“Mwana FA” aahidi Serikali kuendeleza zaidi michezo ili kuongeza ajira

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • Serikali imesema imedhamiria kuinua vipaji vya michezo kwa vijana kwa kuwawezesha kucheza kwenye mfumo rasmi ili kusaidia kupata ajira kwa wepese.
    Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma wakati wa fainali za mashindano ya Mzava Cup yaliyofanyika wilayani Korogwe mkoani Tanga.
    Imeandaliwa na Mariam Shedafa || Mhariri @moseskwindi

Komentáře •