KUANZA SAFARI ZA SGR DAR - DOM, WAZIRI MBARAWA AKAGUA NJIA, JENGO LA STESHENI DODOMA "TUKO TAYARI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • KUANZA SAFARI ZA SGR DAR - DOM, WAZIRI MBARAWA AKAGUA NJIA, JENGO LA STESHENI DODOMA "TUKO TAYARI"

Komentáře • 22

  • @user-fp9uu1xb7z
    @user-fp9uu1xb7z Před 22 dny +12

    Dah! Hii kitu Magufuli ilibidi aione na hata huko aliko Mungu amsaidie na ampunguzie adhabu ya kaburi

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania2587 Před 22 dny +12

    Baba Baba nakuita mala tatu na ya mwisho babaaaaa kwann uliwahi kuondoka mapema hivi daaa😭😭 pumzika kwa amani JPM 😭😭

  • @vinny.morales
    @vinny.morales Před 22 dny +10

    Tunamshukuru sana Hayati John Joseph Pombe Magufuli kwa maono yake na uthubutu katika mradi huu. Aendelee kupumzika kwa amani🙏🏿

    • @hemedrashid2921
      @hemedrashid2921 Před 22 dny +2

      wanakuchukiaa ss tunawajuaa haooo pigaa kazi tena hatutarudiii tenaa enziii ya mwariiiim😂😂😂

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 21 dnem +1

      uko huru mshukuru tu, ila nakushauri uzidi kumuombea marehem, ila wengine tunamshukuru saana Mama SSH kwa kuendeleza miradi yote ya maendeleo, kwa hakika mitano tena, amethubutu na ameweza, je una swali lingine? yule aliyekuwa anamwabudu Magufuli sasa hatunae tena , ila anaemuabudu Mungu , Mungu yupo na hana sifa za kufa, Tanzania kwanza Mengine baadae, kama una chuki hama Nchi

    • @khamissaleh921
      @khamissaleh921 Před 19 dny

      Maono ya Marais wa EAC , Museveni,Kikwete na Uhuru kenyatta hio Reli iko katika manifesto ya Africa Mashariki na ilandaliwa na Mhe Rais kikwete na kwa upended wa Kenya Ni Uhuru Kenyatta ,kazi imeanza baada ya kuweka Mataruma na Mhe Samuel Sitta na ikaendelea kujengwa wakati wa Mhe Jemadari Magufuli na yeye akapendekeza iwekwe ya umeme badala ya dizeli ilio buniwa na Mh Kilwete .

  • @tulibakomwafula9079
    @tulibakomwafula9079 Před 20 dny

    Asante Yesu kwa kazi njema. 🙏💃💃💃

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Před 22 dny +1

    Hongera Sana Tanzania, Hongera Sana Raisi Wetu Mama Yetu Samia Suruhu Hassan, Hongera TRC..2025 tupo Na Mama tupo Na CCM.

  • @florianruttahindurwa1189
    @florianruttahindurwa1189 Před 21 dnem +1

    @trc mi nina swali, roof kwenye platform zenu hazijacover platform nzima,je nyakati za mvua ni utaratibu gani utafanyika ili watu wasiloe? pia stesheni ya dodoma inabidi kuwe na lane mbili ndani ya stesheni na ndo sababu ya kujengwa platform mbili, je itajengwa lini?

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 Před 22 dny +3

    Jamani mbona ata sija skia mtu ana shukuru yapi merkezi.... contractor shames kweli

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth94 Před 19 dny

    Magufuli ndo uti wa mgongo wa hii leli, japo samia pia kaimalizia na kaweka bei nzuri pia

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 21 dnem +1

    Mhe SSH amethubutu na ameweza saaana, yaani ana uwezo wa kushika kikombe cha kahawa na Kuongoza vizuri tu, sio kutumia mabavu na manguvu, Kuongoza Nchi ni coordination tu na ameimudu mno, kuunganisha Viongozi wakawa na lugha moja, tukiendelea hivi tutafika mbali mno. Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mbarik SSH

  • @samkratos1
    @samkratos1 Před 22 dny +1

    why don’t you give use updates of lot 4 and 5?

    • @DaudiMede
      @DaudiMede Před 22 dny

      Good question, and Lot 3 too

  • @ahmadbawazir8639
    @ahmadbawazir8639 Před 21 dnem

    Tunaomba Kwneye booking pawe na sehem ya kuchagua seat number na sio.changanyikeni

  • @samirsaid2087
    @samirsaid2087 Před 22 dny

    Kumbe nyie amna mlichofanya mana kila kitu kafanya mwenyewe mama.mama oyeeeee

  • @hakarim786
    @hakarim786 Před 22 dny

    Mizigo mnaanza lini?

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc Před 21 dnem

    Hastaili kushukuliwa mm anaestahli ni hyt jpm nac hyo mnaempamba

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 22 dny

    Bebeni abiria mda ndio huu.