YANGA SC 4 -1 MAJIMAJI FC (MAGOLI YOTE) - 14/02/2018
Vložit
- čas přidán 13. 02. 2018
- Tazama mabao yote matano, Yanga ikiichapa Majimaji 4-1 katika dimba la Taifa DSM, mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara raundi ya 18.
Mabao ya Yanga yamefungwa Papy Tshishimbi aliyefunga mabao mawili, Obrey Chirwa na Emmanuel Martin. - Sport
Mechi zilikuw hazn vibe kma za sahv asam shukran kwenu kwakuboresha
Hongeren azam tv kwa kukuza soka letu
Asante sana yanga leo nalala usingizi moloooooo
safi vjana
Unanipaga raha we mtangazaj;;; Marahaba!! Aise!! Ebooo--m2 ya congo''
Hii ndo yanga tunayoijua
yanga oyeeeeeeeeeeeeeeee yanga mwaaaaaaaaaaaaaaaa
Yanga rahaaaaa
Yanga raaahaaa
Timothy Haule
safi sana mnatupa raha sana
Nice one Yanga
yangaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kimya kimya wataelewa tu yanga raha bwana toroka uje 😂😂😂
yanga mmenipa raha jaman daaaa!!
Mtangazaji wa pili hajui kutangaza na ana sauti mbaya
Mmmh Martin na Papii 4th goal ni out of this bongo
yanga oyeeeee!
Naipenda sana yanga
0783873108 dayana pamoja xana
kama mm
yanga oyeeeeeeeh ndani ya 4G mpira raha sanaaaaa.
Naangalia lei tarehe 14 mwez 2 mwak 2023 h
Naependa sana yanga
mambo in motooooooo
Simba posho mlima wachezaji wanajituma kweli
bamutu batalokota benyewe kunyavuuuuuuuuuuu papiiiiiii kabambaaa tshishimbiii man of the match.....mwizi hapigiwi kelele pumzi itamkatikia tuuu na spidi atapunguza hapo ndo itakapotokea overtaking ya ajabuuuu
Papy htar xana tena anatakiwa awe anacheza penalties zote
Simba anausiana nini na magoli ya yanga au unawashwa waitaji kukunwa mbweha wew
Rahaa sana.
Amnaaa kituuu
Dah tshishimbi hana mpinzan bongo
Mutu ya congo , mutu ya kazi, bonge ya migoli
Yanga rahaaaa
Hakiyamungu hiyo migoli ya Emanuel na papy unaweza ukapewa mke bureeee kwetu uzaramonii
chirwa ukienda simb utakaa bench ohooo! baki yanga uza jina wakimataifa wakufuate niyonzima angebaki yanga kiwango chake kisingeshuka
Ester Goliama unaakili ww niyonzima mmunyime namba wwnyewe abaki kufanya nn ngoja apone aludi kukutana na mfumo mpya ndio utaelewa
Hyo penat hyo mmmmhh
NANI KAMA YANGA!!! SIMBA DROO 2 MWISHO WENU.
Kijana wa kaz
ndo kawaida ya chura huwa na amani sana akiwepo kwenye maji
nomaaa sanaaa
Safii sanaaaa
wanaume
Ao jamaa mkizubaa wanachukuw tenanyi jisfuni
good
daaa yanga kz kz
siku hizi mnaponea kwenye penat
yanga ni kazi tu
ama nn
chirwaaaa mmmwaaah
Papii kabamba na martini mtaenda kushtakiwa na simba hukooo FIFA, siyo kwa magoli hayo!! Hatuwapi chirwa, msimmezee mate
ramadhan amir
hahaaaa kweli maana hawachelewi kulalamika mpaka FIFA hawa .
Chirwa atakaa benchi hatuhitaji wachezaji chini ya kiwango Simba.. Hatukimbii kimbi hivyo katika gemu plan yetu.. Hebu angalia mechi ya kesho kama utaona Chirwa ana nafasi.. Nyie mtachukua wachezaji kutoka Simba na sio kinyume.. hamna wachezaji wenye hadhi ya kucheza Simba.. Chirwa anawakataa yeye mwenyewe.. ANAJIGONGA KWA SIMBA KAMPUNI.... Simba ni baba zenu mpende msipende..!
Nooooma sana
Hivyo ndoo yanvyo fungwa magoli
Yangaaaaaaaaaaaaa
Hayo magoli yanaitwa mama mkanye mwanao
papy na emanuel martin dah hahaha zimepigwa jebu mashineeee
Mabingwa hao wa nchi
wana subiliwa na walabu huko
Naomba muniunge grop LA yanga jaman namba hzo0625644452
ebooo
magoli matamu yKo Yanga
penda sana ili chama
mwendo tu
Chiraaa......kumbee muda mwingineee anakua na akili
Jems Ngokor n
Niungeni kwenye grop yanga 0657537977
seba hawatwa o I'm o
Tonny yeboha wakati akiwa kwenye form ndo yalikua magoli yake
mpira upasuke au nyavu zichanike ama kipa akimbia gori
M
Hakuna liolote
chizi ww
HAPPINESS JOSEPHAT .ludi shule
yanga ukickia wameshinda nyingi, jua kuna card nyekundu
Rajabu Shabani Hahahahahah haswaaa