Wakazi wa Njiru, Chokaa na Mihango wasema watalipa familia ya Kirima

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 10. 2023
  • Mamia ya wakazi wa maeneo ya Njiru, Chokaa na Mihango wanaoishi ndani ya shamba la aliyekuwa mwanasiasa Gerishon Kirima wameanzisha mazungumzo ya kulipia vipande vyao vya ardhi ambavyo wanaishi. Runinga ya Citizen imedhibitisha kuwa familia 900 zinazoishi ndani ya shamba hilo zimeelezea nia yao ya kulipa shilingi laki tatu kwa ploti. Haya yanajiri huku viongozi wa makanisa wakitaka serikali kuu kuingilia kati na kufanya majadiliano kama ilivyofanyika katika shamba la Waitiki ambapo mmiliki alilipwa shilingi bilioni 1.2 .

Komentáře • 44

  • @carolinemungai9511
    @carolinemungai9511 Před 9 měsíci +10

    Sawa kila mtu ako na haki kuishi pahari popote but sikunyakua mashamba ya watu by force

  • @thomasnjuguna202
    @thomasnjuguna202 Před 9 měsíci +12

    Kwani mnaforce muuziwe kwa nguvu, nani amemwabia mwenyewe anauza?

  • @gwg216
    @gwg216 Před 9 měsíci +5

    On a light note well binadamu ni wale wale tu once they are given that period to pay and amount kuna obviously wale watasumbua sana kulipa and it will be a game of cat n Mouse 😮 na hii economy mtu anatoa wapi laki tatu a kawaida mwananchi.... Right now they can jitetea with all sorts of sweet things but kwa ground ku pay itakua ngori..... But all in all hopefully wataelewanwa

  • @user-cm5wc7fy8c
    @user-cm5wc7fy8c Před 9 měsíci +8

    Babu owino naye analeta siasa hapa, shame on you

  • @HOI555
    @HOI555 Před 8 měsíci +3

    300k per plot kwa prime land😂😂😂😂they got jokes

  • @bensonngichabe946
    @bensonngichabe946 Před 8 měsíci +1

    Hiyo familia wako na maringo sioni kama maoni yenu itasikika.nawajua vizuri sana.

  • @tutukagara9452
    @tutukagara9452 Před 8 měsíci +2

    Wafike bei 7m Kila mtu

  • @carolinemungai9511
    @carolinemungai9511 Před 9 měsíci +4

    Hata wenye wako na midomo hawezi kubali kwao kunyakuiwe

  • @bernardoloo2023
    @bernardoloo2023 Před 8 měsíci +1

    I have worked with the Kirima family in kiambu...that is the most chaotic family i have ever seen in my life...There,s Even a Bishop there who does not listen unless you have money 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lawrenceokaki489
    @lawrenceokaki489 Před 8 měsíci

    rush to court for stay orders. That family may not entertain any talk considering how they were frustrated with the court process

  • @gilbertnyachae4060
    @gilbertnyachae4060 Před 8 měsíci

    What about kirima family loose the case

  • @moha9043
    @moha9043 Před 9 měsíci +3

    Start parking rather than arguing

    • @gwg216
      @gwg216 Před 9 měsíci +1

      Aki gosh kwanza kama the ruling was already given its triky they better also rush to court they try wapewe stay orders as they mediate ndio kusibomolewe

  • @thomasnjuguna202
    @thomasnjuguna202 Před 9 měsíci +4

    Bona walijenga kwa wenyewe alafu eti 40*60 walipe 300000 ??

  • @kenjournals
    @kenjournals Před 9 měsíci

    Hizi kesi za shamba zimekuwa mingi sana,...sielewi

  • @elizabethmwethia6527
    @elizabethmwethia6527 Před 9 měsíci +1

    Lakini bona hua munanunua hii shamba namunajua tu hii sii mara ya kwaza hii shamba uuzwa tena inabomolewa

  • @carolinemungai9511
    @carolinemungai9511 Před 9 měsíci +3

    Kwani mutaforce muuziwe cha nguvu namuwacha zenyu kisumu

    • @marithawairimu1543
      @marithawairimu1543 Před 9 měsíci +2

      Kila mtu ako na haki kuishi mahali anataka Kenya aki tuwache ukabila.....wakikubali kukaa chini well n good

    • @generalkago5361
      @generalkago5361 Před 9 měsíci

      BOMOA BOMOA BOMOA, KITWARAMBA !!! WANA AZIMIO !????😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊

    • @veronkelly6337
      @veronkelly6337 Před 9 měsíci +2

      Ukabila haitakusaidia kwa chochote na si wajaluo pekee yao wamejenga huko

    • @Mohammadbora-cd6jg
      @Mohammadbora-cd6jg Před 9 měsíci +1

      ​@@generalkago5361Usiongee vbaya huwez jua hio bomoa bomoa kesho itakuwa wapi...

  • @user-ip9ni9yd9w
    @user-ip9ni9yd9w Před 9 měsíci +3

    Deuteronomy 27:17 cursed is the one who removes neighbor boundary mark and all people sa Amen. Proverb 22: 28 Do not move the ancient boundary or go into fields of the fatherless.

  • @sentonybanks5068
    @sentonybanks5068 Před 9 měsíci

    Mimi ni last born wa kirima before tuongee nirushieni deposit kwanza

  • @MrMutiraph
    @MrMutiraph Před 9 měsíci

    Now they want Ruto to adopt uhuru's strategies? Hahaha

  • @estherndanu8729
    @estherndanu8729 Před 8 měsíci

    Walipiwe shamba?this are land grabbers church you're wrong on this.shame on you

  • @estherndanu8729
    @estherndanu8729 Před 8 měsíci

    This are not squatters this are tycoons.manyumba tunaona ni za maskini?mnatu enjoy nyinyi

  • @MrMutiraph
    @MrMutiraph Před 9 měsíci

    What's the market value per plot

  • @johnndegwa67
    @johnndegwa67 Před 9 měsíci

    300k??? Wazimu nyinyi

  • @generalkago5361
    @generalkago5361 Před 9 měsíci +1

    Why didn't this same GOVERNMENT extend an olive branch to our inlaws, the KAMBAS dwelling in MAVOKO EAPC LAND ??? What's so special about these KIRIMA LAND THIEVES ?????

    • @charlesbii6749
      @charlesbii6749 Před 9 měsíci +3

      Hiyo ni shamba ya kampuni,hii ni ya mtu,ni rahisi hii kusolve

  • @laurynblessing001
    @laurynblessing001 Před 8 měsíci

    0

  • @wanyonyirobert2735
    @wanyonyirobert2735 Před 9 měsíci

    Watoke. Wajaluo wako na upuzi

  • @Vk-wt9hl
    @Vk-wt9hl Před 9 měsíci

    Kirima was a known thief how did he acquire massive tracks of land in Nairobi? The curse will forever haunt him to his grave

  • @Fadh254
    @Fadh254 Před 9 měsíci

    I am willing to mediate between the Family and the land owners for free na kila Mtu aridhike let the land group team contact me