Hawa waandishi ni hovyo yan the same story wanauliza kwa kila mtu yan mtu kafiwa na mume unamhoji iyo nguvu anatoa wapi ebu kuweni na utu ndugu waneshaeleza ilikuaje hamtoshe😢😢ki@RebeccaBhoke
Daah pole Sana dadangu, kwa mtu Ambae amepitia Hali Kama hii yako anajua unachomaanisha , Ila kwa mtu Ambae hajawahi kupitia mapito yako hawezi kukuelewa, binafsi najaribu kuvaa viatu vyako, kiukweli vinanibana mno, pole Sana na mungu atakusimamia vyema, kwani kinachoumiza zaidi ni mazoea ambayo hua tumeyaweka kwa wenza wetu.
Kusema za ukweli viatu vyako ni vizito mno,eee Mungu ulie baba wa wajane nakuomba simama na mke wa marco Mungu wa mbinguni mbariki na kumfariji yeye pamoja na watoto wake na ndugu wote amiina
Shenzi kabisa yaani mtu anahali iyo mnashindwa hata kumpa muda kwanza,mnamuhoji tu.Hamjitambui,Yaani huu ni ushenzi wa wazi.Mm binafsi ninalilaani hili kwa nguvu zote.Gonga like kwa mweye kulaani ushenzi huu.
Duuuh! Nimelia Tena Kwa mara nyingine! Mungu awape nguvu sana ni maumivu makubwa sana nakuelewa, poleni sana wapendwa. Marco kamaliza mwendo na kazi zake hapa Duniani amekamilisha. Apumzike Kwa amani. 😭😭🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️
This is so touching 😢😢,may the Almighty God richly continue councils you mama and the whole family including the zabron singers group.May his soul continue resting in eternity peace ✌️
Pole sana Mke wa Marco Mungu akupe nguvu imani na tumaini .Bwana Yesu akuongoze akujalie nguvu uweze kuwalea watoto maumivu ni makali sana pokea kwa Imani
Pole sana binti, pole mtumishi wa Mungu, maumivu yako ni Mungu pekee anayajua, unajihisi nafsi imegawanyika! Lkn Mungu atakutia nguvu na kukufariji.😭😭🙏🙏
Pole sana sana sana binti yangu kipenzi. Poleni familia yote ya Zabron. Mungu Baba yetu, awe mfariji wenu. Mrs Marco weka maisha yako mikononi mwa Rafiki yetu YESU, huyo ndiye mume wako aliye baki ambaye aliyashinda mauti. Kitambo kidogo tutamwona akija nautukufu juu yamawingu. Kufumba nakufumbua maandiko yanasema walio lala wataamshwa. Utamwona Marco kwa umbo lakutokufa. Jipe moyo mkuu binti yangu kipenzi. Imarisha watoto wako ktk kumjua Mungu. Pambana kishujaa usilie sana. Wewe ndiye uushike usukani ukiongizwa na yeye atakaye kuja, YESU MWOKOZI WETU. Nakupenda sana binti yangu kipenzi.
Haki Nimelia Sana, Mungu akupe Nguvu Ma'am,😢 la Muhimu Joseph Marco Ayakufa Ni Mwili Amatuaga Yuko Mikononi mwa Babayetu Yesu Kristo, my condolences to the family 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wakati mwingine mbengo TV muwe mnavaaa viatu vya watu hata kama haziwatoshi Mtu Ana machungu makumbwa mnamhoji vipi. Tuwe na utu wakati mwingine. Pole sana dada Mungu akutie nguvu
😭😭😭Sina la kusema Mimi nimelia Hadi watoto wamenisaidia kulia aki,pole dadangu 😭😭😭 Mungu akufariji pamoja na watoto kwa jumla,Marco amelala tu, Yesu akirudi hakika tutamuona tena,pata pole zangu kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
So sad but kitu inanipa faraja n kwamba haya yoote mlikua mkiomba mungu mpka dakika ya mwisho. Jitinyie moyo familia just shukuru kwa yenye yametendeka sababu yy anajua vyema kabsa
MUNGU awe pamoja nanyie kipindi hiki cha majonzi yenu kazi ya MUNGU haina makosa MUNGU awatie nguvu na kuwafuta machozi sifa heshima na utukufu tumrudishie MUNGU anayestahili kuabudiwa milele yote ameni ameni ameni
Yesu wangu ,yaani alijijua eti funga KWa ajili yangu ,omba na watt ucku ,kumbe ndo safari yake alishaanza kiroho ,kimwili haupo nasi ila kiroho upo nasi ,pumzika salama na pole sana dada KWa kumpoteza mume wako,,dada unajua kumpa maneno mazuri mfiwa barikiwa sana
😭😭😭😭😭😭hyo video iko so emotional pliz mm naomba ifutwe ju mm ileniliza 🫶🫶🫶kwa mke w marehemu n watoto wke aki mamake ndugu marafiki pole kwa msiba much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kutukana siyo njia nzuri sanaaa bali kuhujiwa ni jambo la kawaida ,uchngu upo lakini hakuna anaeweza kutoa taarifa kamili zaidi ya mke wake ,rafiki yake wa karibu sanaaa kuliko unavyojua , halafu siyo wa kwanza kufariki na watu kwa kawaida ndivyo inavyokuwa mwenyezi mungu aliweka kila kitu sawa halafu alitujenga ktk kutufariji na kisha kuishi bila mtu huyu tena basi ndivyo hivyo ,kikubwa mwenyezi mungu awafariji tu kila nafsi itaonja mauti ,tuombe wamalize vizuri na ktk kipindi hiki kigumu cha msimba ,
Pole sana mdogo wangu, Mwenyezi Mungu akutie nguvu dada. Jikaze mama, baba Mungu tawala, tawala maisha ya mama huyu na watoto wake, ambao wameachwa na Marco. Baba Mungu tunajua hakuna kama wewe, mpe ujasiri mama huyu. Pole sana dada
Mungu akawe faraja kwako mwanamke mwenzangu. Jipe ujasiri sana ktk kipindi hiki ili uweze kuimalika na kufanyika faraja hata kwa watoto pia. Ni kweli viatu vyako haviwez kumtosha mtu yeyote lkn kuwa naiman kuwa ck moja parapanda itakapolia tutamuona Marco Zabron . Jipe moyo kipenzi
My God remember Marcos wife it's going to be a hard journey,but Lord cover her and strengthen her, Jehovah lord he has left behind very young children, i trust in you , You will protect and provide for them . Good lord remember his whole family, personally his departure has hurt me , their songs ministered to me , for now we leave everything to you. May his family never lack. In Jesus name i pray. Amen
Watangazaji hamna huruma hata kidogo mtu huu bado ana maumivu makali na mnamusumbuwa tu. Mungu amuraze mahali vema nandoa yao ilijuwa ya nachamungu jmn😢😢hii intavyu inaniliza sana
Pole sana Mamdogo Mwenyenzi mungu huchukua kilicho chake kwahiyo kilicho baki ni umwoombe tu kwa Mwenyenzimungu ampokee tu na amuweke mahali patakatifu 😢😢😢😢
Oh! Jamani pole mdogo wangu damu ya YESU ikutetee na watoto 😢😢😢p'se msimhoji jamani muacheni kwanza eeh! MUNGU mshike binti huyu Zaburi 125 iwe faraja kwake na familia nzima nasi tulioguswa na msiba huu😢😢😢😢
I'm Crying 😢 😭 😭 brother wangu pia alikufa kwa same problem hiyo hiyo alipelekwa maskini mpk India pia lakini bila mafanikio wakarudi nyini kwetu na tukaendelea matibabu hospital huku tena.alikuwa kijana umri takriba miaka 28,nimemkumbukia sana alipokuwa mgonjwa na mpk dakika za mwisho tuko nae hospital 😢😢.mola awaweke pahala pema inshallah amin. Dada huyu mola ampe subra kwa maumivu makali anayo makini 😢😢mola ampe faraja ampe wepesi ktk moyo wake yarabi😢😢😢pole sana dada
Dah pole sana my mungu akutie nguvu dada pole kwakweri unapitia kipindi kigumu sana pole sana kipenzi ni kweri chema akidumu pole my sisi sote njia yeti ni Moja pole kipenzi tizama watoto dajh ingaw ngum lakini atuna jinsi 😭😭😭😭😭😭😭😭 pole
May the grace that supperses all human understanding be upon u mama.n the entire family n Tanzania yooote kwa jumla.frm Kenya we are praying for you.🇰🇪
Jamani ii usimuliwe tu jamani inauma sana umenikumbusha machungu mume wangu aliniaga anasafili jumatano alhamis naletewa maiti kapata ajari pole sana Mungu akutie nguvu
Pole Sana Dada angu Mungu akawe Faraja yako Siku Zote Maumivu Unayopitia Ni makali Mnoooo😭😭😭🙌🙌🙌 Lakin Utayaweza Kwa Jina La Yesu Mungu akawe Mfariji wako Machungu yako yote Mkabidhi Mungu, Mungu wetu ni Mwaminifu Hakika Atakutendea Pole Sana Dada kwa Hiki Kipindi Kigumu kwako Inauma Mnoooo😭😭😭🙌🙌🙌🙌 Mungu akutete😭😭😭
pole sana mungu akawe faraja kwako na watoto wako pamoja na familiya yote ya marco mpe nafsi mungu akawe farajakawako siku zote.maisha yako pole sana nimeumia dah kweli tunapita
Inaumiza sana ,ni huzuni, fikiria mtu wa pembeni roho inauma,unalia unateseka vip kuhusu mkewe na familia yake,inaumiza sana jamani😭😭MUNGU akawe mfariji wa familia na zabron singers wote kwa ujumla, Ila nilichokiona kinachonipa matumaini,marco alikua anaamini kwa MUNGU na lipo tumaini kubwa sana,tulie kwa kias kwa maisha ya kawaida ila shujaa hajafa bali kapumzika R.I.P shujaa vita umevipiga katika imani,mwendo umeumaliza🧎♀️🧎♀️🙏🙏
Inaitwa healing therapy ...anapo endelea kunena zaidi kuhusu tukio Hilo anapona kutoka ndani ingawaje ni mazito kweli. It's good to talk infact anafaa akae na WATU wanao mtembelea KWA wakati mwingi ili aongee zaidi apone . Pole sana dada take heart ❤️❤️❤️. Poleni sana kwa all the families and friends en wa Tanzania wote kwa jumla poleni 🙏🙏🙏
Pole sana sana mdogo..hatuna namna nyingine wala neno lakuoonya maumivu makali uliyo nayo😭😭😭😭zaidi yakumuomba mungu awefaraja kuu katika kipindi hiki cha maumivu na majonzi ya kumpoteza mume wako mpenzi..mungu akufariji sana sana🙏🙏
Dah 😭😭😭😭, machozi yamenitoka , inasikitisha na inatia huruma jamaan, kumpoteza mtu ulie zoeana nae ,mhu bas tu , " Binafsi namuomba mwenyz mungu akutie NGUVU na akusimamie ktk kipind iki cha majonzi! Pia awafariji ndugu na jamaa na awape tumaini la kuwa ipo siku mtakutana na Marco na mtafrah nae milele " KAZI ya MUNGU Haina MAKOSA , tumshukuru kwa kila JAMBO" Marco tulimpenda ila MUNGU kampenda ZAIDI!
Msiba ni mtihani unaozidi akili zetu watahiniwa.....hakika bila mungu hatuwez shinda jaribu Hilo tukiwa salama, poleen sana shemeji yetu mungu akushike mkono na kukutia nguvu katika mtihani huo mzito...polen wanafamilia kwa ujumla na ndg Jamaa na marfk cjui mko katika maumivu Gani maana kama sisi watu wa nje tunaumia kiasi hiki je nyie wa ndani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭..poleni sana na sana Tena sana.....ni Zaid ya maumivu😭😭😭😭😭😭
Jamani pole dada pole mnooo ninahisi maumivu japo kwa mbali Mungu akutie nguvu Faraja Mungu wa Mbinguni akukumbatie Maumivu hayo yapoteee kwa Jina la Yesu. Kumbuka dada Kuna tumaini baada ya kifo.
Jamii ya Watanzania wanamatatizo makubwa ya kisaikolojia yanayobebwa na tamaduni za kipuuzi. Mwandishi aliyefanya hii interview hongera sana kwa kumfanya Mjane aongee. umepunguza sehemu ya maumivu ndani ya moyo wake kwa kutoa kile anapitia. wote mnaoshutumu waandishi wa habari endeleeni kusalia na uzuzu wenu
Woiyeee hii ni maumivu makali sana mpaka yanatoa mtu machozi bila kujua😭😭😭😭😭😭😭mungu tufaliji na haswa bi marco,may God give him a very sqeet rest 🕊️🕊️🕊️🕯️🕯️🕯️
Pole kipenzi, Mungu atakufariji jisemee tu kuwa hata kwa haya bado wewe ni Mungu. Pole sana Watoto wako Mungu atawalinda inauma kweli ila ktk yote Mungu anabaki Mungu.
Mjane hafai kuhojiwa jamani,mpeni nafasi ya kuomboleza.... It's not easy...Pole sana dada
Kweli kabisa ndugu yangu
Wamuache tu maana anamaumivu makubwa sana
Waambie
Hawa waandishi ni hovyo yan the same story wanauliza kwa kila mtu yan mtu kafiwa na mume unamhoji iyo nguvu anatoa wapi ebu kuweni na utu ndugu waneshaeleza ilikuaje hamtoshe😢😢ki@RebeccaBhoke
Very true. Angepaswa kuachwa aomboleze kwanza😢
Kweli kabsaa wasihojii mfiwaa jamani maumivu ni makubwa snaa
Daah pole Sana dadangu, kwa mtu Ambae amepitia Hali Kama hii yako anajua unachomaanisha , Ila kwa mtu Ambae hajawahi kupitia mapito yako hawezi kukuelewa, binafsi najaribu kuvaa viatu vyako, kiukweli vinanibana mno, pole Sana na mungu atakusimamia vyema, kwani kinachoumiza zaidi ni mazoea ambayo hua tumeyaweka kwa wenza wetu.
Mimi nikitoka kazi nikapata wangu amejitia kitanzi 😢last month mpaka saizi Nina machungu nalia Kila siku
@@edarjoan9002pole sana jmn Mungu akutie nguvu
@@edarjoan9002oh pole sana
Pole sana dada maumivu uliyonayo Mungu akupe ujasiri
Pole kipenz mungu akutie nguvu
Dada yangu pole sana jmn😭😭tumeumia sote ila ww ndo unamaumivu kutuzidi😭😭Mungu akutie nguvu🤲🙏🏻
Poleni Sana mungu awatie nguvu
@@user-so3ul4ms6u asante 😥😭🙏
Mungu akutie nguvu dadangu na awafariji familia..
Pole mamaa😭😭😭😭😭😭tunajua maumivu unayo pitia mungu😭😢😭 akutie nguvu kwenye kipindi hiki kigumu😭😭😭😭🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻😭😭😭
Poleni sana , so painful but Mungu atawawekea mkono zaidi zidi kumtumaini sana hakika hatawaacha waja wake.
Kiatu chako ni kizito saaana... Polee sanaa! Pole dada na familia yako.Mungu akutie Nguvu.
Kusema za ukweli viatu vyako ni vizito mno,eee Mungu ulie baba wa wajane nakuomba simama na mke wa marco Mungu wa mbinguni mbariki na kumfariji yeye pamoja na watoto wake na ndugu wote amiina
Mungu akufariji dada wewe Na watoto wako Na pia familia.... Pole Sana twashukuru alijua Mungu . Mambo YA Mungu haina kasoro. Take heart
Shenzi kabisa yaani mtu anahali iyo mnashindwa hata kumpa muda kwanza,mnamuhoji tu.Hamjitambui,Yaani huu ni ushenzi wa wazi.Mm binafsi ninalilaani hili kwa nguvu zote.Gonga like kwa mweye kulaani ushenzi huu.
Imagine hawa watu kutafuta viewers and subscribers si waache mama alilie bwana wake kwanza
upumbavu kabisa
Woiye hawana huruma jamani haja yao ni views tu 😭😭
Hawajitambui kwel
Ukweli huo
Duuuh! Nimelia Tena Kwa mara nyingine! Mungu awape nguvu sana ni maumivu makubwa sana nakuelewa, poleni sana wapendwa. Marco kamaliza mwendo na kazi zake hapa Duniani amekamilisha. Apumzike Kwa amani. 😭😭🕯️🕯️🕯️🕯️🕯️
Jipe moyo dunia ni mapito
Mungu aendelee kua faraja kwako mpendwa
😢😢inauma sn roho mtakatif awe faraja yako
This is so touching 😢😢,may the Almighty God richly continue councils you mama and the whole family including the zabron singers group.May his soul continue resting in eternity peace ✌️
Pole sana Mke wa Marco Mungu akupe nguvu imani na tumaini .Bwana Yesu akuongoze akujalie nguvu uweze kuwalea watoto maumivu ni makali sana pokea kwa Imani
Woiyee😭Dear God visit this lady and wipe her tears,give her peace and comfort..its very heartbreaking 😭😭😭😭
AMEN 🙏
It hurts its hard to explain it hurts
Pole sana binti, pole mtumishi wa Mungu, maumivu yako ni Mungu pekee anayajua, unajihisi nafsi imegawanyika! Lkn
Mungu atakutia nguvu na kukufariji.😭😭🙏🙏
Pole sana mum mungu ni mume wa wajane umebaki na yeye jitie nguvu mwache marko apumzike kwa amani
Pole sana dada najua viatu vyako ni vikubwa mno hawezi kuvivaa mtu yeyote yule ila tu Yesu awe mfariji wako 😢😭😭😭😭
Pole sana sana sana binti yangu kipenzi.
Poleni familia yote ya Zabron.
Mungu Baba yetu, awe mfariji wenu.
Mrs Marco weka maisha yako mikononi mwa Rafiki yetu YESU, huyo ndiye mume wako aliye baki ambaye aliyashinda mauti. Kitambo kidogo tutamwona akija nautukufu juu yamawingu. Kufumba nakufumbua maandiko yanasema walio lala wataamshwa. Utamwona Marco kwa umbo lakutokufa. Jipe moyo mkuu binti yangu kipenzi. Imarisha watoto wako ktk kumjua Mungu. Pambana kishujaa usilie sana. Wewe ndiye uushike usukani ukiongizwa na yeye atakaye kuja, YESU MWOKOZI WETU.
Nakupenda sana binti yangu kipenzi.
Kasi ya Mungu aina makosa, mwanangu wacha tukubali ingawa silaisi lakini ni sawa tu.
Pole
Haki Nimelia Sana, Mungu akupe Nguvu Ma'am,😢 la Muhimu Joseph Marco Ayakufa Ni Mwili Amatuaga Yuko Mikononi mwa Babayetu Yesu Kristo, my condolences to the family 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Bwana Yesu akutie nguvu dada...Mungu akawe faraja yako
Pole I Sana. Ufunuo 21:4 iwafariji. Tunaomba faraja ya Mungu Baba Mwenyezi itawale. Amina
Wakati mwingine mbengo TV muwe mnavaaa viatu vya watu hata kama haziwatoshi
Mtu Ana machungu makumbwa mnamhoji vipi. Tuwe na utu wakati mwingine.
Pole sana dada Mungu akutie nguvu
Ukweli
Mungu wa mbinguni akawe nanyi dada yetuu maana yeye ni baba wa yatima na hata ni mme wa wajane hata sisi tunaishi ni kwa neema yake pekee 🙏
😭😭😭Sina la kusema Mimi nimelia Hadi watoto wamenisaidia kulia aki,pole dadangu 😭😭😭 Mungu akufariji pamoja na watoto kwa jumla,Marco amelala tu, Yesu akirudi hakika tutamuona tena,pata pole zangu kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪
So sad but kitu inanipa faraja n kwamba haya yoote mlikua mkiomba mungu mpka dakika ya mwisho.
Jitinyie moyo familia just shukuru kwa yenye yametendeka sababu yy anajua vyema kabsa
MUNGU awe pamoja nanyie kipindi hiki cha majonzi yenu kazi ya MUNGU haina makosa MUNGU awatie nguvu na kuwafuta machozi sifa heshima na utukufu tumrudishie MUNGU anayestahili kuabudiwa milele yote ameni ameni ameni
Yesu wangu ,yaani alijijua eti funga KWa ajili yangu ,omba na watt ucku ,kumbe ndo safari yake alishaanza kiroho ,kimwili haupo nasi ila kiroho upo nasi ,pumzika salama na pole sana dada KWa kumpoteza mume wako,,dada unajua kumpa maneno mazuri mfiwa barikiwa sana
Mama mzazi wa Marco, pole sana mama, Mungu akutie nguvu mpendwa, familia poleni sana, tuendelee kuomba na kushukuru.😭😭🙏🙏
😭😭😭😭
Pole sana mama. Marco apumzike kwa amani.Amina. Jipe tu moyo!!!
😭😭😭😭😭😭hyo video iko so emotional pliz mm naomba ifutwe ju mm ileniliza 🫶🫶🫶kwa mke w marehemu n watoto wke aki mamake ndugu marafiki pole kwa msiba much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Pole sana dadangu,,,,Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina🙏🙏🙏be strong 💪 my dear sister
Pole sana mpendwa wangu dah!! kibinadamu inauma sana sana maumivu yako hayaelezeki ni MUNGU pekee awezae kuponya majeraha yako, MUNGU akutie nguvu
Kutukana siyo njia nzuri sanaaa bali kuhujiwa ni jambo la kawaida ,uchngu upo lakini hakuna anaeweza kutoa taarifa kamili zaidi ya mke wake ,rafiki yake wa karibu sanaaa kuliko unavyojua , halafu siyo wa kwanza kufariki na watu kwa kawaida ndivyo inavyokuwa mwenyezi mungu aliweka kila kitu sawa halafu alitujenga ktk kutufariji na kisha kuishi bila mtu huyu tena basi ndivyo hivyo ,kikubwa mwenyezi mungu awafariji tu kila nafsi itaonja mauti ,tuombe wamalize vizuri na ktk kipindi hiki kigumu cha msimba ,
Si jameni angekimbiswa hapa tu Nairobi Kenya tuko na madaktari wa moyo ni wengi . Jameni pole sana mama.
Pole sana dada Mungu wa mbinguni akutie nguvu ktk kipindi hiki kigumu ulichonacho.😭😭😭R.IP Marco
Machozi yananitiririka pole sana mdogo wangu.Bwana Yesu awe mfariji wako ktk kipindi hiki kigumu unachopitia
Pole sana mdogo wangu, Mwenyezi Mungu akutie nguvu dada. Jikaze mama, baba Mungu tawala, tawala maisha ya mama huyu na watoto wake, ambao wameachwa na Marco. Baba Mungu tunajua hakuna kama wewe, mpe ujasiri mama huyu. Pole sana dada
Mungu akawe faraja kwako mwanamke mwenzangu. Jipe ujasiri sana ktk kipindi hiki ili uweze kuimalika na kufanyika faraja hata kwa watoto pia. Ni kweli viatu vyako haviwez kumtosha mtu yeyote lkn kuwa naiman kuwa ck moja parapanda itakapolia tutamuona Marco Zabron . Jipe moyo kipenzi
Pole sana Dada yangu mungu akupenguvu may his grace be upon you.
My God remember Marcos wife it's going to be a hard journey,but Lord cover her and strengthen her, Jehovah lord he has left behind very young children, i trust in you , You will protect and provide for them . Good lord remember his whole family, personally his departure has hurt me , their songs ministered to me , for now we leave everything to you. May his family never lack. In Jesus name i pray. Amen
Amen... 🙏😢
Dah kiukwel mungu akutie nguvu kipnz nimejikuta nalia aisee omba yasikukute
Dah inauma sana umeniliza sana dada najua maumivu yake nimeyapitia niliachiwa watoto wadogo sana jipe moyo Mungu akawe mtetezi wako
Watangazaji hamna huruma hata kidogo mtu huu bado ana maumivu makali na mnamusumbuwa tu. Mungu amuraze mahali vema nandoa yao ilijuwa ya nachamungu jmn😢😢hii intavyu inaniliza sana
This is when you tell God your will is hurting me but you can't question it pole sana
sure😭😭
Mungu akutie nguvu dada na watoto. YEYE tu ndiye anayeweza kutibu maumivu ya moyo mliyonayo familia ya Marco na Zabron.
Inauma sana 😭😭😭😭😭Damu ya YESU ikawaponye mioyo ya hii familia 🙏🙏💔 Apumzike kwa Amani Marco🙏🙏🕯️🕊️
Pole sana Mamdogo Mwenyenzi mungu huchukua kilicho chake kwahiyo kilicho baki ni umwoombe tu kwa Mwenyenzimungu ampokee tu na amuweke mahali patakatifu 😢😢😢😢
Oh! Jamani pole mdogo wangu damu ya YESU ikutetee na watoto 😢😢😢p'se msimhoji jamani muacheni kwanza eeh! MUNGU mshike binti huyu Zaburi 125 iwe faraja kwake na familia nzima nasi tulioguswa na msiba huu😢😢😢😢
Dada umeniliza sana dah,poleh namuomba mungu akupe nguvu,na tunamuombea kaka etu apumzike kwa amani ,poleh dada angu kazi ya mola Haina makosa 🙏
Jamani, acheni kumhoji huyu dada. Mnamwongezea majonzi bure.
Pole sana dada Mungu awe mfariji wako.
RIP Marco
Pia mm sipendi mtu anapo umia kuojiwa very bad😢
Mngekuwa watu wema Mngempa huyu Mama Privacy Aomboleze mume wake, Mnamuumiza zaidi, Mngemwacha kabisa bila mahojiano kabisa 😢😢
Akii 😭😭😭
I agree with you . This was not a good time for an interview. Let her mourn. May God give her strength to continue raising their children.
I'm Crying 😢 😭 😭 brother wangu pia alikufa kwa same problem hiyo hiyo alipelekwa maskini mpk India pia lakini bila mafanikio wakarudi nyini kwetu na tukaendelea matibabu hospital huku tena.alikuwa kijana umri takriba miaka 28,nimemkumbukia sana alipokuwa mgonjwa na mpk dakika za mwisho tuko nae hospital 😢😢.mola awaweke pahala pema inshallah amin. Dada huyu mola ampe subra kwa maumivu makali anayo makini 😢😢mola ampe faraja ampe wepesi ktk moyo wake yarabi😢😢😢pole sana dada
Pore xana 😢
Poleni sana kazi ya mungu Haina makosa mlipenda ila mungu kampenda zaidi
From Kenya pole sana ni uchungu sana Mungu pekee atawafariji, Mungu ni Baba wa yatima na Mume wa wajane, mtegemee Yeye.
It shall be well
Nyie waandishi wa habari wakati mwingine kuweni na huruma basi mtu ako kwenye hali hii mnamuhoji hivi kweli jamani,mungu amfariji huyu dada😭
Mungu akutie nguvu dada angu na akupe ujasiri uwalee watoto wako wakue jmn
Dah pole sana my mungu akutie nguvu dada pole kwakweri unapitia kipindi kigumu sana pole sana kipenzi ni kweri chema akidumu pole my sisi sote njia yeti ni Moja pole kipenzi tizama watoto dajh ingaw ngum lakini atuna jinsi 😭😭😭😭😭😭😭😭 pole
Pole sana dadangu Allah akupe subra na akutie nguvu,sote njia ni hiyo😢,,kazi ya mungu haina makosa yy anajua zaidi,,ni uchungu sana.
Huu msiba umenitoa machozi kwakwel pole sana dada mungu akupe faraja kwakwel kiatu chako ni kizito kwakwel
May the grace that supperses all human understanding be upon u mama.n the entire family n Tanzania yooote kwa jumla.frm Kenya we are praying for you.🇰🇪
Bwana Yesu mama huyu anakuhitaji wewe peke Yako sisi tunalia tu hatumsaidii kitu....watoto wake jamani oooh Mungu hakika wewe ni Mungu
Jamani ii usimuliwe tu jamani inauma sana umenikumbusha machungu mume wangu aliniaga anasafili jumatano alhamis naletewa maiti kapata ajari pole sana Mungu akutie nguvu
Pole Grace
Pole dia.. Mungu aendelee kukufariji
Polee sana
@@gladnessmoshi4782 Asante mamy
@@fettyrashid9042 Asante my
Pole sana mdogo wangi naomba mungu akutie nguvu kweli inauma sana sikia tyuu kwa mwenzako😢😢😢
Sorrrry mamaaaaa!!!!!!!!!😢 Cant withhold my tears😢😢😢😢😢. It's wellll. The Lord is faithful dear...Mume wa wajane Mungu wa mbinguni hatakuacha katu!!!!
Pole sana dadagu kwa msiba wa mumeo Marco Joseph.Roho yake ipumzike kwa amani na Mola awajalie amani 🕊️
Pole sana mwanangu Mungu akutie nguvu sana jipe moyo mkuu
Hakuna kitu kinakuanga na uchungu kama kifo weee poleni sana mungu awape faraja
Tena na ukuwe ni kifo ya ghafla
Woooi aki ni chungu 😭😭😭. Binti mdogo hivi na watoto wa changa..Mungu wetu kumbuka Huyu mama🙏🙏
Pole Sana Dada angu Mungu akawe Faraja yako Siku Zote Maumivu Unayopitia Ni makali Mnoooo😭😭😭🙌🙌🙌
Lakin Utayaweza Kwa Jina La Yesu Mungu akawe Mfariji wako Machungu yako yote Mkabidhi Mungu,
Mungu wetu ni Mwaminifu Hakika Atakutendea Pole Sana Dada kwa Hiki Kipindi Kigumu kwako Inauma Mnoooo😭😭😭🙌🙌🙌🙌 Mungu akutete😭😭😭
Dah 😭😭😭 hadi manjozi inatiririka jamani Pole sana Mungu akutie nguvu Mama wetu
😭😭😭😭nyie waandishi mnadhambi sn ivi mnajua machungu anayo pitia huyo dada kweli au fraha yenu kuona izo maick zenu zinabeba machozi ya watu
Kwani alilazimishwa kuongea?
@@Njeriii536tema mate chini wewe
Yaan wasingemhoji kwa hali hio jaman sio kabisa
@@Njeriii536 kama hujui kufiwa tuliza komwe kwani huyo dada alinwita nwandishi nyumbani kwake
Very true my sis this is not good time
Ataumia sana cku wa2 wakitawanyika hapo akabaki pekeyake yaan unaona maumivu yameanza mwanzo😭😭
Hata hiv anamoyo maana angekuwa mwingine hata kuongea hivi inakuaga haiwezekani
Pole sn dada yg kwa msiba 😭😭😭😭😭😭Mungu akutiye nguvu dada.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu ailaze mahala pema peponi roho ya marehemu na pole sana dada kufiwa kusikie kwingine tu😭😭 Mungu akutie nguvu
pole sana mungu akawe faraja kwako na watoto wako pamoja na familiya yote ya marco mpe nafsi mungu akawe farajakawako siku zote.maisha yako pole sana nimeumia dah kweli tunapita
Dah dah dah dah maskin alijua anawaacha
Nataman hata kuwatukana hao waandishi,,,na nngekua boss wao ningewafukuza mnamuhojije mjane ambae hata haelewi akili yake na moyo viko wapi😢😢
Haki mi ndugu yangu asingehojiwa.
@@lainessmwombeki7919wanakera saana hawa wajinga 😢
Wangewafukuza hapo wajinga Hawa
Ooh God,such a young gal and children 😭😭😭🫂🫂🫂hugs mama from Kenya
May God comfort her as she didi to our gal wamuthungu😢😢😢😢
Inaumiza sana ,ni huzuni, fikiria mtu wa pembeni roho inauma,unalia unateseka vip kuhusu mkewe na familia yake,inaumiza sana jamani😭😭MUNGU akawe mfariji wa familia na zabron singers wote kwa ujumla,
Ila nilichokiona kinachonipa matumaini,marco alikua anaamini kwa MUNGU na lipo tumaini kubwa sana,tulie kwa kias kwa maisha ya kawaida ila shujaa hajafa bali kapumzika
R.I.P shujaa vita umevipiga katika imani,mwendo umeumaliza🧎♀️🧎♀️🙏🙏
Waoh...am grateful of the comforting Madam..Mungu awatie na nguvu zaidi...
Jamani,muwe na hutu hâta kidogo.huyo dada was watu kwani kunamuhimu Gani kumuhoji?
Nashangaa
Ila ifkie hatua cyo lazima kuhojihoji kwani doctor c alitoa ufafanuzi me wananikera kwakweli,
Kwakweli wanakwaza
Inaitwa healing therapy ...anapo endelea kunena zaidi kuhusu tukio Hilo anapona kutoka ndani ingawaje ni mazito kweli. It's good to talk infact anafaa akae na WATU wanao mtembelea KWA wakati mwingi ili aongee zaidi apone . Pole sana dada take heart ❤️❤️❤️. Poleni sana kwa all the families and friends en wa Tanzania wote kwa jumla poleni 🙏🙏🙏
True it's not good to question her
Nyie waandishi ni wajinga mnawezaje kumhoji mtu akiwa na maumivu
Waandishi wapuuzi mno wanaona sifa😢😢
Àki hii sio kweli kwamfàno Fanya kama uko kwako ungeeza jieleza kweli 😢😢😢😢 mbona hivi jaman mnakosa busara kam utu hamna😢😢
Yaan 😢
Hata wewe acha ujinga, bila waandishi ungepata wapi haya.
Washenzi saana
Mungu pekee ndio faraja yako dada,Mungu akupe faraja ya kweli,akuinue akuwezeshe uweze kulea watoto wenu,apumzike kwa amani
Pole sana sana mdogo..hatuna namna nyingine wala neno lakuoonya maumivu makali uliyo nayo😭😭😭😭zaidi yakumuomba mungu awefaraja kuu katika kipindi hiki cha maumivu na majonzi ya kumpoteza mume wako mpenzi..mungu akufariji sana sana🙏🙏
Pole dada kila nafsi utaona mauti
Mshukuru Mungu kwa kila jambo Kwake alitoka na amerudi Jina la bwana litukuzwe
AMINA
Mungu ndiyee mpaji wako na wanao mtegemee yeye ndiye mume sahihi aliyebakiaaa na baba wa wanao 😢😢😢😢
Baba Mungu mfariji binti yako na msimaishe imara na kumpa nguvu za kuwatunza watoto wao. Your name be praised Always.
Pole sana kwetu sote tulioguswa,na msiba huu.Mungu akazidi kuwa faraja kwetu sote, hasa mke wa marehemu
pole sana dada yangu hii imeniumiza sana nili kuwa nime penda sana nyimbo zake wacha mungu atawale na mungu akufinike na watoto
Nimejipata nikitoa machozi.
Poleni dadangu.
Weka imani kwa mungu atakulinda na kukufariji pamoja na watoto..
Dah 😭😭😭😭, machozi yamenitoka , inasikitisha na inatia huruma jamaan, kumpoteza mtu ulie zoeana nae ,mhu bas tu , " Binafsi namuomba mwenyz mungu akutie NGUVU na akusimamie ktk kipind iki cha majonzi! Pia awafariji ndugu na jamaa na awape tumaini la kuwa ipo siku mtakutana na Marco na mtafrah nae milele " KAZI ya MUNGU Haina MAKOSA , tumshukuru kwa kila JAMBO" Marco tulimpenda ila MUNGU kampenda ZAIDI!
Dah! Polen wafiwa wote hasa familia yake na watoto inauma sana mpk machozi yananitoka for really tumeumia sana kazi ya Mungu 🙏
Pole sana sana dada mungu akutie nguvu katika jina la yesu
Poleni sana. Mungu akushike mkono dada. This is the hardest thing ever. May God give His grace over everything and take care of you.
Msiba ni mtihani unaozidi akili zetu watahiniwa.....hakika bila mungu hatuwez shinda jaribu Hilo tukiwa salama, poleen sana shemeji yetu mungu akushike mkono na kukutia nguvu katika mtihani huo mzito...polen wanafamilia kwa ujumla na ndg Jamaa na marfk cjui mko katika maumivu Gani maana kama sisi watu wa nje tunaumia kiasi hiki je nyie wa ndani😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭..poleni sana na sana Tena sana.....ni Zaid ya maumivu😭😭😭😭😭😭
Pole sanaa kipenzi mungu akutiee nguvu kwenyee kipind iki kigumu,tunakupendaa
Jamani pole dada pole mnooo ninahisi maumivu japo kwa mbali Mungu akutie nguvu Faraja Mungu wa Mbinguni akukumbatie Maumivu hayo yapoteee kwa Jina la Yesu. Kumbuka dada Kuna tumaini baada ya kifo.
Maumivu unayoyapitia nayajua mpendwa. Viatu vyako nilishawai kuvia. Jipe moyo na ujasili ili uweze kuwalea watoto. Pole sana
Jamii ya Watanzania wanamatatizo makubwa ya kisaikolojia yanayobebwa na tamaduni za kipuuzi. Mwandishi aliyefanya hii interview hongera sana kwa kumfanya Mjane aongee. umepunguza sehemu ya maumivu ndani ya moyo wake kwa kutoa kile anapitia. wote mnaoshutumu waandishi wa habari endeleeni kusalia na uzuzu wenu
Pole sana dada mungu akutie nguvu yeye ndiye baba wayatima na nimume wawaje
Woiyeee hii ni maumivu makali sana mpaka yanatoa mtu machozi bila kujua😭😭😭😭😭😭😭mungu tufaliji na haswa bi marco,may God give him a very sqeet rest 🕊️🕊️🕊️🕯️🕯️🕯️
Pole Sana dada angu najua unayo pitia tumuombee tuu udongo auchagui mtu yoyot wote tutakufa tumuombee bro Marko
Pole kipenzi, Mungu atakufariji jisemee tu kuwa hata kwa haya bado wewe ni Mungu. Pole sana Watoto wako Mungu atawalinda inauma kweli ila ktk yote Mungu anabaki Mungu.
Pole sana dadangu kwa ukweli yauma sana Tena zaidi lakini kwa hayo yote twa rudisha shukran kwa mwenyezi Mungu na Mungu akutie nguvu
Pole sana. Dada mungu atakutia nguvu hiyo nikazi ya mungu bwana ametoa bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe