“Tunakuletea hotuba unakimbia, utaziweza tabia za Mandela wewe?” -David Silinde

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 06. 2018
  • Mbunge wa Momba David Silinde ni kati ya Wabunge waliosimama Bungeni leo kuchangia mapendekezo katika makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambapo amesema kama Serikali inahitaji kujenga uchumi na kuwasaidia wananchi wake ni lazima iwekeze katika zekta binafsi na sio kama inavyofanya sasa kwa kuzikandamiza.
  • Zábava

Komentáře • 205

  • @athumanijuma1000
    @athumanijuma1000 Před 5 lety +15

    Nondo za hatari.
    Kama ni ticha kakupa materials yote kamaliza...
    Hapo unasubiri mtihani tu.
    Hongera sana mbunge makini.
    Nimekuelewa sana.

  • @jacobpatrick7936
    @jacobpatrick7936 Před 6 lety +42

    Aisee hawa watu wanashusha nondo mpaka nataman kulia

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 Před 5 lety +2

    Dah Akili Hizi Zinatakiwa Kutunzwa Sanaaaa,Hongera Sana Lusinde

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay571 Před 6 lety +34

    Hawa watu ni vichwa acheni siasa watumieni watanzania tunataka maendeleo sio siasa za ajabu hoja zao ni nondo kweli kweli

  • @ndagabwenemachunda313
    @ndagabwenemachunda313 Před 6 lety +14

    Tatizo la viongozi wetu wa kiafrika baadhi wamekulia ktk umaskini mno ivyo wanakuwa na roho mbaya ya kutaka wengine wasipate, wenzetu Kushika nafasi ya juu wanatizama mpaka makuzi na uwezo wako kifedha

  • @sir.josephmbeya7017
    @sir.josephmbeya7017 Před 6 lety +2

    Nimekuelewa vizuri mno mh.Silinde David.

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 Před 6 lety +54

    daaa! sijui nani zaidi yamwenzie mana kila anaesimama ni chuma chadema peopleeeeee✌✌✌✌

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 Před 6 lety +5

    Hapa sijui hawa ccm wanakuaga kama mizimu,maana hata hawajijui kabsaa,
    Na wanatumi mifano ya viongozi wenye heshima kubwa duniani bila hata kufikiri kwa kina kua walikua wanaamini katika nini,na waliwatendea nini wananchi wao katika kuwaongoza,huu ni ujinga sana.
    Silinde uko vizuri sana waambie hao mazuzu ya ccm na huyo speeker wao waache ujinga.

  • @ndagabwenemachunda313
    @ndagabwenemachunda313 Před 6 lety +17

    Wabunge wa CCM baadhi yao wako kutetea matumbo yao tu,ivyo wanakuwa wabinafsi na wanafikiri kwa kutumia matumbo

  • @redsonkabuje5887
    @redsonkabuje5887 Před 6 lety +5

    much appreciation David Silinde

  • @shephardsinkamba8716
    @shephardsinkamba8716 Před 5 lety +6

    ukweli ni Ukweli tuu Chadema wapo vzuri sana

  • @bahatimisso5435
    @bahatimisso5435 Před 6 lety +15

    Well done David Silinde. Umewavua nguo

  • @casmilmurengezi3603
    @casmilmurengezi3603 Před 2 lety +1

    I miss this guy in opposition! You were so more essential to this country than being a minister in a ruling party... You are being underutilized bro!

  • @bernadinangasi7664
    @bernadinangasi7664 Před 5 lety +9

    Jaman tuacheni utani tuacheni siasa ,wabunge wa chadema wako vizuri

  • @elibarikimagesa3262
    @elibarikimagesa3262 Před 6 lety +17

    Silinde much appreciate 🙌🙌

    • @beatuskiauke4499
      @beatuskiauke4499 Před 4 lety

      Chadema iko sahihi sana na ndio maana walizuia mikutano ya hadhara baada ya kuyaona haya

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete1228 Před 5 lety +1

    Mhe.poa sana.Asante sana.Ccm hawana maono kabisa.Resist✌✌

  • @abduelmbise9683
    @abduelmbise9683 Před 6 lety +32

    Hizi ni point zinazoeleweka hata kama hutaki

  • @danielngalawa1198
    @danielngalawa1198 Před 3 lety

    Asanteni sana wanaccm kwa kunipigia chin uyu binadamu ni mnafiki

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 5 lety +1

    Aissee upo vizuri sana, kichwa chako ni wabunge mia wa Ccm

  • @fubanjenjele9855
    @fubanjenjele9855 Před 6 lety +5

    Aisee namfananisha silinde na Marcus moziah Garvey( black america)

  • @simpeponestory7637
    @simpeponestory7637 Před 6 lety +47

    Hawa watu n vichwa hatariii,.tusiwabeze jamani ,waskilizwe mbona wanaeleweka sana tu ktk hoja wanazotoa?.

  • @allythabitmakonda6676
    @allythabitmakonda6676 Před 5 lety +1

    Lusinde ana ugonjwa wa kuzungumza UKWELI. Siku zote anasimamia Ukweli ulio mchungu kabisa, naye ni mpenzi wa Mungu.

  • @mosessamwel1179
    @mosessamwel1179 Před 5 lety +3

    Your a good Trainer

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 Před 5 lety +15

    Sijawahi kujutia MB zangu kwa kusikiliza Hoja za Wapinzani.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před rokem

      Wewe ni kilaza unaaminishwa uongo unautumia kubeza watu wengine

  • @MustafaAli-bs6mb
    @MustafaAli-bs6mb Před 4 lety

    Nimekukubali sana bro

  • @aggreymrema3145
    @aggreymrema3145 Před 6 lety +4

    huyu master namkubali sana

  • @irenekanizio4740
    @irenekanizio4740 Před 6 lety +1

    well sayd bro SILINDE!!!

  • @psterinishayo4270
    @psterinishayo4270 Před 6 lety +16

    Tatizo mengi yamehonga na kuiba kura

  • @kizingantunzwe678
    @kizingantunzwe678 Před 6 lety +3

    Much respect

  • @ramsoramso8513
    @ramsoramso8513 Před 5 lety +1

    Respect kama zote mzee

  • @zicomgravity4897
    @zicomgravity4897 Před 5 lety +1

    Brilliant...

  • @peterbayo4677
    @peterbayo4677 Před 6 lety +3

    My godess!!

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 5 lety +1

    Bashiru Mawazo yake ya Kiuchumi Ni Utaahira, Hata China Wajamaa Waliobakia Wamefanikiwa wa Kuchanganya Na Upepari.

  • @mosesndahani8912
    @mosesndahani8912 Před 6 lety

    Big up silinde unaeleweka vizuri sijui kwanini hawaelewi

  • @latifajuma4501
    @latifajuma4501 Před 6 lety +2

    nimekuelewaaa sana

  • @suleimanalawi8791
    @suleimanalawi8791 Před 5 lety +2

    HUYU TUTAMCHUKUA ZNZ KARIBUNI IN SHAA ALLAH. SENGERPUR IYOOOOOOOOO.

  • @lusajoyuda442
    @lusajoyuda442 Před 6 lety +4

    Fact shilinde

  • @muhidinihassani520
    @muhidinihassani520 Před 4 lety

    Duh acha wapinzani wanunuliwe kwa gharama yoyote maana wananchi tunawaelewa✌️☑️

  • @frankzominister1473
    @frankzominister1473 Před 6 lety +5

    Silinde rais wa Momba hataree upo vzr

  • @kamgishakaganda5506
    @kamgishakaganda5506 Před 5 lety +4

    Jamaa nibonge lanondo,kwer ukimchagua mbunge wa ccm sawa na kumiliki Mali kuoza,kwanza niwoga wanawaogopa viongozi wanagugumia moyoni wakati wanaujua ukwer.niwanafiki wakubwa

  • @simonfundi9658
    @simonfundi9658 Před 6 lety

    Good sana brother

  • @nyenyembezeno2206
    @nyenyembezeno2206 Před 6 lety +11

    vichwa hivyo sio wapiga makofi hawa jifunzeni sio kupiga vigeregere eleweni minyi?

  • @lamecknjagwa1155
    @lamecknjagwa1155 Před 5 lety

    Mbunge usipende sana kutumia mifano Kwa kukopi na kupesti kumbuka hayo waliyofanya ni sawa na swala linalokazaniwa la uchumi wa viwanda na kumbuka kufikia mafanikio ni mchakato Maendeleo atakwako nyumbani hayaji sikumoja,mchakato baba

  • @Hauleshabby
    @Hauleshabby Před 6 lety +2

    safii sana

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 Před 4 lety

    Daaah uko sawa

  • @alfahermani5174
    @alfahermani5174 Před 5 lety +2

    akili kubwa hiyo, Saf sana

  • @bartholomewezeckiel967

    Safi sana silinde

  • @kennethmahenge7719
    @kennethmahenge7719 Před 4 lety

    always wabunge wa chdm ni BRILLIANT leaders........ ✌✌✌

  • @adamamiri1457
    @adamamiri1457 Před 4 lety

    Fantastic

  • @immamlowe7151
    @immamlowe7151 Před 5 lety

    Hapa kazi tu

  • @heritier5119
    @heritier5119 Před 6 lety +9

    Kiongozi mwenye mawazo ya kimasikini na kuona matajiri ni maadui hawezi leta mabadiliko

  • @bernadinangasi7664
    @bernadinangasi7664 Před 5 lety +4

    Kiukweli kama kunamtu haja muelewa huyu Mbunge akapimwe minyooo

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 5 lety +32

    Mbunge mmoja wa upinzani ni wabunge 10 wa ccm.

    • @teresiaasenga5142
      @teresiaasenga5142 Před 5 lety

      Wewe mlevi

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi Před 5 lety

      @@teresiaasenga5142 ulevi upi tena ndg,au ndio kutumia mitandao vibaya unatukana watu.

    • @jimjam4162
      @jimjam4162 Před 5 lety

      Kweli chadema safi

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 Před 5 lety

      Ras, nchimbi upinzani hamna mbunge ila kunawapambe wakinambowe

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi Před 5 lety

      @@immamlowe7151 sasa hapo mbowe pekee ni wabunge 50 wa ccm.Yule ni kamanda.

  • @fahamimohamed9015
    @fahamimohamed9015 Před 6 lety +3

    Nchi yetu kama ingefuata taratibu zakuwasikiliza wapinzani tungefika mbali ila cjajua ni ubinafsi au ni kitu gani haswa

  • @shambadarasamkusi4449
    @shambadarasamkusi4449 Před 5 lety

    Safi sana

  • @raphaeldayos5662
    @raphaeldayos5662 Před 4 lety +1

    Like this

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 5 lety +1

    Tatizo letu Tz hususan viongozi waliopo serikalini Ni kupenda mazuri ndio yasikike !! Kukosoa au kukosolewa Ni jambo linaloweka sawa mambo tunayofanya !!

  • @andrew.gadimrinji1713
    @andrew.gadimrinji1713 Před 4 lety

    Yaani huyo naibu speaker hajali umuhimu wa hoja..bali kengele na kanuni..yaani wamejiwekea utaratibu kwa ajili ya kanuni..badala ya kanuni kwa ajili yao.yaani unajizuia mwenyewe kufanya vizuri kwa kujiwekea kanuni mbovu..na unaxiheshimu kwa kuziogopa hata hutaki kuziboresha kwa manufaa ya wananchi .Hili ni tatizo namba moja.

  • @Aidenkuye
    @Aidenkuye Před 6 lety +1

    Ahsante sana mheshimiwa muda wako umekwisha😂😂😂😂

  • @fredysanga9206
    @fredysanga9206 Před 5 lety

    Chadema Mungu awalinde viongozi wetu

  • @allyomari680
    @allyomari680 Před 6 lety +4

    ww cjaona mbunge ambaeanajitambua niww cjawahikupitwana hutubayako nakupenda bureeeeee

  • @willymartinmartin8885
    @willymartinmartin8885 Před 6 lety +3

    Tunaongozwa na majitu tuliyoyazidi matokeo na akili ndo tatizo

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Před 5 lety +1

    Kuna mbunge mmoja anaitwa Genista muhagama Leo sijamsikia kabisa maana hakawii Taarifa mwenyekiti! Mondo hizo atatia mdomo wapi

  • @erasmusnzibonela5151
    @erasmusnzibonela5151 Před 5 lety +1

    Ney wa mitego katika wimbo wake akasema kichaa kapewa rungu

  • @magembemwanamalundi6386

    Big brain

  • @sarambwamboz7962
    @sarambwamboz7962 Před 6 lety

    vizur

  • @angelokyando177
    @angelokyando177 Před 4 lety

    wanyoshoo hayooooooh

  • @paschaljonase4382
    @paschaljonase4382 Před 5 lety

    Kijana nimeipenda hasa mzungumzaji anapoongea kwa kutumia sources

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema1693 Před 5 lety

    Kweli kabisa

  • @nassoronassoro7585
    @nassoronassoro7585 Před 6 lety +4

    Sikio la Kufa.....!

    • @yonafundiyonafundi3469
      @yonafundiyonafundi3469 Před 5 lety

      Ccm mtachomwa moto mbinguni nyie hamto achwa salama kwa zambi zenu kwa wanannchi

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 5 lety

    Hii Tanzania cyo china wala hizo nchi unazotaja utawakejeli akina Nyerere kwa kuzomewa kwake,,,,, ila sisi watanzania tunajua changamoto zipo lkn tunasonga mbele

  • @jiwekibokoyanazi610
    @jiwekibokoyanazi610 Před 3 lety

    Hili ndio lilikua bunge bwana lenye changa moto na wasema ukweli sio lasasa.

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 Před 5 lety

    CCM hawawezi kuusema ukweli kwa kuogopa kumalizwa Na wananchi. Mbona CCM de amekwisha Zamani hawajielewi kila siku kwao mchana. Wamechanganyikiwa .

  • @emilymsangi2693
    @emilymsangi2693 Před 5 lety +2

    Dhaaa nondo kama hizi zinapotea bure maana uko mbele wengi wape

  • @danielngalawa1198
    @danielngalawa1198 Před 3 lety

    Afu leo unajipendekeza wakati ulikuwa unatuponda wewe ni mpigania tu rud kwako hatukutaki wewe ilikuwa mpingaji mkubwa leo unajipendekeza kisa umeona hutapata kula

  • @juliussabuni9999
    @juliussabuni9999 Před 4 lety

    Bwembwe za kutafuta mkate lakini akipewa steringi tunaisha

  • @Gamba177
    @Gamba177 Před 5 lety

    Wabunge wa ccm kazi yao kushangilia na kupiga makofi hawajui kazi zao wametoka vitambi kwa hela ya wizi wengine wamekuwa wakisinzia bungeni na kujamba ovyo,hata sijui hawa wabunge wa ccm walipata vipi ubunge, nawapongeza sana wabunge wasomi wa upinzani endeleeni kuwapa ukweli mpaka kieleweke maana serikali hii ya ccm inanuka wizi na dhuluma na rushwa.

  • @gabrielsixtus1718
    @gabrielsixtus1718 Před 6 lety

    Pasua kichwa hli taifa. Kila MTU n uelewa wake ni hatari sna

  • @williamhalinga3584
    @williamhalinga3584 Před 5 lety +2

    Kwa wale walio wahi fika jimboni kwake hakuna atakaye muona wa maana hata kidogo

    • @fidoslameck4316
      @fidoslameck4316 Před 5 lety

      WILLIAM HALINGA mlishasema Hakuna kuwapelekea maendeleo wapinzani, Ko nini cha kushangaza hapo?

    • @chidybwax8080
      @chidybwax8080 Před 5 lety

      Kutakuaj na maendeleo wakati wao niwasema kweli maendeleo wanyimwa

    • @gosbertrwezahura3645
      @gosbertrwezahura3645 Před 5 lety

      Hamna lolote kutoka kwa hawa wapinzani. Ni kelele tu!

  • @fjafrica62
    @fjafrica62 Před 6 lety

    Good

  • @jimmynassa3439
    @jimmynassa3439 Před 5 lety +1

    Namingwanda yake ya mgambo

  • @kennywilliam2466
    @kennywilliam2466 Před 2 lety

    Huyu ndiye ulikuwa silinde sio huyu silinde wa leo anapongeza kila jambo

  • @gonzalesdeus5117
    @gonzalesdeus5117 Před 4 lety

    kamanda

  • @godfreymbwanga7750
    @godfreymbwanga7750 Před 5 lety

    iyo mibunge y kijani inabidi iludi shule mana nichenga sana

  • @gideonsospeterleonard433

    Siamini kama silinde upo CCM

  • @husseinchiaseeds2653
    @husseinchiaseeds2653 Před 5 lety

    Nondo hatariiii

  • @dioflaurent447
    @dioflaurent447 Před 5 lety +1

    kwanini raisi hawasikilizi wabunge wakati wanaongea point tu

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 Před 3 lety

    Huyu jamaa yukogo vizuri tu ila Ttzo mfumo wakisiasa

  • @stephanokayega2792
    @stephanokayega2792 Před 5 lety

    Duh

  • @mukandayisengaseraphine9609

    wenye Akili wamekaa nakupata majibu Ndio maana wameamua kama Serikali..Sekta binafs walishaambiwa lkn Hawajitokezi.Umesoma lkn hukuelimika Silinde

  • @kibangahassan8773
    @kibangahassan8773 Před 5 lety

    Daaa upizani ni kisangaaa

  • @majaliwawangdagangdullanga700

    Nimekuelewa mkubwa

  • @rehemadongo1570
    @rehemadongo1570 Před 5 lety

    Mb zangu nazitumia kihalali kabisa kwa vichwa adimu vya Chadema

  • @barakatisalum8296
    @barakatisalum8296 Před 5 lety

    wabunge kama hawa ni wabunge wa taifa zima na c jimbo wewnaibu supika ingekuwa mbunge wa ccm anamsifu makufuli na kukashifu wapinzani ungemuongeza mda

  • @bamsambehababuu9764
    @bamsambehababuu9764 Před 6 lety

    Safi .waeleze.waelewe.nasisi.tuwe.kama.singapor

  • @florameza9529
    @florameza9529 Před 5 lety

    Maendeleo hayana chama hebu tuchukue mawazo ya wapinzani yanajenga

  • @augustinomgonde1505
    @augustinomgonde1505 Před 4 lety

    Tatizo ni njaa tu. Watu wa Chama tawala wanautambua ubora wa upinzani. Nakuamini mh silinde.

  • @marwachacha522
    @marwachacha522 Před 5 lety

    umegusa pa wazi hata asiyejua kusoma atakuelewa.

  • @josephpezua189
    @josephpezua189 Před 6 lety

    Duuuu kiongoz

  • @oswardmwaipaja9469
    @oswardmwaipaja9469 Před 5 lety +2

    wabunge wote wa CHADEMA wamesomea Mathematics sio kwa nondo hizo