A-Z Msigwa alivyotaka kuzichapa na DC

Sdílet
Vložit

Komentáře • 228

  • @livionemwangemile4950
    @livionemwangemile4950 Před 6 lety +21

    mweshimiwa msigwa mwambie kuku uyo anajua umeteuliwa

  • @consolatamaarufu6762
    @consolatamaarufu6762 Před 6 lety +6

    mwambie huyo mcgwa😂😁😀😂😁😀😂😁😀penda sana mchungaji wangu

  • @jumagari4695
    @jumagari4695 Před 6 lety +10

    kweli msigwa nimekukubali usikubali kuburuzwa na makada hao was ccm

  • @boyselemani4493
    @boyselemani4493 Před 5 lety +1

    Umemtolea uvivu Safi sana kaka nimekubali unafki wamadalaka umempa Kali hao ndio wanafiki Ila kajielewa

  • @naimajecker2889
    @naimajecker2889 Před 6 lety +5

    Msigwa i love uuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Před 5 lety +2

    Msigwa hekima huna, Safi Sana DC ,Huyu Dc anahekima sanaa

  • @semanasitv8303
    @semanasitv8303 Před 6 lety +10

    wahehe wabishiii😂😂😂

  • @annetmsafiri6704
    @annetmsafiri6704 Před 5 lety +1

    Kazi kweli kweli mtumishi wa mungu huyoooo mungu tusaidie

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 5 lety +3

    Safi sana msigwa

  • @elikanaisrael1138
    @elikanaisrael1138 Před 5 lety +1

    Safi san mchungaji msingwa njoo kabisa nikukabidhi mke wangu

  • @georgesindano7402
    @georgesindano7402 Před 5 lety +1

    safi sana mbunge wangu wa iringa town kama ni swala la maafa si mpaka viongozi wate wauthulie maafa (ndio maana kukawekwa ngazi kwa ngazi)

  • @husseinkulumbiza8894
    @husseinkulumbiza8894 Před 5 lety

    Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.

  • @michaelgershon9077
    @michaelgershon9077 Před 5 lety +14

    Uongozi unahitaji subira.
    Dc ni kiongozi.
    Hajatumia utawala.
    Nampongeza.

    • @fungamaliramadhani479
      @fungamaliramadhani479 Před 5 lety +1

      MICHAEL GERSHON msigwa huyo hapi umuezi mtoto wamjini huyo mguse uone pimbaavu

    • @stellaernest8735
      @stellaernest8735 Před 5 lety +1

      we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji Pumbavu

    • @amanabdallah9745
      @amanabdallah9745 Před 5 lety +1

      Subira ya nini, kwa hao ma DC na ma rc waonezi,kilichobaki ni kukungutana makonde

    • @elishajuma2615
      @elishajuma2615 Před rokem +1

      Wew na wew ndo wale wale

  • @makaleshop6063
    @makaleshop6063 Před 5 lety

    Hongela mkuu ungemsonkola akome

  • @majaliwayusuph3801
    @majaliwayusuph3801 Před 6 lety +3

    Mh Msigwa hawa RC na DC wana kinga lkn lazima uwaambie wajue hilo. Kuekwa ndani na kufunguliwa. kesi za uchochezi ni kawaida kwa upinzani.

  • @sulleysonmishlaymishlay7233

    Hiyo safii sana uchungaji siyo ujiga

  • @BarakaWaya
    @BarakaWaya Před 4 lety

    Aibu Sana ukiwa nakiongozi mropokaji hivyo kama Msigwa duuuh uongozi nibusara na hekima well done DC

    • @moureenkirundwa8691
      @moureenkirundwa8691 Před 3 lety

      Unafurahia kuburuzwa e, aliyoyaongea msigwa kikawaida ni true ila ttz approach. Kwa iyo by conclusion Dc kazngua

  • @rogersiddy
    @rogersiddy Před rokem +1

    Huo ndo uwanaume sasa hakuna kuoneana hapa safi sana

  • @samuelpeterkaaya1211
    @samuelpeterkaaya1211 Před 3 lety

    Nakupenda Baba Peter

  • @humphreybilly3258
    @humphreybilly3258 Před 5 lety

    mchungaji nakupenda sana unajuaga kutoa makucha.

  • @wakatiwetuleotv4295
    @wakatiwetuleotv4295 Před 6 lety +8

    Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana

    • @simonnyasebwa9026
      @simonnyasebwa9026 Před 6 lety

      WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.

    • @nathankihiyo9293
      @nathankihiyo9293 Před 5 lety

      Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Před 5 lety +3

    Wachungaji wasiku zamwisho 😂😂😂

  • @josephmakau7322
    @josephmakau7322 Před 4 lety

    Msigwaaaa chumaaa motoooo msigwaaa mashine sanaaa

  • @stephenmgema2208
    @stephenmgema2208 Před 5 lety

    Mmh..... Haya bhana

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Před rokem

    Mtihani

  • @user-sw1dv1iq6h
    @user-sw1dv1iq6h Před 10 měsíci

    Ndo msemaji mkuu wa serikali. Genge la wahuni😊😊

  • @nathankihiyo9293
    @nathankihiyo9293 Před 5 lety +2

    msigwa amepaniki kinoma 😂😂😂😂.
    imebaki siku, majira na nyakati na wewe uwepo nje ya fensi. hao hao waliokuchagua ndio watakaokutoa.

  • @chilombachilo7534
    @chilombachilo7534 Před 6 lety +19

    msigwa kunywa soda popote nitakuja lipa

  • @martinkarata1097
    @martinkarata1097 Před 5 lety

    Safi sana tena aache mazoea

  • @mzeeahmadi9400
    @mzeeahmadi9400 Před 5 lety

    you are dealing with smart people I'm not stupid !

  • @hassanlikaba9813
    @hassanlikaba9813 Před 5 lety

    Subiri akushuhurikie sasa 2020. Utapata tabu sana

  • @ericlowasa3097
    @ericlowasa3097 Před 6 lety +3

    Safi sana msigwa hao mbwa hatutaki mazoea nao bata wa ccm ndo dawa yao umenifurahsha sana

  • @deoshine777
    @deoshine777 Před 5 lety +1

    chezea kitambi hicho bb wanatumwa hao kuvuruga tunaona arumer na ars

  • @abdalomari5912
    @abdalomari5912 Před 5 lety +1

    msingwa uyo mkuu ajielewi yeye kaletwa tu ndiyomana ajielewi

  • @ramadhanmahongole9649
    @ramadhanmahongole9649 Před 5 lety

    saf sana msigwa hao ma DC hawajuagi sana nguvu ya ubunge kuwa inatokana na wananchi hivyo mbunge ananguvu kuliko hao

  • @braytonymasebene1086
    @braytonymasebene1086 Před 5 lety +1

    Ahahahahahahahahahha msigwa bana mbn umemchelewesha kwan ccm wao wakina naniiii bg up rais msigwa wa ilinga

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni4139 Před 6 lety +18

    Msigwa ni jembe kazi zake tunaziona, aendelee kuchapa kazi na kuisimamia serikali.

    • @anozacha611
      @anozacha611 Před 5 lety

      Louis Nyon tena sanaaaaaaaaaa

    • @edsonndogoro3188
      @edsonndogoro3188 Před 5 lety

      Louis Nyoni kazi gan alizofanya msigwa. Huo ni uchafu tu.

    • @nathankihiyo9293
      @nathankihiyo9293 Před 5 lety

      😂😂😂😂Kazi za kuropoka hata mimi naziona

    • @edsonndogoro3188
      @edsonndogoro3188 Před 5 lety

      Louis Nyoni ana kazi gan msigwa anazofanya au kulima mahindi ya kumwagilia?

  • @magelaoscarjr1401
    @magelaoscarjr1401 Před 5 lety

    dadeekii!!! mgaya shidaa og

  • @habibadhikr9406
    @habibadhikr9406 Před 5 lety

    Hongera rais magufuli yote Hayayalikuwa hayapo utaona mengi Haya ni mambo yawanawake yamehamia kwa wanaume

  • @ishpalemypasco5751
    @ishpalemypasco5751 Před 5 lety

    eti mchungaji mchungaji gani mpumbavu huyo.chadema mazuzu yote kasoro mzee lowasa ana hekima na busara

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety

    Msigwa mwenyewe hayupo, na kasesera hayupo!

  • @saidikamduma5468
    @saidikamduma5468 Před 6 lety +1

    mmmmh Tanzania hii inakoelekea Kazi ipo

  • @jordanfromyt2861
    @jordanfromyt2861 Před 5 lety

    Duuuh hapa kazi hipo hahaha😂😂😂😆😆😆

    • @zubelmkemwa9680
      @zubelmkemwa9680 Před 5 lety

      d mungu gan hy anae muabud msingu mbingu gan tunayo enda Kwa sitar hy

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo6591 Před 6 lety +1

    Mchaapeee huyo pastor 😆😆😆😆😆😆sina mbavuuuuuu penda pastor msomehe 1king 18:

  • @adamkaita3009
    @adamkaita3009 Před 5 lety +1

    he he eeeh msigwa jimbo limekushinda hilo Acha kupanick jimbo linarudi ccm hilo

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina9980 Před 6 lety +3

    Najiskia kuwachana...wachane baba

  • @danielmpokasye6108
    @danielmpokasye6108 Před 3 lety

    Daaaa mama yake msigwa angezaa tena kama huyu saf kbs hamna kuburuzana hap

  • @lucyshine1271
    @lucyshine1271 Před 5 lety

    Mbunge anajiamini dc hoi hana kitu

  • @amenipasanga2918
    @amenipasanga2918 Před 5 lety

    DC hongera sana

  • @immamlowe734
    @immamlowe734 Před 6 lety +6

    Huyu. I mcbungaji kwel au nimchunhaji madili? Mchungaji haiwi hivo.

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 Před 4 lety +1

    Umepanik mbunge

  • @amenyekibona8730
    @amenyekibona8730 Před 5 lety

    amakweri umedata Msigwa,,,, Dc pongezi kwako anajichinja mwenyewe

  • @raymondmelele1911
    @raymondmelele1911 Před 4 lety

    Daaah msigwa

  • @omarmohd5678
    @omarmohd5678 Před 5 lety

    Piga kubwa jinga

  • @abdulkareemally8371
    @abdulkareemally8371 Před 5 lety

    Waambie ukweli tuu.. wakikufunga sawa ila wanao ukweli

  • @kaminyogemwachelwa9884

    Safii,sanaaaa

  • @khamiskhamis5323
    @khamiskhamis5323 Před 5 lety

    Mchungaj anasema yamejaa yamemfika apa,,acha amtolee uvivu duhhh,,

  • @cypmkutubi3109
    @cypmkutubi3109 Před 5 lety

    Eti huyo ni kiongozi wa chama kisha eti ni mchungaji, anabwata kama muuza gongo!
    Tujifunze nini kwa kiongozi kama huyu?? Tena anamuomba DC amuweke ndani.
    Hujanishawishi kujiunga na CHADEMA SACCOS

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 Před 5 lety

    Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta.
    Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.

  • @sazafsuma7542
    @sazafsuma7542 Před 6 lety +2

    alaa pumbavu

  • @josephnchunga6554
    @josephnchunga6554 Před 5 lety

    hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,

  • @exavermolandi1101
    @exavermolandi1101 Před 5 lety +1

    Msigwa piga choko ilo la ccm

  • @faridafarida6631
    @faridafarida6631 Před 8 lety +2

    onyo wazee wazima

  • @emmysam1510
    @emmysam1510 Před 3 lety

    Oyooooooooo

  • @chelestinomatinya3002
    @chelestinomatinya3002 Před 5 lety

    ukitaka kuona ubovu Wa mtu utajua tu asa angalia aligombana na yule bado anataka agombane na huyu kijana mzuri mchapa kaz yaan mm ananikera san

  • @robertmartin1589
    @robertmartin1589 Před 5 lety

    muchungaji gani mshenzi.

  • @ramadhanibrahim7619
    @ramadhanibrahim7619 Před 5 lety

    Huyo DC Anakurupuka sn mambo yake kwenye ukweli bora umpe ukweli tu

  • @Ba63828
    @Ba63828 Před 6 lety +2

    WEWE MCHUNGAJI HASIRA BILA KIKOMO KWA HIO ULITAKA UMPIGE USINGEZUILIWA NA WAPAMBE WAKO?

  • @wigansichilima4205
    @wigansichilima4205 Před 5 lety

    Kwann mnafanyahayooo jamn

  • @johnmotto6366
    @johnmotto6366 Před 6 lety +1

    Msigwa nguvu huna halafu unajionesha .

  • @mjedengwapoizon8726
    @mjedengwapoizon8726 Před 7 lety +2

    😁😁😁😁 ngoja kwanza ninywe maji ya motoo then nitakuja badaye

  • @farajihokororo1806
    @farajihokororo1806 Před 5 lety

    Huyo sio mchungaji kasesele ungemtia ndani awe na adabu

  • @rennysteve3227
    @rennysteve3227 Před 6 lety +15

    Eti mchungaji hekima iko wapi?

    • @consolatamaarufu6762
      @consolatamaarufu6762 Před 6 lety

      Renny Steve ulickia mchungaji ndio aonewe we vepe

    • @fungamaliramadhani479
      @fungamaliramadhani479 Před 5 lety

      Renny Steve mchungaji wanini muhuni tu huyo hapi pigakazi babu Chadema pigachini huyooo

    • @davidkawesa3594
      @davidkawesa3594 Před 5 lety

      Mungu karuhusu hasila ila usitende dhambi ndio maana unasikia hasila iliwaka kwa Daudi kumuangusha Goliath

    • @stellaernest8735
      @stellaernest8735 Před 5 lety

      we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji pumbavu

    • @moureenkirundwa8691
      @moureenkirundwa8691 Před 3 lety

      Uchungaj mana yake co uonewe, na czan km kafanya dhambi hapo, kwa kuw hasira iliwaka ndan yke lkn haikuw na matunda mabaya

  • @ramadhanikalumbete7134
    @ramadhanikalumbete7134 Před 6 lety +1

    upole ukuzidi utatiwadole yanipale kamanimm shamchapa.teke LA.korodani

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Před 6 lety +4

    Unaleta sifa apa mchungaji gan wew

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki1166 Před 6 lety +1

    Unasema sana

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga4030 Před 5 lety

    Nitafuatilia mpaka nione 'Mlokole huyu uchwara' anavyokwisha.

  • @mazikufabian2252
    @mazikufabian2252 Před 7 lety +6

    Mkwawa Piga Hiyo Kitu.

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Před 6 lety +1

    Mchungi au Mchungaji!

  • @richardsonmfalo9742
    @richardsonmfalo9742 Před 5 lety

    Safiiii jembe

  • @ramadhanimahongole8764

    huyo siyo mkuu wa wilaya huyo ni kada wa ccm 🤣🤣🤣😆

  • @renatusmgina4003
    @renatusmgina4003 Před 5 lety

    Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge

  • @chaxysimon664
    @chaxysimon664 Před 5 lety

    nimekumbuka enzi zangu zile za kitambo, mstari unachorwa chini afu mwezio anakuambia vuka kama wewe ni mwanaume haaaahaahaaa

  • @stephanomwakyobe4675
    @stephanomwakyobe4675 Před 5 lety

    wanakela sana mcc

  • @peterdaison5220
    @peterdaison5220 Před 5 lety

    pigen hela tu hakuna lolote wot ni walewale

  • @nyalukyando1196
    @nyalukyando1196 Před 6 lety +1

    mtolee uvivu baba

  • @Kifyasi
    @Kifyasi Před 6 lety +1

    we msigwa ww achahasila ww nikioo chajamii hasila zann? ukiwa kiongoz lazima utumie wazfa wako fuata sheria

  • @jamessichimata3100
    @jamessichimata3100 Před 5 lety

    Ongea kiswahili mchungaji

  • @edsonndogoro3188
    @edsonndogoro3188 Před 5 lety

    Eti huyo ndy mchungaji, eti huyo ndy mbunge, aisee huku kwetu tunaita mbunge masusu.

  • @saidimilanzi6403
    @saidimilanzi6403 Před 5 lety

    tatizo ni hawa wateule wa rais yaani asilimia 90%wanakesha kutafuta namna ya kumridhisha mwenzao aliewateua hawajui kabisa wajibu wao,ndio maana sasa wenye busara wanaona haipo tena haja ya kutumia busara ni kuwawakia tu live

  • @allymliloh1760
    @allymliloh1760 Před 6 lety +7

    Hivi huyu msigwa alisoma tu Bible knowledge akawa mchungaji au ndo watu kuitana prof Jay

  • @josephmdidi3832
    @josephmdidi3832 Před 5 lety

    Piga uyo

  • @erodycostantin6866
    @erodycostantin6866 Před 5 lety

    kiki zingine za kimavitu ndio munaenda kutunga sheria za kimavitu

  • @ramadhanikakoree3728
    @ramadhanikakoree3728 Před 6 lety +1

    100%

  • @ayoubmkeya8709
    @ayoubmkeya8709 Před 5 lety

    shida pale unapo hc wewe ni bora kuliko wengine mfano msigwa kauli zake ni dhahiri kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanao jiona ni sahihi kuliko wengine kwa kauli zake kwa mienendo yake na mengine

  • @stevenmakundi3310
    @stevenmakundi3310 Před 6 lety +1

    hmmmm duuuh!!!!!!!

  • @eliasandale7526
    @eliasandale7526 Před 5 lety

    Shida Hawa viongozi Iringa hawakuja kutatua kero wamekuja kupambana Na wabunge wa wapinzan ,maana hakuna kikao bila kuzungumzia wapinzani

  • @florencemgoyo9273
    @florencemgoyo9273 Před 5 lety

    sukumaaaa ndaniiiii

  • @issajohn5670
    @issajohn5670 Před 5 lety

    Mtu mdebwedo utamjua tu. Huwa ashiwi maneno na kujifanya yy mbabe zaid. Na huvyo ndivyo mnazid kupoteza thamani kwa wananchi wenu. Twent twent ikifika razima mbwagwe nyy

  • @sweetbertmlinda9672
    @sweetbertmlinda9672 Před 5 lety

    Mhhhhh, hiv ukiwa chadema lazma uwe kichaa kichaa hiv au!? Msigwa na ww una Kaz 2020 usipojirekebisha