uko huru mshukuru tu, ila nakushauri uzidi kumuombea marehem, ila wengine tunamshukuru saana Mama SSH kwa kuendeleza miradi yote ya maendeleo, kwa hakika mitano tena, amethubutu na ameweza, je una swali lingine? yule aliyekuwa anamwabudu Magufuli sasa hatunae tena , ila anaemuabudu Mungu , Mungu yupo na hana sifa za kufa, Tanzania kwanza Mengine baadae, kama una chuki hama Nchi
Maono ya Marais wa EAC , Museveni,Kikwete na Uhuru kenyatta hio Reli iko katika manifesto ya Africa Mashariki na ilandaliwa na Mhe Rais kikwete na kwa upended wa Kenya Ni Uhuru Kenyatta ,kazi imeanza baada ya kuweka Mataruma na Mhe Samuel Sitta na ikaendelea kujengwa wakati wa Mhe Jemadari Magufuli na yeye akapendekeza iwekwe ya umeme badala ya dizeli ilio buniwa na Mh Kilwete .
@trc mi nina swali, roof kwenye platform zenu hazijacover platform nzima,je nyakati za mvua ni utaratibu gani utafanyika ili watu wasiloe? pia stesheni ya dodoma inabidi kuwe na lane mbili ndani ya stesheni na ndo sababu ya kujengwa platform mbili, je itajengwa lini?
Mhe SSH amethubutu na ameweza saaana, yaani ana uwezo wa kushika kikombe cha kahawa na Kuongoza vizuri tu, sio kutumia mabavu na manguvu, Kuongoza Nchi ni coordination tu na ameimudu mno, kuunganisha Viongozi wakawa na lugha moja, tukiendelea hivi tutafika mbali mno. Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mbarik SSH
Dah! Hii kitu Magufuli ilibidi aione na hata huko aliko Mungu amsaidie na ampunguzie adhabu ya kaburi
Baba Baba nakuita mala tatu na ya mwisho babaaaaa kwann uliwahi kuondoka mapema hivi daaa😭😭 pumzika kwa amani JPM 😭😭
Acha kukosoa kazi ya Mungu
@@MohamedAhmada-ie7ke nimemtaja Mungu hapo acha kunichonganisha na Muumba basi
Tunamshukuru sana Hayati John Joseph Pombe Magufuli kwa maono yake na uthubutu katika mradi huu. Aendelee kupumzika kwa amani🙏🏿
wanakuchukiaa ss tunawajuaa haooo pigaa kazi tena hatutarudiii tenaa enziii ya mwariiiim😂😂😂
uko huru mshukuru tu, ila nakushauri uzidi kumuombea marehem, ila wengine tunamshukuru saana Mama SSH kwa kuendeleza miradi yote ya maendeleo, kwa hakika mitano tena, amethubutu na ameweza, je una swali lingine? yule aliyekuwa anamwabudu Magufuli sasa hatunae tena , ila anaemuabudu Mungu , Mungu yupo na hana sifa za kufa, Tanzania kwanza Mengine baadae, kama una chuki hama Nchi
Maono ya Marais wa EAC , Museveni,Kikwete na Uhuru kenyatta hio Reli iko katika manifesto ya Africa Mashariki na ilandaliwa na Mhe Rais kikwete na kwa upended wa Kenya Ni Uhuru Kenyatta ,kazi imeanza baada ya kuweka Mataruma na Mhe Samuel Sitta na ikaendelea kujengwa wakati wa Mhe Jemadari Magufuli na yeye akapendekeza iwekwe ya umeme badala ya dizeli ilio buniwa na Mh Kilwete .
Asante Yesu kwa kazi njema. 🙏💃💃💃
Hongera Sana Tanzania, Hongera Sana Raisi Wetu Mama Yetu Samia Suruhu Hassan, Hongera TRC..2025 tupo Na Mama tupo Na CCM.
@trc mi nina swali, roof kwenye platform zenu hazijacover platform nzima,je nyakati za mvua ni utaratibu gani utafanyika ili watu wasiloe? pia stesheni ya dodoma inabidi kuwe na lane mbili ndani ya stesheni na ndo sababu ya kujengwa platform mbili, je itajengwa lini?
Jamani mbona ata sija skia mtu ana shukuru yapi merkezi.... contractor shames kweli
Analipwa ni wajibu wake
Magufuli ndo uti wa mgongo wa hii leli, japo samia pia kaimalizia na kaweka bei nzuri pia
Mhe SSH amethubutu na ameweza saaana, yaani ana uwezo wa kushika kikombe cha kahawa na Kuongoza vizuri tu, sio kutumia mabavu na manguvu, Kuongoza Nchi ni coordination tu na ameimudu mno, kuunganisha Viongozi wakawa na lugha moja, tukiendelea hivi tutafika mbali mno. Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mbarik SSH
why don’t you give use updates of lot 4 and 5?
Good question, and Lot 3 too
Tunaomba Kwneye booking pawe na sehem ya kuchagua seat number na sio.changanyikeni
Kumbe nyie amna mlichofanya mana kila kitu kafanya mwenyewe mama.mama oyeeeee
Mizigo mnaanza lini?
Hastaili kushukuliwa mm anaestahli ni hyt jpm nac hyo mnaempamba
Bebeni abiria mda ndio huu.