Watuhumiwa wa utekaji, utesaji wakamatwa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema kuwa watuhumiwa mbalimbali wa sakata la utekaji ambalo limekua likizungumziwa na vyombo mbalimbali vya habari katika siku za hivi karibuni wamekamatwa baada ya kuleta taharuki kwa wananchi huku suala la watu kuteswa likitajwa kushamiri.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

Komentáře •