This thing called death is too painful I saw this when my mum passed last year GOD give the wife kids n his family the strength as they start a new life without Marco,he's now ur new angel in ur family
Inauma ila8nabidi kufungua mkanda mungu awape nguvu familia ya Marco kumbukeni ni njia ya kila mmoja watu jipeni moy0 nawapenda sana mungu awalinde amina ❤❤❤😂😂😂
Bass hatuna namna mungu ametoa mungu ametwaa mungu ailaze roho ya marehem mahala pema peponi tutaonana ck yamwisho hiyo ninjoa tunaipitia ilikumuona mungu lazima tuipitie njia hiyo kinachouma nikutangulia poleni ndugu wa malehem na familiy aloicha mungu awalindw
Dah!! Kifo kinauma saana marco wetu lala sarama kipenz. Tuonane Paradise
This thing called death is too painful I saw this when my mum passed last year GOD give the wife kids n his family the strength as they start a new life without Marco,he's now ur new angel in ur family
Gaaky iyee!Pumzika kwa imani ndugu Marco.Tutakutana pale mbinguni on that beautiful day
Marco nenda salama Mungu akupumzishe kwa Amani mdogo wangu
Nmelia sana, Mungu atusaidie sana kwakweli
Marco wetu lala salama tuonane paradizo.tu ta ku miss.tulikupenda sana from 🇧🇮
Inauma ila8nabidi kufungua mkanda mungu awape nguvu familia ya Marco kumbukeni ni njia ya kila mmoja watu jipeni moy0 nawapenda sana mungu awalinde amina ❤❤❤😂😂😂
Sante mungu kama ni mapenzi yako ila tunamaumivu tutie ngumu hakika ni ngumu kuvumilia ili fumbo ulilotufumba tusamee Baba😢😢😢
Jameni kifo hakina huruma😢njia ya kila mmoja, muhimu ni kulala ndani ya kristo
Katika vit mung alitupa vikubwa ni kifo asee hakibebeki hakizoeleki hata siku moja 😢😢 r.i.p marco
Poleni familia nzima ya zablon singers. Mungu awatie nguvu na kumpumzisha Michael mahali pema
Pole sana japhet ningumu kukubali but everything tunaachia mungu wacha mungu awafariji pole sana
Polee sana Mungu awatie moyo
Munqu wa mbinquni tunashukuru kwa yote .mkumbatie mama na watoto uweza ni wako,R.i.p mtumishi
Sijawai mwaga machozi kwa mtu zijui but hiii imenigusa mbaka nimelia kwa sauti😭😭😭😭😭😭
Pole sana
Mimi pia😭😭😭
Kenya pia tumepoteza akky 😭😭😭😭😭😭 woiye kaburi hakika wewe ni tajira lkn siku moja pia utashidwa
Waah ivo Sasa. Marco ayuko akwa Dunia poleni Sana Mungu ndio ako na mipango yako.pia.sis tuko nyumba ya Marco 😭😭😭😭😭😭
from kenya we will miss you so much
Apumzike kwa amani,poleni sana familia MUNGU ndiye mfariji mkuu
mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi amen🙏🙏
Mungu amuweke mahala salama,,,kusema ukweli nimelia sana na nimeumia sana,,,,pumzika Kwa aman Marco mbele yetu nyuma yako
😢😢 I can't control my tears 😭😭 poleni sna familia 😢
Inauma lakini hakuna jinsi polen wanafamilia mungu awaited nguvu
This is so painful and I cry when I see such, loosing a love is so hard and painful. Rest in peace Marco.
jamn polen wanafamilia kwa kuondokewa na mpendwaaa mungu awatie nguv katik kipind hki kigum
Pole San dada Vick mmeptez kifaa
Bass hatuna namna mungu ametoa mungu ametwaa mungu ailaze roho ya marehem mahala pema peponi tutaonana ck yamwisho hiyo ninjoa tunaipitia ilikumuona mungu lazima tuipitie njia hiyo kinachouma nikutangulia poleni ndugu wa malehem na familiy aloicha mungu awalindw
Poleni sana kifo kinauma lakini Hakuna jinsi tutaepukana na kifo
The life born of a woman is very short .it has been compared with a leaf . Poleni familia.
Msba huu umeniumiza saana 💔 had naogopa
Roho za waamini wapate Reema kwa mungu wapumzike kwa amani amina
Du! Kifo ni fumbo pole sana dada MUNGU akutie nguvu sana
Poleni sana😢😢Mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu kwenu kama familia..
poleni xana tumepotesa mwimbaji adari roho mahari pema
Mungu akupee amani ni Jesus name 🙏🙏🙏🙏
Dah inauma sana pale tunapo tengana na wapedwa wetu Mungu akawe mfariji katk family 😭😭
Inauma sana MUNGU atusaidie poleni zabron mungu awatie nguvu
Daaaah kaburi ni tajiri kweliii😭😭😭😭
Mungu akupee nguvu
Marco wetu jamani 😭😭😭😭😭nimeumia sanaaaaa yani 😭😭😭😭😭😭
Gone too soon and very young,may God comfort his young family
🙈 mungu akukumbuke jmn😭😭😥😓🌹🌳🚗🎎❤️
Bibi ya marco mungu akupe nguvu dadaangu kwa kipindi hicho kigumu
Heeeeee Mungu tusamehe sisi Vijana tupe... Turumie Mungu... Tusamehe 😢😢😢😢
Poleni sana wafiwa mungu awape ngvu ya uvmlivu
Pole sana BWANA azidi kuwatia nguvu na kuwafiliji
Poleni sana Mungu awatie nguvu
The low of the lowest of life...mungu awafariji sana familia!
Poleni sana
Daaah poleni sana mungu atie moyo
Rest in peace Man of God
Mungu utabaki kuwa Mungu Amina na Amina 😭😭
Poleni jamii, Mungu awafariji😭😭
Rip😭😭😭
😭😭😭😭 sina cha kasema zaid ya kuwapa pole na kutoa machozi
Pole
Mungu akulaze mema peponi
😂rip bro
Polen xana familia yamarco mung awatie nguv
😢😢 Mungu mtie nguvu mke wa marehemu peke yake hawezi
polen sana mungu awatie nguvu ila inauma sana
Mungu amulaze mahar pem
Poleni sana kwa msiba huu
Mungu awatie nguvu wanafamilia 😭😭😭😭
Mungu akawe mfariji kwenu
So sad poleni sana😭😭😭😭
Lala salama tutakukosa kaka na sauti yako tamu 😢
Mungu awatie nguvu polen cna
😭😭😭nimeumia sana
What is the meaning of life
Mungu faraja Yako inshotajika
So sad😢😢😢😢,, poleni sana
Poleni kwa family ya 😢marko
Niko zambia.pole sana.Ata Mimi nimeshindwa kutumika Leo.
Pmuzika kwa amani kaka ❤❤❤😭😭💔
Pole San hay yap t muachen AK tuandalie makazi polen
Ajiyendeye salama mutumishi wamgu
Jamani hii kifo imeniuma sana😭😭😭😭😭😭😭
Pumzika salama mtumishi 😢😢😢😭😭😭😭
Polen sana mungu awatie nguvu😭😭😭😭
Poleni wanafamilia wote majirani
Majonzi kwa kweli
dah umejua kuniliza we kaka ila pumzika kwa amani tyu
Jamn nimeumia. San mung awatinguv
Kitendo hiki huwa kinanifanya namuogopa Mungu sana 😢
Poleni saana😅
Mungu awatie nguvu sana
Dah! Polen san
Nenda salama 😭
Tuta kukumbuka daima
Aaaa kwakweli inauma sana
Mungu awatie nguvu
Mungu akutie nguvu 😭😭
Sorry 😢😢😢😢 hivi wazazi wa Marco wapo
Ndyo
Pumzika kwa amani marco
Mungu awatie ngivu
😢Pumzika Kaka,Utumishi wako hautasaulika
Mwanga wa milele umwangazie
Dah yaan anabak mwenyewe humo kaburin jmn inauma sana
Soo painful.
Jamani kifo ni kibaya sana