WAZIRI MKENDA Avalia Njuga Swala la Sukari, Agoma Kutoa Kibali Kwa wafanyabaishara Kuagiza

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2021

Komentáře • 125

  • @jumbemkilla9556
    @jumbemkilla9556 Před 2 lety +15

    Hongera sana Waziri wa Kilimo kwa msimamo wako hiyo ni njia moja ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda na sio ulanguzi.

  • @EdwardSMsiro
    @EdwardSMsiro Před 2 lety +11

    Mzalendo wa kweli "Nimekusoma Waziri wangu wa Kilimo"

  • @johnsonkitambi3054
    @johnsonkitambi3054 Před 2 lety +11

    Kazi nzuri Prof, Mungu akusimamie tunakuombea.

  • @njigecharles4690
    @njigecharles4690 Před 2 lety +9

    Boss kaupiga mwingi sanaaa. Wamemvuruga. Safi sana Prof.

  • @edgarmbehikya8150
    @edgarmbehikya8150 Před 2 lety +8

    Huyu ni great man. Sasa hivi hii wizara imempata mwenyewe

  • @tumsifumartine612
    @tumsifumartine612 Před 2 lety +1

    Hongera sana,Waziri mkenda kwa kuwa na msimamo na kuwa mzalendo,nyie ndio wasomi tunaowahitaji TANZANIA Mungu akulinde

  • @bettygeyer6952
    @bettygeyer6952 Před 2 lety +9

    You are really true, tunaitaji wenye elimu kama wewe

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Před 2 lety +7

    Mkenda my the blood of Jesus be with you ...Proud of you Mkenda at least we have pp who are/were true to Tzn and our late president

  • @andersonjoseph8458
    @andersonjoseph8458 Před 2 lety +11

    Hivi mbona Tanzania yetu haina wazalendo kama huyu!! Nashangaa viongozi wengi hawana mzigo na nchi yao kupiga dili tuu Mungu baba yetu kutana na hawa watu

    • @habibukilango7738
      @habibukilango7738 Před 2 lety

      Alikuepo Magu na wakamuua na huyu nae watamuua....Mungu amlinde kwa kwel tunataka watu kama hawa

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 Před 2 lety

    Daah, leo naona tayari Mungu anajibu maombi yetu, asante Mungu.mwengine huyu kwa nafasi ya kutuongoza wananchi tumwombe mungu awalinde hawa

  • @richardmrosso976
    @richardmrosso976 Před 2 lety +2

    Mheshimiwa kweli tulikuchagua mbunge kweli kweli big up father

  • @ambwenedaniel358
    @ambwenedaniel358 Před 2 lety +7

    Huyu rais wetu wa sasa ni fisadi mkubwa hana mpango hata kidogo

  • @jeffreywilliams1171
    @jeffreywilliams1171 Před 2 lety

    Safi kaka, hongera mzalendo , mh mkenda.

  • @mdimimdimi4282
    @mdimimdimi4282 Před 2 lety +5

    Huyu waziri kwakweli amenikosha xn,anapita nyayo zile zile za mfalme JPM.

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety +2

    Usitoe ng'oo.kama magu hongera kwa uzalendo

  • @danieljeremia8629
    @danieljeremia8629 Před 2 lety +1

    Mungu akupiganie kiongoz ubalikiwe

  • @wilisonuronu1840
    @wilisonuronu1840 Před 2 lety +1

    The real mzalendo, Umeupga mwngi mnooo.... #Congratulation

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Před 2 lety +3

    WEWE NI RAISI AJAE JAMANI WEWE NI MZARENDO WA KWELI

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 Před 2 lety +1

    Mkenda you have made Tanzanians pride. We will stand with you. Tanzania belongs to all of us. The president cannot bully you.

  • @mathayomaulid911
    @mathayomaulid911 Před 2 lety +4

    Tusemee baba nkenda, nyuma yako tupo wengi sana

  • @rabanmeshack3826
    @rabanmeshack3826 Před 2 lety +7

    Hawa ndio maprofesa tunaowataka

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Před 2 lety +3

    MKENDA UKIWA RAISI WA TANZANIA TUTAKUWA TUMEPATA NAKUONA UKITUKOMBOA NA KUIKOMBOA TANZANIA NAMUONA MAGUFULI NDANI YAKO

  • @burudatv751
    @burudatv751 Před 2 lety +2

    Na huyu ndo anafaa kuwa rais na sio huyu bibi aliyepata urais kwa kurithi

  • @shabbyprotus6552
    @shabbyprotus6552 Před 2 lety +3

    Dah yaani mwanamke anasema nonsense kwa mzalendo kweli

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 Před 2 lety +3

    oooh!God!protect our new Magufuli

  • @geraldbenjamin9302
    @geraldbenjamin9302 Před 2 lety +3

    Anakuja mtu kwa mihemko anakwambia "Nonsense " Professor Mungu akutie nguvu tulijua yatakuja mambo ya hovyo tangu JPM alivyoondoka, ndo maana maelfu tulijitokeza barabarani kumsindikiza

  • @shabaniabdu1312
    @shabaniabdu1312 Před 2 lety +4

    Waheshimiwa wabunge na viongozi wa juu je' Tuna watendea haki wakulima? Hapana! Wafanya biashara hao ndio bora. Kuliko mkulima? Hio ndio tz ya leo.

  • @johnmalambo1738
    @johnmalambo1738 Před 2 lety +2

    Safi sana mkuu wewe ndio kiongozi safiiii usitoe watanzania tumekuelewa usiwe mtumwa wakuteuliwa

  • @jumavuli7390
    @jumavuli7390 Před 2 lety +1

    Nakuelewa sana baba mungu atatusaidia na atakulinda sana.

  • @barakadugange3234
    @barakadugange3234 Před 2 lety +4

    Hao unaoongenao kuwa makini nao inawezekana nusu au wote wamekaa kukusikiliza kinafiki

    • @sixbertmwakaluwa5665
      @sixbertmwakaluwa5665 Před 2 lety

      Tumekuwa wa hovyo watanzania kwa kuamini hivyo ukiwa muoga utaibiwa mpk chupi yk😂

    • @sixbertmwakaluwa5665
      @sixbertmwakaluwa5665 Před 2 lety

      Tumekuwa wa hovyo watanzania kwa kuamini hivyo ukiwa muoga utaibiwa mpk chupi yk😂

  • @nasoromvunja5335
    @nasoromvunja5335 Před 2 lety

    Mungu akupe maisha marefu endeleanamoyo huwo

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před 2 lety +3

    Ila Waziri we ni mzalendo tafadhali usiachie ngazi Kwani ndio wataornyezwa waking Januari wanaosaini mikataba mpaka kwa wahindi. Tafadhali shikilia hapohapo ma umweleweshe Mama labda alikuwa hajaambiwa undani wa jambo la sukari lilivyo TZ. Angesema sukari inunuliwe kwa kiasi fulani kulinda viwanda vyetu na baadaye isinunuliwe kabisa.

  • @peterjanuary7972
    @peterjanuary7972 Před 2 lety

    Kila sehemu ni madiri tu! wapigaji wameegemea kila mahala jamni ninamuomba mungu asimame kutulinda wengi na viongozi wachache wenye ukweli na wenye kujari wananchi na nchi yao, na ingependeza wote viongozi wenye tamaa na mali na wenye kujari makundi ya watu wachache na kuwaache wakiangamia.. wananchi wengi tunamwomba mungu awaondoe kabisa kabisa wasiwepo nchi hii🇹🇿🇹🇿 na wasije tokea tena ndy maombi yangu kwa mungu!,🙏.

  • @ameedamilja7992
    @ameedamilja7992 Před 2 lety +5

    Dah! Hii jamani ina make SENSE... Sijui Rais aliamkaje juzi akasema "It was NONE SENSE". Ila tunafahamu kwanini TZ ikae karibu na Uganda kwahiyo tutafute tuu laughs nyingine ya kusema mfano tunaweza sema Uganda ni marafiki zetu hivyo tutasaidiana, ila tusitumie manero magumu kwenye ukweli. Tuweni wazalendo kulinda towanda vya TZ na pia tuongeze uzalishaji ili miaka michache ijayo basic tuuze nje maana ni Aibu kwa TZ kununua suvari Malawi na Uganda wakati ni vijinchi vidogo kabisa kwa uzalishaji kulinganisha na TZ.

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 Před 2 lety

      Hujui kwanini Rais alipiuzia hili?Nani alitakiwa kuhakikisha sukari ya kutosha inazalishwa nchini na miwa ya Wakulima inapata soko la ndani na Kama ipo mingi zaidi aombe kibali kwa Mh. Rais Cha kuwatafutia Wakulima wetu soko la nje Kama sio Waziri wa Kilimo akishirikiana na Waziri wa Viwanda na biashara?Tatizo mnashabikia tu hamjui amekoswa wapi.Waziri amashindwa ku play part yake hadi kunakuwa na tishio la uhaba wa sukari!!Then anatafuta watu wa kuungana nao ktk kushangaa!!

  • @bahatimihambo7639
    @bahatimihambo7639 Před 2 lety +2

    Upo vizur mweshimiwa JPM aliacha mbegu imara na zinawasumbua kweli wapiga dili

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979 Před 2 lety +2

    MKENDA UNAUWEZO MKUBWA SANA SANA WEWE UNAFAA KUWA RAISI WETU TUKIPATA RAISI KAMA WEWE NCHII HII TUTAKUWA TUMEPATA RAISI SAHIHI.

  • @josephmahubemaro7406
    @josephmahubemaro7406 Před 2 lety +2

    Waziri mkenda
    Mimi na kuunga mkono usitoe vibari
    Kwel wewe ulipikwa na Marehemu JPM
    Hakika mungu ata kulinda

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +1

    asante rais wetu mtarajiwa 2025

  • @skypast2482
    @skypast2482 Před 2 lety

    Mungu mrehemu makufuli nchi ishauzwa hii bado kila mtanzani kupewa chake tu

  • @eliudijamesi2253
    @eliudijamesi2253 Před 2 lety +1

    Keep up bro watanzania wanaimani naww

  • @georgechimeta6080
    @georgechimeta6080 Před 2 lety +3

    2nd jpm of tz

  • @charlesmpemba9387
    @charlesmpemba9387 Před 2 lety +1

    Wazalendo bado wapo

  • @emanuelchigolo4839
    @emanuelchigolo4839 Před 2 lety +1

    Tulikosea kwenye namna ambavyo ubinafsishwaji wa hivi viwanda ulifanyika. Pengine kwakua hatukua wazoefu wakati huo, laiti wangekuwepo watu kama kina Baghresa na Mohamed dewji tusingefika huko..

  • @joseeandrew7343
    @joseeandrew7343 Před 2 lety

    proffessal mzee wetu mzalendo endelea kuwa na msimamo na nchi inahitaji wasomi kama wewe wanzalendo kama wewe nchi hii ina wasomi wengi ambao sio wazalendo ni wachumia tumbo tu.barikiwa sana mzee wetu wasomi wengine wajifunze kwako

  • @cnm2976
    @cnm2976 Před 2 lety +2

    Tunatupa tani 53,000 kila mwaka? Eh. Tuko pamoja kwenye mshangao Mhe Waziri

  • @stellamuyenjwamboyi7559

    Mungu kwetu ni kimbilio na msaada upatikanao tele wakati wa mateso tuondolee fedheha aibu njaa wasiyofaa wasitutawale

  • @karistomdendemi4303
    @karistomdendemi4303 Před 2 lety +1

    Funguka mheshimiwa .Likitekelezwa tutapiga hatua. Jpm alishasema .

  • @tumafrances542
    @tumafrances542 Před 2 lety +1

    Mama tozo chiz kabisa profesa Shikilia hapo hapo

  • @marwamasele4417
    @marwamasele4417 Před 2 lety

    MUNGU akulinde sanaaaa

  • @eliudijamesi2253
    @eliudijamesi2253 Před 2 lety +1

    Unadeserve kuwa rais wa Taifa hili kwasasa hatuna presoo

  • @mrsalam1094
    @mrsalam1094 Před 2 lety +1

    Waziri iko sahihi sana na mheshimiwa samia kama hajakuelewa atakuwa msaliti wa nchi yetu msaidieni raisi hajitabui ndio maana vitu vimepanda bei sana yy kapiga kimya tuu

  • @reginaosward6170
    @reginaosward6170 Před 2 lety

    Safi kiongozi

  • @robertmoshi2113
    @robertmoshi2113 Před 2 lety +1

    rais mtarajiwa

  • @mshamyusuf6332
    @mshamyusuf6332 Před 2 lety

    Daaa napenda niwenakusikia kila mara kamavile makufuli daaa kumbe viingozi wazuri mpo ila nitajiaikia vizuri kama utajihuzuru kisha nikuone bungeni

  • @shabaniabdu1312
    @shabaniabdu1312 Před 2 lety +2

    Tuna taka waziri kama huyo!

  • @alfredmapile4341
    @alfredmapile4341 Před 2 lety +2

    Sasa Rais halielewi hili?

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 Před 2 lety

    Hongera Mheshimiwa Waziri.

  • @vicentrogers9465
    @vicentrogers9465 Před 2 lety

    Big Brain

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Před 2 lety +1

    Tunapenda wakweri kama wewe mkenda hatuwataki waongo kama wakina Nape na January makamba

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Před 2 lety

    msimamo sahihi ndio kila kitu ukosahihi unaona mbali kiuchumi ukiagiza njesana unashusha uchumi wako unatakiwa kuzalisha ili uze nje tuna teseka sana wakulima sio wa miwa tu hata mazao mengine hii ni furusa ya uwazi ya kujua kiongozi mwenye uchungu na watu wake

  • @godfreyaugustino8666
    @godfreyaugustino8666 Před 2 lety

    Uko sawa kiongozi japo watakuchukia ukweli unauma wanaangalia matumbo yao tu na sio watanzania

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety

    Ni kweli

  • @mdmachungu7424
    @mdmachungu7424 Před 2 lety

    Wazalendo msikubali kupigwa Pini teteeni Taifa hata nyerere hakuacha Taifa lichewe

  • @fikiaupeo
    @fikiaupeo Před 2 lety +1

    Hivi huyu bi tozo anakili timamu? Maana hata haeleweki. Sijawahi ona mtu mnafiki kama huyu. Anaharibu hatua nzuri za nchi tulizoanza kupiga. Sijui tumfanyaje tu daah.

  • @2ragosntondero303
    @2ragosntondero303 Před 2 lety

    Bolauachie ngazi mwananchiananunuasukari 3500/=Wakatimalawi 1200/=waziri hunaishu

  • @allyally3054
    @allyally3054 Před 2 lety +1

    Hawa ndio viongoz tunaowahitaji

  • @johnmalambo1738
    @johnmalambo1738 Před 2 lety

    Safi Mimi nawewe tunaweza tukaishi nyumba moja Sema kweli wewe ndio unayejua uongozi Nini

  • @mshamyusuf6332
    @mshamyusuf6332 Před 2 lety

    Ningekuwa napata namba yako ningekupigia kwani mwaka huu watu maamini watalima alizeti mpaka ikome nawatu ama wakulima lazima watazalisha alizeti yakutosha nahuenda na hata wasio jua kulima watalima mwaka huu

  • @a.katunzi5815
    @a.katunzi5815 Před 2 lety

    Kibali utoe WEWE. 👍

  • @2ragosntondero303
    @2ragosntondero303 Před 2 lety

    Hunaakili unajijibu mwenyewe

  • @halimaauthman9324
    @halimaauthman9324 Před 2 lety

    👍👍👍👍👍👍💯💯💯💯💯💯

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 lety

    Kama hutajiuzuru basi hakikisha hutaruhusu sukari kutoka inje si Uganda, wala Nchi yo yote ile. Watanzania wako pamoja na wewe

  • @2ragosntondero303
    @2ragosntondero303 Před 2 lety

    Malawi Beiyasukari ikochini waziriumesoma?

  • @allymadunda7931
    @allymadunda7931 Před 2 lety

    Mbona sukari bei juu,hamsimamii majukumu sukari ilipotea halafu unaongea.tumejifunza jambo

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Před 2 lety +1

    Hii nchi ni ya maajabu sana umeongea ukweli watakutumbuwa tumevamiwa na mafisadi sasa hivi ni nchi ya madili

  • @peterremy8013
    @peterremy8013 Před 2 lety

    Ww ndio mtanzania halisi boss nimekuelewa

  • @barakadugange3234
    @barakadugange3234 Před 2 lety

    😭😭😭😭

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Před 2 lety

    Wewe ni mzalendo

  • @imanimwashambwa6432
    @imanimwashambwa6432 Před 2 lety

    Kwa nn sasa Bei ni kubwa?

  • @joseeandrew7343
    @joseeandrew7343 Před 2 lety

    wazee wangu ninao muheshimu sana kama mzee wangu kabudi ambao ni wasomi wabonezi wa nchi hii wajifunze kwa proffessal mkenda linapo kuja jambo ambalo linakwenda kinyume na masilahi ya nchi tunaomba mutoke hadharani na mukemee kama mzee mkenda ili muweze kuliokoa taifa.kama leo matozo ya simu umeme kwenye mita na sehemu nyinginezo ndani ya nchi

  • @marygaspar6429
    @marygaspar6429 Před 2 lety

    Unaakili mingi mangii!

  • @2ragosntondero303
    @2ragosntondero303 Před 2 lety

    Hiloswaliunamuulizanani mulajiaukiwanda

  • @cosmasmlelwa2621
    @cosmasmlelwa2621 Před 2 lety

    Wewe unafaa sana

  • @fredymkanza
    @fredymkanza Před 2 lety +1

    Waziri ana Nia njema kabisa. Tatizo ni kwamba kama sukari ya nje inakuwa Bei nafuu kuliko sukari ya ndani na Rais yuko Kwa ajili ya kutetea Wananchi wasiumie Je Waziri analisemeaje hili?

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Před 2 lety

    Au watanzania wanatakiwa wafundishwe somo la uzalendo!!???🤔🤷😴

  • @simonnick1242
    @simonnick1242 Před 2 lety

    Ukosawa

  • @geopolitics94
    @geopolitics94 Před 2 lety

    Ina make Sense

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 lety

    Sasa utasema nini ikiwa mama anataka tununue sukari ya Uganda? Tuko nyuma yako

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 Před 2 lety

    Watanzania tuliowengi tunataka unafuu wa sukari na sio maneno mazuri mengi, pigeni kazi tuione hiyo kazi, Leo waziri Akita sukari hata kwa Bei kubwa kiasi gani haimpi shida atanunua tu ishu ipo kwa MTU wa Chini mwenye hali ngumu asiyo weza kuhimili gharama kubwa ya sukari ,kwahiyo watu wa namna hii hawana haja kujua sukari inatoka wapi Bali nafuu ya sukari iko wapi?

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed2805 Před 2 lety

    Adofu, weww ni, mtz, Wa damu

  • @mkushiandikayakoachananaya7944

    Watu wa namna hii katika utawala wa huyu mama kusalimika ni kazi sana, huyu mama ndiye alikuwa mpinzani mkuu wa Magufuli ndio maana kila leo anapiga mateke yeyote/chochote kinachoonekana kiliendana na Magufuli! Ila tunashukuru ukweli kausema tayari Mzee Nkenda!

  • @jeniferliberatus3003
    @jeniferliberatus3003 Před 2 lety

    Mabaki wapo hogera sana

  • @mkushiandikayakoachananaya7944

    Mwanaume aliongea jamani.

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 2 lety

    .

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 Před 2 lety

    Utaliwa kichwa Waziri

  • @kassembotz1421
    @kassembotz1421 Před 2 lety

    Huu ndio UONGOZI BORA

  • @mrsalam1094
    @mrsalam1094 Před 2 lety

    Mheshimiwa ww ni mzelendo sana ila raisi samia kapotea anaisaliti nchi yake yy anaona yuko sahihi ila mm sijui alikuwa anafanya kazi fipi na magufuli alikuwa anamsaliti asijivunie kutowa pesa za kunjenga shule akajuwa eti ndio njia ya kupita 2025 ajitafakari kwanza

  • @ambakisyemwakifyogo2848

    Huyu yeye ni nani raisi anaagiza yeye anapinga anataka tuteseke kwa bei.mh mama samia raising wa jamhuri ya muungano huyu mrudishe kufundishe chuoni hana adabu na wote wanaomshabikiapiga chini.wahindi ni wajanja sana kuna kitu huyo mrombo .amechukia analalama yeye anasara gani? Anamaslahi gani? Piga chini.

    • @eliaslazaro2809
      @eliaslazaro2809 Před 2 lety

      Wew nimvivu wakufikilia huna uwezo wowote hatawakuongoza nyumba 10.fisad mkubwa.

    • @jut1161
      @jut1161 Před 2 lety +2

      Kweli kabisa huna uwezo wa kufikiri kabisa. Hata dogo kama hilo bado huoni madhara ya kuingiza sukar

    • @paulilungu410
      @paulilungu410 Před 2 lety

      Mvivu wa fikra huyu

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 Před 2 lety

    Watoto wako walale njaa,halafu unajidai una upendo unagawia chakula mtoto wa jirani hilo ni jipu🤬🤬🤬😴

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 Před 2 lety

    Mh. Waziri naona unajishitaki mwenyewe kwa Wananchi wenye akili.Wewe ndio ulipaswa kushirikiana na Waziri wa Biashara na Viwanda ili kuhakikisha Miwa ya wakulima inanunuliwa na sukari ya kutosha inazalishwa nchini na Kama Viwanda havina uwezo wa kununua miwa yote ya Wakulima Basi muwatagutie Wakulima soko la nje ili wauze miwa yao.Sasa huja play part yako then unawashawishi wananchi mshirikiane kutafuta wa kumshangaa!.Tunacho hitaji ni sukari nchini na Kama Hakuna iagizwe nje. Mimi nina maashaka na wewe! Kwa heshma yako ni Bora ujiuzulu ateuliwe mwenye nia na uwezo wa kumsaidia Rais ktk sector hiyo.