Treni ya mizigo ya SGR yanukia, Serikali yaanika mikakati yake

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • Wafanyabiashara ambao husafirisha mizigo wamesema hatua ya serikali ya kutaka kuanza kwa safari za treni ya mizigo kupitia reli ya kiwango cha kimataifa - SGR itasaidia kuongeza usalama wa mizigo yao huku wakiishauri serikali kuimarisha miundombinu ya kufika eneo la stesheni.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

Komentáře •