Mambo Matano (5) Ya Kufanya Uweze Kuwa Kiongozi Mzuri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 01. 2019
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 80

  • @leonism_tz
    @leonism_tz Před 5 lety +4

    Kaka asante sana, your the best life coach and public speaker in this country, God bless you, Your future is Good

  • @meshackngadango6855
    @meshackngadango6855 Před 5 lety +2

    Ahsante sana kwa somo zuri
    SEE U AT THE TOP!

  • @mathewmwangomba8776
    @mathewmwangomba8776 Před 5 lety +6

    Asante kwa somo nzuri..
    -Kwa kiongozi pia uwezo wa kubaini yaliyo muhimu na yasiyo muhimu..
    -Pia napenda kiongozi awe na uwezo wa ufanisi wa kutenda kazi.
    -Napenda kiongozi wangu awe na dhana ya kujifunza kwa kupitia kwenye timu yake anayo ongoza.
    NOTE: Itakuwa vizuri kama mwisho wa somo lako utaweka jinsi ya kupata vitabu vyako au unaweza kuweka link ya jinsi ya kupata vitabu vyako.

  • @kakekofarniture.5375
    @kakekofarniture.5375 Před 5 lety +24

    Kama unamkubali koching wetu konga like kwangu.

  • @mohamedimbaga6583
    @mohamedimbaga6583 Před 5 lety +3

    Be blessed 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 ... nahitaji tupate mada ya ^life after campus ^ mean college in relation ya kujiajiri na uhaba wa ajira asante
    Utanisaidia sana boss

  • @MwambaDidier-wq4qu
    @MwambaDidier-wq4qu Před 6 měsíci

    Asante sana ubarikiwe
    Ungetuba mifano katika maandiko,kwa neno la Mungu hayo mambo Maine jambo la kwanza pekee ndio umetupea mfano wake kuhusu baba mukwe wa Moses aliye mushauria kugawa jukumu kwa watu wengine.

  • @alihassanhaiba6937
    @alihassanhaiba6937 Před 5 lety +1

    Ahsante sana kaka Joel kwa kunipatia elimu kubwa kama hii ,katika maisha yangu ninayo ndoto ya kua kiongozi bora na si bora kiongozi

  • @msleny6767
    @msleny6767 Před 5 lety +1

    Asante kwa funzo nzuri kaka, kuwa na uwezo wa kusikiliza wengine ni muhimu sana kama kiongozi manake ndipo unapo jifunza maombi mapya kwa wadogo wako, huu umenisaidia sana kupata suluhisho katika mambo mengi maishani na katika mahali pangu pa kazi👍👍

  • @mwl.peterhebroncitymjiwama598

    Safi sana kaka kwa ELIMU ya uongozi me pia ni kiongozi

  • @ukhtyhalimasubscribedismai6497

    Ni kweli hiyo tabia IPO MTU anaweza kuekwa kiongozi katika kazi akajisifu Sana na kusema boss kaniweka niwe kiongozi coz najua kumbe anajiharibia

  • @gwakisamagaga5298
    @gwakisamagaga5298 Před rokem

    Mr. Joel N, i appriciate your commitment.you see what others do not see, keep moving🏃🏃

  • @bmiinsparationtalks5675

    Thank you for morning rising knowledge

  • @user-es7lw9od7l
    @user-es7lw9od7l Před 5 měsíci

    Nabarikiwa

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Před 9 měsíci

    Asante

  • @judithmbwilo7470
    @judithmbwilo7470 Před 5 lety

    Asante sana brother Joel, nimejifunza sana leo 🙏🙏🙏

  • @mariammasatu4785
    @mariammasatu4785 Před 5 lety

    Asante sna kwasomo zuri ubarikiwe sna bro,napataje vitabu vyako

  • @mohamedothumanhussein2792
    @mohamedothumanhussein2792 Před 3 měsíci

    Ahsante

  • @leechuntv4346
    @leechuntv4346 Před 5 lety

    Well done brother I love you're talking from first I know u up to date

  • @KelvinHenry-iy4pu
    @KelvinHenry-iy4pu Před rokem

    Good topic

  • @mercywanjiku3740
    @mercywanjiku3740 Před 5 lety +1

    Be blessed Joel

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 Před 5 lety +1

    thank you for you to educate us continue to help us may Almighty God bless you and your ministry Amen.

  • @janethzefa2808
    @janethzefa2808 Před 5 lety

    thank you Joel

  • @babalois7240
    @babalois7240 Před 5 lety

    Thankx Sir #Joel
    Uongozi,Uongozi, Hi ni sehemu muhimu sana ya kujua uongozi katika ngazi zote, blcd

  • @luomusicchannelfromtanzani5650

    Thanks alot

  • @judithwambura9234
    @judithwambura9234 Před 5 lety

    Many thanks

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Před 5 lety

    Asante kaka

  • @neemaamon4960
    @neemaamon4960 Před 5 lety +1

    Nataman viongoz wang wangepata huu ujumbe

  • @mwitachegere2716
    @mwitachegere2716 Před 5 lety +1

    Great stuff Joel. Be blessed always!

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 2 lety

    Joel stay blessed.

  • @peteryohani1672
    @peteryohani1672 Před 3 lety

    God bless brother joel

  • @bravohaji4843
    @bravohaji4843 Před 4 lety

    Nimeweza kusema kwamba your my modal Mungu azidi kukuweka ili tuzid kujifunza mengi kutoka kwako

  • @upendo6009
    @upendo6009 Před rokem

    Hahaha maagizo nusu nusu....taarifa nusu/nusu!!! Imenijenga Sana 💚🍂

  • @sulejureij3799
    @sulejureij3799 Před 5 lety

    Somo zuri limeeleweka, utekelezaji ufuate. Ahsante kaka

  • @sabatomjungu9727
    @sabatomjungu9727 Před 5 lety

    Uongozi Ni Jambo muhimu Sana , ahsante bro kwa somo zuri

  • @najmachami547
    @najmachami547 Před 5 lety

    Asante kaka "nijifunze kusikiliza"

  • @mujunichristian
    @mujunichristian Před 10 měsíci

    Ni vigumu ku handle people
    Because there more you add your value may higher education more than them. Automatically issues gonna be planned for you to make sure you drop for any means

  • @selemanimkonga8150
    @selemanimkonga8150 Před 5 lety

    Ahsante kwa chakula cha ubongo bro

  • @worshipertv9968
    @worshipertv9968 Před 5 lety

    Asante sana Kaka kwa kunielimisha hakika nimeelimika

  • @cheddykipingu8087
    @cheddykipingu8087 Před 5 lety

    Thnkz Doct Urther kuna kiongoz wetu lazma nimwambie ukweli kwenye briefng leo...

  • @fedharmmark6398
    @fedharmmark6398 Před 3 lety

    Ahsante kwa Elimu yako @Joel nanauka

  • @mdtv2625
    @mdtv2625 Před 5 lety

    Thanks

  • @immamwangasi4435
    @immamwangasi4435 Před 5 lety

    Umenijenga sana

  • @kelvinmagath5506
    @kelvinmagath5506 Před 5 lety

    nakufatilia sana Bro nashukuru najifunza mambo mapya kila day

  • @franckcharles4834
    @franckcharles4834 Před 4 lety

    Nakukubali sana kka ww ni mentor wa maisha yangu

  • @andreymalisa1625
    @andreymalisa1625 Před 5 lety +2

    Inabidi niamke saa 11:00 ili niweze kujifunza mengi toka kwako..Naamini nimeweza..
    Asante sanaa Mwalimu
    Barikiwa

  • @abdulmohammed3567
    @abdulmohammed3567 Před 5 lety

    See you too at the top brother..

  • @evaristmbunde7947
    @evaristmbunde7947 Před 2 lety

    Nc

  • @subiraomar4771
    @subiraomar4771 Před 5 lety

    Asnte sana

  • @zuhuraabdillah6941
    @zuhuraabdillah6941 Před 5 lety

    learn to listen hii imekuwa changamoto sana especially kwa maboss

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe326 Před 5 lety

    Asant sana bado najifunza Elimu kubwa kwako

  • @veronicabiaka4730
    @veronicabiaka4730 Před 2 lety

    🙏🙏

  • @kakekofarniture.5375
    @kakekofarniture.5375 Před 5 lety

    Asate koching wetu wa life
    Tunajivunia uwepo wako ktk maisha allah akupe maisha yenye afia mzuri.

  • @boniphacemgolozi9417
    @boniphacemgolozi9417 Před 5 lety

    Hiro mi linatesa kwenye familia Mara nyingi naraumu sana!

  • @giftibrahimuamulike5963

    KWENYE motisha

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 Před 5 lety

    mawasiliano mazuri na pia motivate huwa haipo kabisa,mm kwa sasa nimejiajili Mara nyingi huwa nafanya motivate kwa vijana wenzangu Mara kwa Mara.Kupitia masomo yako Joel nanauka

  • @piusgiringa409
    @piusgiringa409 Před 5 lety +1

    Kaka Nanauka hakika umebadilisha Maisha yangu tangu nianze kukufatilia nakuelewa sana

  • @kingoman7895
    @kingoman7895 Před 5 lety +1

    #seeuatthetop#

  • @mwajumayunus2041
    @mwajumayunus2041 Před 5 lety

    aiseeeh umenibadili sana kaka ukiwa na semina yoyote please tuarifu nitakuwa wa kwanza kununua tiketi

  • @dicksongadson238
    @dicksongadson238 Před 2 lety

    kutoa motivet & ushawishi

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 Před rokem

    🙏🙏🙏🙏💕💕

  • @henerikokasiani7726
    @henerikokasiani7726 Před 4 lety

    Poa sana

  • @godfreyguleha3790
    @godfreyguleha3790 Před 5 lety

    mm kaka joeli napenda sana niwe kiongozi mzuri ila kuna kitu kina mfano ume mpa kazi mtu maelekezo umesha mpa lakini anafanya ile kazi avyo jisikia yeye ukiuliza ana onaona una muonea kwa hapo una fanyaje kaka

  • @mohamedkudura8114
    @mohamedkudura8114 Před rokem

    Natamani hii video aisikie nimetumia

  • @msengisimoni2087
    @msengisimoni2087 Před 5 lety

    kupita masomo yako tangu mwaka Jana nimeachana na kuajiliwa.Nataka kuwa kiongozi mzuri zaidi

  • @freesociety7858
    @freesociety7858 Před 3 lety

    Je mtui atajitambuaje Kama yeye anakarama ya ungozi

  • @abuuharuna4278
    @abuuharuna4278 Před 5 lety

    nakuerewa uchambuzi wako mzuli uliokaa kiplofessa

  • @kelvinmagath5506
    @kelvinmagath5506 Před 5 lety

    ila na Shauri ufungue group la watsaap Bro

  • @joaxz100
    @joaxz100 Před 5 lety

    Esa
    Misma wea digo yo

  • @olipahpaul8023
    @olipahpaul8023 Před 4 lety

    Ninaweza kupata namba yako kaka ninaitaji concelng

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii50 Před 5 lety

    Naam kwa kukosa elimu hii kuna viongozi wanafanya watu hawafurahii kazi yani kila mtu anataka ahame na hata wengine kuacha kazi na viongoz wa namna hii mwisho wao unakuaga mbaya sana... Ahsante sana

    • @petergroup4133
      @petergroup4133 Před 5 lety

      ahsante sana kwasomozuri

    • @gershonerasto7824
      @gershonerasto7824 Před 5 lety

      Kaka naona nimechekewa sana kuku faamu ,ningekua mbali sana ,ahsante sana kwa somo hilo

  • @kisembomaliyamungu572
    @kisembomaliyamungu572 Před 3 lety

    Mimi ni kiongozi alakini kanisa ninao ongoza bado ni kidogo sijagawa nazi niko DRC

  • @user-es7lw9od7l
    @user-es7lw9od7l Před 5 měsíci

    Nabarikiwa

  • @tabithaerastoshukrani.90

    Asante

  • @kelvinmagath5506
    @kelvinmagath5506 Před 5 lety

    ila na Shauri ufungue group la watsaap Bro