Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
This man is a people's true leader.
Hongera mweshimiwa
Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.
Hongeraaaa sanaaaa Mwenye kiti safiii yote. Maneno ya busara na hekma. Nduo uongozi.
Huyu baba nimempenda Ana point Sana Allah akulinde
This man is apple 🍎
Nimekuamini sana kupitia maongezi yako, Mungu wetu akutangulie katika safar hii ya usuluisho.
This man is a leader
Dah mwenyekiti nimekupenda bure uko vizuri sana
Brother wewe ni zaidi ya mwanaharakati
Safi sana wafanyabiashara wa kariakoo, mmeonyesha nguvu ya umma.
Ur true leader
TRA ni wasumbufu sana sana kuanzia mipakani na SI kweli serikali kama hawalitambui ila viongozi kuanzia waziri wa fedha ndio kiini Cha matatizo
Safi sana kiongozi uko sawa kabisa
I repeat again the guy is more than smart itself....
Mungu akupe afya njema na uzima, ulinzi
Nimekuelewa sana mwenye kiti wangu❤❤❤
Waziri wa fedha ni tatizo,naishangaa sana serikali hasa mamlaka ya uteuzi kuendelea kumvumilia waziri wa fedha kwa kuboronga kila pahali
Watanzania tukipendana hivi tutaendelea mungu akulinde mwenyekiti
Akipotea huyu tunawaambia nchinzima tutaandama.Ole wenu apotee
This man is a people's true leader.
Hongera mweshimiwa
Mungu nakuomba umlinde dungu huyu na kila baya watakalo mzushia liwarudie wenyewe na kila kaburi watakalo mchimbia waingie huko Wawo na familia zao. Damu ya Yesu ikuzunguke usiku na mchana wewe na familia yako.
Hongeraaaa sanaaaa Mwenye kiti safiii yote. Maneno ya busara na hekma. Nduo uongozi.
Huyu baba nimempenda Ana point Sana Allah akulinde
This man is apple 🍎
Nimekuamini sana kupitia maongezi yako, Mungu wetu akutangulie katika safar hii ya usuluisho.
This man is a leader
Dah mwenyekiti nimekupenda bure uko vizuri sana
Brother wewe ni zaidi ya mwanaharakati
Safi sana wafanyabiashara wa kariakoo, mmeonyesha nguvu ya umma.
Ur true leader
TRA ni wasumbufu sana sana kuanzia mipakani na SI kweli serikali kama hawalitambui ila viongozi kuanzia waziri wa fedha ndio kiini Cha matatizo
Safi sana kiongozi uko sawa kabisa
I repeat again the guy is more than smart itself....
Mungu akupe afya njema na uzima, ulinzi
Nimekuelewa sana mwenye kiti wangu❤❤❤
Waziri wa fedha ni tatizo,naishangaa sana serikali hasa mamlaka ya uteuzi kuendelea kumvumilia waziri wa fedha kwa kuboronga kila pahali
Watanzania tukipendana hivi tutaendelea mungu akulinde mwenyekiti
Akipotea huyu tunawaambia nchinzima tutaandama.Ole wenu apotee