ALI KAMWE ATANGAZA RASMI AZIZ KI ANAONDOKA/AMEPATA OFA ULAYA/CHAMA ATATUSAIDIA NA BALEKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • #alikamwe #hersisaid #live_ #mayele #msuva #yangatv #azizki #yanga #yangaleo #yangasc
  • Sport

Komentáře • 100

  • @carolinambalamwezi4216
    @carolinambalamwezi4216 Před 15 dny +5

    Azizi ki bado yupo sana tuliosoma cuba tunajua namna Rais Engineer alivyoweka tesheni kuwavuluga makoloo ni vile Harmonize huwa anafanya

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Před 15 dny +4

    Hauwezi kua uzembe wa vioongozi club ina bajeti ya kufanya usajili kama amepata pesa nyingi ulaya acha aende tu mimi sishangai namwombea

  • @KarokiaNdirango-lj3wf
    @KarokiaNdirango-lj3wf Před 16 dny +6

    Azizi K hata mwakani haondoki yupo mpaka 2026

  • @mombasa0076
    @mombasa0076 Před 15 dny +1

    TUACHE UDAKU NA TUSUBIRI HABARI ZA KUAMINIKA.❤

  • @DANIELMAYUNGA-bm4mp
    @DANIELMAYUNGA-bm4mp Před 15 dny

    Haijaisha mpaka iishe mie najua kiii master yupo sanaa jangwani

  • @herrymsagati3270
    @herrymsagati3270 Před 16 dny +8

    aziz ki bado mchezaji wa yanga acheni woga

    • @selemanmcharazo
      @selemanmcharazo Před 16 dny

      Hivyo hukumbuki Mayele Ilikuwa hivi hivi,mi naona kama imeisha hiyo.

    • @francisjustus-zc8se
      @francisjustus-zc8se Před 16 dny +1

      Sio mbaya ndo maana ya soka acha akatafute marisho sehem nyingine

  • @LinnahRaphael
    @LinnahRaphael Před 15 dny +1

    aziz ki akitaka kuondoka aondoke tu yanga tuache kung'ang'ania mchezaji huenda hatafanya vizuri msimu ujao

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Před 15 dny +1

    Mimi nilikua naomba gwede angebaki hata kama azizi akiondoka hakuna shida timu bado ni nzuri yanga bingwa tena

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před 16 dny +1

    myie mnafikiri watapataje ela bila kuwafanya mazombi ili waongeze ela

  • @PendoJacob-t3r
    @PendoJacob-t3r Před 16 dny +3

    Yanga ni kubwa kuliko Aziz Ki

  • @JosephChalle-y1c
    @JosephChalle-y1c Před 15 dny +1

    Viongozi wawe wakwel nasiokujizimisha dat

  • @Elihurumamathew
    @Elihurumamathew Před 16 dny +1

    Yanga wakiondoka gsm na hersi saidi hapo ndipo yanga tutayumba ila siyo mchezaji nyinyi hangaikeni na wakina debora mpagama wachezaji waliofeli kwenye timu zilizomaliza nafasi ya 13 nahao waliotoka kwenye timu zilizoshuka daraja mwisho wa msimu tukutane tuone nani bingwa nani atamaliza nafasi ya 4 kushuka maana bingwa yanga nafasi ya 2 azam wanaofwatia hapo hatujui

    • @marcobulili4341
      @marcobulili4341 Před 16 dny

      Je wenzetu MO akiondoka itakuaje!? Kolo wameugua ujinga kwa MO

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 16 dny +2

    Comments zenu mngezitoa kwenye Yanga TV, huyu scope atazipeleka wapi? Kwanza mshamba tu, heading yake na habari yenyewe hata havifanani.

    • @Hope-ok9dy
      @Hope-ok9dy Před 15 dny

      Acha ukuma wewe kahaba mchovu kuma nini wewe

  • @shabbirbharmal7876
    @shabbirbharmal7876 Před 16 dny

    Kama aziz ki kweli anaondoka asiondoke😢

  • @MikidadiNyangi
    @MikidadiNyangi Před 16 dny

    Azizi k anapenda hela sio yanga vip wewe acha ushamba asiende ulaya abaki kuwa masikin yanga

  • @stevensosipita
    @stevensosipita Před 16 dny +1

    GUEDE ILIKUWA TUMVUTIE MUDA NI BONGE LA STRAIKA LAKINI YANGU MACHO

  • @JohnsoniNyaulingo-lj9qc

    Guede imekuwaje mbon jamaaa anafunga saan mechi chache kmzid mpk kibu

  • @KindambaMtunje
    @KindambaMtunje Před 15 dny

    Mtaisoma naomba mwaka huu

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 16 dny

    Guede alianza kuingia kwenye mfumo wa Gamond na alianza kuwa mwepesi kiwanjani alichangamka! Kwa vile nmpira basi imekuwa. Ila Baleke ndiyo lkn namuonaga kolo sana yule afu duka

  • @kelvinbinemungu3939
    @kelvinbinemungu3939 Před 15 dny

    Kwan yanga haiwez kucheza bila Aziz ki??

  • @mariamemadoshi5540
    @mariamemadoshi5540 Před 15 dny

    Nyie mashabi wenzangu mwacheni aende anakoona panamfaa yanga ni kubwa na bado tu atimu nzuri acheni kulala mika kwasababu hata mkisema mlazimishe hawezi mpira ni biashara achenj nayeye akajaribu kama mayele tumpe mau yake tumwombee akafanye vizuri huko aendako tuache lawama jamani

  • @user-wl4yo4zp9t
    @user-wl4yo4zp9t Před 15 dny

    Utopolo chukueni baleke NY is ndio dampo la Simba okoteni tu

  • @mekushop
    @mekushop Před 16 dny

    Ni kweli Azizi kii anaondoka

  • @IsabelaElasto
    @IsabelaElasto Před 15 dny

    Wasenge mlichokiandika namlichokisema tofauti

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 16 dny

    Mnajitekenya na kucheka wenyewe. Huo ni uzwazwa wa kizamani.

  • @SumiziBalungula
    @SumiziBalungula Před 16 dny

    Ameondoka we siunaona Aly alivyopoa

  • @aishakhamis714
    @aishakhamis714 Před 16 dny +1

    Mimi yanga usajili wa baleke kwangu sio mzuri bola geede

  • @user-fe6bf3td2q
    @user-fe6bf3td2q Před 16 dny

    haondoki ni drama tu zinachezeshwa maana hawana habari za kuongelewa tofauti na jambo la chama ambalo limezima, ki aziz kasaini jangwani kwa kandarasi ya miaka miwili, hamna lolote tunadanganywa kama watoto

  • @GidionAlex-p5w
    @GidionAlex-p5w Před 16 dny

    Kama Aziz ki ameondoka yanga daaa

  • @JoshuaMgeni-f2c
    @JoshuaMgeni-f2c Před 16 dny

    Baada ya Manisha Kuna aisha mengine

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo8412 Před 15 dny

    Atawavuluga vyula cmba miaka 30 hatuchukui

  • @godfreydidas2575
    @godfreydidas2575 Před 16 dny

    Unatafta kiki kptia simba 2mexhakuxanukia wa kuzimia

  • @ChenjeTz-z7o
    @ChenjeTz-z7o Před 15 dny

    Nyie mmezingua kam mmemtoa ki aziz

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz Před 15 dny

    Gwede abaki jamani please

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 15 dny

    Aliyesema AxizikAondoka ni Enginiaer au wewe???

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 16 dny

    Azizi ki amesaini Yanga

  • @adelinapesha6556
    @adelinapesha6556 Před 16 dny

    KAMA KWELI YANGA ITAMUACHIA AZIZ KI, BASI YANGA HAINA MALENGO NA HAINA MPANGO NZURI WA KUCHEZA CLUB BINGWA AFRIKA. KWANI HIYO B. 1.3 YANGA IMESHINDWA KUTOA KUMBAKIZA AZIZ KI? SI BORA KUPUNGUZA WACHEZA UKAMBAKIZA AZIZ KII. KUONDOKA KWA AZIZ KUNAWEZA KUBADILISHA KABISA MFUMO. NI MAONI YANGU TU!!!

  • @costantinemgalle1910
    @costantinemgalle1910 Před 15 dny

    Wanahabari wavichochoroni! Tena hata aibu hamna! Kichwa cha habari hakihusiani na content iliyopo. Mnafikiri huu ni ujanja lakini, kwanza mnachafua uwanahabari, afu pia yani mnajiharibia kazi. Siku nyingine ukiona Scope Media piga chini tu....mnawafanya hadhira yenu kama vile mambumbu ivi.....

  • @daudlubugwa4696
    @daudlubugwa4696 Před 16 dny

    Km azizi k km ameondoka niuzembe wa viongozi hapo

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 Před 16 dny

      Sio uzembe jaman watu walimpenda sna, lkn mda mweingine hawa wachezaji wa kigeni wakiona wamemliza msimu kwa mafanikio wana leta dau kubwa sna ambalo hata kama ww ndio bos lazima uwangalie malambili, nini utaenda kukipata baada yahilo , mtu anataka bilioni 1,ndio asaini na mshahala kila mwezi milion 60,hiyo hela mtu mmoja kweli? Kwani anacheza pekeyake pale uwanjani? Je hawa wengine watajionaje, msilaumu viongozi mda mwingine nawao wanashindwa lakufanya,

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 Před 16 dny

    Mwachen aende simba

  • @makingongosha6738
    @makingongosha6738 Před 15 dny

    Boya

  • @dullahtz7129
    @dullahtz7129 Před 15 dny

    Dampo fc 😂😂😂 mnawachukuwa kwa mbwembwe mnawaacha kwa matatizo wakiwa simba ni wazee wakija kwenu wanakuwa vijana hahahaha 😂

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Před 15 dny

    Wanasimba mashabiki makini na bora ndani ya Bara la Afrika msiingie kwenye Propaganda za Aziz Ki,hz ni propaganda za Utopolo za kujitekenya na kucheka wenyewe.Achaneni kabisa na hy habari hakuna mnaingizwa nyinyi tu ktk vita bandia ya maneno

  • @mustaphasegeja1712
    @mustaphasegeja1712 Před 16 dny

    Aziz ki nan mwache aende

  • @user-wi9bp4uo4j
    @user-wi9bp4uo4j Před 15 dny

    Siku ukimiliki akili utatusumbua sana

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 Před 15 dny

    Kwakumtoa gwede kiukweli wamechemsha

  • @OswardMandikilo
    @OswardMandikilo Před 15 dny

    Mtakoma na bado

  • @user-fe6bf3td2q
    @user-fe6bf3td2q Před 16 dny

    mnakusanya hela kijanja

  • @amosrumbeli4081
    @amosrumbeli4081 Před 15 dny

    Ki is red

  • @daudlubugwa4696
    @daudlubugwa4696 Před 16 dny

    Mmebolonga hapo mmeferi hamuna chenu

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 16 dny +1

      Umelipa card yako ? Umeisaidiaje club yako?

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 16 dny +1

      😂😂😂😂 jifunze kuandika

  • @user-hu2vo1jm8o
    @user-hu2vo1jm8o Před 16 dny

    namna yakujiunga tuelekeze

  • @Dulajuma
    @Dulajuma Před 16 dny

    Mwamba asiondoke

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Před 16 dny +14

    Mmemtoa Guede jamani KWELI mnamleta Baleke daaah pia kama Azizi akiondoka yanga viongozi mtakuwa mmefanya UZEMBE mkubwa sana ila pia namtabiria shekhan Ibrahim kufanya vizuri msimu ujao apewe tu nafasi

    • @nsajigwamwakalinga3591
      @nsajigwamwakalinga3591 Před 16 dny +3

      Wewe baleke ni Bora kuliko guede

    • @irenejameskijoyee5380
      @irenejameskijoyee5380 Před 16 dny +2

      Wamefanya uzembe gani?? Mpira ni biashara acha propaganda

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Před 16 dny +3

      Baleke sio Guede

    • @user-nz2rw7sj9i
      @user-nz2rw7sj9i Před 16 dny

      Huwezi Fanya biashara na mtu ambaye TAYARI amesha maliza mkataba wake! Walikuwa wapi wasimshawishi akaongeza mkataba mapema!​@@irenejameskijoyee5380

    • @francisjustus-zc8se
      @francisjustus-zc8se Před 16 dny

      Ww nawe n bangi viongoz wana kosa gana hapo akati mchezaji mwenyewe ndo anachagua

  • @selemaniramadhani218
    @selemaniramadhani218 Před 16 dny +1

    Kama huna D mbili huwezi kuelewa hapo

  • @GervasKhalfan
    @GervasKhalfan Před 16 dny +1

    Leo sitaki kukomenti chochote ila ngoja nihesabu 1-1000 nipumzishe kichwa 01,02,03,04,05,06,07,08,09,10,11,12,13,14,15,16,17,18,19,20,21,22,23,24,25,26,27,28,29,30,31,32,33,34,35,36,37,38,39,40,41,42,43,44,45,46,47,48,49,50,51,52,53,54,55,56,57,58,59,60,61,62,63,64,65,66,67,68,69,70,71,72,73,74,75,76,77,78,79,80,81,82,83,84,85,86,87,88,89,90,91,92,93,94,95,96,97,98,99,100,101,102,103,104,105,106,107,108,109,110,111,112,113,114,115,116,117,118,119,120,121,122,123,124,125,126,127,128,129,130,131,132,133,134,135,136,137,138,139,140,141,142,143,144,145,146,147,148,149,150,151,152,153,154,155,156,157,158,159,160,161,162,163,164,165,166,167,168,169,170,171,172,173,174,175,176,177,178,179,180,181,182,183,184,185,186,187,188,189,190,191,192,193,194,195,196,197,198,199,200,201,202,203,204,205,206,207,208,209,210,211,212,213,214,215,216,217,218,219,220,221,222,223,224,225,226,227,228,229,230,231,232,233,234,235,236,237,238,239,240,241,242,243,244,245,246,247,248,249,250,251,252,253,254,255,256,257,258,259,260,261,262,263,264,265,266,267,268,269,270,271,272,273,274,275,276,277,278,279,280,281,282,283,284,285,286,287,288,289,290,291,292,293,294,295,296,297,298,299,300,301,302,303,304,305,306,307,308,309,310,311,312,313,134,315,316,317,318,319,320,321,322,323,324,325,326,327,328,329,330,331,332,333,334,335,336,337,338,339,340,341,342,343,344,345,346,347,348,349,350,351,352,353,354,355,356,357,358,359,360,361,362,363,364,365,366,367,368,369,370,371,372,373,374,375,376,377,378,379,380,381,382,383,384,385,386,387,388,389,390,391,392,393,394,395,396,397,398,399,400,401,402,403,404,405,406,407,408,409,410,411,412,413,415,416,417,418,419,420,421,422,423,424,425,426,427,428,429,430,431,432,433,434,435,436,437,438,439,440,441,442,443,444,445,446,447,448,439,450,451,452,453,454,455,456,457,458,459,460,461,462,463,464,465,466,467,468,469,470,471,472,473,474,575,476,477,478,479,480,481,482,483,484,485,486,487,488,489,490,491,492,493,494,495,496,497,498,499,500,501,502,503,504,505,506,507,508,509,510,511,512,513,514,515,516,517,518,519,520,521,522,523,524,525,526,527,528,529,530,531,532,533,534,535,536,537,538,539,540,541,542,543,544,545,546,547,548,549,550,551,552,553,554,555,556,557,558,559,560,561,562,563,564,565,566,567,568,569,570,571,572,573,574,575,576,577,578,579,580,581,582,583,584,585,586,587,588,589,590,591,592,593,594,595,596,597,598,599,600,601,602,603,604,605,607,608,609,610,611,612,613,614,615,616,617,618,619,620,621,622,623,624,625,626,627,628,629,630,631,632,633,634,635,636,637,638,639,640,641,642,643,644,645,646,647,648,649,650,651,652,653,654,655,656,657,658,659,660,661,662,663,664,665,666,667,668,669,670,671,672,673,674,675,676,677,678,679,680,681,682,683,684,685,686,687,688,689,690,691,692,693,694,695,696,697,698,699,700,701,702,703,704,705,706,707,708,709,710,711,712,713,714,715,716,717,718,719,720,721,722,723,724,725,726,727,728,729,730,731,732,733,734,735,736,738,739,740,741,742,743,744,745,746,747,748,749,750,751,752,753,754,755,756,757,758,759,760,761,762,763,764,765,766,767,768,769,780,781,782,783,784,785,788,789,790,791,792,793,794,795,796,797,798,799,800,801,802,803,804,805,806,807,808,809,810,811,812,813,814,815,816,817,818,819,820,821,822,823,824,825,826,827,828,829,830,831,832,833,834,835,836,837,838,839,840,841,842,843,844,845,846,847,848,849,850,851,852,853,854,854,855,856,857,858,859,860,861,862,863,864,865,866,867,868,869,870,871,872,873,874,875,876,877,878,879,880,881,882,883,884,885,886,887,888,889,890,891,892,893,894,895,896,897,898,899,900,901,902,903,904,905,906,907,908,909,910,911,912,913,914,915,916,917,918,919,920,921,922,923,924,925,926,927,928,929,930,931,932,933,934,935,936,937,938,939,940,941,942,943,944,945,946,947,948,949,950,951,952,953,954,955,956,957,958,959,960,961,962,963,964,965,966,967,968,969,970,971,972,973,974,975,976,977,978,979,980,981,982,983,984,985,986,987,988,989,990,991,992,993,994,995,996,997,998,999,1000

    • @user-em2sd9tm1n
      @user-em2sd9tm1n Před 15 dny

      Oya umekunywa pombe gani imekufanya uhesabu 1 hadi 1000

  • @NoelKiwike-wc8wh
    @NoelKiwike-wc8wh Před 15 dny

    Ombaomba fc

  • @BensonBenjamin-dl7lb
    @BensonBenjamin-dl7lb Před 16 dny

    Ally kamwe tunamtaka aziz kiii

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 Před 16 dny

    Yanga acheni kutuweka loho juu kama Aziz mmeshindwa kumsajilj semen acheni kujing'atang'ata

  • @user-zi3iu3es5i
    @user-zi3iu3es5i Před 15 dny

    Nonsense

  • @LoveVoice-c6t
    @LoveVoice-c6t Před 16 dny

    Munatuona bwabwa pira nyie Aziz Aziz kaa kaondoka simuseme fatuma nyie

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg

    Joseph guede alikuwa mchezaji mzuri

  • @francisjustus-zc8se
    @francisjustus-zc8se Před 16 dny

    Washabiki tunaferi sana kwan utamng,ang,ania mchezaji mmoja mbaka lini hakati mpira ni biashara mwaka jana hakua na msim mzuri na tukatoboa kwahiyo mchezajia hakipata marisho mengine muache aende tu

  • @user-nz2rw7sj9i
    @user-nz2rw7sj9i Před 16 dny

    Azizi Ki akiondoka ni uzembe wa viongozi kwakweli kwani Mwenyewe anaipenda Yanga na muda wote amekuwa akiipambania timu .

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 Před 15 dny

      Kama hawa wezi kulipa hela anayotaka, wafanyeje??
      Cristian Ronaldo aliondoka Man U kwenda Real Madrid, unadhani Man U walitaka!

  • @ChenjeTz-z7o
    @ChenjeTz-z7o Před 15 dny

    Nyie mmezingua kweli kam mmemtoa aziz ki

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Před 16 dny

    Ahmed Ali Juu!

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko Před 16 dny

    Haondoki mbona hajaongea kitu kuhusu aziz na nyie acheni uongo

  • @JohnsoniNyaulingo-lj9qc

    Unamleta libalek la nin halafu kwanin mnang'ang'ania mchezaji akitoka simb si tunamchukua me spend

  • @GidionAlex-p5w
    @GidionAlex-p5w Před 16 dny

    Kama Aziz ki ameondoka yanga daaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 16 dny +1

      Kwani Aziz hakuikuta Yanga!? Hivi watu akili zenu zikoje? MAYELE hakuondoka, Fei hakuondoka? Wachezaji wote huja na kuondoka! Akiondoka ni fursa ya kuja mwingine KUENI KIAKILI!!
      ALIYEKWAMBIA ATAFIA YANGA NANI? AENDE!