“Tunakuletea hotuba unakimbia, utaziweza tabia za Mandela wewe?” -David Silinde
Vložit
- čas přidán 18. 06. 2018
- Mbunge wa Momba David Silinde ni kati ya Wabunge waliosimama Bungeni leo kuchangia mapendekezo katika makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2018/19 ambapo amesema kama Serikali inahitaji kujenga uchumi na kuwasaidia wananchi wake ni lazima iwekeze katika zekta binafsi na sio kama inavyofanya sasa kwa kuzikandamiza.
- Zábava
Nondo za hatari.
Kama ni ticha kakupa materials yote kamaliza...
Hapo unasubiri mtihani tu.
Hongera sana mbunge makini.
Nimekuelewa sana.
Aisee hawa watu wanashusha nondo mpaka nataman kulia
Dah Akili Hizi Zinatakiwa Kutunzwa Sanaaaa,Hongera Sana Lusinde
Hawa watu ni vichwa acheni siasa watumieni watanzania tunataka maendeleo sio siasa za ajabu hoja zao ni nondo kweli kweli
Tatizo la viongozi wetu wa kiafrika baadhi wamekulia ktk umaskini mno ivyo wanakuwa na roho mbaya ya kutaka wengine wasipate, wenzetu Kushika nafasi ya juu wanatizama mpaka makuzi na uwezo wako kifedha
Nimekuelewa vizuri mno mh.Silinde David.
daaa! sijui nani zaidi yamwenzie mana kila anaesimama ni chuma chadema peopleeeeee✌✌✌✌
No
Hawa jamaa ni kama walichaguana
Hapa sijui hawa ccm wanakuaga kama mizimu,maana hata hawajijui kabsaa,
Na wanatumi mifano ya viongozi wenye heshima kubwa duniani bila hata kufikiri kwa kina kua walikua wanaamini katika nini,na waliwatendea nini wananchi wao katika kuwaongoza,huu ni ujinga sana.
Silinde uko vizuri sana waambie hao mazuzu ya ccm na huyo speeker wao waache ujinga.
Wabunge wa CCM baadhi yao wako kutetea matumbo yao tu,ivyo wanakuwa wabinafsi na wanafikiri kwa kutumia matumbo
much appreciation David Silinde
ukweli ni Ukweli tuu Chadema wapo vzuri sana
Well done David Silinde. Umewavua nguo
I miss this guy in opposition! You were so more essential to this country than being a minister in a ruling party... You are being underutilized bro!
Well said bro
Jaman tuacheni utani tuacheni siasa ,wabunge wa chadema wako vizuri
Kama unamaskio utaskia kama ushabiki shabikia
Silinde much appreciate 🙌🙌
Chadema iko sahihi sana na ndio maana walizuia mikutano ya hadhara baada ya kuyaona haya
Mhe.poa sana.Asante sana.Ccm hawana maono kabisa.Resist✌✌
Hizi ni point zinazoeleweka hata kama hutaki
Asanteni sana wanaccm kwa kunipigia chin uyu binadamu ni mnafiki
Aissee upo vizuri sana, kichwa chako ni wabunge mia wa Ccm
Aisee namfananisha silinde na Marcus moziah Garvey( black america)
Hawa watu n vichwa hatariii,.tusiwabeze jamani ,waskilizwe mbona wanaeleweka sana tu ktk hoja wanazotoa?.
Simpepo Nestory
Nawakubali sana watu wangu
Simpepo Nestory mpeni uenyekiti wa chadema anafaa sana
Lusinde ana ugonjwa wa kuzungumza UKWELI. Siku zote anasimamia Ukweli ulio mchungu kabisa, naye ni mpenzi wa Mungu.
Your a good Trainer
Sijawahi kujutia MB zangu kwa kusikiliza Hoja za Wapinzani.
Wewe ni kilaza unaaminishwa uongo unautumia kubeza watu wengine
Nimekukubali sana bro
huyu master namkubali sana
well sayd bro SILINDE!!!
Tatizo mengi yamehonga na kuiba kura
Shujaa mpaka utoe Maisha yako hongera
Much respect
Respect kama zote mzee
Brilliant...
My godess!!
Bashiru Mawazo yake ya Kiuchumi Ni Utaahira, Hata China Wajamaa Waliobakia Wamefanikiwa wa Kuchanganya Na Upepari.
Big up silinde unaeleweka vizuri sijui kwanini hawaelewi
nimekuelewaaa sana
HUYU TUTAMCHUKUA ZNZ KARIBUNI IN SHAA ALLAH. SENGERPUR IYOOOOOOOOO.
Fact shilinde
Duh acha wapinzani wanunuliwe kwa gharama yoyote maana wananchi tunawaelewa✌️☑️
Silinde rais wa Momba hataree upo vzr
Jamaa nibonge lanondo,kwer ukimchagua mbunge wa ccm sawa na kumiliki Mali kuoza,kwanza niwoga wanawaogopa viongozi wanagugumia moyoni wakati wanaujua ukwer.niwanafiki wakubwa
Good sana brother
vichwa hivyo sio wapiga makofi hawa jifunzeni sio kupiga vigeregere eleweni minyi?
Mbunge usipende sana kutumia mifano Kwa kukopi na kupesti kumbuka hayo waliyofanya ni sawa na swala linalokazaniwa la uchumi wa viwanda na kumbuka kufikia mafanikio ni mchakato Maendeleo atakwako nyumbani hayaji sikumoja,mchakato baba
safii sana
Daaah uko sawa
akili kubwa hiyo, Saf sana
Safi sana silinde
always wabunge wa chdm ni BRILLIANT leaders........ ✌✌✌
Fantastic
Hapa kazi tu
Kiongozi mwenye mawazo ya kimasikini na kuona matajiri ni maadui hawezi leta mabadiliko
Kiukweli kama kunamtu haja muelewa huyu Mbunge akapimwe minyooo
Sana
Mbunge mmoja wa upinzani ni wabunge 10 wa ccm.
Wewe mlevi
@@teresiaasenga5142 ulevi upi tena ndg,au ndio kutumia mitandao vibaya unatukana watu.
Kweli chadema safi
Ras, nchimbi upinzani hamna mbunge ila kunawapambe wakinambowe
@@immamlowe7151 sasa hapo mbowe pekee ni wabunge 50 wa ccm.Yule ni kamanda.
Nchi yetu kama ingefuata taratibu zakuwasikiliza wapinzani tungefika mbali ila cjajua ni ubinafsi au ni kitu gani haswa
Uko vizr sana bana kaka
Safi sana
Like this
Tatizo letu Tz hususan viongozi waliopo serikalini Ni kupenda mazuri ndio yasikike !! Kukosoa au kukosolewa Ni jambo linaloweka sawa mambo tunayofanya !!
Yaani huyo naibu speaker hajali umuhimu wa hoja..bali kengele na kanuni..yaani wamejiwekea utaratibu kwa ajili ya kanuni..badala ya kanuni kwa ajili yao.yaani unajizuia mwenyewe kufanya vizuri kwa kujiwekea kanuni mbovu..na unaxiheshimu kwa kuziogopa hata hutaki kuziboresha kwa manufaa ya wananchi .Hili ni tatizo namba moja.
Ahsante sana mheshimiwa muda wako umekwisha😂😂😂😂
Chadema Mungu awalinde viongozi wetu
ww cjaona mbunge ambaeanajitambua niww cjawahikupitwana hutubayako nakupenda bureeeeee
Tunaongozwa na majitu tuliyoyazidi matokeo na akili ndo tatizo
Kuna mbunge mmoja anaitwa Genista muhagama Leo sijamsikia kabisa maana hakawii Taarifa mwenyekiti! Mondo hizo atatia mdomo wapi
Ney wa mitego katika wimbo wake akasema kichaa kapewa rungu
Big brain
Magembe Mwanamalundi 🤗
vizur
wanyoshoo hayooooooh
Kijana nimeipenda hasa mzungumzaji anapoongea kwa kutumia sources
Kweli kabisa
Sikio la Kufa.....!
Ccm mtachomwa moto mbinguni nyie hamto achwa salama kwa zambi zenu kwa wanannchi
Hii Tanzania cyo china wala hizo nchi unazotaja utawakejeli akina Nyerere kwa kuzomewa kwake,,,,, ila sisi watanzania tunajua changamoto zipo lkn tunasonga mbele
Hili ndio lilikua bunge bwana lenye changa moto na wasema ukweli sio lasasa.
CCM hawawezi kuusema ukweli kwa kuogopa kumalizwa Na wananchi. Mbona CCM de amekwisha Zamani hawajielewi kila siku kwao mchana. Wamechanganyikiwa .
Dhaaa nondo kama hizi zinapotea bure maana uko mbele wengi wape
Afu leo unajipendekeza wakati ulikuwa unatuponda wewe ni mpigania tu rud kwako hatukutaki wewe ilikuwa mpingaji mkubwa leo unajipendekeza kisa umeona hutapata kula
Bwembwe za kutafuta mkate lakini akipewa steringi tunaisha
Wabunge wa ccm kazi yao kushangilia na kupiga makofi hawajui kazi zao wametoka vitambi kwa hela ya wizi wengine wamekuwa wakisinzia bungeni na kujamba ovyo,hata sijui hawa wabunge wa ccm walipata vipi ubunge, nawapongeza sana wabunge wasomi wa upinzani endeleeni kuwapa ukweli mpaka kieleweke maana serikali hii ya ccm inanuka wizi na dhuluma na rushwa.
Pasua kichwa hli taifa. Kila MTU n uelewa wake ni hatari sna
Kwa wale walio wahi fika jimboni kwake hakuna atakaye muona wa maana hata kidogo
WILLIAM HALINGA mlishasema Hakuna kuwapelekea maendeleo wapinzani, Ko nini cha kushangaza hapo?
Kutakuaj na maendeleo wakati wao niwasema kweli maendeleo wanyimwa
Hamna lolote kutoka kwa hawa wapinzani. Ni kelele tu!
Good
kuna cha kujifunza kama taifa hapa
Namingwanda yake ya mgambo
Huyu ndiye ulikuwa silinde sio huyu silinde wa leo anapongeza kila jambo
kamanda
iyo mibunge y kijani inabidi iludi shule mana nichenga sana
Siamini kama silinde upo CCM
Nondo hatariiii
kwanini raisi hawasikilizi wabunge wakati wanaongea point tu
Huyu jamaa yukogo vizuri tu ila Ttzo mfumo wakisiasa
Duh
wenye Akili wamekaa nakupata majibu Ndio maana wameamua kama Serikali..Sekta binafs walishaambiwa lkn Hawajitokezi.Umesoma lkn hukuelimika Silinde
Daaa upizani ni kisangaaa
Nimekuelewa mkubwa
Mb zangu nazitumia kihalali kabisa kwa vichwa adimu vya Chadema
wabunge kama hawa ni wabunge wa taifa zima na c jimbo wewnaibu supika ingekuwa mbunge wa ccm anamsifu makufuli na kukashifu wapinzani ungemuongeza mda
Safi .waeleze.waelewe.nasisi.tuwe.kama.singapor
Maendeleo hayana chama hebu tuchukue mawazo ya wapinzani yanajenga
Tatizo ni njaa tu. Watu wa Chama tawala wanautambua ubora wa upinzani. Nakuamini mh silinde.
umegusa pa wazi hata asiyejua kusoma atakuelewa.
Duuuu kiongoz
wabunge wote wa CHADEMA wamesomea Mathematics sio kwa nondo hizo