MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 02. 2020
  • MSIGWA Amlipua KIGWANGALA Bungeni - "STEVE NYERERE Ndio NANI, Unaogopa KUROGWA"
    Mbunge wa Iringa mjini (CHADEMA), Peter Msigwa amewatupia lawama Mawaziri wa serikali ya awamu ya tano kwa kushughulikia kero na kutatua migogoro badala ya kushughuikia sera.
    UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
    ( +255 676 229628)
    HABARI MPYA DAILY:
    czcams.com/users/playlist?list...
    HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
    czcams.com/users/playlist?list...
    GLOBAL RADIO TV:
    czcams.com/users/playlist?list...
    EXCLUSIVE INTERVIEW:
    czcams.com/users/playlist?list...
    Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
    Subscribe bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 293

  • @alikhalfan9551
    @alikhalfan9551 Před 4 lety +24

    Msigwa umeenda shule unaongea hadi wabunge wanachanganyikiwa eti kanuni ya ishirini na nane isome haijui nakuombea kwa mungu msigwa urudi bungeni

  • @chinamichael3340
    @chinamichael3340 Před 4 lety +18

    Mheshimiwa Msigwa Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu.

  • @stevehiraly9127
    @stevehiraly9127 Před 3 lety +4

    Mashine hio..
    Naskitik sana huyu jamaaa kumkosa bungen... sjui hilo bunge lanaenda kuwaje???? 😭😭😭

  • @mohamedmohamedimnyilila6631

    Tunakupenda sana mbunge wetu wa iringa

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Před 4 lety +1

    Mh. Msigwa umeongea Point nzuri tu katika kushauriana, Umechemka ulipomtaja moja kwa moja Msanii Steve Nyerere, hapo kwa Hadhi yako ya Kiuchungaji umejisahau kwani nayo ni Kazi kama kazi zingine, Pia na pia kuwathamini Wasanii wa ndani ni muhimu, Kwa hayo Mchungaji binafsi naona waombe radhi Wasanii wetu.

  • @pastor_mashimo
    @pastor_mashimo Před 4 lety +23

    Kuhusu utalii kwa kweli mh Singwa ameongea point

  • @godfreynkama6098
    @godfreynkama6098 Před 4 lety +7

    Hapo nimekuelewa sana mchungaji msigwa,uko vizuri kujenga hoja.

  • @jiajoel2346
    @jiajoel2346 Před 4 lety +4

    Msigwa keep it up...nakubali hoja zako

  • @madukurumwanileles7909
    @madukurumwanileles7909 Před 4 lety +3

    Lakini kweli Mheshimiwa Msigwa wakati mwingine mko sawa kabisa,kweli mnaona mbali na mnahaki ya kukosoa na kuishauli Serikali,safi safi sana.

  • @leonardgalila3032
    @leonardgalila3032 Před 4 lety +8

    Leo speaker nimekuelewa

  • @wilsonmcs3369
    @wilsonmcs3369 Před 4 lety +3

    WA MWANGATA IRINGA TZ.👏👏

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga7999 Před 4 lety +4

    Kabisa we are not serious watumie watu wakuweza kutangaza utaliii,points taken kwakweli

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 Před 4 lety +2

    Uko Sahihi Hon.Msigwa

  • @sehemunzuri
    @sehemunzuri Před 4 lety +9

    Mimi naungana na Mhe. Msigwa.. safi sana

  • @dlmedial9417
    @dlmedial9417 Před 4 lety +15

    Leo nimekuelewa mhe. Msigwa. Good speech. But please show even solution and sent to Mr. Kigwangala

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 4 lety +10

    Mzembe sana wewe, wakikaa ofisini pia mtalalamika,,,,,kweli duniani hakuna jema!!!!!

  • @happyfiverickaldo4662
    @happyfiverickaldo4662 Před 4 lety +11

    Msigwaaaaaaaaaaaaa nomaaaaaa

  • @simonkanyungu7760
    @simonkanyungu7760 Před 3 lety +1

    The like of opposition leaders we need in Kenya....at Peter msigwa

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 Před 4 lety +32

    ukiona taarifa zinazidi ujue unaeleweka

  • @abtwalibuhussein4877
    @abtwalibuhussein4877 Před 4 lety +12

    Mchungaji Uko vizuri sana.

  • @fettamidu2503
    @fettamidu2503 Před 4 lety +3

    Msingwa kichwa saaaana big up

  • @silasnnko4384
    @silasnnko4384 Před 4 lety +13

    Mbunge msigwa noma umewakalisha kama wote na miongozo yao

  • @fredylucas2484
    @fredylucas2484 Před 4 lety +3

    Hapo mnaonyesha ni wapinzani wa kweli. Siyo kila kukicha kuzira bungeni. Kudos Mchungaji

  • @willyngailo4549
    @willyngailo4549 Před 4 lety +6

    Kumbe Kuna wabunge hawajui kanuni za bunge FISIEM bana

  • @zicomgravity4897
    @zicomgravity4897 Před 4 lety +6

    This Man Is Real OG.💪💯👏👏👏

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Před 4 lety +1

    Hilo ni bao mr msingwa ..... Hawajaacha Sera , wako kisiasa zaidi ili wakamate wananchi ..... Ninyi mlikuwa mnateka watu mnapiga kelele watu wanauawa ili muonekane watetezi wa wananchi , wao wanapiga kazi karibu nasisi ili tujue wako nasi ...... So kaa chini pambania kiti chako uchaguzi unakaribia .

  • @aggyparty2990
    @aggyparty2990 Před 4 lety +1

    Kaongea ukweli mtupu sababu hata wakipanda huko hawafiki mtu kama welu sengo sijui aunt hawawezi kupanda mlima msigwa umeongea point 🙌🙌🙌🙌🙌 wenye akili ndiyo watamuelea 🙌🙌🙌

  • @smarty1064
    @smarty1064 Před 4 lety +5

    Tunataka kwenda kimataifa we unawaleta kina steve nyerere...uko sahihi kabisa

  • @salasaidi1888
    @salasaidi1888 Před 4 lety +4

    Uko sawa

  • @freckkihundo4349
    @freckkihundo4349 Před 4 lety +1

    Pamoja sana mh msigwa

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 Před 4 lety +4

    Asante mchungaji msigwa uyo mama mjinga anapoteza mda

    • @mussajacob8346
      @mussajacob8346 Před 4 lety

      Tena nimpumbavu sijui kilichomwasha nini kwanini asingekaa kimya ili wataalamu waendelee kutoa elimu

    • @kijangapeter5135
      @kijangapeter5135 Před 4 lety

      Hili maza jinga kabisaa

  • @jacobmgumiro156
    @jacobmgumiro156 Před 4 lety +25

    Naombeni muniambie msigwa naweza kumnunua ahamie lushoto ?manas wakwetu sijawah kumsikia hataaaasiku moja

  • @suleykilindi5117
    @suleykilindi5117 Před 3 lety +3

    Nimekuja kuangalia baada ya ripoti ya CAG

  • @angelmaganga9482
    @angelmaganga9482 Před 4 lety +1

    Mungu atskubariki hat wao wasipokusikia

  • @seljasele
    @seljasele Před 4 lety +8

    Kwa Stive kweli ni udwanzi sana.

    • @daniellyimo636
      @daniellyimo636 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣 Ana julikana Dar tuu 😄😄😄 Ana panda Mlima hata hafiki Mlimani 😄😄😄

  • @nicolauswandao8988
    @nicolauswandao8988 Před 4 lety +18

    kazi ya taarifa ni kupunguza speed ya mzungumzaji au kupoteza muda sio kujenga hoja

  • @mkonojr2779
    @mkonojr2779 Před 3 lety +1

    Huwa napendaaa sana hotuba za huyu mwamba

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 Před 4 lety +10

    Sema Mtumishi Wa bwana ulie barikiwa, unaeleweka vizuri.

  • @gabrielpott3325
    @gabrielpott3325 Před 4 lety

    Mzee msingwa mzee kichwa yako iko sawa sana mzee uko sawasawa ila kuna mijitu ipo hapo bungeni hata haitambui uwepo wao mzee chapa kaz.

  • @nassorseluma2920
    @nassorseluma2920 Před 4 lety +1

    Safi sana mchungaji

  • @philipomofuga3511
    @philipomofuga3511 Před 4 lety

    Kiboko ya ccm saf sana mbunge ujawahi waangusha watu wako Mungu akulinde uzid kua bora.

  • @kavassay8899
    @kavassay8899 Před 4 lety +6

    Msigwa ni saw na wabunge wote wa ccm umo ndan

  • @feisalissa3009
    @feisalissa3009 Před 4 lety +3

    Msigwa wape maneno yao sema ukweli hawo 👍 👍💯

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Před 4 lety +1

    Wow Mchungaji u gave them there own medicine are u sure u are not from Kenya? iu are a fighter for ur country n a true leader🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇨🇭🇨🇭uku ndio kwa Roger Federer tena jirani yangu True

  • @leonardawamu2275
    @leonardawamu2275 Před 4 lety +1

    safi sana MCHUNGAJI

  • @veilamariki3000
    @veilamariki3000 Před 4 lety +2

    Point Msigwa

  • @adamally8791
    @adamally8791 Před 4 lety +1

    God point msingwa, tuache upinzani ulichokiongea hata ckupingi, kigwangwala chukua hayo madini, Hata team aliyopo samata kwa sasa uungie nayo mkataba kuutangaza utalii wa Nchi yetu

    • @robben8736
      @robben8736 Před 4 lety

      unajua uchikiongea...kuingia mkataba wa aina yeyote na club inayoshiriki ligi kuu England ni very expensive...approximately ni kuanzia M15 Dollars ambazo ni sawa Billioni 34 za Tanzania...sasa hapo huoni kama watanzania wataanza kulalamika pesa nyingi imepelekwa kwenye utalii na wanafunzi hawana mikopo

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 4 lety +1

    true,nawaziri kuna vijikazi wanafanya ambavyo watu wa chini ndo kazi zao.

  • @janelukololo9919
    @janelukololo9919 Před 3 lety +1

    Safi

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 Před 4 lety +4

    Safi sana Msigwa mpe kubwa fala huyo hamisi sijui kingangwala

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Před 4 lety +19

    Muheshimiwa kigwangwala pokea haya maneno ya Msigwa points.....

  • @israelpwele5535
    @israelpwele5535 Před 4 lety +1

    Pasua kichwaa, mchungajiiiii

  • @evelynmon9423
    @evelynmon9423 Před 4 lety +3

    Yaan hapo kunaweza kukawa na maroroso yanaendelea kama ya kina logola lakini wao wakashangilia tu sijui wanamatatizo gani ktk akili zao

  • @yassinudd4422
    @yassinudd4422 Před 4 lety +1

    Kuna kazi sana, kama mbunge amini kuwa ata wasanii wa ndani wanaweza tangaza maliasili zetu, nashaka na uzalendo wake

  • @evethaasey1791
    @evethaasey1791 Před 4 lety +2

    OK kibwagala muelewa ameelewa, bongo zozo is good

  • @mrsramadhani2400
    @mrsramadhani2400 Před 4 lety +14

    Nimekuelewa.boc.kubwa
    Lakn.maccm
    Cjui2.wakoje
    Chukuen.mawazohayo
    Myafanyiekaz

    • @sasumaadsaihmayombya8145
      @sasumaadsaihmayombya8145 Před 4 lety

      Mrs Ramadhani Kumbe ww uko kichama zaidi na sio kile alichokiongea tukifuata maelezo yako?

  • @robertthomas7769
    @robertthomas7769 Před 4 lety +5

    Mchungaji uko vizuri, ukweli mtupu huu.

  • @petroerinest2744
    @petroerinest2744 Před 4 lety

    Nakuelewa sana pastor

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 Před 4 lety

    Kazi ya Mbunge ni kuishauri na kuishauri serikali

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 Před 4 lety +4

    Kanuni 28:isome😁😁😁😁😁
    TAARIFA imekua Nyingi,
    I'la Wazo la MSIGWA Ni sahihi!!!!

  • @mwabayachacha3557
    @mwabayachacha3557 Před 4 lety +3

    spika leo nimekupenda umempa muda msigwa safi sana

  • @jamessanga7120
    @jamessanga7120 Před 2 lety

    Uko vizur mchungaji wangu unaakili sana

  • @kellyroselwinga7999
    @kellyroselwinga7999 Před 4 lety

    Umeongea point Sana Mheshimiwa Msigwa wanashindwa tu kuelewa,nawangeweza kuchukua points zako

  • @mohamedisarafi5308
    @mohamedisarafi5308 Před 4 lety +1

    Msigwa🙌🙌🙌🙌

  • @adiliharold1172
    @adiliharold1172 Před 4 lety

    Msingwa huwezi ukawa mbunge wa kutuongoza kama waziri kama unashindwa kujua matatizo ya wananchi na badara yake kujikuta unawaza sana uchumi wakati huo hufikilii kama sisi tunaitaji amani ya wenyewe kwa wenyewee ndipo watalii waweze kuja pia migogoro ya watanzania wandani hawana watu maamulu kwa ajili ya kutatua MSIGWA UMEONGEA UPUUZI SANA UPUUZI SANA UPUUZI SANA HUFAI HUFAI HUFAI.

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 Před 3 lety

    Yes

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 4 lety +7

    Ameongea sense sana msigwa. .but lets wat and see

  • @Directorhernrypro
    @Directorhernrypro Před 4 lety +1

    Point 👍🏼

  • @ulomistephen7679
    @ulomistephen7679 Před 4 lety +4

    Akili.kubwa

  • @valentinemtei2927
    @valentinemtei2927 Před 4 lety +3

    Utangazaji ni fani, kama huitumii ukatumia mawazo yako utakua huna unalofanya

  • @fadhilalemba7857
    @fadhilalemba7857 Před 4 lety +1

    very true

  • @adventureguidertanzania2331

    Msigwa Ni Moto jamani

  • @mtatiromgeka7270
    @mtatiromgeka7270 Před 4 lety

    Kuna vitu serikari inaweza kuvipuza lkn ni vitu mhimu sana kwa masirahi ya nchi yetu..

  • @galussskale8701
    @galussskale8701 Před 3 lety

    Watu Bora saaana kwa kizazi chetu,inafanya kazi hadi Leo 2021

  • @yoshuabosco4725
    @yoshuabosco4725 Před 4 lety +4

    Msingwaaaa aaaa a a a a a wewe Ni noma sana

  • @salehehassan3665
    @salehehassan3665 Před 4 lety +1

    Wazee wa taarifa, hawa hutawasikia kuchangia vitu vya msingi

  • @leoniaedward9435
    @leoniaedward9435 Před 4 lety +2

    Msigwa hayo ndo mambo poa

  • @lonyorilaizer8507
    @lonyorilaizer8507 Před 4 lety +5

    Wape somoooooo

  • @alexmbembela4571
    @alexmbembela4571 Před 4 lety +2

    Kigwanagala nakuelewa Sana Ila jaribu kuyachukua mawazo ya mchungaji msigwa yatakusaidia Sana ......HAUWEZI KUMCHUKUA STEVE NYERERE UKAENDA NAE KUTANGAZA UTALII HATA KENYA HAWAMJUI......Kama umemuelewa mchungaji njoo ulike hapa

  • @kasolekasole4981
    @kasolekasole4981 Před 4 lety

    Factor

  • @shabaniguma8696
    @shabaniguma8696 Před 4 lety +5

    Kanuni ya ishirini na nane ni mpuzi wabunge wengine hata sijui wamefika mjengoni yani kumzuia msigwa asionge

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 Před 4 lety +8

    Wabunge wa ccm wote viazi mnakalia miongozo baada ya kusikiliza ushauli mnaopewa na wapinzani wenye Akili kubwa kama ya msigwa

  • @petromashauri2804
    @petromashauri2804 Před 4 lety +4

    msigwa baba lao

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 Před 3 lety

    Hamjui kutangaza utalii mnapenda kupoke pesa Tu ,mnategemea tour operators ,halafu mnawafunguza wawekezaji na kuwaongezea kodi

  • @seifmohamedseif9467
    @seifmohamedseif9467 Před 4 lety +6

    Kweli km china mchukue jack chain mpe free muhudumie kubaliana nae arudi china akutangazie uone wachina watakavyo ingia hapa

  • @reginaclemence1200
    @reginaclemence1200 Před 4 lety +5

    Amewakuna ndo maana mnakuja na taarifa

  • @daniellyimo636
    @daniellyimo636 Před 3 lety +1

    Point 😄😄😄

  • @omaryhango6696
    @omaryhango6696 Před 4 lety

    Point

  • @esromkanubho4738
    @esromkanubho4738 Před 4 lety +3

    Vizuri msigwa lakini msaidie kigwangara

  • @sekuludevid5239
    @sekuludevid5239 Před 4 lety +5

    Hahahaha mnagombea demu na Steve nyerere kachukua goma lako mchungaji hahahahahaha tunajua msigwa 😂😂😂😂

  • @nilamlenga3581
    @nilamlenga3581 Před 4 lety +6

    Wabunge wa ccm ni mizigo

  • @kibwanaMAlly
    @kibwanaMAlly Před 4 lety

    Good job mh Msigwa

  • @roseberryhamoud6542
    @roseberryhamoud6542 Před 4 lety +1

    Steve Nyerere anakusubiri

  • @feyzalyusuph14
    @feyzalyusuph14 Před 4 lety +6

    Sema baba

  • @bilalimziray448
    @bilalimziray448 Před 4 lety +3

    Yaan msigwa unavyo wakatia wabunge wenzako noma Sana 😁😁

  • @elishalazaro4033
    @elishalazaro4033 Před 4 lety +5

    Mwamba katunga kanuni😃 kaambiwa asome anasema hajafungua tablet

  • @lonyorilaizer8507
    @lonyorilaizer8507 Před 4 lety +7

    Mchugajiiiiiiiii

  • @masanjangololo6204
    @masanjangololo6204 Před 4 lety

    KWELI UNAPENDA SANA MITANDAO

  • @kavishevicky1816
    @kavishevicky1816 Před 4 lety +1

    Hajafungua tablet ila amemuelewa mchungaji ....ni hatareeeee...anichukue hata Mimi jmn lukuvi Iam available jmn

  • @salimtweyale2661
    @salimtweyale2661 Před 4 lety +6

    Wabunge Kama Msigwa Ndio Wanatakiwa Sio Wabunge Vilaza Hawatakiwi

    • @evansmlalo4049
      @evansmlalo4049 Před 4 lety

      KIGWANGALA HAWEZI POKEA TAARIFA ZA WASOMI NA YEYE NI MTU KAWEKWA NA MAGUFULI KWA MASILAHI YAO. ULIONA WAPI WAZIRI ANAPEWA AMRI YA KUHAMISHA WANYAMA KWENYE NATURE YAO NA YEYE ANAKUBALI. KIGWANGALA NI MZIMU WA MAGUFULI HANA LOLOTE ANALOJUA. KUJISIFIA TU MBELE YA WABUNGE WENYE AKILI.