UCHAMBUZI SAKATA LA FEISAL SALUM, JE, ANAKWENDA SIMBA AU HAENDI?
Vložit
- čas přidán 2. 07. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - Sport
Hongera sana crown 👑 media,nawapata vizuri kutoka Tokyo Japan
Crown MPO vizuri Sana kuchambua Mpira big up nakupeni nyota Tano.
Kwa uchambuzi huu smalizi MB kwa media yoyote za ya hapa NYUMBANI mmetisha sana
mwanangu crown media unyama
Mupo vizuri sana
Crown 👑 for life
Mnajua adi mnjua tena walahe.....Hans wew pepon moja kwa moja through analysis ov footbal events especially in transfer👏
Crown Media mpo vizuri san
Crown sports nomaa nawafatilia kutoka Qatar 🇶🇦
Kuhusu habari ya fei nakukubali saana hance
Habar sahih kutoka CLOWN 👑Spots / wanasimba tupunguze weng huu mwaka miwetu 👏👏
Crown Media hapa ni nyumban you're welcome Beg up to the King kiba sio redio ya familia hii hapa ni nyumban
mnatish crown ,mnatembea nakiwanja
😅😅😅😅😂😂😂😂 Kaka Hawa Watu Nihatari Sana Wanatembea na Kiwanja 😂😂😂
Wa kwanza mm
Mko vizuri sana, mnatakiwa muwe huru msifungamane na upande wowote hata kama mna mapenz yenu binafsi ya timu lakn kazi kwanza.
Mko vizuri mpaka mnaboa. Hatari tupu, pure football analyses.❤❤❤
Safi 👉 sana kutoka Moçambique
Crown Media nawafata nikiwa Zambia lusaka 👑🇿🇲🇹🇿🇹🇿
Kiba alicheza sana kumleta Jeff Lea Crown Media.Ila nilitamani jina la kipindi kiitwe CROWN MICHEZO badala ya CROWN SPORTS
😂 Sasa michezo si ndo sports 😂😂
😂😂😂@@muddyhamza9606
MSIGOMBANE BASI KIITWE CROWN RIYADHA 😂😂😂😂😂 YOTE SAWA TU
Michezo ni sports na sports ni michezo kilicho kuchanganya wewe ni lugha tu😅
Unajua unacho kiongea
Mpo vizur sana pigeni kazi vijana
Crown sports mnajuwaaaa sanah kuliko mfano
Nakukubali from Moz🎉🎉🎉
Mm naamin fei anaogopew na yanga na akienda simba yanga wote watamkalie fei mpk mashabiki 😂😂😂
Expert wa mambo ya usajili😂
Noma aisee😂😂
Haha anajitoaga muhanga uyu
Hansi fala sana😁
atlest hawa wanajua kufatia ishu za mpra big up brothers
Wanajua kama Alex ngereza 😂😂
Nimekubari kazi nzuri I respect you guys
Nawapata pande 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Beira nampula maxixe emquilemane montepuez pemba nacala em tete au PAnde zipi
Simba tunawezankulipa hata dola laki 6
Hao viongozi wanachuki na Simba huyo cy kiongozi wa Azam ila ametumwa na viongozi wa Yanga. Kwann waseme Fei hatakiwi kujiunga Simba?
Kwani kiongozi wa yanga anahusika vipi kwenye administration ya azam
Vita vinaendelea bado
Simba tuna vita kubwa Sana tufanyeni maombi ndugu
@@anathshabani2952kwasababu huyo kiongozi ni wa Azam ila shabiki wa Yanga
Yanga tenaa 😅,, hivyo vipengele mbona kawaida tu, Kwanza biashara Yanga aliijua mapema kuhusu Fei,, ndio maana Azam wamegoma
HANSI UPO SAWA HUWA UNAONGEA UKWELI
Napenda sana
Habari za uongo msemaji wa Azam kaisha kanusha hamsikii
Crown is changing media👌
Mayele na fei toto inakuaje iyo Simba mpya
Ila wewe kichaa Kwa kweli mayele kutoka uko Aje hapa tunaweza kumlipa 82 million Kwa mwezi
@@onekisstv8412 kichaa niwew Kwan ww ndo unayelipa hizo pesa😂
@@AngelmackieCharity Ngoja tuone
😂@@onekisstv8412
Crown ni noma nawapata vzr sana
Leo mmeongea sana na huyo
Jamaaa ameipanga tamu vizuri sanaaaa viongozi wafanye uhakika
Hapa ni nyumbani
Hansi unajuaa Sanaa mpakaa anakeraa
Jamaa anajua uchambuzii mpaka anaboa yaaaan😂😂
hans unapata wapi izo data,maana zina uhakika cna na uko nondo kinoma,be blessed
Mnavotamka neno chama mnaharibu media
Salute from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
crown mko vizuri sana hii ndio tv ya uchambuzi wa soccer Tanzania na Africa
Kaka ansi mnajua kuchbuaaa
Hongera CROWN SPORT nawapata vizuri kutoka America
Yoooooh King kiba Big up xana umetisha wangu hii ndo crown kiba hawakuwezi tena!!!.
Huyu Hans anajua boli
I like
Simba wakimsaini Fei Lazima Yanga wafaidike na Bilioni Moja
Hayo ndiyo matakwa ya mkataba Wa fei kutoka Yanga kwenda Azam😂
Wamuuze nje then wamrudishe Simba ndani ya dirisha moja hili hili kwani haiwezekani kumuza mchezaji mara 2 ndani ya dirisha moja
SIMBA NGUVU MOJA
Amaizing channel.. big up crown fm . Tz
Nilichokiona kuna tofauti kjbwa kwenye uchambuzi crown mmetulka sana sio makelele na mazogo kama media nyengine nyingi kwenye uchambuzi wao
Mko vzr sana ssna
Radio yangu one love
Mnajua 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
HAYO NI MAWAZO YAKO SIMBA WALITAMANI KUMSAJILI FEI TOKA CHAMA YUPO SIMBA USIFANYE UYANGA WAKO❤❤❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Upepo wa chama umeshazimwa!signing za Simba siyo za kitoto.chama alipata jina wakati alipokuwa Simba,Simba ni zaidi ya chama
Nawapata vizuri kutoka pande za meatu-simiyu,crown sports mnatisha!
Crown mpo vizuri
crawn midia ni noma sema
Superb crown sports💪
tonyyy nouma sana baba
All the way from iran 🇮🇷
vzr
Crown 👑 👸 🤴 👑
Hii media ni 🔥🔥🔥🔥🔥
I love Yanga from united state of America
simba pia isisahau kusajir beki na kiugo mkabaji hpo ili yasiwe yaleyale
Na mm nipo jmn😂😂😂😂
nakubali sana crowm
Jeff kaja crown kawa na akili 😂
Wachambuzi mnatukosea Simba mbona mnalazimisha eti wanatafuta kuzima upepo wa Chama si kweli wazushi tu nyie
Uchambuzi mzur ❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥
Muko vzr
Simba ya moto kwa usajili
Naomba hans atuthibtishie kweli feisali anatua simba mana tutamsahau chama haraka sana #crown media mko smart sana🎉
Big up from Zanzibar 😊
I agree with you Hans
Mko vizuri shikilieni apo apo
Uchambuzi yakinifu kutoka Crown media
I'm here oman 🎉🎉🎉
Ok sheria
Mmetisha
Noma sanaaaaa
crown sport you have a good team
Kunalimoja apo ndo litawachafulia jina @Geoff mshamba sana uyo
hujitambui ww
Aaah huyu juma ayo yuko huku 👑 FM 😢😢😢😢 kwanini mnamvunishia siri huyu ni yanga pure mshenzi kbsa
🎉🎉🎉🎉
Haipo Sheria ya namna ya kumfunga mchezaji asiende timu anayooo takaaa
Hamna kipenge cha hivyo eti ukimuuza Simba, Yanga alipwe 1B😂😂
Mpira wa tz ni upuzi mwingi sana
Crown tunaomb boss king ingie kweny kingamuz cha Azam tv tunaomb San tupat
Mpo vizur Sanaa kutoka Kenya hapa nakuru
We unatamani ifanikiwe ishu ya nani?
Simba msemaji tunae
Jamaa tangu apatie transfer ya chama anajikuta nan sjui😅😅😅😅
❤
Masterpiece Interview
Habar za hapo studio simba wamesajili wangapi
5
Adi sasa simba wamesajili wachezaji 5 simba nguvu moja
Hii ndo media ya kueleweka sasa sio hizo za kuchambua kishabiki😢
Crown for better life
Nakubari