KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 16. 05. 2023
- KIMEUMANA KARIAKOO! MUHA AMTAJA POLISI ANAYEWASUMBUA, WAZIRI MKUU ACHUKUA JINA LAKE "ANAITWA MPEMBA"
WATCH WASAFI TVđș
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM đ»
88.9 DAR/ZNZ/PWANI đ» | 104.1 DODOMA đ» | 94.5 ARUSHA đ» | 97.3 MBEYA đ» | 94.9 MWANZA đ» | SHINYANGA 106.3 đ» | KIGOMA 101.7 đ»
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
đȘđđđđđđđđ ©2021 đŸđđđđđ đŽđđ đđ. đšđđ đđđđđđ đđđđđđđđ .
#wasafi #wasafitv #wasafifm - ZĂĄbava
Ewe Mungu tusaidiye utupe Mwingine kama Magufuri đđđ RIP baba
Likes kwa muha đ„đ„đ„
Huyu muha ameongea ukweli na ndio yanayofanyika na ana uchungu sana daaa đą
Poleni sana nimependa sana mzee wetu alivyojilipuaâ€đđđđ
Poleni wananchi wenzangu. Ni MUNGU tuu aingilie Kati. insha'Allah đ
Asante baba kwa kutuongerea wanyonge mimi nilifunga biashara kisa tra
â€â€waha wakipewa nchi tutakuwa salama sanađ
đđđđ€Łđ€Łkabisaaa
Muha Amechoka, kaamua Mwamba yuko vizuri kwa kujieleza
Waha hatuna dogođ
Muha original amechomoa battery đđđđđ
Hatari sana đđđ anaongea kama brother k,,,watu wamechafukwa
Hahahahaa
Safi kabisa. Mua maisha ya kukuamini kwenye Ukweli safi sana polisi hayo ni mavazi tu IPO cku utavaa nguo ya kawaida maisha yanabadilika mwache MUNGU aitwe MUNGU
Kiongozi wetu Majaliwa hakika umejaliwa. Tunakuombea Mungu akulinde baba yetu mpz. Yaani ni kweli kufanya kazi na Uganda ni simple kuliko hapa kwetu. Yaani corruption imezidi jamani
Daah uyu Muha apewe ulinzi, Kisha apewe đđŒđ”ïžđșđ·đyake
R.I.P JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu
Huyu jamaa apewe pia ulinzi na serikali kagusa sehemu nyeti sana
Huyu kaeleza ukweli sana na huo ndiyo mwanzo wa nchi yetu kuyumba kiuchumi.
From the bottom of his heart fazaaa kaongea kwa uchungu sana
Huyu mwamba apewe đđčđ yake mapema
Muha kavurugwađ
Dah!,umeongea kwa uchungu kaka inauma sana Aisee
Magufuli angekwepo
simu inapigwa chap simamisha takukuru kamata waziri chini weka mwingine đčđż twende mbele
Kweli kabisa
Huyu kweli kigoma
Mama Akimaliza Kasim Aongoze, Father PM Yupo na Usikivu sana.
Tunakukumbuka J,PM, na mwenyezi mungu mwenye kurehemu tunaomba urehemu Tanzania.đąđą
Rest in peace Peace Mjomba ulisema mtanikumbuka wamekuita majina Mengi lakini Mungu Yupo Leo ulijaribu kuirudisha nchi kwenye misingi Leo walijaribu kuku sabotage today Nchi imeoza imeoza Rest in peace the true son of Africa a True muchwezi Rest in peace Magufuri.
Mfuate. Kwani hii mifumo ya kufilisi wafanyabiashara ilianza Kwa nani?
â@@magembekisabo9632
Kimekuumaeeee
â@@zaharahassan-et7ui tena kimemuuma sana
Kati watu wapumbavu ktk hii Dunia basi watanzania ni wapumbavu wakati Magufuli yupo hai si mlikuwa munamtukana mpk ikafika sehem Magufuli anasema malaika ikatokea anashuka basi atamuambia kitu ambacho anatk ktk hiii Dunia kifutwe basi ni mitandao na kasem mitandao kwa sababu mlikuwa mkitukn na leo hii hyp leo hii mwasem mnamkumbuka
Inaumiza Sana! Wizi mtupu kwa watu wanyonge!
Awa Tra wanapenda rushwa sana, yaani washenzi, wasumbufu kote Airport Bandarini Boder,
Uwanja wa ndege ni balaaađđđđđđđđ jamani hata vi toy vya kuchezea watoto vikija kama zawadi wanatoza kod đ„čđ„čđ„č
Hii nchi inapoteza mapato mingi sana kwa sbb ya watumishi wa TRA na polisi tanzani pia wanachangia wao hawaangalii kazi yao wao wanashirikiana na TRA kutesa watu na kuwachukulia pesa kwa sbb ya dhamana ya kazi zao ni tatizo sugu hili katila hii nchi
Safi sana kaka umenisemea hadi pa kwanguđđ
MAGUFURI angemaliza toka juzi RIP MAGUFURI
Maliza wewe bwegest
Mijizi ndo inatawala, wenye pesa nyingi wanaachwa na wenye kipato kidogo ndo wanaumizwa. Tumbua wote hao, fukiza kazi ndo wengine wapate fundisho. Alisema tutamkumbuka Kwa mazuri ndo haya yanafanya tumkumbuke. RIP Magufuli
â@@marcokaroje8980 wewe ni mpumbavu mbwa koko kwani amesema vibaya magufuli alikuwa fast kutatua changamoto
Hilo Ndo tatizo la Watanzania na aliwajulia kweli kweli, mtu mmoja hawezi beba nchi, mtu mmoja hawezi tatua matatizo ya nchi nzima, kiongozi wa kweli ni anayehakikisha taasisi za serikali ziko imara, sheria ni za haki, na hakuna mianya ya rushwa! Kiongozi wa kweli haongozi kwa yeye kusimama akatoa tamko tatizo likaisha, siku huyo kiongozi akitoka hali itakua mbaya kuliko mwanzo , alitaka asifiwe yeye kwamba anadhibiti kila kitu na mkafurahi lakini mkasahau hiyo ni njia ya mkato na hailisaidii taifa!! Taifa lenye taasisi imara hata likipata raisi mbovu nchi itaenda tu! Yeye alihakikisha bunge linajaa wabunge wa hov**** wanatunga na kupitisha vitu vya hovyo ili yeye aje asimame atoe suluhu mpige makofi
@@achsahcharles6728 wewe ni bwege hujielewi
Mzee umeongea ukweli Sana.. Mungu Akulinde na hili swala lichukuliwe hatua
Hongera Sana Muha umeongea vizuri bila kuficha chochote uliyokuwa nayo moyoni yote umeyatapika ili yaweze kufanyiwa kazi na waziri mkuu.Mungu akulinde akukinge na watu wote walio kinyume na kile ulichokiongea .
Muhakikishien usalama wake huyu baba jamani anaongea point sana TRA ndo habar zao
Hawana adabu hataaaa chembeeee
Great speech.... Ila watu wa Kigoma wanafanana kuongea nikimsikiliza huyu namsikia Baba Levo kwa mbaaaaaali đ
đđsure đ
Muhaaaaaaa saf sanaaaaa waseme bn wamezd hawatoshek
Viongozi wetu jaribuni kusikiliza nawanchi vizuri. Niwasomi sana wako mitaani wanashuka point
Fanyeni mpango ile nidhamu ya woga irudi tu, iliondoa kwa kiwango kikubwa haya mazingira ya rushwa na rushwa maofini. Sasa hivi kuna mahali tumerudi na watu hawakubali sababu walishaanza kusahau shida kama hizo.
Onaona eeeeh! Watu waliomchukia Magu na kuna wanaomchukia hadi Leo, lakini Mimi nasema Tanzania tunahitaji kiongozi kama yeye, yaani sasa hivi mambo ya hovyoo kabisa. Badala ya kuwakaba koo wenye vipato vikubwa wanawaonea watu wenye vipato vya chini na rushwa imeshamili bila aibu. Mama awe mkali. Bora wawe na nidhamu ya woga lakini haki itendeke kuliko kukaa kuoneana kama huku.
Kuna wapuuzi eti hawaoni kazi aliyofanya Magufuli. Nidhamu ilikuwepo nchini hivi sasa rushwa kuliko kokote.
đđđđ muha oyeee
Oyeeeeeee
Muha kafunguka duh
watu watakuja kuipindua hii nchi kama matani
đđđđ
Waziri mkuu anatamani kutoa maamuzi maguma kama ya JPM lakini anakumbuka ambaye yupo juu yake kwa sasa siyo kama Magu,anaamua kuumia na kulia rohoni harafu anayaacha yapite hivohivo.,đđđ
Huyu Muha aliongea kwa uchungu sanaaa
Wezi sana hawa TRA! Kiboko yao alikuwa Magufuli.
Brother k noma sanađ đ
Huyu brother k au đđđđ
Mm naitwa Salimu nipo Tanga tulikamatiwa mizigo ikapelekwa KIPATA rushwa MILIONI 1 na laki nane na RISITI ninazo za MZIGO
Nasemajeeh muhaaa kuvurugwa leo
Bonyeza hapa kutazama filamu mpya za bongo movie
Hapa ndio tunamkumbuka magufuli kwakwel R.I.P Joseph.P.Magufuli
Magufuli alikuwa dawa ya haya mambo
Wasafi bwana eti Muha đ€Łđ€Łkwa hiyo kulikuwa na wafanyabiashara na Muha
Apo angekuepo magu angetumbua Leo Leo đđđđ
Kweli kabisa
Nakuomba sana mh.waziri mkuu upitie na maliasili kule Kuna huozo mkubwa sana.. km kweli unasali na unapenda haki pita maliahasili uone yanayowakuta watu wa mkaa.. na kma serikali hamtaki watu wakate mkaa pls kuweni wakweli tangazeni tuu hakuna kukata mkaa. Kuliko mnachukua ushuru wa watanzani alaf bado vikwazo kibaooo yaaan.. yaan Hao Vijana mnaowapa madaraka hawajui maisha ni nn,wamesomeshwa na Ada zetu hawajapitia msoto wowote wanakuja kutunyanyasa,watu wanateseka porin wanakuja kushusha mkaa wanabaki nao kwa kweli ipo Mungu atawalipa ianuma sana
Inasikitisha sana
Polisi wa tanzania ni wanadiasa wa ccm sio walizi wa raia wa tanzania hawaijui kazi yao masikini mungu awasamehe
Uganda ni tambararee kweli
Kama angelikuwa Maguu hapo tumbua hapo hapo huyo mzee alikuwa kiboko from *254
Inabidi itokee sikumoja anapigwa risasi hata wawilii wafe kaa wezi ndio watajielewaa
Uganda ni Tambarare kbsa unapata POSHO in muha's voice
Aiseeee inauma sanaaa
Kweli watu wamechoka hii serikali hapana angekuwepo mwamba hao viongozi wangeisoma
TRA wamezidi sana, iko siku tutawatoa baruti kama wezi, kunyanyasana kumezidi sana yaani..
Greatness isn't about protecting yourself from people. It's about being accepted by people that's the best leader.
Pale DIT kwenye mataa kuna askari wapumbavu sana, baada ya kuwapa risiti wakaomba kitambulisho cha taifa nilivowapa wakaleta sababu hazieleweki, ilimradi kutengeneza mazingira ya rushwa...baada yakuona namchelewesha niliyekodi usafiri kwake ikabidi niwape hela niondoke, pia wakasema hela haitoshi ukilinganisha na mzigo niliyonao baadae wakakubali ila wanatesa Sana wafanya biashara na hakuna pakusemea
P
Pp
P
Force number
eti ikabidi niwape hela kidogo yaani mnatoa rushwa badae mnalalamika kwa nini utoe pesa wakati kila kitu unacho
â@@ikouwasi7644 unaongea tu kwakua hayajakukuta, we kaa kimya tu
Mama upo vzr Sana unaangaika kuleta wawekezaji lakini watendaji wall wanakuangusha fukuza mfano wafanya biashara wa kigoma ,mwanza wanaeda Uganda tunakosa Kodi
sema port polis tra ndiyo chanzo cha kuzolotesha mapato ya nch wanafaidika wao tu na familiya zao
Mungu awasaidie watz kweli kuna uonevu sana
Rushwa ni jipu kwa taifa!!
Tanzania ni nchi ya ovyo sana sio hata ya kukaa sasa huku ulaya ovyo Tanzania ovyo tunaenda wapi jamani kha
Nacheka tu yani Enzo ya magu sasaiv wote hao hawanakazi
Kweli sumu taifa inabudi warekebishwe uganda itapanda juu kweli mbaya
TRA tatizo katika nchi hii waalaniwe hawa watu
Ao dawa yao kichapo tu wapgwe visu matapel majambazi ao so kuwachekea wafilisi wapgwe washazoea mmbwa mm ao napga lisasi
Tutamkumbuka magufuli nchi ya sasa ni dhaifu remote control ipo msoga
Police na mambo ya TRA wapi na wapiđđđđ
Japokuwa sifanyii biashara dar Ila imenikela vibaya
Roho Imeniuma kwakwel đ
Kipindi cha magufuri majibu yanatolewa papo kwa papo
Nchi Ishakuwaa Shamba La Bibi Saiv
R.I.P NGOSHA MAGUFURI
Watumwa wa magufuli mnakera kwa mini hammfuati huko aliko mkashitaki?
â@@marcokaroje8980 wivu mpka kwa marehemu duhđ đ đ ndo washamsifia ka hupendi Kanye boga Fala wewe
Mzee kaamua kujilipua hawa wapemba ukikutana nao kwenye anga zao utakoma
Ahsante sana mdogo wake brother K.
Huku america tunampango wakuhakikisha usa haisaidii tena Tanzania tutumie akili zetu sio kuomba msaada nakuwanyanyasa wananchi
Ungechelewaa angeenda na maiki, Mha kachukia kwelii
Rest in Peace Magufuli we Missing you
100% i miss him
Wengi wapo vizuri lakini walio wengi wao ni wezi hahhaha đ
Hata mza tunasumbuliwa na asikari
Huyo aliyekuwa mkuu wa mkoa Dar naye afutwe kazi kama wengine walivyo futwa kazi
Hongera baba umeongea point kabixa maana mikoani tunalipa tra na tuna tni lakini ukienda dar kweli ni xumu
Proudly to be a man from KIGOMA capital đ„đ„đ„đ
MUHA kachachamaaa anakwambia Hilo ni Hiloo
Aya mambo nilyamiss sana jamani,Yani kama vile namuona Jpm kasimama apo anawasikikiza,,ila najiuliza kwanini uyu mama na yeye asingekuja apo asikilize ili tuone ujasiri wake jamani
Baba jpm uko wapi jamanii????yan hakika tunakukumbuka pumzika kwa aman ule muozo uliokuwa una piga vita ndo huu baba
Muha nimekupendaâ€â€
awa watu wa ushuru wanazingua sana TRA siku moja narudi likizo dar-esa-laam natokea dubai kufika air port kwa JK nikazuiwa kutoka kuuliza nini shida naambiwa tv natakiwa niilipie nikamwambia hii tv moja pia nilipie hii ni zawadi wanaenda kuangalia wajukuu zako daah yule mama kunipigia hayo mahesabu bei niliyo inunua na niliyo pewa pale vitu viwili tofauti kwanza tv used wao wananipa bei ya tv mpya pili ushuru wenyewe ukilipa pesa haingii serikalini kuna mchezo mchafu pale askali wa pale hovyo ni vijana lkn wapigaji ile mbaya TRA nao ndio hivyo hivyo unaambiwa kalipie bank hapo kwa pembeni hipo sehemu ya malipo nafikiri ni NBC wale unapewa document fake mimi kutoka kwenye laki tatu nikaja kulipa laki moja ndio maana nikasema document fake kama kweli ile pesa inaingia serikalini yeye ni nani anishushie mie bei kwahyo airport pia pakachunguzwe watu wanateseka hatari mheshimiwa waziri majaliwa đȘđčđż
NIMEPENDA KITU KIMOJA KWA WAFANYA BIASHARA WAO WANATAKA KODI IINGIE SERIKAL NASIO WALE WAJANJA WAJANJA
Ongea poti ndugu yangu hakia'mungu
Apew ulinz đȘđȘđȘđđ
Ee Mwenyezi Mungu Ibariki Tanzania
TRA ni hatari.
Hata taasisi ya Uwekezaji pale EPZA ni shida sana hawatoi vibali vya wawekezaji wanaomba rushwa tu. Wawekezaji wanakuja na kuondoka tu sababu ya usumbufu
Askar Wa Tz wanyonyaji sana Kiukwel wanachosha yani atakudai risit ukimpa analeta lingine ilimradi tu apate Ela dhambi yenu inaandikwa mbinguni mtailipia tu
Huyu muha kweli
Wamezidi shubaamiti zao hawa wanaonea watu sana wanatajilika wao tu miezi 5 ana gari nyumba wapumbavu sana
Ni kweli kabisa polisi .na tra... Wapi kwa wapi
Nyie Wakigoma na nyie ni Maboya, akija Askari au afisa wa T.R.A, Akikuzingua chukua nyayo uondoke nazo mkamtengeneze kwenu.
đđ ukiona ivo ujue haja2kera sanaa