Video není dostupné.
Omlouváme se.

HAMISA AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE NA AZIZI KI/NILMWAMBIA ASIONDOKE/NINGEONDOKA NAE/NIMPOLE SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 08. 2024
  • HAMISA AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE NA AZIZI KI/NILIYEMBAKISHA/NILIMSHAHURI ASIONDOKE/AMSIFIA NIMPOLE
    HAMISA AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE NA AZIZI KI/NILIMSHAHURI ASIONDOKE/NAKWENDA KWAO/AMSIFIA NIMPOLE #hamisamobeto #hamisamobetoaziziki #aziziki #carrymastorytv #hamisaniliyembakishaaziziki #niliyembakisha

Komentáře • 114

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph Před měsícem +25

    Hamisa nachompendea ni mrembo halafu mchapa kazi sana.... Hongera sana kwa kufungua branch ya Mobettostyles tandika umetumia akili sana👏👏🏾🎉

  • @laylathaji3938
    @laylathaji3938 Před 15 dny +3

    HAMISA achana naomba majungu Tu,azizi ki ngoja ale mzigo,apunguze mawazo

  • @shadrackjuliuskaboya5239
    @shadrackjuliuskaboya5239 Před měsícem +5

    Mungu akutunze hamisa wangu nyie ardhi iinafaidi sana

  • @monicawango2343
    @monicawango2343 Před měsícem

    Hamisa mdogo wangu naomba kazi hapo kwako,hataya usafi,nisaidie my❤

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před měsícem +9

    Huyu kahaba hana aibu atalala na wangapi? Wewe ni malaya tu umekojolewa na wanaume wengi sana

    • @linashayo2068
      @linashayo2068 Před měsícem

      @integrity277. Kumuita binadamu mwenzio malaya hio nayo ni dhambi, kama wewe ni mtakatifu huna dhambi yoyote basi hiyo ya kumuita Hamisa malaya ujue lazima utaitubu kama sio leo ni kesho. Mnataka Hamisa asifanye chochote kisa msiompenda hamtaki muone anafanikiwa. Tubu sana maana mimi nilivyokuwa msichana mdogo nilimcheka mtu fulani ili kujifurahisha. Lakini inaniumiza mpaka kesho. Kuna mwisho wa kila kitu , tusijisahau, dunia ni ya Mungu, Leo tupo kesho hatupo.

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před měsícem

      Wewe una lala na wangapi tu anzee hapo😅😅😅😅

    • @mariamuramadhani4643
      @mariamuramadhani4643 Před měsícem

      Amekojolewa na wanume wengi kuliko mama yako ?😮😮😮

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem

      Atakojolewa ila sio na mtu kam wew😂

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před měsícem

      Analala na wanaume wengi kama mama akooo

  • @Faith_joseph
    @Faith_joseph Před měsícem +4

    Skin is skinning 🤩❤️

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Před měsícem +10

    😂😂wabongo atukawii kusema aziz ki ndo kamfungulia duka

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před měsícem +8

    Mbona wewe binti unapenda wanaume wa nje,? Mwisho wa siku wanakupiga chini ,tafuta mbongo mwenzio uendeleze maisha tayari una watoto,

  • @janethferous
    @janethferous Před měsícem +2

    Mobeto naomba kazi basi nikusaidie hata kukata vitambaa tu nakuomba many nifikilie niweze kulisha familia bwana

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 Před měsícem +7

    Malaya kila mwenye hela anapewa papa

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před měsícem

      Kama mamako😅😅😅😅

    • @hafidhali3020
      @hafidhali3020 Před měsícem

      @@aminaanab1071 inaonekana na wewe ni ktk Kandi la malaya

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před měsícem

      @@hafidhali3020 pamoja na mamako😄😄😄😄

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před měsícem

      Yani kila unapo mtukana mtu malaya kumbuka mamako malaya dadako malaya mak wako malaya

    • @hafidhali3020
      @hafidhali3020 Před měsícem

      @@aminaanab1071 wewe anaona kama umalaya umerithi kutoka kwa mamaako, Nadhani kama wewe ni mtoto wa kharam

  • @Gthekingtiger10
    @Gthekingtiger10 Před 14 dny

    Saf sana hamisa kazi nzuri

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před měsícem +3

    NIKIKUMBUKA ZARI ALIKITA CHIP WOMEN KHAAA , MUNGU NIMWEMAA🥳🥳🥳🥳❤️😍🕺🏻

  • @annayambayamba8614
    @annayambayamba8614 Před měsícem

    Ongereni saaan Amisa kutusemeha kwa chme lake❤❤❤🎉🎉🎉

  • @nataliamashalo
    @nataliamashalo Před měsícem

    Hongera Sana jomooooon hamisa always love you ❤

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem +8

    Azizi kumbe kaacha pesa Ndefu kwa Demu Pumbavu zakeeee hakusoma kwa Mayele

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 Před měsícem +4

    Make up zinawatowaga mbali. Wallahi du

  • @ElizabethEmmanuel-nj1oi

    Wee dada nakupenda sana my 💕💕

  • @user-cu7ic4wy9h
    @user-cu7ic4wy9h Před měsícem

    Hongerani Mungu awajalie mfunge ndoa ❤❤🎉

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před měsícem +1

    Misa ni KIBOKO YAO WASANII WOTE❤❤❤

  • @RamadhaniMshana-gk6vm
    @RamadhaniMshana-gk6vm Před měsícem +2

    Nakupend sana hamisa❤❤❤

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Před měsícem +5

    Kwa ishara mwenye akili anaelewa

  • @RAMADHANMARCK
    @RAMADHANMARCK Před 25 dny

    Waache ao waenderee na majungu yao wanafki ao acha ajidai amisa sapot sana nakukubali sana achana na ao manafki

  • @user-cw6jq7cv2k
    @user-cw6jq7cv2k Před měsícem +1

    Congrats girl

  • @user-eb2me3xn1l
    @user-eb2me3xn1l Před 18 dny

    Amisa ww nimuislam ujue hebu jitande utapendeza dada na biashara zao zitazidi kufikia mbali

  • @HalimaNanyanje
    @HalimaNanyanje Před měsícem +1

    Naomba kaz

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před měsícem +4

    Watu bwana mnashambikia udangaji sasa huyu si msharati tu nini mnampongeza anafanya zina na nye mnashiriki kwa njia moja ama nyingine kwa kumpongeza kweli dunia hii imani imekwisha Toba yaraab 🤲🤲

    • @linashayo2068
      @linashayo2068 Před měsícem

      @halimamasai2234. Usisahau hata wewe ni mwenye zambi umeshatubu zambi zako? Sasa anza kutubu zambi zako alafu ukimaliza utubu zambi ya kumtukana au kuhukumu Hamisa kuwa ni mzinifu . Hakuna binadamu yoyote aliyepewa kibali cha hukumu hata mitume ambao tunaamini walikuwa watakatifu basi walikuwa na zambi pia, ndio maana Mungu alijuwa katika dunia hii wote ni wenye zambi ndio maana Mungu hajampa mtu yoyote haki yoyote ya kuhukumu yoyote anaehukumu, Ni mwenye zambi.

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před měsícem +1

      Labda ako karibu na mungu kuliko wewe hujui tu😅😅

    • @JacklineIkoki
      @JacklineIkoki Před měsícem

      ​@@aminaanab1071very true my dear

  • @H3s4d
    @H3s4d Před 8 dny

    Tuache matusi uhuru umepitiliza

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba Před měsícem +2

    Mbunye ya hamisa ni tamu sana inaonekana😂😂😂

  • @AllyAthuman-z9b
    @AllyAthuman-z9b Před 11 dny +1

    Kuna ujinga anaoufanya uyu dem viongozi wa yanga awajaliona ila likija tokea ndio mtakuja juta

  • @SalumKapilima
    @SalumKapilima Před 14 dny

    Haaaaaaaaaha ka jamani😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅

  • @AishaNdayahoze
    @AishaNdayahoze Před měsícem +2

    Asant dada yang

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr Před měsícem

    😂😂Anacheza vizur kotekote AziZi K

  • @rachelelias7750
    @rachelelias7750 Před měsícem

    Uyu dada ata ajielewi wanakutumia to masikini😢

  • @HalimaNanyanje
    @HalimaNanyanje Před měsícem

    Naomba kaz ndugu.

  • @ChrissKadunda
    @ChrissKadunda Před 7 dny

    Umedamshi ila una mdomo mbaya ka ng'obwe

  • @user-bf3ij2ie5k
    @user-bf3ij2ie5k Před měsícem

    Kwn alishaachwa na yuke boss baba tayar

  • @EmanuelOdhiambo-rr2yv
    @EmanuelOdhiambo-rr2yv Před měsícem +12

    Hamisa Mobeto I am here to advise you as your brother......,wachana na umalaya kwasababu wewe ni mama mwenye watoto wawili.It's high time you respect yourself.Unajishusha thamani kila mara kuonana na wanaume tofauti."UNAHARIBU FUTURE YA WATOTO KINDLY STOP BEING STUPID".....HAO WAANDISHI WATAKUFUATA TU ILI WAKUULIZE MASWALI BALI THEY CAN'T HELP YOU IN ANYTHING". LOOK AT THE BIGGER PICTURE OF LIFE AND AVOID BEING STUPID."CHANGE YOUR ATTITUDE PLEASE".

    • @fatumamnyenze9696
      @fatumamnyenze9696 Před měsícem

      Bado n mdogo na hajazeeka bado damu inachemka hawezi kuitwa malaya mana hajaolewa pili hajapata wauwakika wote waongo atafanya nn na yy n mwanamke n bado mdogo..kua mama kulea watoto pekeako bila yakupata mwenza wakupa support uongo stress zitazidi pole kma ntakua nmekukwanza

    • @hafidhali3020
      @hafidhali3020 Před měsícem +2

      @@fatumamnyenze9696 yaani mpaka uzeeke ndio unakuwa malaya?

    • @marcobulili4341
      @marcobulili4341 Před měsícem

      Aziz ana kazi sijui uwezo wake msimu huu

    • @elipidhugotesha1909
      @elipidhugotesha1909 Před 16 dny

      😮sijaelewa apo let her do what suit her

    • @WardaChande
      @WardaChande Před 16 dny

      Mbona makasiriko 😅😅kila mtu ana uhuru wake

  • @laylathaji3938
    @laylathaji3938 Před 15 dny

    HAMISA endless kumchuna hiyo Fara,si kajirengesha mwenye,tafuta heal Tu,ila usije ukazaa nae atatuaribia ukoo na domo lake

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před měsícem +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 yanga bingwa amisaa eee amisaa ee mungu akuwekeee🙏🙏🙏🙏🙏🕺🕺🕺🕺🕺🤲🤲🤲🤲🙌🙌🙌🙌

  • @PanyaBuku-qo7tu
    @PanyaBuku-qo7tu Před měsícem +5

    Uchafu mtupu umalaya mtupu

  • @emmymgonto4110
    @emmymgonto4110 Před měsícem +4

    Hongera bidada kwa yote ila nimeshangaa umeulizwa swali sensitive linalohusu maisha ya mtu na brand kubwa ikihusisha moja kwa moja viongozi makini na waliofanya juhudi kumbakiza Mchezaji wao
    Ajabu bandala ya kujibu kwa usiriazi kwa kulinda na kuheshimu jitihada kubwa zilizofanywa na viongozi wetu wewe unacheka cheka ili kuendelea ku entertain viskendo Kama hivi, kuwa serious

  • @SalmaSheha
    @SalmaSheha Před 15 dny

    Kijuso jushaazeeka my

  • @josephineokama2200
    @josephineokama2200 Před měsícem +6

    umalaya tu na mifuvu Yako ya mishavu

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 Před měsícem

      Mmmh chuki hainaga adabu siuuufanye naww huo umalaya uwe kama yy?

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Před měsícem

      Pumbafuu kabisa

    • @MariaSigan-i6g
      @MariaSigan-i6g Před měsícem

      Dada hakuna mwanamke ambae siyo malaya

    • @josephineokama2200
      @josephineokama2200 Před měsícem

      ​@@salmaalimusa6809syo kwa mwanaume na lile Domo banah apo angekua Hana hela Wala hakuna malaya angemsogelea pesa Haina adabu

  • @rajabually869
    @rajabually869 Před 27 dny

    Eti kahaba huwa wengine mnasumbuliwa na Majungu tu

  • @sskondopoleani9616
    @sskondopoleani9616 Před měsícem

    Huyu si alishachumbiwa??? Hizo sifa unazompa! Ulishawapa wanaume wengine, yaani unautumia vibaya uzuri na jana wako be careful.

  • @user-jj3tq1rh4p
    @user-jj3tq1rh4p Před měsícem

    vizr umewakibu vyema madm nadhani wamerdhika

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 Před měsícem

    Ila haya maisha duuuh

  • @SamwelIsack-fj7vd
    @SamwelIsack-fj7vd Před měsícem

    Mimi kiukweli napenda Sana uwazi wako kwa waandishi wa habari kuhusu maisha yako hujifichi kwenye mahusiano yako

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před měsícem

    Hahaha wambea hawa jmn🤣🤣🤣

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Před měsícem +6

    Kumbuka Hata mama yako amekojolewa ukazaliwa wewe acha husda kumuita mtoto wa mama Wawatu kumuita kahaba tafuta Pesa acha kutukana Watu

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 Před měsícem

    Hongera sana hamisa

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py Před měsícem

    Ila ninavyojuwa huyu mobetu. Alikuwa wa Ali kamwe Sasa apo mtazamo unakuwaje, naombeni jibu, Ila nakupongeza kwa juhudi yako ya utafutaji ongela kwa bidii

  • @issachibangu6075
    @issachibangu6075 Před měsícem

    She’s so beautiful ❤

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Před měsícem

    Waandishi wambeya kweli

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před měsícem

    Hongera ❤❤

  • @mwendemwende5789
    @mwendemwende5789 Před měsícem

    Unatapatapa tu mpaka uzeeke ukitapa tu

  • @malizinakamisa-nd2qq
    @malizinakamisa-nd2qq Před měsícem

    Kazinzur

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 Před měsícem

    Hamisa safi sana

  • @nahimanajo8993
    @nahimanajo8993 Před měsícem

    Tusahidiyeni namba ya hamisa tunashida ya vitamba tuko hinje

  • @HenedAidha
    @HenedAidha Před měsícem

    Galili l haya mustrih

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Před 13 dny

    Sasa wewe mobeto una wanaume wangapi? Kuna yule wa nje? Alikuacha? Kumbe kweli ndo maana diamond alikataa mtt siyo wake maana una wanaume wengi kazi unayo

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Před měsícem

    Say is my own

  • @NaftalMungure
    @NaftalMungure Před měsícem +4

    Ninyi watu mnao muita huyu hamisa malaya. Ooh kahaba. Huenda ninyi ndio malaya wakubwa ila tatizo tu umalaya wenu haupo hadharani wala hakuna anaewafaham. Shut-up your mouths

  • @jumannemsengi2195
    @jumannemsengi2195 Před 17 dny

    Makeup zinamfanya ashindwe kucheka

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5p Před měsícem

    Xavi mtupu

  • @KulwaMartine
    @KulwaMartine Před měsícem

    Mwacheni mtoto wawa2 apambne katk maisha

  • @HalimaNanyanje
    @HalimaNanyanje Před měsícem

    Naomba kaz

  • @user-yu3kg6zl8q
    @user-yu3kg6zl8q Před měsícem +2

    unamwitaje mtoto wa mwenzako malaya nalaya ni nyie wivu tu kazi kukaa vibarazani

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před měsícem

    Kahaba sugu dar kila mwenye jina na pesa analichovya.