KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 16. 05. 2023
  • KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"
    WATCH WASAFI TVđŸ“ș
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM đŸ“»
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI đŸ“» | 104.1 DODOMA đŸ“» | 94.5 ARUSHA đŸ“» | 97.3 MBEYA đŸ“» | 94.9 MWANZA đŸ“» | SHINYANGA 106.3 đŸ“» | KIGOMA 101.7 đŸ“»
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    đ‘Ș𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 đ‘Ÿđ’‚đ’”đ’‚đ’‡đ’Š 𝑮𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑹𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • ZĂĄbava

Komentáƙe • 481

  • @jmc2196
    @jmc2196 Pƙed rokem +20

    Ewe Mungu tusaidiye utupe Mwingine kama Magufuri 😭😭😭 RIP baba

  • @user-ff9ft1pk2n
    @user-ff9ft1pk2n Pƙed rokem +64

    Likes kwa muha đŸ”„đŸ”„đŸ”„

  • @ammyskills5588
    @ammyskills5588 Pƙed rokem +40

    Huyu muha ameongea ukweli na ndio yanayofanyika na ana uchungu sana daaa 😱

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Pƙed rokem +19

    Poleni sana nimependa sana mzee wetu alivyojilipuaâ€đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚đŸ˜‚

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Pƙed rokem +31

    Poleni wananchi wenzangu. Ni MUNGU tuu aingilie Kati. insha'Allah 🙏

  • @user-rr1lw7sz6h
    @user-rr1lw7sz6h Pƙed rokem +17

    Asante baba kwa kutuongerea wanyonge mimi nilifunga biashara kisa tra

  • @kastusbonifas2674
    @kastusbonifas2674 Pƙed rokem +10

    ❀❀waha wakipewa nchi tutakuwa salama sana😂

    • @samionmdogo520
      @samionmdogo520 Pƙed rokem

      đŸ˜đŸ˜đŸ˜đŸ€ŁđŸ€Łkabisaaa

  • @joelmwita3592
    @joelmwita3592 Pƙed rokem +17

    Muha Amechoka, kaamua Mwamba yuko vizuri kwa kujieleza

  • @valentinesyekeye6846
    @valentinesyekeye6846 Pƙed rokem +14

    Waha hatuna dogo😄

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 Pƙed rokem +10

    Muha original amechomoa battery 😂😂😂😂😂

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 Pƙed rokem +20

    Hatari sana 😂😂😂 anaongea kama brother k,,,watu wamechafukwa

  • @masikitikomwakyonde1259
    @masikitikomwakyonde1259 Pƙed rokem +8

    Safi kabisa. Mua maisha ya kukuamini kwenye Ukweli safi sana polisi hayo ni mavazi tu IPO cku utavaa nguo ya kawaida maisha yanabadilika mwache MUNGU aitwe MUNGU

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Pƙed rokem +12

    Kiongozi wetu Majaliwa hakika umejaliwa. Tunakuombea Mungu akulinde baba yetu mpz. Yaani ni kweli kufanya kazi na Uganda ni simple kuliko hapa kwetu. Yaani corruption imezidi jamani

  • @allykimeru944
    @allykimeru944 Pƙed rokem +3

    Daah uyu Muha apewe ulinzi, Kisha apewe đŸ€đŸŒŒđŸ”ïžđŸŒșđŸŒ·đŸ’yake

  • @richkinji2583
    @richkinji2583 Pƙed rokem +8

    R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu

  • @martintssoray5352
    @martintssoray5352 Pƙed rokem +10

    Huyu jamaa apewe pia ulinzi na serikali kagusa sehemu nyeti sana

  • @georgemaganga3804
    @georgemaganga3804 Pƙed rokem +16

    Huyu kaeleza ukweli sana na huo ndiyo mwanzo wa nchi yetu kuyumba kiuchumi.

  • @olomympwa4211
    @olomympwa4211 Pƙed rokem +3

    From the bottom of his heart fazaaa kaongea kwa uchungu sana

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 Pƙed rokem +29

    Huyu mwamba apewe 💐đŸŒč💐 yake mapema

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 Pƙed rokem +3

    Dah!,umeongea kwa uchungu kaka inauma sana Aisee

  • @victormneney1307
    @victormneney1307 Pƙed rokem +4

    Magufuli angekwepo
    simu inapigwa chap simamisha takukuru kamata waziri chini weka mwingine đŸ‡č🇿 twende mbele

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Pƙed rokem +9

    Huyu kweli kigoma

  • @thatboywithakeyboard9292
    @thatboywithakeyboard9292 Pƙed rokem +8

    Mama Akimaliza Kasim Aongoze, Father PM Yupo na Usikivu sana.

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 Pƙed rokem +16

    Tunakukumbuka J,PM, na mwenyezi mungu mwenye kurehemu tunaomba urehemu Tanzania.😱😱

  • @bigdad1816
    @bigdad1816 Pƙed rokem +36

    Rest in peace Peace Mjomba ulisema mtanikumbuka wamekuita majina Mengi lakini Mungu Yupo Leo ulijaribu kuirudisha nchi kwenye misingi Leo walijaribu kuku sabotage today Nchi imeoza imeoza Rest in peace the true son of Africa a True muchwezi Rest in peace Magufuri.

    • @magembekisabo9632
      @magembekisabo9632 Pƙed rokem

      Mfuate. Kwani hii mifumo ya kufilisi wafanyabiashara ilianza Kwa nani?

    • @zaharahassan-et7ui
      @zaharahassan-et7ui Pƙed rokem

      ​@@magembekisabo9632
      Kimekuumaeeee

    • @zeralucyntazimila6600
      @zeralucyntazimila6600 Pƙed rokem

      ​@@zaharahassan-et7ui tena kimemuuma sana

    • @hassanihussein4479
      @hassanihussein4479 Pƙed rokem +2

      Kati watu wapumbavu ktk hii Dunia basi watanzania ni wapumbavu wakati Magufuli yupo hai si mlikuwa munamtukana mpk ikafika sehem Magufuli anasema malaika ikatokea anashuka basi atamuambia kitu ambacho anatk ktk hiii Dunia kifutwe basi ni mitandao na kasem mitandao kwa sababu mlikuwa mkitukn na leo hii hyp leo hii mwasem mnamkumbuka

  • @nassorntandu4513
    @nassorntandu4513 Pƙed rokem +11

    Inaumiza Sana! Wizi mtupu kwa watu wanyonge!

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Pƙed rokem +8

    Awa Tra wanapenda rushwa sana, yaani washenzi, wasumbufu kote Airport Bandarini Boder,

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 Pƙed rokem +2

      Uwanja wa ndege ni balaaa😭😭😭😭😭😭😭😭 jamani hata vi toy vya kuchezea watoto vikija kama zawadi wanatoza kod đŸ„čđŸ„čđŸ„č

  • @fahminasser3855
    @fahminasser3855 Pƙed rokem +7

    Hii nchi inapoteza mapato mingi sana kwa sbb ya watumishi wa TRA na polisi tanzani pia wanachangia wao hawaangalii kazi yao wao wanashirikiana na TRA kutesa watu na kuwachukulia pesa kwa sbb ya dhamana ya kazi zao ni tatizo sugu hili katila hii nchi

  • @fredymwinuka5133
    @fredymwinuka5133 Pƙed rokem +14

    Safi sana kaka umenisemea hadi pa kwangu👍👍

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Pƙed rokem +42

    MAGUFURI angemaliza toka juzi RIP MAGUFURI

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Pƙed rokem +1

      Maliza wewe bwegest

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Pƙed rokem +1

      Mijizi ndo inatawala, wenye pesa nyingi wanaachwa na wenye kipato kidogo ndo wanaumizwa. Tumbua wote hao, fukiza kazi ndo wengine wapate fundisho. Alisema tutamkumbuka Kwa mazuri ndo haya yanafanya tumkumbuke. RIP Magufuli

    • @AdamFundikira-kk5oj
      @AdamFundikira-kk5oj Pƙed rokem +5

      ​@@marcokaroje8980 wewe ni mpumbavu mbwa koko kwani amesema vibaya magufuli alikuwa fast kutatua changamoto

    • @achsahcharles6728
      @achsahcharles6728 Pƙed rokem

      Hilo Ndo tatizo la Watanzania na aliwajulia kweli kweli, mtu mmoja hawezi beba nchi, mtu mmoja hawezi tatua matatizo ya nchi nzima, kiongozi wa kweli ni anayehakikisha taasisi za serikali ziko imara, sheria ni za haki, na hakuna mianya ya rushwa! Kiongozi wa kweli haongozi kwa yeye kusimama akatoa tamko tatizo likaisha, siku huyo kiongozi akitoka hali itakua mbaya kuliko mwanzo , alitaka asifiwe yeye kwamba anadhibiti kila kitu na mkafurahi lakini mkasahau hiyo ni njia ya mkato na hailisaidii taifa!! Taifa lenye taasisi imara hata likipata raisi mbovu nchi itaenda tu! Yeye alihakikisha bunge linajaa wabunge wa hov**** wanatunga na kupitisha vitu vya hovyo ili yeye aje asimame atoe suluhu mpige makofi

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 Pƙed rokem +1

      @@achsahcharles6728 wewe ni bwege hujielewi

  • @jacksonjamesndyabawe495
    @jacksonjamesndyabawe495 Pƙed rokem +3

    Mzee umeongea ukweli Sana.. Mungu Akulinde na hili swala lichukuliwe hatua

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Pƙed rokem +1

    Hongera Sana Muha umeongea vizuri bila kuficha chochote uliyokuwa nayo moyoni yote umeyatapika ili yaweze kufanyiwa kazi na waziri mkuu.Mungu akulinde akukinge na watu wote walio kinyume na kile ulichokiongea .

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Pƙed rokem +6

    Muhakikishien usalama wake huyu baba jamani anaongea point sana TRA ndo habar zao

  • @zahramoo4760
    @zahramoo4760 Pƙed rokem +9

    Hawana adabu hataaaa chembeeee

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 Pƙed rokem +3

    Great speech.... Ila watu wa Kigoma wanafanana kuongea nikimsikiliza huyu namsikia Baba Levo kwa mbaaaaaali 😂

  • @elishapaul9423
    @elishapaul9423 Pƙed rokem +4

    Muhaaaaaaa saf sanaaaaa waseme bn wamezd hawatoshek

  • @israelimjema4573
    @israelimjema4573 Pƙed rokem +16

    Viongozi wetu jaribuni kusikiliza nawanchi vizuri. Niwasomi sana wako mitaani wanashuka point

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Fanyeni mpango ile nidhamu ya woga irudi tu, iliondoa kwa kiwango kikubwa haya mazingira ya rushwa na rushwa maofini. Sasa hivi kuna mahali tumerudi na watu hawakubali sababu walishaanza kusahau shida kama hizo.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Pƙed rokem +6

      Onaona eeeeh! Watu waliomchukia Magu na kuna wanaomchukia hadi Leo, lakini Mimi nasema Tanzania tunahitaji kiongozi kama yeye, yaani sasa hivi mambo ya hovyoo kabisa. Badala ya kuwakaba koo wenye vipato vikubwa wanawaonea watu wenye vipato vya chini na rushwa imeshamili bila aibu. Mama awe mkali. Bora wawe na nidhamu ya woga lakini haki itendeke kuliko kukaa kuoneana kama huku.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Pƙed rokem +1

      Kuna wapuuzi eti hawaoni kazi aliyofanya Magufuli. Nidhamu ilikuwepo nchini hivi sasa rushwa kuliko kokote.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Pƙed rokem +28

    😂😂😂😂 muha oyeee

  • @magokola2376
    @magokola2376 Pƙed rokem +10

    watu watakuja kuipindua hii nchi kama matani

  • @isaacphilemon5599
    @isaacphilemon5599 Pƙed rokem +1

    Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi maguma kama ya JPM lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo kama Magu,anaamua kuumia na kulia rohoni harafu anayaacha yapite hivohivo.,😭😭😭

  • @Jeff_Tz
    @Jeff_Tz Pƙed rokem +28

    Huyu Muha aliongea kwa uchungu sanaaa

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Pƙed rokem +2

      Wezi sana hawa TRA! Kiboko yao alikuwa Magufuli.

    • @rabwarab574
      @rabwarab574 Pƙed rokem +1

      Brother k noma sana😅😅

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 Pƙed rokem +4

    Huyu brother k au 👏👏👏👏

  • @SALIMUmshaharaMshahara-zb1qd

    Mm naitwa Salimu nipo Tanga tulikamatiwa mizigo ikapelekwa KIPATA rushwa MILIONI 1 na laki nane na RISITI ninazo za MZIGO

  • @isayajustin
    @isayajustin Pƙed rokem +4

    Nasemajeeh muhaaa kuvurugwa leo

  • @sanauswahilimovies
    @sanauswahilimovies Pƙed rokem +1

    Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie

  • @fredrickmandia1741
    @fredrickmandia1741 Pƙed rokem +2

    Hapa ndio tunamkumbuka magufuli kwakwel R.I.P Joseph.P.Magufuli

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Pƙed rokem +9

    Magufuli alikuwa dawa ya haya mambo

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Pƙed rokem +2

    Wasafi bwana eti Muha đŸ€ŁđŸ€Łkwa hiyo kulikuwa na wafanyabiashara na Muha

  • @salha6596
    @salha6596 Pƙed rokem +12

    Apo angekuepo magu angetumbua Leo Leo 😭😭😭😭

  • @masaimollel2525
    @masaimollel2525 Pƙed rokem +6

    Nakuomba sana mh.waziri mkuu upitie na maliasili kule Kuna huozo mkubwa sana.. km kweli unasali na unapenda haki pita maliahasili uone yanayowakuta watu wa mkaa.. na kma serikali hamtaki watu wakate mkaa pls kuweni wakweli tangazeni tuu hakuna kukata mkaa. Kuliko mnachukua ushuru wa watanzani alaf bado vikwazo kibaooo yaaan.. yaan Hao Vijana mnaowapa madaraka hawajui maisha ni nn,wamesomeshwa na Ada zetu hawajapitia msoto wowote wanakuja kutunyanyasa,watu wanateseka porin wanakuja kushusha mkaa wanabaki nao kwa kweli ipo Mungu atawalipa ianuma sana

  • @aronjmabindo8544
    @aronjmabindo8544 Pƙed rokem +2

    Polisi wa tanzania ni wanadiasa wa ccm sio walizi wa raia wa tanzania hawaijui kazi yao masikini mungu awasamehe

  • @owoyesigirehannington6822
    @owoyesigirehannington6822 Pƙed rokem +3

    Uganda ni tambararee kweli

  • @mwaiphamkuruto1087
    @mwaiphamkuruto1087 Pƙed rokem +1

    Kama angelikuwa Maguu hapo tumbua hapo hapo huyo mzee alikuwa kiboko from *254

  • @barnabasmafuru6735
    @barnabasmafuru6735 Pƙed rokem +2

    Inabidi itokee sikumoja anapigwa risasi hata wawilii wafe kaa wezi ndio watajielewaa

  • @erickmsaki9383
    @erickmsaki9383 Pƙed rokem +1

    Uganda ni Tambarare kbsa unapata POSHO in muha's voice

  • @vumiliamtakati-zd3nc
    @vumiliamtakati-zd3nc Pƙed rokem +4

    Aiseeee inauma sanaaa

  • @sekelamwasomola1864
    @sekelamwasomola1864 Pƙed rokem +5

    Kweli watu wamechoka hii serikali hapana angekuwepo mwamba hao viongozi wangeisoma

  • @hayeshimpeziy
    @hayeshimpeziy Pƙed rokem +5

    TRA wamezidi sana, iko siku tutawatoa baruti kama wezi, kunyanyasana kumezidi sana yaani..

  • @user-es6wx3dh6z
    @user-es6wx3dh6z Pƙed rokem +28

    Greatness isn't about protecting yourself from people. It's about being accepted by people that's the best leader.

  • @maherzain2555
    @maherzain2555 Pƙed rokem +42

    Pale DIT kwenye mataa kuna askari wapumbavu sana, baada ya kuwapa risiti wakaomba kitambulisho cha taifa nilivowapa wakaleta sababu hazieleweki, ilimradi kutengeneza mazingira ya rushwa...baada yakuona namchelewesha niliyekodi usafiri kwake ikabidi niwape hela niondoke, pia wakasema hela haitoshi ukilinganisha na mzigo niliyonao baadae wakakubali ila wanatesa Sana wafanya biashara na hakuna pakusemea

  • @vedastamalekela8711
    @vedastamalekela8711 Pƙed rokem +1

    Mama upo vzr Sana unaangaika kuleta wawekezaji lakini watendaji wall wanakuangusha fukuza mfano wafanya biashara wa kigoma ,mwanza wanaeda Uganda tunakosa Kodi

  • @husseinmagari3245
    @husseinmagari3245 Pƙed rokem +3

    sema port polis tra ndiyo chanzo cha kuzolotesha mapato ya nch wanafaidika wao tu na familiya zao

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Pƙed rokem +3

    Mungu awasaidie watz kweli kuna uonevu sana

  • @Binti-wakinyakyusa
    @Binti-wakinyakyusa Pƙed rokem +4

    Rushwa ni jipu kwa taifa!!

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Pƙed rokem +6

    Tanzania ni nchi ya ovyo sana sio hata ya kukaa sasa huku ulaya ovyo Tanzania ovyo tunaenda wapi jamani kha

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Pƙed rokem +3

    Nacheka tu yani Enzo ya magu sasaiv wote hao hawanakazi

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Pƙed rokem +3

    Kweli sumu taifa inabudi warekebishwe uganda itapanda juu kweli mbaya

  • @jumamavind7713
    @jumamavind7713 Pƙed rokem +4

    TRA tatizo katika nchi hii waalaniwe hawa watu

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 Pƙed rokem +3

    Ao dawa yao kichapo tu wapgwe visu matapel majambazi ao so kuwachekea wafilisi wapgwe washazoea mmbwa mm ao napga lisasi

  • @donboscolunguya2936
    @donboscolunguya2936 Pƙed rokem +3

    Tutamkumbuka magufuli nchi ya sasa ni dhaifu remote control ipo msoga

  • @agnesssanga6544
    @agnesssanga6544 Pƙed rokem +2

    Police na mambo ya TRA wapi na wapi😂😂😂😂

  • @stanleynombwe4865
    @stanleynombwe4865 Pƙed rokem +2

    Japokuwa sifanyii biashara dar Ila imenikela vibaya

  • @nairathamad2584
    @nairathamad2584 Pƙed rokem +9

    Roho Imeniuma kwakwel 😙

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Pƙed rokem +3

    Kipindi cha magufuri majibu yanatolewa papo kwa papo

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 Pƙed rokem +4

    Nchi Ishakuwaa Shamba La Bibi Saiv
    R.I.P NGOSHA MAGUFURI

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Pƙed rokem

      Watumwa wa magufuli mnakera kwa mini hammfuati huko aliko mkashitaki?

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 Pƙed rokem

      ​@@marcokaroje8980 wivu mpka kwa marehemu duh😅😅😅 ndo washamsifia ka hupendi Kanye boga Fala wewe

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 Pƙed rokem +4

    Mzee kaamua kujilipua hawa wapemba ukikutana nao kwenye anga zao utakoma

  • @danieldm92
    @danieldm92 Pƙed rokem

    Ahsante sana mdogo wake brother K.

  • @elisanteshayo3882
    @elisanteshayo3882 Pƙed rokem +1

    Huku america tunampango wakuhakikisha usa haisaidii tena Tanzania tutumie akili zetu sio kuomba msaada nakuwanyanyasa wananchi

  • @raymonddaud9835
    @raymonddaud9835 Pƙed rokem +3

    Ungechelewaa angeenda na maiki, Mha kachukia kwelii

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 Pƙed rokem +14

    Rest in Peace Magufuli we Missing you

  • @iambaizo
    @iambaizo Pƙed rokem +1

    Wengi wapo vizuri lakini walio wengi wao ni wezi hahhaha 😂

  • @priscajackson240
    @priscajackson240 Pƙed rokem +2

    Hata mza tunasumbuliwa na asikari

  • @kaliskaguzkalis4424
    @kaliskaguzkalis4424 Pƙed rokem +1

    Huyo aliyekuwa mkuu wa mkoa Dar naye afutwe kazi kama wengine walivyo futwa kazi

  • @andrewemanuel2213
    @andrewemanuel2213 Pƙed rokem +1

    Hongera baba umeongea point kabixa maana mikoani tunalipa tra na tuna tni lakini ukienda dar kweli ni xumu

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 Pƙed rokem +2

    Proudly to be a man from KIGOMA capital đŸ”„đŸ”„đŸ”„đŸŒŸ

  • @rahimadam662
    @rahimadam662 Pƙed rokem +6

    MUHA kachachamaaa anakwambia Hilo ni Hiloo

  • @stevensimtowe
    @stevensimtowe Pƙed rokem +3

    Aya mambo nilyamiss sana jamani,Yani kama vile namuona Jpm kasimama apo anawasikikiza,,ila najiuliza kwanini uyu mama na yeye asingekuja apo asikilize ili tuone ujasiri wake jamani

    • @user-up1pp5is3z
      @user-up1pp5is3z Pƙed rokem

      Baba jpm uko wapi jamanii????yan hakika tunakukumbuka pumzika kwa aman ule muozo uliokuwa una piga vita ndo huu baba

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Pƙed rokem +2

    Muha nimekupenda❀❀

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Pƙed rokem +1

    awa watu wa ushuru wanazingua sana TRA siku moja narudi likizo dar-esa-laam natokea dubai kufika air port kwa JK nikazuiwa kutoka kuuliza nini shida naambiwa tv natakiwa niilipie nikamwambia hii tv moja pia nilipie hii ni zawadi wanaenda kuangalia wajukuu zako daah yule mama kunipigia hayo mahesabu bei niliyo inunua na niliyo pewa pale vitu viwili tofauti kwanza tv used wao wananipa bei ya tv mpya pili ushuru wenyewe ukilipa pesa haingii serikalini kuna mchezo mchafu pale askali wa pale hovyo ni vijana lkn wapigaji ile mbaya TRA nao ndio hivyo hivyo unaambiwa kalipie bank hapo kwa pembeni hipo sehemu ya malipo nafikiri ni NBC wale unapewa document fake mimi kutoka kwenye laki tatu nikaja kulipa laki moja ndio maana nikasema document fake kama kweli ile pesa inaingia serikalini yeye ni nani anishushie mie bei kwahyo airport pia pakachunguzwe watu wanateseka hatari mheshimiwa waziri majaliwa đŸ’ȘđŸ‡č🇿

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Pƙed rokem +2

    NIMEPENDA KITU KIMOJA KWA WAFANYA BIASHARA WAO WANATAKA KODI IINGIE SERIKAL NASIO WALE WAJANJA WAJANJA

  • @peterkissiry6432
    @peterkissiry6432 Pƙed rokem +1

    Ongea poti ndugu yangu hakia'mungu

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Pƙed rokem +1

    Apew ulinz đŸ’ȘđŸ’ȘđŸ’Ș👍👍

  • @monicamtei5397
    @monicamtei5397 Pƙed rokem

    Ee Mwenyezi Mungu Ibariki Tanzania

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Pƙed rokem +2

    TRA ni hatari.
    Hata taasisi ya Uwekezaji pale EPZA ni shida sana hawatoi vibali vya wawekezaji wanaomba rushwa tu. Wawekezaji wanakuja na kuondoka tu sababu ya usumbufu

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Pƙed rokem

    Askar Wa Tz wanyonyaji sana Kiukwel wanachosha yani atakudai risit ukimpa analeta lingine ilimradi tu apate Ela dhambi yenu inaandikwa mbinguni mtailipia tu

  • @danniellussendela4382
    @danniellussendela4382 Pƙed rokem +4

    Huyu muha kweli

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Pƙed rokem +3

    Wamezidi shubaamiti zao hawa wanaonea watu sana wanatajilika wao tu miezi 5 ana gari nyumba wapumbavu sana

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 Pƙed rokem +1

    Ni kweli kabisa polisi .na tra... Wapi kwa wapi

  • @mdundotv4501
    @mdundotv4501 Pƙed rokem +4

    Nyie Wakigoma na nyie ni Maboya, akija Askari au afisa wa T.R.A, Akikuzingua chukua nyayo uondoke nazo mkamtengeneze kwenu.

    • @samionmdogo520
      @samionmdogo520 Pƙed rokem

      😁😁 ukiona ivo ujue haja2kera sanaa