BILA UOGA MFANYA BIASHARA AWACHANA MAWAZIRI, SIOGOPI MTU YOYOTE, TRA NI KICHOMI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 23

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před rokem +8

    Majaliwa ww ni bonge la kiongozi. Mungu pekee akutunze kwa ajili ya nchi yetu. Much respect Papa. Natamani sana kufanya kazi na wewe mkuu

  • @hamisimsosi6237
    @hamisimsosi6237 Před rokem +2

    Daa huyu dada amenigusa hapo kwa wachina kweli Hawa jamaa wameipandisha Sana kkoo ni ukweri usiopingika♥️♥️♥️😭😭😭

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem +3

    Naona Majaliwa rais ajae baada ya mama samia kumaliza muda wake...

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 Před rokem

    Kodi ni kubwa sana kwenye magari. Na sisi waturuhusu tumiliki vitu. Tunajichanga ndiyo tunaweza kununua!!! Safi sana.

  • @user-zd4sv5pk6q
    @user-zd4sv5pk6q Před rokem

    Asante dada kwa sauti yako wanawake wanapuuziwaga wakitoa lalamiko lakini jamani dada ameongea kea uchungu sana

  • @ramadhanikalungwana8377
    @ramadhanikalungwana8377 Před rokem +1

    Jamani kweli maendeleo tunataka,ila naona Kuna shida!!! Heb nunua umeme wa tsh 20,000. Kisha uangalie unakatwa shs ngapi!!!

  • @omarisaid7318
    @omarisaid7318 Před rokem

    Mm tunakutegemea Sana malizahayo watoto wakiliya ujuwe kunajambo halihi ya fd machine ikomee viwandani na bandarini wananchi tukadiriwe sababu hatukusoma tumeshidwa na hiyo bishara hakuna nchi inayo jegwa kwa siku moja

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před rokem +1

    Tatizo remote iko msoga

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem +1

    Wizi wizi...tumechoka...

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Před rokem

    Mwigulu anacheka anaona mnapoteza mda wenu na nguvu bure mwisho wa siku anarudi ofisini,kuendelea na uporaji wake kupitia vijana wake.

  • @bettymeshack7759
    @bettymeshack7759 Před rokem

    Na Sisi waturuhusu kumiliki vitu😂

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 Před rokem +1

    Ndiyo nikishalipa kodi miaka 20 harafu nikifilisika ni sawa na mstaafu kwanini na sisi tusipate kiinua mgongo ?

  • @mangashajunior242
    @mangashajunior242 Před rokem

    Kwetu kuna afya mazingira levy fire leseni ya biashara na nyingine nyingi...

  • @farajiissa560
    @farajiissa560 Před rokem +2

    Ameweka nne ana minya pumbu tu

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Před rokem

    Enzi za magufuri mgambo walichukua ndizi kule mwanza mgambo akafutiwa cheti chake cha mgambo yale mambo saasaiv hakuna,tena unweza kukuta yule mgambo amesharudi kuwa mgambo tena yaan we acha tuu

  • @oningoindungai
    @oningoindungai Před rokem

    mama unasema ukwel

  • @hassanosman3824
    @hassanosman3824 Před rokem

    Mwigulu umeshiba aachaa kazi hujui kitu umeshiba hujali ondoka huoni haya????

  • @victorernest7702
    @victorernest7702 Před rokem

    Sasa kikwazo kipo wap kama kuongea ukweli mpk umnyang'aNye maiki .. ndio mnao sabisha migogoro maana kumsema mtoto wa kiongozi kosa

  • @DaudNgodilo
    @DaudNgodilo Před rokem

    Harafu unakuta kiongozi anakwambia anafanya kazi kwa bidii kumbe wizi tu, hivi kweli magufuli angekuwepo huo uchafu ungeonekana kweli? At the end watu wanasema mama anaupiga mwingi dah