Keir Starmer awa Waziri Mkuu wa 58 wa Uingereza

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Keir Starmer ameahidi kuijenga upya nchi hiyo baada ya chama chake cha Labour kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo uliomaliza miaka 14 ya utawala wa chama cha Conservative.
    #AzamTVUpdates
    Mhariri | John Mbalamwezi

Komentáře •