavi kama hilo yani watu wote wanakuona mpumbavu wanatakiwa kulipa kodi kutokana na wanachoingiza ndio maana wanatakiwa watoe risiti, maduka mengi kariakoo hawatoi risiti afu unaleta meseji za kishoga apa YESU ALIE HAI Alisema yakaisari(serikali) mpeni kaisari na Ya MUNGU Mpeni MUNGU wafanyabiashara ni wakina nani wakwepe kodi, Huku Wafanyakazi Wanalipa kodi P.A.Y.E bila shuruti pumbavu zenu wafanya biashara mnaokwepa kulipa kodi serikali Ambayo Hata BWANA YESU ALIE HAI Ameiridhia
Watanzania muwe na uzalendo na committed kwa nchi yenu msifate mkumbo..nchi km china imeendelea kwa wananchi kuwa very committed..Tz watu hawatak kulipa kodi lakin wao ndio wa kwanza kutaka maisha bora...
TRA wanakula rushwa kupora mitaji ya wafanyabiashara wanajiwekea mifukoni na kwenda kujenga kwao manyanyaso ya haliyajuu
MAKONDA PEKE YAKE NDIE ANAEIWEZA DAR angetatua fasta tu
kichwa kisichokua na akili ni mzigo kwa shingo ila roma
This country forgot about democracy...now wanatumia udikteta kuongoza raia...tunataka haki zetu, na TRA mjiangalie , bidhaa haziokotwi uje kujizolea... Dill na hao wavamizi nchini kwetu .. acheni kuwaonea watanzania halisi
Mimi naona waziri wa fedha awe mfanya biashara hawa watu wanao toka darasani na kuingia TRA hawana uzoefu wa biashara
T RA n Mungu, Mtu kariakoo tena serkali mnatesa rai
Msifungue maduka
Ngoja waone muhimu wenu, atapata wapi pesa za kuishi maisha yao ya kitajiri? Kuendesha V8
Wanaofunga ndo wanateseka maana serikali ina vyanzo vingi vya kupata pesa
@@BraveMajaliwa-gf7ru hujui kitu hapo Serikali matumbo joto CAG kila mwaka anatoa tarifa ya upotevu ya maTilion wewe nimoja kati ya wale majizi nini
Mama alitakiwa amtumbue mwiguru .kubebana ndio shiida.
Kwakweli tra ni kero sijui watu wakifirisika watafanya bihashara wao
Mtu alijipiga Rossi kichwani kwa sababu ya TRA. Ni WAKORA hao TRA, wanasumbua watu. TRA Washenzi kweli kweli.
Ukiweka pesa unakatwa, ukitoa unakatwa, ukitumiwa wanakata, ukinunua kitu wanakata, ukifungua kiduka washenzi wanajaa kama mlitafuta wote CAG kila mwaka anatangaza upotevu wa Matilion na wanao ziiba wanahamishwa tu mikoa na sio kufungwa au kutaifisha mali zao ila mTanzania anae jihangaikia amekua wakunyonywa kila siku
ndiomana tulivopata uhuru watanzania mlinyimwa elimu si ndio mlisoma mwisho darasa la nne 😁😁🤣🤣
Na wao wafunguwe maduka yao halafu wauze wenyewe
Noma sana
Mwigulu ameshindwa kuwasimamia TRA .
Nchi ya kipuuzi sana
Wanakera Sana Kodi zimekuwa nyingi mno kwenye cm ukatwe Kodi mara taka mara service Lev mara reseni KERO mama unaipeleka wap hii nchii jamani angalia masikini Tanzania aina matajili kiasi icho
Samia hataki kwenda kuwasikiliza anamtuma watu anakosea sana Hilo ni tatizo naagiza Raisi Samia kawasikilize acha kujiweka mbali na Wana nchi wako nchi hujengwa kwa kazi kama hizo TRA ni kitu gani ? Lekebisha eneo hilo
Hamsha hamsha
maendeleo yaanze kwa Raiya , ili waridhike ndio serikali ipate maendeleo , sasa tukimbana Raiya(mfanya biashara ) ujanja ujanja hautoishaaaa TZ
TRA au serikali ikusanye kodi na iwe na watu waaminifu na hiyo kodi isidsi hela nyingi ambazo zinaleta hii hali iwe ya wastani pia mlipaji ajiridhishe na ajisikie kilipa.mfano mabango yaliyokuwepo ya electonic yamemebaki mafremu tu serikali inafaidi nini.rushwa pia inawaumiza wengi.Naipenda nchi yangu nzuri sana nilichoona kwenye Media kuwa Tz Kenya Uganda hali ni hiyo nimeumia.aliyekwazika anisamehe
jamani mbona tunanua biashara dubai na hakuna risiti. hii lazima ya kukaguana na kulazimishana risiti tunaiga kwa nani.
afrika ngumu sana kufanya biashara
Swala kama hili ni aibu kwa viongoz , inawezekanaje mtu analipichwa athabu kubwa vile , ina maama Mizgo haithibitiwi kutoka bandarin mpka mzigo unapigwa fail kubwa vle
Chanzo Cha yote haya ni mwiguru nchemba uyu wazili ni tatizo Toka akae icho kitengo tozo ni nyingi mno.
Kwanini mzigo usi chukuliww kodi toka ukiwa bandarini ya nini mje funga maduka ya watu😢
TRA ni shida Sana hapa nchini dah
Hii tanzania itakuwa tu kama kenya 🇰🇪
Magufuli TUNAKUKUMBUKA daimaa raisi wawanyongo huyu mama na watu wake nishidaa
Huna kumbukumbu wewe. Aliweka task force kali sana KARIAKOO. Walikuwa wanaumizwa kichizi...
Nawewe umekufa akili
Mbona hawakufunga maduka ilikuwa hivyo unavodai@@TamuzaKale
@@Sheba4651wewe ni mnufaika wa zama hizi kula Kwa ujanja ujanja
@@salehesalehe2967huyo magufuli wako ndo alikuwa hafai kabisaa
Midhari TRA wamemwaga unga basi wafanya biashara wamemwaga mboga ubaya ubaya tu .
Mtaani nako kuna hawa wa leseni,tusiojuwa nao tunawaita TRA,wanakamata bila utaratibu ukiwapa 20 wanakuachia,wakikupeleka ofisini nako unalipia wakidai ni fine,hata rising hupewi,ni wizi mtupu,kuna maduka mengine ukiyatizama hayastahili kulipa hata 20 kwa mwaka,kuna haja ya kuwatizama watu hawa
Hao ni Maafisa masoko "Manispaa"
@@Immahjr nao njaa tuu mie nawajua
TRA kiukweli ni kero
Ramadhani Ntonzwe pumzika kwa amani.
Tra ni tatizo kubwa sana kwa wafanyabishara . Kuna gesti nyingi awalipi kodi na hata risiti awatoi.. unandikiwa kikaratasi. Tra warekebishe na kuangalia hayo malalamiko.
Mzigo wenyewe ukifika bandarini tayali unalipwa kodo uhunintu
Alooooh
TRA ni donda ndugu
Aise noma sana 😮😮😮😮
Ndo yale yakenya aya.
Mmepandisha kodii mafuta juu bandari zetu lakini bidhaa kununua tz bora ukanunue Uganda wakati mizigo yao wanapitishia kwetu mbona bei zao ni rafiki
Mwiguru kaza kabsa njoo na huku mwz nenda Arusha ddm na sehem zingine
Hatari kwweli
Toen rizit zinazotakiwa
TRA ni wezi tu
Samia mizigo yako uliyookota majalalani,mfano Chalamila sijui ulimuokota wapi ,full time Chalamila ni mzaha.
Hivi viongozi wa TRA nilini mtaumaliza Huu mgogolo maana imekuwasawa na kidonda ndugu
TRA hawana tofauti na vifyele vya nguruwe njaa kali
acheni kulalamika wapumbavu nyinyi.... toeni hiyo pesa tufanye kampeni ya Mama!!
it's fact kwamba Wafanya biashara waeleweshwe wanacholipia kwanza ni MIZIGO yao ama eneo la kufanyia BIAshara, sasa kama mizigo imeshalipiwa bandarini Madukani wanalipia nini?
MABOSI WENU WA MADUKA HAWAWATAKI MACHINGA KAKA NA NDIO MAANA WAMWFUNGA
WENZENU KENYA HAMJAWAONAAA?
WASIWAFANYE NYIE WAJIÑGA. AMKENI
NA NYINYI MSIWE WATU WA NDIYOO.
Mara hulali usiku kuandikiana mamasage wafunge leseni basi tuone hapa tutafunga maduka mpaka kieleweke
Tra ianze ajiri vijana waliokaa mtaani na kufanya biashara hivi vitoto vilivyo toka shule havielewi
Serikali ya hovyo sana hadi kichefuchefu
Mbona serikali RTC ilishindwa maduka,mnatesa rai rudisheni RTC, ubabe wao police n w kwao,
😂😂 hbr za vitambi zinatokea wapi jmn
Watu wa Tanzania 🇹🇿 wanaanza kuiga wakenya 😂😂😂na wenyewe wafike mpaka bungeni na farasi 😂
Rais aende akawasikilize wananchi asitumie watu mbona kusafir huwa hatumi wawakilishi hapa anashindwa nn kwenda
Hii mambo ya risiti Kwa nchi hii yatasumbua kila kukicha ni Bora serikali wakaangalia ni mfumo gani mzuri wa kukusanya Kodi Kwa wafanyabiashara bila hivo itakua ni kero
Mfumo sio shida shida ni watendaji
Kabisa
Hi nchi ngumu sana
TRA wafungue biashara darasa, wafungue hardware, saloon, chakula, vipodozi wananchi tukajifunze😂😂😂
TRA wakija wanataza rushwa tuuu😂😂😂😂
Apa ndotunamkumbuka Magufuli jaman
Mwigulu amezaliwa na hii serikali hana kwao
Haki nitabaki huku huku Tz kurudi kunakatisha tamaa kwakweli.
Hii nchi hain uongoz ten wanchi hawapew haki zao kw hak ,kiongz kutw kuzurul ulaya
TRA nikero nikero nikero tena nikero Wana njaa Wana njaa utazani vifyele vya nguruwe
Tax
TrA bana asa huo SI uroho Sasa kuanza kiwaingia raia Hadi mfukoni
Selikali inaua soko la kariakoo
HII SERIKALI AU MATOPE? YAANI FINE MILIONI 15 AU MIE NDIO SIJAELEWA?
Kidata ndio tatizo aondolewe
Bora sisi wakenya tunajitambua
😂😂😂😂ila wabongo, eti wakenya tunajitambua😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mi nafikir kugoma sio tatzo ila kero zisemwe zisikike, sio unasema kodi nyingi. Taja kodi zote wajue mnalipa kodi mara ngapi?
Wenywe walioweka kodi wanajua
Hii nchi wenyewe mnaijua wapigaji ni wengi. Huenda kuna kodi zingne hata hazijulikani
Wanaaribu uchumi wa Nchi. Mama Samia angalie mambo haya. NCHI ipo pabaya. Ndiyo wakutane na Rais maana ndiyo mwenye kauli ya mwisho.
Anazurura hana muda,
FUNGEN MADUKA ILA MTAKAPO TAKIWA KURUDISHA HIYO MIKOPO MLO KOPA BENK MSIJE KIANZA KULIA WE MSHA AMBIWA SWALA LENU LINASHUGHULIKIWA SAS SHIDA NINI😢😢😢
umetumwa wewe
Tra mnawafirisi wafanya bihashara
sisi tunampenda sana raisi wetu mama samia suluhu hasan,awe makini na akina MWIGULU wana agenda zao za 2025!!naomba ajifunze kwa mstaafu KIKWETE,alifuta kodi zenye kero kwa wafanyabiashara
Tangu lini mtu akamchikia mbwa wake anayemtafutia kitoweo?
unampenda wew huyo rais wako
Pigeni
#KUFATANAFATANA
Huyu jamaa siyo mtanzania kujumua??? Kkoo kuna foreigners wengi ila sidhani kama wanavibali vya kuishi nchini
Kuchukua kazi
We ni Mtanzania
Kwanini hamtaki kutoa risiti nyie wapumbavu, wafanyakazi wote wa serikali wanakatwa kodi Pay As You Earn(P.A.Y.E) afu mnaleta upuuzi na aliyenyuma yenu ni lile kundi lililomtoa Daniel Chongolo ukatibu mkuu ccm,lipeni kodi serikalini acheni kukwepa kodi na kutokutoa risiti
Hii nchi iuzwe tu maana mi mwenyewe nachangia 80000 kila mwezi
Unajua wafanyabiashara wanalipa kiasi gani
@@smallscaleminingsupplies9670 tuliza kinyeo shoga mkubwa unafirwa nini wewe unauliza swali linalonuka mavi kama hilo yani watu wote wanakuona mpumbavu wanatakiwa kulipa kodi kutokana na wanachoingiza ndio maana wanatakiwa watoe risiti, maduka mengi kariakoo hawatoi risiti afu unaleta meseji za kishoga apa YESU ALIE HAI Alisema yakaisari(serikali) mpeni kaisari na Ya MUNGU Mpeni MUNGU wafanyabiashara ni wakina nani wakwepe kodi, Huku Wafanyakazi Wanalipa kodi P.A.Y.E bila shuruti pumbavu zenu wafanya biashara mnaokwepa kulipa kodi serikali Ambayo Hata BWANA YESU ALIE HAI Ameiridhia
Watanzania muwe na uzalendo na committed kwa nchi yenu msifate mkumbo..nchi km china imeendelea kwa wananchi kuwa very committed..Tz watu hawatak kulipa kodi lakin wao ndio wa kwanza kutaka maisha bora...
Ngoja nicheke
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂😂
😂
Fatuma kweli umecheka😂😂😂😂
Kuweni kama KENYA tu watu tulale barabarani wote
NCHI YENYE VIONGOZI WASHENZI KABISA HII WIZITU NA UONEVU LOL
Acha waziri wa fedha akusanye pesa ili wananchi wafe na njaa wawatawale marehemu
😂😂😂😂
me nachekaga tu