MGOMO KARIAKOO, MADUKA YOTE YAFUNGWA, ZIGO LA LAWAMA TRA "MILIONI 15 "

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024

Komentáře • 116

  • @fadhilimusa9732
    @fadhilimusa9732 Před měsícem +13

    TRA wanakula rushwa kupora mitaji ya wafanyabiashara wanajiwekea mifukoni na kwenda kujenga kwao manyanyaso ya haliyajuu

  • @XPOSED255
    @XPOSED255 Před měsícem +19

    MAKONDA PEKE YAKE NDIE ANAEIWEZA DAR angetatua fasta tu

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před měsícem +15

    kichwa kisichokua na akili ni mzigo kwa shingo ila roma

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 Před měsícem +8

    This country forgot about democracy...now wanatumia udikteta kuongoza raia...tunataka haki zetu, na TRA mjiangalie , bidhaa haziokotwi uje kujizolea... Dill na hao wavamizi nchini kwetu .. acheni kuwaonea watanzania halisi

  • @OlaisMoses
    @OlaisMoses Před měsícem +4

    Mimi naona waziri wa fedha awe mfanya biashara hawa watu wanao toka darasani na kuingia TRA hawana uzoefu wa biashara

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem +6

    T RA n Mungu, Mtu kariakoo tena serkali mnatesa rai

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +8

    Msifungue maduka
    Ngoja waone muhimu wenu, atapata wapi pesa za kuishi maisha yao ya kitajiri? Kuendesha V8

    • @BraveMajaliwa-gf7ru
      @BraveMajaliwa-gf7ru Před měsícem

      Wanaofunga ndo wanateseka maana serikali ina vyanzo vingi vya kupata pesa

    • @issaalfani1030
      @issaalfani1030 Před měsícem

      ​@@BraveMajaliwa-gf7ru hujui kitu hapo Serikali matumbo joto CAG kila mwaka anatoa tarifa ya upotevu ya maTilion wewe nimoja kati ya wale majizi nini

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Před měsícem +6

    Mama alitakiwa amtumbue mwiguru .kubebana ndio shiida.

  • @ManJames-bi2oj
    @ManJames-bi2oj Před měsícem +5

    Kwakweli tra ni kero sijui watu wakifirisika watafanya bihashara wao

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před měsícem +3

    Mtu alijipiga Rossi kichwani kwa sababu ya TRA. Ni WAKORA hao TRA, wanasumbua watu. TRA Washenzi kweli kweli.

  • @issaalfani1030
    @issaalfani1030 Před měsícem +1

    Ukiweka pesa unakatwa, ukitoa unakatwa, ukitumiwa wanakata, ukinunua kitu wanakata, ukifungua kiduka washenzi wanajaa kama mlitafuta wote CAG kila mwaka anatangaza upotevu wa Matilion na wanao ziiba wanahamishwa tu mikoa na sio kufungwa au kutaifisha mali zao ila mTanzania anae jihangaikia amekua wakunyonywa kila siku

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před měsícem +4

    ndiomana tulivopata uhuru watanzania mlinyimwa elimu si ndio mlisoma mwisho darasa la nne 😁😁🤣🤣

  • @edishaa3108
    @edishaa3108 Před měsícem +3

    Na wao wafunguwe maduka yao halafu wauze wenyewe

  • @banegatv5553
    @banegatv5553 Před měsícem

    Noma sana

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před měsícem +3

    Mwigulu ameshindwa kuwasimamia TRA .

  • @zebedayobiswalo1924
    @zebedayobiswalo1924 Před měsícem +3

    Nchi ya kipuuzi sana

  • @JoyceMourice
    @JoyceMourice Před měsícem

    Wanakera Sana Kodi zimekuwa nyingi mno kwenye cm ukatwe Kodi mara taka mara service Lev mara reseni KERO mama unaipeleka wap hii nchii jamani angalia masikini Tanzania aina matajili kiasi icho

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 Před měsícem +1

    Samia hataki kwenda kuwasikiliza anamtuma watu anakosea sana Hilo ni tatizo naagiza Raisi Samia kawasikilize acha kujiweka mbali na Wana nchi wako nchi hujengwa kwa kazi kama hizo TRA ni kitu gani ? Lekebisha eneo hilo

  • @AkyooGood
    @AkyooGood Před měsícem

    Hamsha hamsha

  • @IbrahimHassan-by5ym
    @IbrahimHassan-by5ym Před měsícem

    maendeleo yaanze kwa Raiya , ili waridhike ndio serikali ipate maendeleo , sasa tukimbana Raiya(mfanya biashara ) ujanja ujanja hautoishaaaa TZ

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 Před měsícem

    TRA au serikali ikusanye kodi na iwe na watu waaminifu na hiyo kodi isidsi hela nyingi ambazo zinaleta hii hali iwe ya wastani pia mlipaji ajiridhishe na ajisikie kilipa.mfano mabango yaliyokuwepo ya electonic yamemebaki mafremu tu serikali inafaidi nini.rushwa pia inawaumiza wengi.Naipenda nchi yangu nzuri sana nilichoona kwenye Media kuwa Tz Kenya Uganda hali ni hiyo nimeumia.aliyekwazika anisamehe

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před měsícem +1

    jamani mbona tunanua biashara dubai na hakuna risiti. hii lazima ya kukaguana na kulazimishana risiti tunaiga kwa nani.
    afrika ngumu sana kufanya biashara

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před měsícem +1

    Swala kama hili ni aibu kwa viongoz , inawezekanaje mtu analipichwa athabu kubwa vile , ina maama Mizgo haithibitiwi kutoka bandarin mpka mzigo unapigwa fail kubwa vle

  • @JoyceMourice
    @JoyceMourice Před měsícem

    Chanzo Cha yote haya ni mwiguru nchemba uyu wazili ni tatizo Toka akae icho kitengo tozo ni nyingi mno.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před měsícem +1

    Kwanini mzigo usi chukuliww kodi toka ukiwa bandarini ya nini mje funga maduka ya watu😢

  • @elijuskikoto392
    @elijuskikoto392 Před měsícem

    TRA ni shida Sana hapa nchini dah

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 Před 26 dny

    Hii tanzania itakuwa tu kama kenya 🇰🇪

  • @isamony58
    @isamony58 Před měsícem +5

    Magufuli TUNAKUKUMBUKA daimaa raisi wawanyongo huyu mama na watu wake nishidaa

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale Před měsícem +2

      Huna kumbukumbu wewe. Aliweka task force kali sana KARIAKOO. Walikuwa wanaumizwa kichizi...

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 Před měsícem

      Nawewe umekufa akili

    • @philemornmutta1597
      @philemornmutta1597 Před měsícem

      Mbona hawakufunga maduka ilikuwa hivyo unavodai​@@TamuzaKale

    • @philemornmutta1597
      @philemornmutta1597 Před měsícem

      ​@@Sheba4651wewe ni mnufaika wa zama hizi kula Kwa ujanja ujanja

    • @elijuskikoto392
      @elijuskikoto392 Před měsícem

      ​@@salehesalehe2967huyo magufuli wako ndo alikuwa hafai kabisaa

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před měsícem +1

    Midhari TRA wamemwaga unga basi wafanya biashara wamemwaga mboga ubaya ubaya tu .

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Před měsícem +2

    Mtaani nako kuna hawa wa leseni,tusiojuwa nao tunawaita TRA,wanakamata bila utaratibu ukiwapa 20 wanakuachia,wakikupeleka ofisini nako unalipia wakidai ni fine,hata rising hupewi,ni wizi mtupu,kuna maduka mengine ukiyatizama hayastahili kulipa hata 20 kwa mwaka,kuna haja ya kuwatizama watu hawa

  • @Kalosishabani
    @Kalosishabani Před měsícem +2

    TRA kiukweli ni kero

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před měsícem

    Ramadhani Ntonzwe pumzika kwa amani.

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Tra ni tatizo kubwa sana kwa wafanyabishara . Kuna gesti nyingi awalipi kodi na hata risiti awatoi.. unandikiwa kikaratasi. Tra warekebishe na kuangalia hayo malalamiko.

  • @iddyissa8110
    @iddyissa8110 Před měsícem

    Mzigo wenyewe ukifika bandarini tayali unalipwa kodo uhunintu

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Před měsícem

    Alooooh

  • @tasukutechnologies2573
    @tasukutechnologies2573 Před měsícem

    TRA ni donda ndugu

  • @user-uz7pw6pj6p
    @user-uz7pw6pj6p Před měsícem

    Aise noma sana 😮😮😮😮

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 Před měsícem

    Ndo yale yakenya aya.

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před měsícem

    Mmepandisha kodii mafuta juu bandari zetu lakini bidhaa kununua tz bora ukanunue Uganda wakati mizigo yao wanapitishia kwetu mbona bei zao ni rafiki

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Před měsícem

    Mwiguru kaza kabsa njoo na huku mwz nenda Arusha ddm na sehem zingine

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před měsícem

    Hatari kwweli

  • @happymrema7487
    @happymrema7487 Před měsícem

    Toen rizit zinazotakiwa

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf Před měsícem

    TRA ni wezi tu

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Před měsícem

    Samia mizigo yako uliyookota majalalani,mfano Chalamila sijui ulimuokota wapi ,full time Chalamila ni mzaha.

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly Před měsícem

    Hivi viongozi wa TRA nilini mtaumaliza Huu mgogolo maana imekuwasawa na kidonda ndugu

  • @annamwanyelele9084
    @annamwanyelele9084 Před měsícem

    TRA hawana tofauti na vifyele vya nguruwe njaa kali

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505 Před měsícem

    acheni kulalamika wapumbavu nyinyi.... toeni hiyo pesa tufanye kampeni ya Mama!!

  • @IbrahimHassan-by5ym
    @IbrahimHassan-by5ym Před měsícem

    it's fact kwamba Wafanya biashara waeleweshwe wanacholipia kwanza ni MIZIGO yao ama eneo la kufanyia BIAshara, sasa kama mizigo imeshalipiwa bandarini Madukani wanalipia nini?

  • @KenedyDesigner
    @KenedyDesigner Před měsícem

    MABOSI WENU WA MADUKA HAWAWATAKI MACHINGA KAKA NA NDIO MAANA WAMWFUNGA

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem

    WENZENU KENYA HAMJAWAONAAA?
    WASIWAFANYE NYIE WAJIÑGA. AMKENI
    NA NYINYI MSIWE WATU WA NDIYOO.

  • @somaliantz_phones_arena
    @somaliantz_phones_arena Před měsícem

    Mara hulali usiku kuandikiana mamasage wafunge leseni basi tuone hapa tutafunga maduka mpaka kieleweke

  • @smallscaleminingsupplies9670

    Tra ianze ajiri vijana waliokaa mtaani na kufanya biashara hivi vitoto vilivyo toka shule havielewi

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před měsícem

    Serikali ya hovyo sana hadi kichefuchefu

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Před měsícem

    Mbona serikali RTC ilishindwa maduka,mnatesa rai rudisheni RTC, ubabe wao police n w kwao,

  • @rajabusalumu1862
    @rajabusalumu1862 Před měsícem

    😂😂 hbr za vitambi zinatokea wapi jmn

  • @BraveMajaliwa-gf7ru
    @BraveMajaliwa-gf7ru Před měsícem

    Watu wa Tanzania 🇹🇿 wanaanza kuiga wakenya 😂😂😂na wenyewe wafike mpaka bungeni na farasi 😂

  • @musamakasi7035
    @musamakasi7035 Před 29 dny

    Rais aende akawasikilize wananchi asitumie watu mbona kusafir huwa hatumi wawakilishi hapa anashindwa nn kwenda

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Před měsícem +1

    Hii mambo ya risiti Kwa nchi hii yatasumbua kila kukicha ni Bora serikali wakaangalia ni mfumo gani mzuri wa kukusanya Kodi Kwa wafanyabiashara bila hivo itakua ni kero

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 Před měsícem

    Hi nchi ngumu sana

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Před měsícem

    TRA wafungue biashara darasa, wafungue hardware, saloon, chakula, vipodozi wananchi tukajifunze😂😂😂

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Před měsícem

    TRA wakija wanataza rushwa tuuu😂😂😂😂

  • @Dativanyakato
    @Dativanyakato Před měsícem

    Apa ndotunamkumbuka Magufuli jaman

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před měsícem

    Mwigulu amezaliwa na hii serikali hana kwao

  • @SONGEAGIRL
    @SONGEAGIRL Před měsícem

    Haki nitabaki huku huku Tz kurudi kunakatisha tamaa kwakweli.

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l Před měsícem

    Hii nchi hain uongoz ten wanchi hawapew haki zao kw hak ,kiongz kutw kuzurul ulaya

  • @annamwanyelele9084
    @annamwanyelele9084 Před měsícem

    TRA nikero nikero nikero tena nikero Wana njaa Wana njaa utazani vifyele vya nguruwe

  • @danielamosi6871
    @danielamosi6871 Před měsícem

    Tax

  • @Keyjop
    @Keyjop Před měsícem

    TrA bana asa huo SI uroho Sasa kuanza kiwaingia raia Hadi mfukoni

  • @evelynsalila
    @evelynsalila Před měsícem +2

    Selikali inaua soko la kariakoo

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před měsícem

    HII SERIKALI AU MATOPE? YAANI FINE MILIONI 15 AU MIE NDIO SIJAELEWA?

  • @zakayomkemwa6283
    @zakayomkemwa6283 Před měsícem

    Kidata ndio tatizo aondolewe

  • @simsotv2261
    @simsotv2261 Před měsícem

    Bora sisi wakenya tunajitambua

    • @preciouspeter6126
      @preciouspeter6126 Před měsícem

      😂😂😂😂ila wabongo, eti wakenya tunajitambua😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @seliankibasisi5047
    @seliankibasisi5047 Před měsícem +1

    Mi nafikir kugoma sio tatzo ila kero zisemwe zisikike, sio unasema kodi nyingi. Taja kodi zote wajue mnalipa kodi mara ngapi?

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Před měsícem +1

      Wenywe walioweka kodi wanajua

    • @seliankibasisi5047
      @seliankibasisi5047 Před měsícem

      Hii nchi wenyewe mnaijua wapigaji ni wengi. Huenda kuna kodi zingne hata hazijulikani

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Wanaaribu uchumi wa Nchi. Mama Samia angalie mambo haya. NCHI ipo pabaya. Ndiyo wakutane na Rais maana ndiyo mwenye kauli ya mwisho.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem

    FUNGEN MADUKA ILA MTAKAPO TAKIWA KURUDISHA HIYO MIKOPO MLO KOPA BENK MSIJE KIANZA KULIA WE MSHA AMBIWA SWALA LENU LINASHUGHULIKIWA SAS SHIDA NINI😢😢😢

  • @ManJames-bi2oj
    @ManJames-bi2oj Před měsícem

    Tra mnawafirisi wafanya bihashara

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem

    sisi tunampenda sana raisi wetu mama samia suluhu hasan,awe makini na akina MWIGULU wana agenda zao za 2025!!naomba ajifunze kwa mstaafu KIKWETE,alifuta kodi zenye kero kwa wafanyabiashara

  • @zully756
    @zully756 Před měsícem

    Pigeni

  • @nomoboy152
    @nomoboy152 Před měsícem

    #KUFATANAFATANA

  • @honestmosha6203
    @honestmosha6203 Před měsícem

    Huyu jamaa siyo mtanzania kujumua??? Kkoo kuna foreigners wengi ila sidhani kama wanavibali vya kuishi nchini

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před měsícem

    Kwanini hamtaki kutoa risiti nyie wapumbavu, wafanyakazi wote wa serikali wanakatwa kodi Pay As You Earn(P.A.Y.E) afu mnaleta upuuzi na aliyenyuma yenu ni lile kundi lililomtoa Daniel Chongolo ukatibu mkuu ccm,lipeni kodi serikalini acheni kukwepa kodi na kutokutoa risiti

    • @mussakimaro5588
      @mussakimaro5588 Před měsícem

      Hii nchi iuzwe tu maana mi mwenyewe nachangia 80000 kila mwezi

    • @smallscaleminingsupplies9670
      @smallscaleminingsupplies9670 Před měsícem

      Unajua wafanyabiashara wanalipa kiasi gani

    • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
      @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Před měsícem

      @@smallscaleminingsupplies9670 tuliza kinyeo shoga mkubwa unafirwa nini wewe unauliza swali linalonuka mavi kama hilo yani watu wote wanakuona mpumbavu wanatakiwa kulipa kodi kutokana na wanachoingiza ndio maana wanatakiwa watoe risiti, maduka mengi kariakoo hawatoi risiti afu unaleta meseji za kishoga apa YESU ALIE HAI Alisema yakaisari(serikali) mpeni kaisari na Ya MUNGU Mpeni MUNGU wafanyabiashara ni wakina nani wakwepe kodi, Huku Wafanyakazi Wanalipa kodi P.A.Y.E bila shuruti pumbavu zenu wafanya biashara mnaokwepa kulipa kodi serikali Ambayo Hata BWANA YESU ALIE HAI Ameiridhia

  • @gweahshoo5120
    @gweahshoo5120 Před měsícem

    Watanzania muwe na uzalendo na committed kwa nchi yenu msifate mkumbo..nchi km china imeendelea kwa wananchi kuwa very committed..Tz watu hawatak kulipa kodi lakin wao ndio wa kwanza kutaka maisha bora...

  • @FatumaMawingu
    @FatumaMawingu Před měsícem

    Ngoja nicheke
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂😂
    😂

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 Před měsícem

    Kuweni kama KENYA tu watu tulale barabarani wote

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 Před měsícem

    NCHI YENYE VIONGOZI WASHENZI KABISA HII WIZITU NA UONEVU LOL

  • @jumaseif548
    @jumaseif548 Před měsícem +1

    Acha waziri wa fedha akusanye pesa ili wananchi wafe na njaa wawatawale marehemu