MFANYA BIASHARA AJILIPUA KUMTAJA MWIGULU SAKATA LA KARIAKOO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 76

  • @alenimgaya3889
    @alenimgaya3889 Před rokem +6

    Namshukuru mungu tanzania yangu imeanza kupevuka sasa hii ndio inatakiwa

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 Před rokem +15

    R.i p magu ulifanya watu kuwa jasiri

  • @rukiamziwanda7458
    @rukiamziwanda7458 Před rokem +3

    Sema usiogope🎤

  • @givenndegeulaya419
    @givenndegeulaya419 Před rokem +1

    Big up.. Sema usikike

  • @NeemaSelemani-dy6ul
    @NeemaSelemani-dy6ul Před rokem

    Wao good job Kabisa mambo ni mazuri.

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 Před rokem +2

    Safi sana mwingulu achia ngozi

  • @mwakagarimwakipelelefi9738

    Umeongea point ☝️ sana tatizo Sheria tu hapo waludi Bungeni kulekebisha tu sheria

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 Před rokem +2

    Kwanamna hii Tanzania tutapiga hatua mzee uko vizuri Sana kuliko wanao piga kelele pembeni

    • @thomastarimo
      @thomastarimo Před rokem

      Eti anajita mwanauchumi uchumi gani labda mwanauchumi wa kusimamia bass ya ester

  • @najmaabby5034
    @najmaabby5034 Před rokem +1

    Well said Mashaallah

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Před rokem

    Tutamkumbuka sana mwenda zake daah kaenda na nchi inaendaaa

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem +5

    Mwigulu ni mzigo jpg alimtumbua alipokuwa mambo ya ndani ndo tulishuhudia watu wasiojulikana kutamba kila kona...akwende huko

  • @peterrichard4087
    @peterrichard4087 Před rokem +1

    daaaah,,,,,kwer saiv viongozi wamekuwa miungu watu, R.I.P magufuli

  • @abelkingu4653
    @abelkingu4653 Před rokem +1

    Kuna Jamii ya watu wanatafuta uwaziri wa fedha badala wafanye kazi, Komredi Fanya kazi, hawa wamekuwa wakiongoza wizara hii miaka mingi na imekuwa na wizi tu na kujipendelea wao kwa wao

  • @MarandaIhonde-qe6df
    @MarandaIhonde-qe6df Před rokem +1

    Uyo mwiguru simpendi sijui kwann hatoki kwenye iyo wizala

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Před měsícem

    Mzee kusema kweli ila ccm haikubali ukeli

  • @JoeMziwanda
    @JoeMziwanda Před rokem +1

    Oyaaaaaa huyuuu mzeee kaongea bn eeeh

  • @youngzabron181
    @youngzabron181 Před rokem

    Shakamooo mzeee wangu

  • @mmrkipaji
    @mmrkipaji Před rokem +3

    Aisee Huyu Mzee Ni Mwamba

  • @NeemaSelemani-dy6ul
    @NeemaSelemani-dy6ul Před rokem

    Uwiiiiiiiiiii boss imemuangukia hiyo tuone mambo haya Sasa.

  • @nakali79
    @nakali79 Před rokem +3

    Mwigulu alit akiwa aachie uwaziri

  • @safinahanga476
    @safinahanga476 Před rokem

    Mwigulu za uso👊👊👊hana hamu ingekua za Rais wetu angeliwa kichwa.

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před rokem +1

    Jamaaa kaminya pumbu kwa kwa kuweka nne damn

  • @robertmsukwa8466
    @robertmsukwa8466 Před rokem +1

    Umeongea point

  • @reenesa
    @reenesa Před rokem +1

    Huyu Baba kuongea point tupu. Hawa Mawaziri 2 tatizo lipo hapo. Mwenye akili anajua.

  • @januarymbunda8472
    @januarymbunda8472 Před rokem

    Mwiguru mwiguru ni nan yeye hapa Tz

  • @peternaaly4081
    @peternaaly4081 Před rokem

    Simuungi mkono mwigulu tokea ametuambia tuhamie Burundi

  • @geofreyemanuel3593
    @geofreyemanuel3593 Před rokem

    Huyu mzee yuko vzr balaa dah'

  • @saimonisichimata8559
    @saimonisichimata8559 Před rokem

    Tz saiz kumekucha

  • @malindimalindimerinyo1632

    Tatizo kubwa waziri mkuu anateuliwa na rais waziri wa fedha anateuliwa na rais je Majaliwa pamoja na uchapaji kazi wake mzuri mno atamfanyanini Mwigulu aliesema yakitushinda tutimukie Burundi...hatahao wakariakoo anashangaa wanamlalamikia Majaliwa badala ya kutimukia Burundi.

  • @macklinabenedicto4627

    Safi Sana umeongea kweli

  • @NeemaSelemani-dy6ul
    @NeemaSelemani-dy6ul Před rokem

    Daaaaaa kazi hiii ipo Nchini education is a continuous process.

  • @jumamayonga8914
    @jumamayonga8914 Před rokem +1

    Waziri wa fedha ni tatizo tunaomba mhe Rais asimfumbie macho. Ni maeneo mengi yanayotozwa kodi yanaumiza wananchi. Mfn:-pango la nyumba, umeme, tozo za kibenki, miamala ya Simu nk.

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 Před rokem +1

    baba baba baba unafaa kweli

  • @NeemaSelemani-dy6ul
    @NeemaSelemani-dy6ul Před rokem

    Eheeeeee ndiyo mambo Sasa haya yakuzungumza

  • @merinankullua5874
    @merinankullua5874 Před rokem

    Kachomoa betri

  • @malataogtz2080
    @malataogtz2080 Před rokem +1

    Mwigulu mh wasikilize wa tz inauma

  • @fabianhaali8437
    @fabianhaali8437 Před rokem +2

    Ujasiri ndo Kila kitu vyeo ni takataka usipotumia akili

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před rokem +1

    Huyu mwigulu SI mmupumuzishe jamani

  • @osoromageta3381
    @osoromageta3381 Před rokem +1

    Huyu mzee aliongea point

  • @user-pz7zi2bf1w
    @user-pz7zi2bf1w Před rokem

    Duh mmeamua kweli mwiguru mwehu

  • @cleartzboy
    @cleartzboy Před rokem

    Mwigulu hii niabuuu

  • @abouayman8713
    @abouayman8713 Před rokem +1

    Mwamba ndi uy sasa

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před rokem +1

    Mzee kalipua hahaha

  • @fadhilinzano5840
    @fadhilinzano5840 Před rokem

    Bless watafutaji Bless viongozi

  • @fabianhaali8437
    @fabianhaali8437 Před rokem

    Upande Wa afya serikali inataka hela ambayo haijafanyia lolote ni aibu

  • @josephinemichael1514
    @josephinemichael1514 Před rokem

    Chuki Shabani a.k.a tajiri mbishi😄

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před rokem +5

    Utashangaa mtoto MDOGO MTUMISHI TRA ana mshahara MDOGO na Hana muda mrefu KAZINI labda miaka MIWILI au mitatu KAZINI ana mihela KIBAO,amejenga nyumba ya KIFAHARI , gari zuri, hakuna biashara anayofanya wala shughuli inayomuingizia kipato Cha ziada kama si ULAJI kupitia unyanyasaji WA wananchi wanapataje UWEZO huo ?

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před rokem +1

    J p m

    • @yolamkidima8242
      @yolamkidima8242 Před rokem

      Mwigulu mbona gumzo c ae nde na yeye burundi kama alivyosema akaone vita tuachie nchi yetu yenye amano

  • @godmwalembe
    @godmwalembe Před rokem

    Hatareeeeeeeeeeeee

  • @sirizawa3360
    @sirizawa3360 Před rokem +2

    Hakiamungu mwigulu angekuwepo magufuli usingepona

    • @carinamatt1031
      @carinamatt1031 Před rokem

      Si alikimbia huyu magu alipokufa kakirudisha kidude chake

  • @user-pc9ne6wr4k
    @user-pc9ne6wr4k Před rokem

    Nchi hii Tanzania

  • @luisojr3480
    @luisojr3480 Před rokem +2

    Halafu mwamba watu wananchana yeye anacheka tu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před rokem

    Sasa waanza kudai kibali Cha kushusha na kupakia kama huna faini laki Tano.

  • @barnabaslushenshe523
    @barnabaslushenshe523 Před rokem

    MWIGULU ULISEMA TUKAISHI BURUNDI..BADO UKO TZ UNAFANYA NINI

  • @frankgibore9813
    @frankgibore9813 Před rokem

    Kama ningekuwa mimi ndo mwigulu.ningekaa kwenyekiti hicho.hii sasa ni aibu

  • @user-pc9ne6wr4k
    @user-pc9ne6wr4k Před rokem +1

    Wanafidia walizoiba

  • @mamylnkuzi8482
    @mamylnkuzi8482 Před rokem +1

    MUNGU ISAIDIE NCHI YETU

  • @slowclimbertothetop4572

    Napata wapi namba ya huyu Chuki Shabani?

  • @nakali79
    @nakali79 Před rokem

    Wazambia wana "Tools gate" hizi zimewekwa njia zote, kila gari lazima lilipe ushuru likipita njia hiyo, ya ndani ya nchi na ya nje" wanakusanya hela nyingi sana, sio tz serikali inatoa macho kwa walalahoi tu,

  • @komboarts7110
    @komboarts7110 Před rokem +4

    Tutaendelea kumkumbuka baba Hayati Magufuli

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 Před rokem

    Nyundo tupu wallah

  • @enockchachagimonge7093

    Dawa ya kupunguza makodi ni kuindoa Ccm Madarakani na kwa njia hii tutapunguza wezi na ushindani wa maendeleo. Kelele ya nini majukwaani wakikutana baada ya hapo husemesana tuendelee achana na kombe la mwanaharamu

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 Před rokem

    Watu wanaumia kodi lakini mwigulu ukasema tuhamie burundi dah, maana ikipanda wewe una shida gani wewe ni waziri wa pesa.Haya bwana poa lakini.

  • @charleselijah-vq3hq
    @charleselijah-vq3hq Před rokem

    Afukuzwe hana nafasi ya kuwatumikia Watanzania. Labda anafanya hivyo akifikiri atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na huo ndio ukweli na makusudi yake kuna genge ndani ya serekalini mawazo yao kutaka Urais ndio maana wanawafanyia Watanzania hivyo. Na kama Urais ndio makusudi yao ? Ni Vipi watakuwa watawala na kusimamia Wananchi ambao kwa ndoto zao wanataka kuwaongoza??.

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Před rokem +1

    Wenimekuelewa mwigulu ndo tatizo uyo