MOHAMED KAWAIDA ALIPUKA WANAOPINGA DP WORLD KUPEWA BANDARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►CZcams: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Komentáře • 19

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 21 dnem +5

    Hakuna mtu mwenye nia ya kuuza Nchi, Nchi iko mikono salama saaana chini ya SSH, Dunia inasonga mbele haisimami, kazi nzuri saana inayofanyika Bandarini

  • @bonifacedanielmwakisunga9638

    Vijana msiwe machawa kwa faida za walio juu kuweni makini sana na kauli zenu kuangalia kesho yenu na watoto wenu sio upigaji debe

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Před 21 dnem +1

    Mbona kodi nyingi pesa hatuone hajira hakuna tupunguzieni kodi makato hadi kwenye cm

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h Před 21 dnem +1

    Kama kuna faida mbona kodi nying kwa sisi wananchi punguzeni kodi nasisi tuishi kwa raha chukuen faida hyo mnayosema nass tupate ahueni ya maisha😢

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Před 20 dny

      Sasa yaani muekezaji ndio anaingiza vifaa hajakamilisha kazi rasmi ajaanza vzr,wape mda kisha huko mbele meli nyingi zikishaaingia na tukaona basi kuhoji kupungua kwa kodi itakuwa haki yako kabisa

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 21 dnem

    Mnakaa mnasifia sifia ujinga,kwanza mmeonesha udhaifu wa serikali,kwanini wapewe bandari wengine,na wapate faida hali yakuwa serikali yetu ilishindwa huo si uthaifu wa serikali yetu.Yani mnapenda kutafuniwa kweli,,kodi zinapanda Kila siku acheni zenu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 18 dny

    Mm nadhani waliokua wanapinga walikua wamehongwa na walipa kodi

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Před 21 dnem

    Sisi hatuwezi kushangaa mitambo ni yao tunataka matokeo na hiyo volum zionekane.magufuli alifanya muda mchache mazuri sio kwa kukodisha bandsri tuone matokeo

  • @IbrahimKabeniani
    @IbrahimKabeniani Před 21 dnem

    Sasa mwekezaji namambo ya mitano tena kwani mda wakampen imefika

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 21 dnem

    Acheni kusifia ujinga,maana faida huwezi kuiona kwa siku hizi chache huo ni uongo na ni unafoki.Simamieni ukweli,hata kama ukifukuzwa kazi utaishi tuu mbona sisi tunaishi kwa kutumia elimu yetu wenyewe bila kuaniliwa na mtu.

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances Před 21 dnem +1

    Nyie Mnatuonesha Hizo Picha Ndani Ya Mikataba Hakuna Anayejua Kinachoendelea na Faida Hakuna Mtanzania Mwenye Uhakika Kama Kuna Faida inapatkana au Kuna Wizi Unaendelea Kama Kawaida ?"

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 Před 21 dnem

      Muda ndo utakao ongea mana kwa kawaida mkataba ni siri kijana ila ufanisi ukibadilika bandarini na mapato yakiongezeka basi hayo ndo mafanikio

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 21 dnem

    Ndio maana namuona Makonda tuu ndo anaefanya anacho kijia sio wengine waoga tuu

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 Před 21 dnem

    Kusema huko ndo kumesaidia yote hayo

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 21 dnem

    Sasa hivi najua mchanga wata beba hadi mawe maana hakuna kuingia bandalini nyie viranja,mnasimamia mali za warabu tuu.Kinacho patikani ni mali ya warabu ninyi hadi mgawiwe faida utadhani sio kwenu.Hamnatofauti na ombaomba maana unasubiria ugawiwe pasipo kujua kilicho patikana

  • @MichaleMwakyambiki-pq4co
    @MichaleMwakyambiki-pq4co Před 21 dnem +1

    Kwa hiyo mnapingana kauli alizo kuwa anatoa makufuli ?

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Před 21 dnem

    Hao ni viranja tuuu. ni wasimamizii tuuu