MWIGULU ASHUSHIWA NONDO SAKATA LA KARIAKOO, MFANYA BIASHARA AJILIPUA KWA MASWALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 147

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 Před rokem +12

    Asante kwaajil ya maisha ya magufuli hapa dunian hakika alitufungua

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 Před rokem +10

    Mwigulu hafai marehem magufuli alimuona samia kajiona yy ni zaidi ya yule mwamba matokeo yake ndio haya wafanyabiashara kazeni buti

  • @Nashondaniel
    @Nashondaniel Před rokem +3

    😭😭😭Mimi Natoa machozi Jamani,,watanzania wanaumia Sana,,, baadhi ya viongozi wanatunyonya jamani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @messiahmlyuka9422
    @messiahmlyuka9422 Před rokem +10

    Hongera kiongozi wetu kutoka Njombe🎉

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem +2

    YAANI HAO TRA WA TANZANIA, KWA KWELI MASHETANI SANAA.

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Před rokem +8

    TRA kijana mdogo anajenga nyumba ya kifahari ata mwaka haufiki kwa mshahara gani

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před rokem +12

    Inauma sana mnatufanyia ubaya sana watanzania

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Před 7 měsíci

    Ninachikiona kwahili mwigulu alipandushwa vyeo tu😢😢😢😢

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 Před rokem +10

    Mwigulu sikuchukiii lkn huwezi narudia tena huwezi..Upo hapo mbele kwa dharau unacheka lro hii bila kujari lkn ungejiuzuru tu

  • @humphreyhassan8197
    @humphreyhassan8197 Před měsícem

    Magoma wa makambako hongera

  • @uswizinyanginywa2498
    @uswizinyanginywa2498 Před rokem

    Tunakushukuru kiongoz wetu kwa kutuwakirisha Wana Njombe na Nchi nzima.

  • @bettymeshack7759
    @bettymeshack7759 Před rokem

    Magufuli amka Baba amka tunaumia sanaa

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před rokem +8

    Watanzania yetu viongozi mnawatesa sana wafanyabiashara

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Před rokem

      Sana!
      Jamani kwa nini mama asimtoe Mwigulu?Kwa kweli inasikitisha. 😢

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 Před rokem +5

    JPM JPM JPM JPM JPM JPM JPM 😭😭😭

  • @mohdmazruiy2028
    @mohdmazruiy2028 Před rokem +15

    Mwiguku hatukuhitaji katika serekali

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před rokem +4

    INAUMA SANA SANA UYU MWIGULU AJITAFAKARI SANA

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před rokem

    Nahisi Ni Vita vya Urais 2030. Kuna Watu wanaanza Kujipanga Baada ya Samia na Wanahujumuana na Kukashifiana. Jiulize Kwanini Mwigulu Ndiye anatukanwa na Kukashifiwa na Hamna Anayemtetea, as if yeye ndiye Mwamuzi wa Maswala yote Ya Mchi. Kuna M2 Alimwambia Doctor gani wewe? Na husikii hata PM skimzuia Kuongea Vile.
    Tanzanians Hamjui Vitu zingine Vinapangwa Sirini.

  • @abdulraqeebfaiz9442
    @abdulraqeebfaiz9442 Před 2 měsíci

    Kengere babako

  • @SilvesterRaphael-xb6it
    @SilvesterRaphael-xb6it Před rokem +5

    Mnampigia nguruwe kengere wabunge wanaongea kila siku kuhusu utitiri wa kodi lakini serikali imejifanya kiziwi sembuse nyinyi wafanyabiashara hakuna kitu hapo wanawazumu tu hao akina za kayo wakitoka hapo wanawacheka tu

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 Před rokem +3

    Mwigulu mimi nigekwambia afadhali acchhaaa kazi hauwezi hii sio kazi ya kukaa kwasababu umeshiba hujali umeaibika sana

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Před rokem

      Mwigulu hakujiweka kwenye hiyo position ndugu yangu.
      Hii ni aibu aliyemuweka ndio amuondoe madarakani.!
      Wanawafanyia makusudi.
      Nia yao watanzania waendelee kuwa maskini.
      90% ya watanzania tumebaki maskini.

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Před rokem

      Dawa ni kutowapigia kura CCM.
      TUAMKE!

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Před rokem

      KATIBA MPYA !
      NI SASA....

  • @user-go6ht5vv8r
    @user-go6ht5vv8r Před rokem +1

    Semaa kabisa wanatukondesha sana

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Před rokem

    Tulieni wafanyabiashara nyinyi dawa iwangie kelele za nn isomeni nomber ccm oyeeii❤

  • @jamesmhema719
    @jamesmhema719 Před rokem +4

    Huyu apewe maua yake.✊

  • @Doten-zg3yl
    @Doten-zg3yl Před rokem +2

    Hata stand za nagari yaendayo mikoa ni na nje ya nchi wakusanyaji wanapga hela tu hawatoi list

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před rokem +6

    Mwiguli anaonewa tatizo lipo kwa uongozi wake walio mtuma kufanya hayo yeye ni mbuzi wa kafara

    • @vaskosamweli3556
      @vaskosamweli3556 Před rokem

      Ata mtoto akilelewa vbaya atakuzarau ata mzaz kwakua mwigulu ndio mwenye body ya mfumo wa ukusanyaj kod

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před rokem

      😂😂😂😂 mbuzi wa kafara ndo yukoje jamani

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 Před rokem +5

    RIP MAGUFULII

  • @mwasubilasaimoni4119
    @mwasubilasaimoni4119 Před rokem

    Wanatusumbua sana T R A mikumi utafikiri wenyewe wanamizigo yao wanataka bei iwe kubwa wakati mizigo inabei ndogo

  • @queenraphaher7736
    @queenraphaher7736 Před rokem +1

    Hapo TRA walikuwa sawa, kwani waliangalia bei za kawaida

  • @barakawilliam3993
    @barakawilliam3993 Před rokem +1

    Nimekuelewa kiongoz wetu.

  • @user-ic6js4sc8u
    @user-ic6js4sc8u Před rokem

    Mmmmh Aibu sanaaaaaaah hayo maumivuu makalii

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk6736 Před rokem +1

    Ata mm nakunywa chai na ANDAZI

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 Před rokem +5

    Mwigulu mwigulu weweeeee una mkosi,jihuzuru tu,huoendwki kwa dharau zako

  • @emmanuelmayuma3466
    @emmanuelmayuma3466 Před měsícem

    Tutatoboa, Tanganyika hoyee.

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Před rokem +6

    Samia ayasikie haya sasa mwigulu ni mwizi

    • @bakarimtange570
      @bakarimtange570 Před rokem +1

      Kwni unahic Samia hayajui Aya anayajua na izo Kodi ni zake

    • @barakadanieli1440
      @barakadanieli1440 Před rokem

      Samia anatia mikataba mikubwa ya mikopo kutoka kwa wazungu Koo ili madeni ya wazungu yalipwe lazima tu raia tuumie maana Samia anapenda sifa Sana na Cha ajabu anakopa akiamini wananchi watambanwa walipe Kodi na wakilipa Kodi zinapingwa nawalaji sasa unafili Nini kifanyike ?
      Maana wakipunguza Kodi madeni ya wazungu watalipa na Nini
      Wapigaji nao wataishije na wamezoea kupinga?
      Rais mwenyewe mpigaji

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem +15

    Shameless mwigilu...akwende huko...

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    TRA Wako sawa wako pamoja na Magufuli na Magufuli anataka kuuwa wafanyabiashara wote. Na ni yeye anahusika kwa kubiga hizo pesa na wala wadhibitiwi anawafahamu vizuri.

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 Před rokem +5

    Kwani TRA walishapanga bei ya kusafirisha mizigo? Mwenye gari hana haki ku-negotiate bei na mteja wake kutegemea situation?

    • @zakiahashim2274
      @zakiahashim2274 Před rokem

      Uko sahihi mm mwenye nifanya kazi kusafilisha mzigo nisumbuka san nipata hasala kubwa sana nilal mikumi siku mbili mpaka mzigo ulihalibika

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Před rokem +5

    Kuna mabasi yanaitwa ester tunaambiwa ni yake kama ni kweli ye anamshahara gani wa kununua mabasi yote yale we mwigulu wewe

  • @floridachami9090
    @floridachami9090 Před rokem

    Jamani tra migori wamezidi waziri mkuu

  • @HudayjumaTaalib
    @HudayjumaTaalib Před měsícem

    Mama samia kwann humuondosh huyu Mugulu Makuful aalkua anamjua huyu simtendaj atakufelsha

  • @vaskosamweli3556
    @vaskosamweli3556 Před rokem +2

    Wanakusanya kwa nguvu alaf znapgwa kwa akiri

  • @RehemaMwambelo-ix2pv
    @RehemaMwambelo-ix2pv Před rokem +1

    Sio mikumi tu nikote tra wanatua ndio maana saizi kila mtu anapuresha

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 Před rokem +2

    Hii nchi ya watu wachache wengine tuumizwe,hata polisi Kila idara kunanuka,watu wanaogopana,Bora watanzania wateseke wao wajichane,nyie endeleeni kulatu ipo siku mtavitapika shimoni

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 Před rokem +1

    Bandari zetu zimepoteza ubora vitu vina ibiwa ,wateja wanahamia bandari mombasa kenya

  • @fredsanga9461
    @fredsanga9461 Před rokem +2

    Mwigulu ni tatizo

  • @Worldunite
    @Worldunite Před rokem +1

    Yaani huyu jamaa anafaa kuwa mbunge aiseeee

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před rokem +3

    Magufuli,hakua mjinga kumtumbua Mwigulu.

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 Před rokem +1

    Mapembelo ngojo

  • @sebastianmwantuge5597

    Trillion 2 kapiga mwenyewe Mwigulu,nashangaa Rais anamwachia tu

  • @paskalinyanga
    @paskalinyanga Před rokem +2

    Kukandamizawafanya biashala ndio kukandamiza masikini wa chini tumuogope mungu na tuwe na hofu yamungu

  • @eliassospeter
    @eliassospeter Před rokem +2

    Jamaa wote wapegina nondo kali

  • @sultanramadhan5269
    @sultanramadhan5269 Před rokem

    Nchi yetu imejaa vitengo kila kona ktk idara ya serikali kitengo TARURA Wana kitengo ukaharibikiwa tu wapo nyuma wanashombo la rushwa tupu.

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 Před rokem

    Yan mim kwanz nina mpango wakuuza gar langu la mizigo kwanza maan maona mateso barabaran makadirio makubwa yan

  • @lovenesaman
    @lovenesaman Před rokem

    Sana mpandira

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 Před rokem +1

    Magoma oyee

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem +1

    Wezi wezi wezi hata kwetu wapo....

  • @user-hq4ff3gl9k
    @user-hq4ff3gl9k Před rokem

    tunakuomba mama samia watoe hao majuzi maa a wanaona sana

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před rokem +7

    Raia wa Tanzania hairuhusiwi kuwa na maisha mazuri ,unatakiwa uwe maskini mpaka kufa

    • @rashidsalim7078
      @rashidsalim7078 Před rokem

      😂 Una zambiiiiiiii

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před rokem

      😂

    • @fatmaally7252
      @fatmaally7252 Před rokem +1

      Ni kweli kabisa Tanzania ukiwa maskini kidogo unaafadhari ila matajili wana hari mbaya

    • @aliyageorge6794
      @aliyageorge6794 Před rokem

      Umeongea point kubwa.
      Na ndivyo inavyoonekana
      Wanapenda kutuona maskini.
      Maisha magumu.

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 Před rokem

      @@aliyageorge6794 kwasababu ukiwa na maisha mazuri utaandamana au utatetea haki yako kwa umakini zaid,ila ukiwa na njaaa utawaza kuhangaikia watoto wale bas na sio kingine

  • @rabwarab574
    @rabwarab574 Před rokem +1

    HUYU MWIGULU!!

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před rokem

    Jamani huyu Mwigulu kila siku anazungumziwa ajirekebishe. Au apewe wizara ingine

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Před rokem +6

    Huyu Mwigulu hamna kitu hapo

  • @beriasmasanga6859
    @beriasmasanga6859 Před rokem +3

    Mama naomba uzisikie hizo kero,mama samia,na pia waziri mkuu tunao njooni mkutane na wafanyakazi wenyewe muulize juu ya kikokotoo kwa wastaafu mtajua wazee wamekwenda kuibiwa na kuuawa

    • @ombendaud5938
      @ombendaud5938 Před rokem

      Mweeee mimi naomba waziri mkuu watumishi wa serkali hatujalipwa madeni ya mishahara huu mwaka wa kumi.Tuna imani na wewe atusaidie wafanyakazi wa serkali.Vyuo vya afya tuna madeni tunadai fedha nyingi mno

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Před rokem

    Hakia'mungu wafanya biashara n wakwel

  • @sultansallah8772
    @sultansallah8772 Před rokem

    Lisu oyeeeeeeeee

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem +1

    Aondokeeèeeee...

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před rokem +4

    serekali angalizo ukiona watanzania wameweza kugoma hata sikuu tatu mjue pumda amechoka anataka kushusha mzigo kueni makini hapo ni daresilaam tuu wako mikoa mingine yote wakiweka mgomo unafikiri nchiii inakuaje mawaziri wakufa tai yenye nembo yataifa

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před rokem

      🤣🤣 ati mawaziri wakufa tai yenye nembo yataifa..nimecheka kweli hahaa

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před rokem

    Kweli kabisa usipo nunua gari wakuite mbwa

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Před rokem

    Huyu mwigulu kuna nn hapo kati jaman

  • @NzenzuleManyanda
    @NzenzuleManyanda Před rokem +2

    Mimi mwenyewe nataka nifoji fomu nifanye kazi TRA

  • @deocosmas8708
    @deocosmas8708 Před rokem

    Watuu wanatoa nondoo mpk wazr anaogp

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před rokem

    BA MAWAKALA WA KUTOA N KUINGIZA MIZIGO NAO PIA NI WATU WA KUWAANGALIA SANAA.

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Před rokem +1

    Mwigulu na January tatizo sana taifa halina makali watu wakojuu ya nnchi ni JWTZ tu ndio waadilifu wengine wanatuwinda raia we ngoja iposiku

  • @MariaMfanga-qu2pl
    @MariaMfanga-qu2pl Před rokem

    Nikwel baba atembelee na viwandani vya wachina wananyanyasa sana wafanyakaz

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před rokem +2

    Samia ndio tatizo ameweka watu virusi kwenye serikal yake na watu walishamkataaa

    • @barakadanieli1440
      @barakadanieli1440 Před rokem

      Kweli rais ndo tatzo mbona watu wengi wanamzunguka hawatak kumchana rais

  • @mbawalamakomae5094
    @mbawalamakomae5094 Před rokem

    Geti la mikumi litolewe tunasumbuliwa xnaaa

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před rokem +3

    Hivi Tanzania haina wachumi mpaka imng’ang’anie Mwigulu?

    • @karimmunis8302
      @karimmunis8302 Před rokem

      Tatizo ni raisi aliyewekwa hapo ndo chanzo cha haya

  • @zainabismail359
    @zainabismail359 Před rokem

    Sawa

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 Před rokem

    Mikumi ni tatizo mno.

  • @4hestatecompany20
    @4hestatecompany20 Před rokem +1

    Rais chukua hatua 2025 utapanda mlma na mizgo kchwan,mabegan,na miguun.Ucwaamn wanaokuamnsha watanzania wanakuchukia 7b ya hao kna trab na trat

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Před rokem

    Sasa wenye mitaji ya million moja itakueje

  • @malembobulongo3856
    @malembobulongo3856 Před 11 měsíci

    Hakika tunakukumbuka mjomba magu wewe uliyaweza haya!!!

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 Před rokem

    Wasomi hovyo

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem +3

    Hana aribu mwigilu nchemba...

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Před rokem

    Waambieni wezi hao , Maana watu wanateseka juani alafu kunawatu wanafunikwa , kila mwezi wanakula , tulowaajiri kwa jasho letu wanatumia pesa zetu vibaya alafu wanatuletea VIBURI machozi ya waTZ YATAWALIPA , MUDA SI MREFU VIONGOZI WOTE WANAOTUIBIA WATALIPA MACHOZI YA DAMU

  • @mailisagaswe1544
    @mailisagaswe1544 Před rokem +3

    Mwigulu jitafakari Kama unafaa kuendelea kuwa waziri wetu was mapesa

    • @abelkingu4653
      @abelkingu4653 Před rokem

      Ajitafakari kwa lipi ambalo hasa ni kosa lake?? Waziri anasimamia Sheria za TRA iliotokana na bunge. Acheni wivu wa kike

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před rokem

      ​@@abelkingu4653 hatumtaki

    • @abelkingu4653
      @abelkingu4653 Před rokem

      KAZI kwako usiyemtaka ndio yupo Sasa. Don't work to try to change system, anza wewe kubadilika

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před rokem

      @@abelkingu4653 inawezekana ni ndugu yako maana kila coment unamtetea ila wengi hawamtaki

  • @christophergeorge5490
    @christophergeorge5490 Před rokem +1

    😂😂 mwigulu aji tafakari

    • @abelkingu4653
      @abelkingu4653 Před rokem

      Akitekeleza Sheria za bunge lenu mavi mnasema mwigulu hafai, tulien. Sheria TRA watekeleze Sheria, mwacheni mwigulu asimamie kile nchi imekubaliana...chuki za kipuuzi muacelhe

  • @ABERIKADIKILO-kg6jq
    @ABERIKADIKILO-kg6jq Před rokem +2

    Mh.waziri mkuu fatilia hata ushuru wa samaki Wilaya mleba tunaumia sana sisi wafanya biashara ya wasamaki wilaya zingine ushuru ni sh. 90 kwakl lakini wao ni sh. 300 kwakila kilo

    • @johndunda250
      @johndunda250 Před rokem

      Mafisa wa tra mikumi wezi san wajanja wajanja wamekalia kila siku kula rushwa tu wat wa tan rod mzan mikumi wezi mzani wame ufanyia ujanja ujanja san wana kula san rushwa

  • @SwalehMasoud-gg2hl
    @SwalehMasoud-gg2hl Před rokem

    Duuu hatari

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 Před rokem +1

    Tatizo ni mfumo sio mtu, hata wewe na mimi tungefanya hivyo hivyo

    • @AmriManengelo-yz5pp
      @AmriManengelo-yz5pp Před rokem

      Na mfumo unabadilishwa na mwenye dhamana husika so Bado tunarudi kwa mtu

  • @VeronicaElia-pj5hb
    @VeronicaElia-pj5hb Před rokem

    Mwigulu hatumtaki

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 Před rokem

    Huyo ndio mpigaji mkubwa

  • @ngoshasuzi
    @ngoshasuzi Před rokem

    Utaishia crown na ist za 1999 kwa rushwa hizi

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 Před rokem

    😂😂

  • @AnossyMbonekela-sb6ol

    Shida walio serikarini hawana ujuzi na biashara, wala hawpandi daladala wanatoa maamuzi ambayo hawajwahi kuvaa viatu hivyo wanaamua ili kuwakomoa watu

    • @marydimoso6303
      @marydimoso6303 Před rokem

      Si vitoto vidogo vinapata kazi kwa vimemo tu na wazee wasiokubali kutoka kwenye hzo ofisi walichosomea hakijulikani wanafanya kazi kwa mihemko kujifanya Wanasimamia sheria

  • @barakanestory3521
    @barakanestory3521 Před rokem

    Magu tunakukumbuka

  • @simonzelote5998
    @simonzelote5998 Před rokem

    Magufuli alimtoa mwigulu kwa sababu hiyo ila mama halijui hilo

  • @nyachikomesi315
    @nyachikomesi315 Před rokem +3

    Sema mmeyatoa ya moyon mpaka mnatupa moyo , wajitafakar yanamwisho haya yalioongelewa yote point tupu

  • @bakarimtange570
    @bakarimtange570 Před rokem +3

    Hizi. Siasa2 sio km Samia hayajui.aya acheni tukufanya punda wenu

  • @mussalusinde7716
    @mussalusinde7716 Před rokem

    Mwizi in huyohuyo hakuna mwingine

  • @abelkingu4653
    @abelkingu4653 Před rokem

    Mwigulu Piga kazi, watu wanaotafuta kukufelisha wataanguka wenyewe. Kuna kikundi kiko bize mtaani kujaribu kukuangusha, watashindwa.

    • @kinginno3412
      @kinginno3412 Před rokem +1

      Acha ujinga wewe nanini anataka afeli anajifelisha nwenyewe

    • @azizakiswili9063
      @azizakiswili9063 Před rokem +1

      Peleka huko ujinga wako

    • @abelkingu4653
      @abelkingu4653 Před rokem

      Njaa zinawatesa Hadi mnaanza kuwa na wivu. Sheria za nchi lazima zitekelezwe ipasavyo. Ukiona Kodi sio sawa sema na wabunge wako Sheria ifanyiwe marekebishi

    • @gladysmwendwa3660
      @gladysmwendwa3660 Před rokem

      Kiwavi