Ali mussa huyo msigwa hajui uchumi wa dunia.tunachopata ni sawa wazungu wamekaba biashara hiyo ya utalii kama biashara ya mafuta ndiyo maana rais magufuli aliamua kuanza na moundo mbinu kufufua usafiri wa anga reli meli ili tuweze kupata kipato cha utalii kwa bahati mzuri utalii wa Tanzania unatangazwa huku london
Musigwa musigwa umejiita waziri kivuri still Wewe ni mbunge SASA unasema waache ubunge! Wewe ni mchungaji wawapi? Kazi mnataka kuonekana munaongea basi!
Mbunge mheshimiwa Rais wetu anaona mbele. Utalii wa wachina una sura nyingine. Wachina hawaji kwa ajili ya utalii. Usidanganyike. wanatumwa na serikali yao wapi waweke makao kupata mali ghafi bure. HESHI MA KWA RAIS WETU, WAZIRI WA MAMBO NJE PAMOJA NA VIONGOZI WOTE. ulimwengu wote wanajua Tzania inaongoza kwa utalii na wanatangaza sana kuhusu nchin yetu
Dah ndio kusiwe na upinzani? japo mimi ni CCM naninampenda mh rais, lkn natamani one day bunge liwe 50% 50% nisiwe mchoyo wa makofi kwa spika kwa hili.
Huyu msigwa ameongea vizuri na inatakiwa mtu mwenye akili ya hali ya juu kumuelewa. Steve analalamika bure. Steve amewajumuisha wasanii wote ili apate support, msigwa usiombe radhi what you said is what is needed in Tanzania. Alicho ongea msigwa ndicho kinacho takiwa tanzania. Wizara husika chukueni point za msigwa. Well done msigwa
Hawa wabunge wa CCM wanaboa kila wakat taarifa tu mpinzani akongea wao Taarifa hii Taarifa iondolewe mbunge akiongea hayo mambo Taarifa mtu akaongee na mkewe
Jamani apo mchungaji umechemsha Roger Federer au LeBron utawalipa shilling ngapi si nchi itafilisika nchi nyingi tena tajiri zinatangaza ata kwenye treni au mabasi uku ulaya
msigwa hapo kwa mawazir achana nao maana kaz zinafanywa watatengeneza sera paka lin faida ya sera nn acha maneno ya sio navitendo mgigwa hapo unafeli iv unajua faida ya wazir kusuluhisha kitu je unajua wananchi wamesha choka na mambo ya mahakan maana dunia hakuna mahaka yenye mwisho utasikia rufaa na kuhamish cort .
JE.! UNAFAHAMU DALILI TANO ZINAZO WEZA KUKUSABABISHIA UGONJWA WA BAWASILI NA UPUNGUFU WA HAMU YA MAPENZI.? 👇🏼 1➡-kukaa sehemu moja kwa muda mrefu bila kushughurisha(KUUSHURUTISHA) mwili. 2➡-kuto kupata choo kwa wakati ama kukosekana kabisa. 3➡-kuto kufanya mazoezi ya KUNYOOSHA viungo vya mwili. 4➡-Utumiaji mkubwa wa vyakula vya viwandani. 5➡-mwenendo mbovu wa maisha kazini kwako.(kuto kula kwa wakati. Kama umeguswa na ujumbe huu, na unahitaji kupata suluhisho, karibu Upatiwe Ushauri ni BURE. Tuma meseji What'sApp Au Piga simu 📞☎popote ulipo+255715284390 //!! /!!
Kama umeona watoa taarifa wamechezea ukuni weke like hapa
Umeongea vizur sana aiseeh, Good speech
Daaa inauma sn uchaguzi ujao 2020 tutavipoteza hv vichwa makini kwa hila za wazi wazi za mzee Meko.
Asante sana msigwa nimependa ulivyo changia umeongea vizur kwa busara na weledi nafikir umeeleweka vizur sana hongera
Hahaha bora jikee
Upo sahh kbsa
Ulijuwajee kama kuna hila ilikua imeandaliwa wallah inaumiza sanaa
Kweli yametimia😢😢
Bunge likiwa hivi kila siku amani itakuwepo ! Tunasikilizana na kupeana muda !! Nimependa sana leo Mh Speaker
Mwamba kaongeaaaa point ase kama unakubali gonga like yanguvu apo
Good speech oppostion side
Big up bro nice work you have spoken a good speech to the nation
Nakukubali sana msigwa wasitupotezee muda tusonge mbele
God Bless Pst Msigwa
HV wabunge wa ccm mbona kila upande wa pili wakichangia wao wp na taarifa hivi no kwann
WATOA TAARIFA🤣🤣🤣🤣👍👍😂😂... Msigwa Ndo dawa Yao.
Wabunge wetu ni shida,, kiswahili hawajui kiingeza ndo majanga kabisa,,
I think he is making a point umaarufu wa kina steve nyerere ni mdogo sana
Wabunge wa upinzani ukweli wako vizuri haya majuha yaliyonunuliwa ovyo yamebadilika kuwa makapi
Nakuombea sana 2021 urudi
Duuuuuuuu Mungu mpe nafasi nyingine mbunge wangu
Henry Mlandali ilindobungela mwisho hutamuonatena bungeni
Nakuwaminia msigwa Big up
Mihemko.... Wana mihemkooo sana Mh Msigwa
Wanaotoa taarifa wanapewa za uso mh.msigwa 😂😂
Ali mussa huyo msigwa hajui uchumi wa dunia.tunachopata ni sawa wazungu wamekaba biashara hiyo ya utalii kama biashara ya mafuta ndiyo maana rais magufuli aliamua kuanza na moundo mbinu kufufua usafiri wa anga reli meli ili tuweze kupata kipato cha utalii kwa bahati mzuri utalii wa Tanzania unatangazwa huku london
Jiwe la Moto kwenye hikikichwa kimoja vimo vichwa100 vy kijani kma unakubalina na mm gongo twende2020
@@kipokendirangu2572 we fala huna akili kabisa
Ila kweli kuna wabunge huwa hawahurumii kodi zetu!!!! Ivi wanaotoa wanaelewa kweli wanachomaanisha!!!
Wapiga kura tujitathmini
Musigwa musigwa umejiita waziri kivuri still Wewe ni mbunge
SASA unasema waache ubunge!
Wewe ni mchungaji wawapi?
Kazi mnataka kuonekana munaongea basi!
Eustace Venant huwa akili hamna yaani wewe huoni logic anayoongea hapo,nyie ndo mnaturudisha nyuma
Shikamoo Mchungaji,,,,,,,,, ila nisiongee jambo
😂😂😂😂
Wabunge wa CCM mnaaibisha sana, bunge halina heshima tena utafkiri mkutano wa wanywa kahawa
Badala ya kuchangia hoja kwa mantic,nie mmekalia taarifa, taarifa,acheni ujuha nie baadhi ya wabunge wa ccm.
😂😂😂😂
kanuni ya 28 sina data nimeishiwa hiyo kwa tundu lisu inatoka kichwani CIO mpaka asome
This guy has a smart thinking
Safi sana mchungaj umeongea vizur sana na maneno yako tumeyaunga mkono kabisaaa yanajenga na s kubomoa saf sana
Mbunge mheshimiwa Rais wetu anaona mbele. Utalii wa wachina una sura nyingine. Wachina hawaji kwa ajili ya utalii. Usidanganyike. wanatumwa na serikali yao wapi waweke makao kupata mali ghafi bure.
HESHI MA KWA RAIS WETU, WAZIRI WA MAMBO NJE PAMOJA NA VIONGOZI WOTE.
ulimwengu wote wanajua Tzania inaongoza kwa utalii na wanatangaza sana kuhusu nchin yetu
Mh. Msigwa🤣🤣 ✌️✌️🔥
wabunge strong wapo upinzani ndio maana ccm wanapenda kutoa taarifa ili na wao wapate kiki na waonekane,,,,!!?
Wabunge wa chadema n kwamba wote wanaupeo kiasi hiki au ksa n wapinzani maana bnafc wote nawaelewa sn
Nakupenda na nalizika Sana na utendaji wako wa kazi mungu akulinde
Wewe jamaa Akili nyingi sema tu tutawapoteza kwa mbinu zao tu jaman tutawamis sana
Dah ndio kusiwe na upinzani? japo mimi ni CCM naninampenda mh rais, lkn natamani one day bunge liwe 50% 50% nisiwe mchoyo wa makofi kwa spika kwa hili.
Ukiipenda ccm utakua maskin
Vzr Sana kuwa mzalendo
Huyu msigwa ameongea vizuri na inatakiwa mtu mwenye akili ya hali ya juu kumuelewa.
Steve analalamika bure. Steve amewajumuisha wasanii wote ili apate support, msigwa usiombe radhi what you said is what is needed in Tanzania.
Alicho ongea msigwa ndicho kinacho takiwa tanzania.
Wizara husika chukueni point za msigwa. Well done msigwa
Huyu msigwa hajui utalii hiyo biashara ngumu sana kwa sisi wafrika inatuia vigumu sana sawa sawa na biashara ya mafuta duniani
Sio kweli
Wew unajua nn
Bishop upo vizur mwalimu nyerere aliwahi kukemea kwa mtumishi wa selikari kuwa na kofia zaidi ya moja.
Msigwa yuko sahihi kabisa utalii unatakiwa utangazwe kwa njia ya watu maarufu duniani
Ujumbe unaweza kuwa mzuri. Lakini jinsi unavyowasilishwa. Ni kutafuta sifa. Kelele hazijengi.
Hawa wabunge wa CCM wanaboa kila wakat taarifa tu mpinzani akongea wao Taarifa hii Taarifa iondolewe mbunge akiongea hayo mambo Taarifa mtu akaongee na mkewe
Tatizo ni kutokuheshimu umuhimu wa weledi na umahiri unaoendana na wakati bali uchama isiyo na tija
Nakupenda sna
Upinzani akili nyingi sana,,Mungu awabariki
Uko Vizuri Sana Mbunge Msigwa we unastairi kuwa Raisi kabisa
Big up Mh msigwa safi sana
Ahsante m'bunge wa kweli;kweli wafukua ujinga
Tunawatarajia bunge lijao
Wabunge wa ccm fanyeni kilichowapeleka bungeni cyo Kila wakisimama wabunge wa cdm mnasema taarifa mnakwama wapi ??et hapo ndo urudi jimbon kwako kuomba ubunge mmmh
Kanun y 28🤣🤣🤣🤣
Kanuni ya 28 hahaha 😂 😂 😂
Alikuwa Patron wangu wa boarding huyu mbunge mwaka 2008 hahaha
kanuni ya 28 hahahahahaha aibuu hiii
Dawa kwa watoa taarifa ni msigwa tu
Lucus Mvuna
kweli huyu komeshaaaaa sanaaaa
msigwaaaaa
Hakuna watu wajinga na madubu duniani kama wabunge wa CCM spika wao wote wapumbavu tu
Mchungaji umesema vyema sana 🙏🙏🙏
Mimi sijaona baya aloliongea naona point
Mbunge wa ccm anakaa wiki mbili ajaongea anasubir mbunge wa chadema aongee aombe taarifa
Big up you
Unafaa sana
Ths is well spoken kiukweli
Hongera sana Leo umeongea Leo vzr
kabisa katisha san 🔥🔥
sio leo tu....hiyo ndio kazi inafanywa na wapinzani kila siku..
Truth be told.I salute you ,Msigwa
Hahaaa Steven nyerere mtalii hahaaa
Waziri anarogwa 😂😂😂😂
Ila kweli Stive Nyerere hata hajulikani malawi Afu eti ndo aitangaze nchi
Kuna wabunge ni villazajaman duu sijui wamepewaje ubunge
We are not serious. Mbunge anaongea mambo ya msingi tunaingiza itikadi za vyama haha haaaaa ni kichekesho
Hahahaaaaa,akina Rambo,masanja,joti,kingwendu
Kweli kabisa wewe Ni mchungaji halisi
Wewe Ni kichwa Sana
Ccm wanatia aibu jaman
Good point
Awa wanaosema taharifa wasenge sana huyu msigwa anaongea pointi alafu wanatibua kurekodi maneno kichwani
For me he's right
Well said
Acheni ujinga hana jipya hii ya siku nyingi kipindi hiki mmejitoa ufahamu rudi karantin
kanuni ya 28😄😄😄
😄😄😄🤗
Good
Euro hujui kitu bado
Mungu akubariki sana mtumishi
Vipi mbunge wetu wajimbo lachemba simuoni ktk hoja
HIZI TAARIFA TAARIFA ZITOLEWE HAMTUACHI TUPATE POINTS, ACHENI USHABIKI WA AJABU IWENI WATU WAZIMA SASA BUNGE HILI KAMA LA VIDUDU VILE MBONA HAMKUI????
Kanuni ya ngapi 🤣🤣🤣🤣ya 28 mheshimiwa,...heb isomee...mhe. spika kwa sababu ya kuokoa miss naomba nisisome.🤣🤣🤣🤣Aibuuu
Jamani apo mchungaji umechemsha Roger Federer au LeBron utawalipa shilling ngapi si nchi itafilisika nchi nyingi tena tajiri zinatangaza ata kwenye treni au mabasi uku ulaya
Msigwa we nomaaaaa
Duh
💪🏼
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
We need huyu 2020
Mkifika kumi na tano mambo yanaenda
They deal with things and not issues
Msigwa anza kuaga ubunge maana hurudi tumeshakuchoka
Ni kwer kabsa
msigwa hapo kwa mawazir achana nao maana kaz zinafanywa watatengeneza sera paka lin faida ya sera nn acha maneno ya sio navitendo mgigwa hapo unafeli iv unajua faida ya wazir kusuluhisha kitu je unajua wananchi wamesha choka na mambo ya mahakan maana dunia hakuna mahaka yenye mwisho utasikia rufaa na kuhamish cort .
Hzi taarifa zinakera...
😂😂😂 28 kama namba ya Manula
Kanuni ya 28 dah! Umetuzalilisha wanaichi wako mbunge,hata huijui hiyo kanuni
Taalifa taalifa za uso kule 2sipoteze muda
JE.! UNAFAHAMU DALILI TANO ZINAZO WEZA KUKUSABABISHIA UGONJWA WA BAWASILI NA UPUNGUFU WA HAMU YA MAPENZI.?
👇🏼
1➡-kukaa sehemu moja kwa muda mrefu bila kushughurisha(KUUSHURUTISHA) mwili.
2➡-kuto kupata choo kwa wakati ama kukosekana kabisa.
3➡-kuto kufanya mazoezi ya KUNYOOSHA viungo vya mwili.
4➡-Utumiaji mkubwa wa vyakula vya viwandani.
5➡-mwenendo mbovu wa maisha kazini kwako.(kuto kula kwa wakati.
Kama umeguswa na ujumbe huu, na unahitaji kupata suluhisho, karibu Upatiwe Ushauri ni BURE. Tuma meseji What'sApp Au Piga simu 📞☎popote ulipo+255715284390 //!! /!!
Bora yako umenifariji ktk kuona mb zangu hazijapotea
😂😂😂😂mcgwa hatak masihar kila wa taarifa ni panga2
good sana MMBUNGE
Ones
Hahaaaaaaahaaahhaaa Kama umeona kuhusu utaratibu ulivyochanganywa Like
Msingwa noma
🖐️🖐️