“Nipingwe kama nasema uongo/wanapiga simu tufungwe”-Mbunge Msigwa
Vložit
- čas přidán 11. 09. 2018
- Mbunge wa Iringa Mjini Peter Msigwa wakati akichangia mapendekezo yake katika muswada wa marekenisho ya sheria ya ubia kati ya sekta ya umma na sekta binafsi, sura 103 ambapo miongoni mwa ushauri wake Serikali ni kuheshimu mikataba inayokubaliana na wawekezaji ili kuweza kuboresha mahusiano bora.
Wenye akili timamu ndo tunamuelewa msigwa, perfect as always
Hata muwaeleze vipi hawasikiagi muwaache wataumbuka
mcgwa mungu akubariki sana umeipiga vuta vizuri sema baba sema sema tena
Msigwa you are very bright!!strong and genetic politician
Mbunge wangu anatokea ni CCM. lakini kazi yake kuoiga makofi na kupongeza. Yaani 2020 siipigii tena kura CCM
shkamoo msingwa
kupata mbunge kana huyu ni neema kutoka Kwa mungu
Hatari
Ahsant msigwa
Hapa mbowe kapata mashine endelea kuitunza hii ni hazina kwako msigwa pls usije kuuza utu wako ukanunuliwa na ccm Kama waitara we love you
Nakubar hoja zako
Mheshi miwa
Wabunge kama huyu kuwapata adimu sana hii ni mashine ya nguvu sana
😑
Naipenda ccm ila wapinzani wanahoja zilizokwenda shule cjui tutumie njia ipi kuwadhibiti hawa jamaa
Msigwa jamaani wewe kweri ni mchugaji
Wewe unaeposti kwamba tuwazibiti wapizani wakati wao wanachukuwa data ccm wewe acha hawa jamaa noma
hakuna haja ya kuwazibiti ila ilikuwa ni vizuri kushirikiana nao
Udhibiti unatosha mitandao ya kijamii wanafuatilia wachache.
Baht mbaya xana hoja zao in nzuri lakin hawasikilizw
The past is where we have learn the lesson, the future is how we apply the lesson
MSIGWA
Is the people by the people & 4 people, true boy
tuwacheni unazi hawajamaa wanapoit ni nani mbunge ccm anaeongea point kama hizo?
Rashid Kassim hakika ni kweli
Rashid Kassim sahihi
Asante wapeleke shule haoo
Mimi Binafsi nimepick points thanks Mr. Msigwa.
Msigwa ukoviziri ila hayo makondoo ya ccm sijuikama yanaelewa
ni kweli
MSIGWA mungu akubariki sana
Str8 to the point...bravo
uyu jamaa anajua.anaongea ukweli kwa asiye tafakar ataona kelele tyu.kumbe anaongea point.
Bigap msigwa
Msigwa nimekuelewa sana.mfano hai raisi katoa vitambulisho kwa wajasilia mali wadogo.wakamaliza kuvigawa.halimashauri ya mji ikaanza kuoita kwa wajasilia mali hao hao nakuwafungia biashara kwa madai hawana reseni.
That is your view
Jaffari Mguwa seven months je tunaona?
Da huyu bg ni shida kuLa yangu kachukua
RC Mtaka ni super
Nakukubali sana msigwa
kwa ushauri huu tungekuwa mbali
Msigwa.nakukubali.sana.ndio.majemba.ya.upizani.kama.unamkubali.gondaleki
Msingwa waeleze ha0 wana0 kurupuka wataelewa tu kwn tatiz hili la uzalend wamanen0 utafikia mwish0 tu
Tukubali idadi kubwa ya investors ktk nchi hizi siyo ishara ya mazingira bora. Baadhi ya investors wako ktk nchi kwa sababu ya udhaifu wa mifumo ya nchi hizo. Isiwe sababu sisi kutoboresha mifumo yetu. PPP zetu ni kutafuta kubeba pesa ya serikali badala ya kusaidiana na serikali.
Msiwatetegemee 2020 hawa jamaa wenye uwezo wote wa kujenga hoja No.kuingia bungeni labda wana nchi muamke.
Daaa
🙏🙏🙏
msigwa unaongea point san ila ushabiki umeizidi lau wangesikiliza ushauri hata wana nch wasingelia halingumu
Huwa sikoseagi kuchagua upinzani
yuko sahihi msigwa
Tusipo kurudisha bungeni 2020 tumekwisha aise haijawahikutokea kupata kichwa hatari kama hiki
Hujawahi niangusha msigwa
Akili ya watu wa ccm nikama mbwa mwenyekichaa
Huyu jamaa sisiemu tumununue aseee,,namkubali mbaya
Wenye akili timamu pekee ndiyo wanakuelewa
bunge la Leo bab kubwa
Saf sn
Watanzania tulikubali akili ndogo kutawala akili nyingi mikataba mibovu ccm ni ugonjwa tanzania
Nimekuerewa baba point ya msingi hiyoo tujue uchumi wetu ss kama.watanzania
Watu wenye Akili wanaweka akili zao mfukoni kwa ushabiki wa kivyama
Wabunge wa ccm sio kwamba hawajui Bali wanamtumikia kafiri ccm
kiwanda cha moproko cha morogoro hadi leo ni hadisi hivi mwijage anauhalali wakuendelea kua waziri?mh msigwa naomba majibu kabla hujaenda IRINGA nipe jibu halaka
Hivi hadi leo kuna wanaodhani China na Russia ni nchi za kijamaa na kikomunisti!? Seriously!!?? Watanzania huo ujamaa mnaodhani mnauiga kutoka China ni upi?? China ni nchi ya Kibepari kama tu ilivyo Russia na Marekani. Ila kuna ubepari wa China tunadhani ni ujamaa halafu sisi tunaiga na kuwa wajima original.
Great Thinker, naomba namba yako ya whatssap
Mtuambie mbinguni au moton
wabunge mmekuwa wakweli ila siyo wazalendo sijawahi kusikia mbunge amekataa mshahala ukasaidie watanzania wasio jiweza.
Wanasheria Wa kampuni ya ACACIA Bwana utawajuwa tu kaburu ni kaburu tu hata watanzania makaburu wapo
Msigwa gombea urais maana ww nikichwa
marekebisho yafanyike tu mh ametoa point tuache ubinafsi wawekezaji ndio matabibu wa karibu kwa raia wa chini na wakibughudhiwa cc maskini tunaumia haraka sn, naskitika kiongozi wa mjadala huwa ajiongezi kuziona point bila uchama.
Ahsate Msigwa. Hata wajinga wanakuelewa Ila hawawez kubali kutokana na ujinga wao
Nilikuwa sikusikii,sasa nakusikia,ulikuwa wapi mheshimiwa
Wew mbunge ni wazi una fikra za ulibelari. Sasa ukae pembeni utazame picha hizi zama za KAZI,UJAMAA na KUJITEGEMEA,tunataka SIASA ZENYE UZALENDO.Wawekezaji si suluhisho sana kwani mlango muhimu kutumbukia pango la NEO COLONIALISM.we need no PUPPETS we go SPIRITUALITY..Once a pastor then a politician,nyinyi ni wafanyabiashara tu rudini mfanye kazi mlime mashamba ama mfuge mifugo mjenge viwanda mtengeneze chakula muishi salama kwa AMANI na UPENDO kati yenu.BLACK SOCIETY against white supremacy ideas🌍
aiseeh msigwa hatareeeeeeeee wa bunge wa ccm wote nimabubu hawana midomo wenyew nikuwapng wabunge wa upinzani ila upinzani kaz yao nikuhoji selikali co kuhoji wabunge
PPP????😯😯😯
Ni public and private partnership
Tuko vizuri kuliko siasa taka za kupiqa sm watu wafunqwe msiqwa qoood sna
Tatizo LA watu WA ccm ukweli hawautaki ,unasema wapinzani wanatetea ufisadi,kwani mikataba wanasaini mawazili WA chama gsni? Acheni kuwa wstumwa WA kuwateteta ,hao wsliowatuma kwa masilayi ya chama tawala,ccm imechoka ,kodi zetu wananunuwa wabunge
Wawekezaji waliokimbia walikuwa wezi wakwepa kodi, nimarafiki zenu,
Msemo Swedy ushabiki huondoa busara mambo ya mpirani yapeleke vijiweni
Hivi we baba huwa unahakili sawa sawa?
Mohamed Damka hakili ndio nini?
Mohamed Damka
Pole sana na mungu aliyekuumba na akaumba mbingu na nchi akusamehe
Kosa la ubongo, hata kiswahili hujui 😋😋😋
Mohamed Damka problems
Bwege kabisa hili
Wewe ni yuleyule huna jipya
Huyu JAMAA anachotetea ni MABEBERU WAENDELEE kutonyanya almuhimu WATANZANIA wanapata ajira....mpumbavu kweli wee msigwa
Jaffari Mguwa usimtukane Msigwa
Wew ni ziro kabsa
Hamna haja ya kumtusi Labda ukosoe kwa hoja.
Huwez kumuelewa ww unahitaji akili kubwa cyo akili maandazi aseee,mm mwenyewe SSM ila nimeelewa nn anamaanisha
Hivi upumbavu wa msigwa na wa kwako unaweza kuulinganisha kweli? Wawe ndo pumbavu la mwisho kabisa.
Nakukubali bwana mdogo
msigwa kama vile alie
lakin wenye vichwa bomu hawaelewi