ISHU YA AZIZ K YAIBUA MAZITO,GB64 ADAI UKIUWA KWA UPANGA UTAKUFAKWA UPANGAAWATAKA YANGA WAVUMILIE TU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • #ahmedally #yanga #alikamwe #yanganasimba #kariakooderby #youngafricans #simbasc #hajimanara #simba #azamfc #azamtv #azam
  • Zábava

Komentáře • 164

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi Před 15 dny +4

    Eng Hersi Said amekujaza mimba kudadeki

  • @HelenAllySorirey
    @HelenAllySorirey Před 15 dny +3

    Kweli nimeamini makolo wazee wakipayuka

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile Před 16 dny +8

    Aziz ki kuja Simba ni ndoto gb 64 we waokote Wana Simba wengine ila Mimi umenikosaaaa

    • @kitaraabdi9529
      @kitaraabdi9529 Před 15 dny +1

      Mtasema tu tajiri kaludi

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 Před 15 dny

      Tajiri yupi unaemsema?muda ule alikuwa wapi?hapo mnajifariji kupitiliza​@@kitaraabdi9529

  • @geraldmbengwa6381
    @geraldmbengwa6381 Před 16 dny +5

    Wewe kama huvuti bangi basi utakuwa chizi, Aziz ki bado yuko sana

  • @mwanangusana
    @mwanangusana Před 16 dny +5

    😂😂😂😂. Generator la uongo ..... kelele nyingi kiboko yao ni Mangungu

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 16 dny +11

    Mashabiki wasimba ni mazwazwa wa karne basi hapo kwa akili zao zakupayuka wanaamini kwamba nikweli ki anakwenda simba🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 Před 16 dny +3

      😂😂😂😂😂 yani kaa wanywa gongo 😂😂😂😂😂

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 Před 15 dny +1

      Mnawashwa eeeh!!!???

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Před 15 dny

      Hapo hajasema km anaenda Simba acha uchiz au kiswahili sio lugha yko huelewi hapo

    • @donkhan6841
      @donkhan6841 Před 15 dny

      Hawajui kwamba ni swala la branding na marketing. YANGA ndio timu pekee inayojua kucheza na akili za watu

    • @yonaivan
      @yonaivan Před 15 dny

      Kapimwe akil ww, kwan kuna mtu aliamin chama anakwenda utopolon, ww subir majibu tu

  • @jessicaanania6326
    @jessicaanania6326 Před 14 dny +1

    Hela ya Chama tunayo na Aziz tunayo tajir yetu cyo chupli,chupli😂

  • @JofreyNyelo
    @JofreyNyelo Před 16 dny +5

    Ww utachekea chooni kesho tu!

  • @reggezawady4994
    @reggezawady4994 Před 15 dny +1

    Yupoooo

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 16 dny +5

    Mtasubili sana kolo nyiye

  • @EliasFijabo-pt2zb
    @EliasFijabo-pt2zb Před 15 dny +2

    Mechi ya costa ilikuwa mbombo ngafu Azizi ki aliiamua mechi dah gb aisee mbombo ngafu musimu ujao yanga wajipange mbombo ngafu

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 16 dny +2

    Waweke sawa Enginiaaaaa😂😂😂😂

  • @user-ot7yi6eq7s
    @user-ot7yi6eq7s Před 16 dny +4

    Ukifiwa na mzazi huwezi kuamini mpaka azikwe

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Před 15 dny +1

    Kuanzia leo sikuamini tena mbwaaa we

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 Před 15 dny

    Ama kweli!!!!

  • @user-ze7zq9eq3k
    @user-ze7zq9eq3k Před 16 dny +2

    Tulia ww hutambuliki msimbazi...ukivua miwani ww mwenyewe umefanana na dube😂😂😂

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 Před 15 dny +1

    MASHABIKI WA MAKOLO NI MAMBUMBUMBU WANAAMINI UONGO KULIKO UKWELI,NDIO MAANA YANASUKUMWA NDANI,🤣🤣🤣🤣🤣🤣😛😛😛😛😛😛😛😛

  • @khalidjmaftah9449
    @khalidjmaftah9449 Před 13 dny

    Yaaan anajiona ana akili sanaaa kuliko Hersi😂

  • @houmdmajid-ur9dp
    @houmdmajid-ur9dp Před 15 dny

    Hili jama mm silikubali tena sahiv bada kupata umarufu sahiv anaropoko t mwanzo akiongelea mpira vzuri

  • @maulidichongoe5192
    @maulidichongoe5192 Před 16 dny +2

    3:47 imeisha iyo

  • @AlfredEssau
    @AlfredEssau Před 16 dny +1

    Mzee uctumie nguvu saaana, wenzako wako kiuchumi zaidi!! Fanya utafiti kwanza maana unawapoteza Makolo wenzako!! Ndo maana mwandishi Justine Kessy aliwahi kusema jamani someni, nendeni shule!!!

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 Před 15 dny

    Ama kweli huna akili

  • @GiseracharlesGiseracharles

    Kweli walisema duniani Kuna watu na viatu GB 64 nikiatu tuu

  • @jeremiamadinga9579
    @jeremiamadinga9579 Před 15 dny

    Kumbe nikweli ulitumbuliwa hunaelim mazungumuzo Yako niyamtu hajaendashule

  • @kitengekitenge4881
    @kitengekitenge4881 Před 14 dny

    Unarpoka sana sometimes! Angalia utapoteza heshima

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 Před 15 dny

    Gb64 una mtindio wa ubongo subiri 5 tena tarehe ya ngao ya jamii na Aziz atwafunga Simba goli 1 katika kipigo cha siku hiyo Inginia anatembea na akili za mabwege kana hili hapa

  • @JeladiMtengwa-p6v
    @JeladiMtengwa-p6v Před 16 dny +2

    namba yako nayipatje kaka kuna soda balidi yakwako

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi Před 15 dny

    Hivi umeshahamia Azam

  • @fazo-kl9fu
    @fazo-kl9fu Před 15 dny

    Awez ondoka yanga ongeza kufikiria

  • @AyubuRamadhani-wz4gk
    @AyubuRamadhani-wz4gk Před 14 dny +1

    Pumbavuuu

  • @ChoghoghweDaudi
    @ChoghoghweDaudi Před 16 dny +1

    Hawa watu wasioamini wanashida yaakili? mbona chama aliondoka jamani

  • @user-up4kd4di7h
    @user-up4kd4di7h Před 16 dny +1

    Sema mdogo wangu ukweli

  • @IsmailHija
    @IsmailHija Před 15 dny

    Ki azizi bado yupo yanga

  • @kamanda7703
    @kamanda7703 Před 16 dny

    Gb 64 ungeweka wazi tuu. Yanga ni mawakala au madalali wa ki aziz lakini hawawezi kuuza mchezaji ambaye hana mkataba kwao . Ila yanga hawataki kutoka mkono mtupu wapate japo chochote na ni haki yao kupata vi coins kwa yale mambo walofanya pamoja na ki aziz

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana

    Gb64 ww ni mjinga na unatumika. Uingozi wa Yanga upo makini hauwezi ukanyamaza kimyana kumwachia Azizi Ki.

  • @georgelyimo2138
    @georgelyimo2138 Před 15 dny

    Halafu anajifanya alikuwa mwalimu

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před 16 dny

    Pumba zingine ulizoongea ila ulichosema kweli viongozi Kama kweli walikuwa na Nia ya dhati na Aziz wasingeshughulika na Chama na hilo Mimi nilicoment huu ni uzembe.

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 Před 15 dny

    Mfoji Vyeti Akili yake haina Msaada kwa Jamii
    Mropokaji na mbea na unafiki walimuweza walipo muweka Rokapu alipo tolewa Akili imerudi nyuma

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 16 dny

    Mnapata taaaabu kumuingelea Azizi Kii badala mjipange,sivyo mtapikwa 12😂😂😂

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo6302 Před 15 dny

    Kwachama ulijiapiza Sana leoyuko wapi

  • @user-xq8oo1qz3p
    @user-xq8oo1qz3p Před 15 dny

    Huyu jamaa alituambia chama kasaini Simba miaka miwili

  • @subiralema
    @subiralema Před 15 dny

    Punguzeni maneno kasharudi😂😂😂😂😂

  • @AnethKauzen-yz1ws
    @AnethKauzen-yz1ws Před 14 dny

    Aibu Yako sasa k huyo ndani ya yanga

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi Před 15 dny

    Leo ndio nimeamini maneno ya alhaj Ismail Aden Rage kuwa nyinyi ni mbumbumbu

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 Před 15 dny

    Umeingizwa Chaka wwe we nidogo Sana kwenyempila

  • @SaidSammedia
    @SaidSammedia Před 16 dny +1

    Gb umeishiwa ww roho yakutapatapa

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 16 dny

    😂😂😂😂 kweli huyu boya
    Kama alivyosema atahama chama akihama leo anaongea pumba kweli😂😂😂
    Huyu hajui yanga ni mafya
    Eleweni azizi ki ni mali ya Yanga

  • @neemabochellah8416
    @neemabochellah8416 Před 13 dny

    Hersi anajuwa kuwachetuwa makolo kikowapi sasa

  • @JuniorMbando
    @JuniorMbando Před 15 dny

    Huyo jamaa hanaga akili ndo maana alipelekwa polisi

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Před 16 dny +1

    YANGA WAONGO

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 Před 15 dny

    Mhhhh!!! Ww mtego huo Aziz yupo

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 Před 15 dny

    Tunza kumbukumbu hii azizi bado yupo sana yanga shauli yako

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Před 15 dny

    Mshabakwa teary nyieee😂

  • @nasseralshaibani6995
    @nasseralshaibani6995 Před 16 dny +3

    Viwango gani? Kucheza na majini

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 Před 13 dny

      Inaonekana wewe ni muumini Mkubwa wa Majini! Unayafuga nini!

    • @nasseralshaibani6995
      @nasseralshaibani6995 Před 13 dny

      @@matiankomola2391 ntakuletea na wewe wakukabe roho. Nnashinda na wewe na nnakupa mfano mechi ya fainali yanga vs coastal union ile mechi ilikuwa ya uchawi wa hali ya juu na umeona uwezo wa Akpan alikuwa star simba wakamchukua na matokeo yake nini?

  • @richardrashidi7878
    @richardrashidi7878 Před 13 dny

    Apigwe vibao huyo kama alivyo sema apigwe, haya sasa mwamba master k kabaki analakusema huyo?

  • @mudywambash6684
    @mudywambash6684 Před 15 dny

    Kachane nywelewweeeee

  • @Hope-ok9dy
    @Hope-ok9dy Před 15 dny

    Yani azizi kii acheze shirikisho unaumwa wewe laana tumia akili kuma wewe

  • @peterpain5594
    @peterpain5594 Před 15 dny

    Haaaaah!! Kwaiyo Aziz k yy asikilize maneno ya madhibiki wakulopoka lopoka kama mwalimu kweli ww kweli kubwa jinga apo kalume haufanyi kazi kutwa nzima ww kushinda na waandishi tu iloooooo kubwa jinga

  • @user-xm7ew1uj1g
    @user-xm7ew1uj1g Před 16 dny

    Huyu akili yake imeyumba kwanza ahamie azam km alivyoahidi kwamba chama akienda yanga anahamia azam m ona hajaenda leo anamzungumia aziziz ki huyo anaakili kweli? yaani Kwa ueledi wa viongozi wa yanga ulivyo ni wakumwachia azizi ki aka heze shirikisho ht mchezaji atakuwa na akili kweli aende simba raisi amewazinhuwa wamezingulika watu wenye akili finyu km huyu dishi limeyumba huyo

  • @AndrewBernard-l3j
    @AndrewBernard-l3j Před 16 dny

    Mmh hata hujui kitu

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d Před 15 dny

    Yanga wanasafiri wazee wa tasafu

  • @hoseadyson4474
    @hoseadyson4474 Před 15 dny

    Kaka yanga siyo mambugila kama viongozi wa simba azizi k kitambo sana Alisha sine yanga usipoteze nguvu zako zote kuongea kaka yanga na kesho kutwa tu utapigwa makofi ahooo

  • @mmewaswida
    @mmewaswida Před 16 dny

    Huyu mjinga bado anaweza kuzungumza mbele za watu.
    Mwehu tu huyu

  • @daruweshshifaaonlinetv6958

    We akili una

  • @user-ht5vo2em4f
    @user-ht5vo2em4f Před 15 dny

    achen upumbav. Niny uto pwax AZZ k yet nan mpaka ache Simba

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před 15 dny

    Mhuuu huna akili ww wangejua wakuache lokapu kumbe jinga pori

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Před 16 dny

    Ndio maana Mimi simpendi Mwalimu yanga na god nawaonaga kama waseng maana hupenda kutuharibia kwa misifasifa yao

  • @harranmkocha2753
    @harranmkocha2753 Před 15 dny

    Kunywa simu tu ufe. Hazikutoshi kabisa

  • @Abuu-gs1yi
    @Abuu-gs1yi Před 15 dny

    Watoto wako wasipokusalimia unakasilika kumbe dingi hamnazo

  • @BilaliBilaliamri
    @BilaliBilaliamri Před 15 dny

    Sikia ili tahira maskini yamungu

  • @rashidrashidmaulid1129

    Afu kweli we ni chapombe Leo ndo naamin

  • @Farida-vg5ry
    @Farida-vg5ry Před 16 dny

    Hizi ni propaganda tu kazitengeneza GSM sio kweli aziziki kuja Simba wametengeneza propaganda

  • @bashirjama8225
    @bashirjama8225 Před 15 dny

    Hujamuelewa hajasema anakuja simba

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg

    Kolo wanaridhika haraka

  • @twahamapande2702
    @twahamapande2702 Před 14 dny

    Umri wako na vitu unavyo viongea tofauti

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 Před 15 dny

    Tabu ni kwamba unapiga kelele sana sio unaongea unayoyajuwa redio ugali itakupoza ndio maana ulsweka ndani

  • @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf

    Huna akili wew

  • @rukiamkwayo6302
    @rukiamkwayo6302 Před 15 dny

    Ndio maana uliwekwa ndani

  • @RehemaAbdala-kp9dz
    @RehemaAbdala-kp9dz Před 15 dny

    hahahaha inauma ee ndio kwanza mambo yapo mezani

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 15 dny

    HILI NALO KUNA KIPINDI LINAKUWA ZWAZWA TU

  • @SundayMbatia-hr8qp
    @SundayMbatia-hr8qp Před 15 dny

    Hv kwann mwana aliitwa gb 64😂😂😂

  • @Juliusbagasheki
    @Juliusbagasheki Před 16 dny

    Kumbe GB 64 unabwabwaja tu mimi nilidhani unayoongeaga unafanya utafiti kwanza ( No research ...no freedom to speak) for your information Ki Azizi really is a Young Africans Sports Club player.!

  • @user-xt9ne1mx1c
    @user-xt9ne1mx1c Před 16 dny

    Nyie ropokeni tu hasa wewe ulisema chama hawezi kwenda Yanga na kaenda Azizi haondoki Yanga mnachuuzwa akili tu

  • @hamisibakari6525
    @hamisibakari6525 Před 15 dny

    Etii nilikuwa mwalim

  • @NduwimanaMoussa-bu3ic
    @NduwimanaMoussa-bu3ic Před 15 dny

    Wegb.unaropoka.sana.mwisho.naweye.namsemaji.wenu.mtayibika.mnepigwa.kufra.azizik.hajasaini.hukumuona.mamayake.wakati.alikuwa.hapa.kaenda.nampunga.wamyaka.miwili.ya.z.aziziki.mtaropoka.sana

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 Před 15 dny

    Mbumbumbu fc Kiko wp? Mnazugwa tu soka Ina wenyewe kolo

  • @user-lg3mv3ny4c
    @user-lg3mv3ny4c Před 16 dny

    Kwani ameondoka?

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Před 15 dny

    Kumbe we MBUMBUMBU kweli

  • @user-zd9dx8lv5t
    @user-zd9dx8lv5t Před 16 dny

    😂😂

  • @Faridagongo
    @Faridagongo Před 16 dny

    Ya wenzenu je nyie chama kawatendea mangap mbona mnamdharau mmesahau lini

  • @OmallyAlly-cy3yt
    @OmallyAlly-cy3yt Před 16 dny

    Tulia kidogo wewe kutudanganya kwamba umekaa na mo kwamba chama atabaki simba mwisho wayote chama akaenda yanga kwaivyo kutoka hapo nimekuwa nyota hunaukweli kwaivyo ki azizi atacheza yanga punguzo mdomo kidogo mm naamini utafikia.

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g Před 16 dny

    Ndo maana wanakuweka selo unakulupuka

  • @edwarddastani3691
    @edwarddastani3691 Před 16 dny

    Kaka utawauwa utopolo kwa pressure 😂😂😂😂😂😂😂

    • @AlfredEssau
      @AlfredEssau Před 16 dny +1

      Huyu c alisema Chama akienda Yanga anaacha kushabikia Simba! Hanaga vyanzo sahihi vya taarifa, yeye anaangalia online videos tu!! Ila kwa kuongea ni mtu na nusu

    • @awetumtengera1147
      @awetumtengera1147 Před 16 dny

      Huna jipya ww na hata azizi k akiondoka pengo lake litazibwa na wengine. Hata waliokuwepo hukuwajua na walifika wakavuma na tukawafunga kifurushi Cha wiki na wale wale Bado wapo hii ndiyo yanga Daima mbele nyuma mwiko💚💚💚💚💚💚.

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 Před 16 dny

      Sisi sio mambumbumbu kama rage alivyo waita
      Hapa ndio unaona kiwango Cha umbumbumbu😂😂😂😂😂😂😂

    • @msemakweli...
      @msemakweli... Před 16 dny

      Na kweli atawaua utopolo wa mo dewji kwa pressure wakigundua Aziz Ki bado yupo.😅😅😅😅

  • @saidmansoor8528
    @saidmansoor8528 Před 16 dny

    Kifariji 😅😅

  • @DeodathChinyamba
    @DeodathChinyamba Před 15 dny

    Hahaaaaaaaaa

  • @msemakweli...
    @msemakweli... Před 16 dny

    Hii akili ya huyu jamaa ndo akili ya mikia wote yaani jana Hersi alipomaliza tu ile interview yake mo dewji akatuma offer kwa Aziz Ki😅😅😅😅😅😅😅😅

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Před 15 dny

      We akili yako kama ya Baba yako wa kambo mjinga wewe Mo una ushahidi kua ali tuma offer? Unamfuata Momo akili za kuambiwa changanya na za kwako. Tumia akili kumtafuta Baba yako wa halali. Usitumie Matako kwenye kufikiri.

    • @msemakweli...
      @msemakweli... Před 15 dny

      Yamekuchoma eeh!? We nae ndo wale wasiokua na akili ni kama umetolewa ubongo ukawekewa mavi😂 pole ukweli ni kwamba mmeingizwa mkenge na Hersi mafala nyie. Tajiri yako kakurupuka ka ushuzi katuma offer asijue Hersi anaongea nini. Asee Rage habahatishi kuwaita majuha🖐🤣🤣🤣🤣😬@@MrishoMindu-zq7mz

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Před 15 dny

      @@msemakweli... we sio bure utakua kisoda cha Bar kila mlevi ana kikanyaga hujielewi . Inawezekana soka la Bongo umeanza kulifuatilia Baada kukosa mbolea ukaona uache kilimo. Ufuatilie Soka la Bongo. Lina Drama Nyingi sana acha uchizi pimbi laa zili. Rage nani akisema neno ni Sheria? Rage akikwambia mimi Baba yako unakubali kwa sababu kasema Rage Badala kuushirikisha kwanza ubongo wako una shirikisha kiduara ktk kufikiri. Jiongeze toka gizani. Ndio shida ya Mijitu ya Bara.

  • @mirajiali3926
    @mirajiali3926 Před 15 dny

    Chizi wewe usikatae kutiwa makofi leo maana wewe unatoa ahadi halafu unashindwa kutekeleza

  • @aleyidukury8333
    @aleyidukury8333 Před 16 dny

    Nilikuwa nakukubali lkn kumbe naww nizuzu tu ulisema chama akienda yanga unahamia Azam au siyo ww kumbe naww nibwabwa tu mchome ndio shabik wasimba mwenye akili

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Před 15 dny

      Usijifariji mchome anapumuliwa kisogoni kama wewe tu usimuonee wivu ongeza ufundi wateja wataongezeka tu. SIMBA ina watu wenye akili %100. Mliambiwa kwenye timu nzima ile watu wote hawana akili wenye akili ni watu wawili tu Rais mstaafu na Mz Manara. Sasa ktk hawa watu wawili walio twajwa hapa wewe upo? Kama haupo jibu liweke matakoni. Acha Mchomwe ww na mwenzio mchezo mlio uchagua sio rafiki mbele ya safari.

  • @user-pr8tz8tc8s
    @user-pr8tz8tc8s Před 16 dny

    Acha kelele wewe dili na wawato wenu wa simba b hao mlio wapandisha

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před 16 dny

    Msikilize mzee wa kudele